Uhakiki wa vyeti: JPM kawashika vigogo pabaya matumbo moto

Kama Mh. RAIS anamaanisha kweli basi ajiandae kuunda upya sekta ya majeshi. Huko ni balaa
 
Watanzania hatuendelei kwa sababu ni vyeti oriented. Chukua mtu mwenye masters ya mechanical engineering wa sasa mpeleke garage uone atakavyoboronga
Hii inaitwa bora elimu tunasoma ili tuajiriwe
 
Wakiwatoa wote ntawapata haja ya kuja mjini kupata kazi, maana nna kadegree halali kanaishia kulowa maji chumvi, wao wamekalia viti tu huko.
Akimaliza hao aanze na mabosi wenye certificates
 
Safari hii vigogo wameshikwa pabaya maana JPM hana roho kama ya yule mwingine, hata anapoongea unamuona usoni kuwa amemaanisha anachokisema hata kama kina matokeo hasi kwa wananchi. Si mnakumbuka suala la mizani na malori, mnakumbuka jengo la Tanesco ubungo?

Si vyema kuwataja hapa maana mijadala mingi inaendelea hapa JF kwa baadhi yao. Na kinachowaogopesha zaidi Mh. siku hizi ni kama vile anapitia hapa mara kwa mara hata ukisikiliza majibu yake juu ya maneno ya mitandao ya kijamii utagundua kuna mfanano na hoja zilizoko hapa kwa hiyo mtu akitajwa hapa moja kwa moja habari inafika mjengoni.

Tuendelee kuisoma namba kwa pamoja
Hahahaaaaa! Acha kututisha bana, haondoki mtu hapa. Mwaka huu kalumanzila wanahusika
 
KUANZIA wiki hii huenda wafanyakazi wakapungua maofisini.Wengi wamepigwa butwaa wakifiria wataondokaje kazini kwa ghafla kwani zoezi hili tayari limeanza kwa baadhi ya halmashauri.
 
Back
Top Bottom