Tetesi: Uhakiki: Maprofesa UDSM washindwa kuwasilisha vyeti vya sekondari,wawa wakali

lazima wawe wakali sababu miaka yao wengi walisoma kwa kuunga unga and wengine walisoma nje ya nchi bila kuzingatia elimu waliokuwa nayo sekondari! kuna true story ya mtu mmoja sasaivi ni Prof pale SUA but hapo kabla alifika la saba then akaajiriwa shamba boy na mwingereza moja then baadae alimpleka uingereza akaaza course ya certificate akapiga diploma then degree and kwa ufaulu wake alipokuwa masters wamlipaga Phd moja kwa moja! ila kupewa Phd bila kufanya masters sio tatizo,ni kawaida! ila washkaji wake walikuja juu baada ya mshkaji wao baada ya kuishi uigereza kama 8 years karudi ana Phd na wanamkumbuka vyema kwamba kaishia la saba! and alikuwa shamba boy!
so usiwashangae sana na wao ndio wale wale! sema tunawahe

Wivu wa kizamani
 
Wakati zoezi la kuhakiki vyeti vya watumishi wa umma nchini likiendelea,kizungumkuti kimejitokeza Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Taarifa zitakazo sifa zinadokeza kuwa Maprofesa na Wahadhiri waandamizi wengi wameshindwa kuwasilisha vyeti vyao vya sekondari:kidato cha nne na cha sita.

Taarifa zinaonesha kuwa Wahadhiri hao wametoa hoja,wakiwa wamecharuka, kuwa hawakuajiriwa kwa vyeti vya sekondari. Wamedai kuwa vyeti vyao vya Shahada,Stashahada na Astashahada vinatosha na kutisha. Wahadhiri hao,taarifa zinasema,wamekubaliwa kuhakikiwa kwa vyeti walivyoviwasilisha,bila ya vya sekondari.

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)

Ikiwa ni kweli ule usemi kuwa UDSM ni "vipanga" inabidi utazamwe upya!

Waturudishie vil**za wetu tu UDOM wamalize kozi zao! Kumbe hayo maajabu yapo hadi kwa maprof!

Kuna ishara kuwa hawa watu wote wenye PhD waanze kuhakikiwa peke yao popote walipo, then tushuke masters, bachelor's, diplomas na certificates ziwe za mwisho! Tunaweza kuwa na uwiano mzuri wa magumashi ktk kila level ya taaluma!
 
Hapo kwenye vyeti kuna watu watakufa kwa presha.. dah sipati picha.. ama kweli kila zama na nabii wake...
 
kwanini uhakiki. mpe mtihani wa eneo lake akifeli anarudi home akifaulu cheti pembeni....kuna wana vyeti halali lakini hamna kitu pia...

yaan mm nisome kuanzia chekechea mpaka university.

Halaf ww u forge vyeti, utumie cha mdogo wako au cha uncle wako halafu unasema upo sahihi. Ww ni mwizi km wenz wengine. Mnapokonya haki za watu.

Utakuta mtu uliyesoma naye anaitwa Lucas mwenda unakuja kushangaa mnakutana chuo eti anaitwa Peter kisamvu unabaki kushangaa tu.

Km zoez hili liko serious wengi wataimba namba. Tena kweny sector ya afya, elimu, army, police na politicians humo kuna majipu yamevaa kinoma.

Ila sipati picha wanaotumia vyeti vya kuforge hali ikoje kwao hiv ukiangalia life kitaa lilivyogumu duh!
 
Aaa wapi...VC atakuwa kawaweka kwenye notebook yake...na hao wanapelekwa kwa mkuu...!!
 
Ikiwa ni kweli ule usemi kuwa UDSM ni "vipanga" inabidi utazamwe upya!
Waturudishie vil**za wetu tu UDOM wamalize kozi zao! Kumbe hayo maajabu yapo hadi kwa maprof!
Kuna ishara kuwa hawa watu wote wenye PhD waanze kuhakikiwa peke yao popote walipo, then tushuke masters, bachelor's, diplomas na certificates ziwe za mwisho! Tunaweza kuwa na uwiano mzuri wa magumashi ktk kila level ya taaluma!
Hoja yenu haijaeleweka. Ungehoji je, hiyo PhD kaisomea kweli au hapana. Mengine yote ni blabla tu.
 
Kwanza aliyeanzisha hii mada sijui alikuwa ana maana gani. Ina maana hizo taasisi zilizowapa hizo PhD hazikujali vigezo vyao vya kuingilia? Isitoshe, anajua mfumo wa elimu enzi hizo ulikuwaje hapa Tanzania? Msipende " backward extrapolation" kwa kuwa sifa na vigezo vinabadilika kulingana na wakati. Kwanza hawa watu uwezo wao ulikuwa mkubwa sana kimasomo. Unawajua walimu wa UPE wewe? Unajua uwezo wao?
 
Haya bana...
Unajua hii kitu ni changamoto kubwa sana. Wengi wa wafanyakazi wameingia makazini kwa figisu figisu. Ukisema ukague vyeti......kutakuwa na vilio na kusema meno. Lakini lazima tuanzie somewhere...tujifunze kula kwa jasho. Kama huna cheti basi urudi shule ukitafute.
 
Back
Top Bottom