Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,037
- 9,927
Wakuu, hebu tujadili suala hili objectively,
1. Unamzungumziaje Rais Magufuli dhidi ya uhuru wa habari Nchini Tanzania?
2. Kwa namna yake mzee chuma, Magufuli au tuseme sera zake ziliwaathiri vipi waandishi wa Habari?
3. Kulikuwa na uvumi kuwa Magufuli alikuwa akiwafuatilia waandishi wa habari, je ni kweli? Je kuna ushahidi wowote wa athari uliowakumba waandishi?
Haya maswali tujadili objectively najua mkuu Pascal Mayalla unaweza kutupa neno pia
1. Unamzungumziaje Rais Magufuli dhidi ya uhuru wa habari Nchini Tanzania?
2. Kwa namna yake mzee chuma, Magufuli au tuseme sera zake ziliwaathiri vipi waandishi wa Habari?
3. Kulikuwa na uvumi kuwa Magufuli alikuwa akiwafuatilia waandishi wa habari, je ni kweli? Je kuna ushahidi wowote wa athari uliowakumba waandishi?
Haya maswali tujadili objectively najua mkuu Pascal Mayalla unaweza kutupa neno pia