Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

Mwatuko wa mfereji wa haja kubwa (Anal Fissure) Imeandikwa Na Dr.Henry Mayala


ndani.jpg
Ni tatizo ambalo huathiri wote wanaume na wanawake, vilevile watu wa rika yote kwa ujumla. Tatizo hili husababishwa na mpasuko au mchaniko katika eneo la mwisho la mfereji wa haja kubwa.


Nini husababisha mwatuko wa mfereji wa haja kubwa?

-aina yoyote ya ajali katika mfereji wa haja kubwa husababisha mwatuko kama ifuatavyo:

Kupata choo kingi na kigumu kwa muda mrefu
Tatizo sugu la kuharisha
Kuvimba kwa eneo la mfereji wa haja kubwa (inflammation)

-sababu nyinginezo ni kama zifuatazo:

  • Ngono ya njia ya haja kubwa
  • Kansa
  • Virusi vya ukimwi
  • Kaswende
  • Kifua kikuu
Watu gani wanaweza kupata tatizo hili?
  • Watoto chini ya mwaka mmoja (infants)
  • Umri mkubwa- kwasababu kuna upungufu wa ugavi wa damu katika mfereji wa njia ya haja kubwa
  • Kupata choo kigumu kwa muda
  • Wanawake wakati wa kujifungua
  • Crohns disease

Dalili:
  • Maumivu mara baada ya haja kubwa
  • Damu kwenye kinyesi na huonekana kwenye karatasi ya chooni (toilet paper)
  • Maumivu huweza kuwa makali mpaka kumfanya mtu ajizuie kwenda msalani.
  • Kuwashwa
Vipimo na uchunguzi:

  • Sigmoidocopy
  • Colonoscopy
Matibabu:

1. Huweza kutibiwa kwa dawa katika hatua za hawali;

Dawa za kulainisha choo
Sitz bath
Cream za kupaka (Anusol, zinc oxide)
Nitroglycerin
Botox
Calcium channel blockers (nifedipine and diltiazem)

2. Kama tatizo hili limekuwa sugu na halitibiki kwa tiba nyingine, basi Upasuaji ndio huwa tiba mwafaka

Partial lateral internal sphicterotomy
Anal dilation
Jinsi ya kuzuia mwatuko wa mfereji wa haja kubwa:

Vyakula vya kulainisha choo- matunda na mbogamboga
Kunywa maji mara kwa mara
Na fanya mazoezi

Source:Mwatuko wa mfereji wa haja kubwa (Anal Fissure)
 
Mkuu, tiba ya uhakika ,ni hii hapa ,chukua ganda bichi la mgomba lipondeponde,kisha kamua maji yake uyapake kwenye anus-****** kutwa mara tatu ,kwa wiki mbili .utapona.naongea kwani niliteseka more than three years,hydrogen na anusol zote hazikusaidia .nilitumia anusol cream na vidonge, tube 15 vidonge 100.dr akasema nipasuliwe .dr mstaafu akaniambia siri ya mgomba .sasa nina six month ni mzima wa afya tele.
 
Mkuu ,tiba ya uhakika ,ni hii hapa ,chukua ganda bichi la mgomba lipondeponde,kisha kamua maji yake uyapake kwenye anus-****** kutwa mara tatu ,kwa wiki mbili .utapona.naongea kwani niliteseka more than three years,hydrogen na anusol zote hazikusaidia .nilitumia anusol cream na vidonge, tube 15 vidonge 100.dr akasema nipasuliwe .dr mstaafu akaniambia siri ya mgomba .sasa nina six month ni mzima wa afya tele.

Asante sana kwani unaturejesha Edeni kwenye bustani yetu ya asili.
 
Jamani naombeni ushauri. kuna kinyama kama upele kameota juu ya njia ya haja kubwa na kunawakati kinauma sana na wakati mwingine kuwa na muwasho katika sehemu ya haja kubwa nini chanzo chake, pia dawa yake ni nini naombeni wenye uelewa watujuze kwani nakosa amani kabisa.
 
Mwatuko wa mfereji wa haja kubwa (Anal Fissure) Imeandikwa Na Dr.Henry Mayala

Ni tatizo ambalo huathiri wote wanaume na wanawake, vilevile watu wa rika yote kwa ujumla. Tatizo hili husababishwa na mpasuko au mchaniko katika eneo la mwisho la mfereji wa haja kubwa.
Nini husababisha mwatuko wa mfereji wa haja kubwa?
-aina yoyote ya ajali katika mfereji wa haja kubwa husababisha mwatuko kama ifuatavyo:
Kupata choo kingi na kigumu kwa muda mrefu
Tatizo sugu la kuharisha
Kuvimba kwa eneo la mfereji wa haja kubwa (inflammation)
-sababu nyinginezo ni kama zifuatazo:
  • Ngono ya njia ya haja kubwa
  • Kansa
  • Virusi vya ukimwi
  • Kaswende
  • Kifua kikuu
Watu gani wanaweza kupata tatizo hili?
  • Watoto chini ya mwaka mmoja (infants)
  • Umri mkubwa- kwasababu kuna upungufu wa ugavi wa damu katika mfereji wa njia ya haja kubwa
  • Kupata choo kigumu kwa muda
  • Wanawake wakati wa kujifungua
  • Crohns disease
Dalili:
  • Maumivu mara baada ya haja kubwa
  • Damu kwenye kinyesi na huonekana kwenye karatasi ya chooni (toilet paper)
  • Maumivu huweza kuwa makali mpaka kumfanya mtu ajizuie kwenda msalani.
  • Kuwashwa
Vipimo na uchunguzi:
  • Sigmoidocopy
  • Colonoscopy
Matibabu:
1. Huweza kutibiwa kwa dawa katika hatua za hawali;
Dawa za kulainisha choo
Sitz bath
Cream za kupaka (Anusol, zinc oxide)
Nitroglycerin
Botox
Calcium channel blockers (nifedipine and diltiazem)
2. Kama tatizo hili limekuwa sugu na halitibiki kwa tiba nyingine, basi Upasuaji ndio huwa tiba mwafaka
Partial lateral internal sphicterotomy
Anal dilation
Jinsi ya kuzuia mwatuko wa mfereji wa haja kubwa:
Vyakula vya kulainisha choo- matunda na mbogamboga
Kunywa maji mara kwa mara
Na fanya mazoezi
 
Natumaini imetolewa maelezo sana humu jamvini, ngoja wenye memory nzuri watakujulisha la kufanya.
 
This is a very helpful topic. Tatizo waleviwengi wanashindia supu na michemsho wanasahau kuwa mboga mboga kama matembele, kisamfu, mlenda etc vinasaidia sana na matunda kama mapapai.mtu anasubiri mpaka daktari amshauri ndo unakuta anabugia matunda na mboga mboga. Kama una kanafasi uani mwa nyumba yako, panda matembele na mchicha, vina faida sana.
 
This is a very helpful topic. Tatizo waleviwengi wanashindia supu na michemsho wanasahau kuwa mboga mboga kama matembele, kisamfu, mlenda etc vinasaidia sana na matunda kama mapapai.mtu anasubiri mpaka daktari amshauri ndo unakuta anabugia matunda na mboga mboga. Kama una kanafasi uani mwa nyumba yako, panda matembele na mchicha, vina faida sana.

kuna usemi katika hii dunia yetu ya medicine unasema hivi " a chance to cut is a chance to heal"
 
Kwanza "Hemorrhoids" ama "Piles" husababishwa zaidi na mtu anapotumia nguvu kupata haja kubwa (naomba mnisamehe kama lugha si nzuri), ina maana kama unapata choo kigumu, msukumo huwa mkubwa na kutokea mkwaruzo na kusababisha veins kuvimba. Kukosa choo (constipation), mimba na umri mkubwa pia husababisha hii kitu, hasa kuanzia miaka 50. Pia kuingiliwa kinyume na maumbile husababisha. Pia leo ndio nimejua hii kitu kiswahili inaitwa Bawasir.

Ziko aina ngapi ya bawasir?.

Kwa kungalia uvimbe uliko, ziko za aina mbili, zinazotokea nje ama chini ya ngozi ya sehemu ya haja kubwa, na kuna zinazotokea ndani ya sehemu ya haja kubwa.

Je, inatibika bila ya operation?

Yaweza kutibika bila kufanyiwa upasuaji, muhimu ni kula vyakula vyenye kiasi kikubwa cha nyuzinyuzi (fiber). Pia kunywa maji mengi. Hii inasaidia kukifanya choo kiwe laini na hivyo kupunguza msuguano na pia kupunguza msukumo wakati wa kutoa haja kubwa. Pia inatakiwa unapojisikia tu haja kubwa ukajisaidie, sio kuahirisha nayo ina madhara makubwa. Kuna dawa unaweza pewa, siwezi kukutajia hapa, zinasaidia na kumaliza kabisa wakati fulani.

Wanawake nao huwa wanaupata ugonjwa huu?

Ni ugonjwa unaotokea kwa jinsia zote.

Kwa nini baada ya kumaliza haja kubwa huanza kuwasha na kuwa kero?

Sana sana ukiona inawasha, huwa ni zile vimbe za nje, vimbe za ndani huwa hazina matatizo sana, kama muwasho. Lakini kwanini huwasha baada ya haja?, ni kwamba baada ya haja ile sehemu huwa imesuguliwa ama wakati unasukuma unachokoza zile vimbe katika veins.

Na kwa nini wakati mwingine huwa haitokei? Has it to do with type of foods/drinks?

Hii kitu inaweza kutokea, ikapotea kwa siku, wiki, miezi, mwaka, miaka na kurudi tena. Hivyo ni vizuri kubadili aina za vyakula na kula vyakula vyenye nyuzinyuzi kwa wingi, muhimu zaidi ni kunywa maji mengi iwezekanavyo.

Pia kupunguza vyakula vyenye pilipili na binzari (hot and spicy foods) inaweza kusaidia.

Muhimu: Ni vizuri kwenda hospitali ili upate kuchunguzwa zaidi.
 
Kuna imani katika mkoa wa Tanga kuwa kama mwanaume anakuwa na kipele hiki eti mke wake wa kwanza akifariki akioa mwingine pia atakuwa anafariki na kila atakapo kuwa anaoa mke atakuwa anafariki
 
Kwa maoni yangu ni vigumu kutoa ushauri wa kukusaidia mpaka mtaalamu akione hicho kiuvimbe, nakushauri ufanye jitihada za kuonana na daktari, ikiwezekana bingwa wa upasuaji i.e Surgeon.
 
hii kitu iliwahi kunitesa wakati fulani, nikajua ni jipu, nakumbuka dakari alisisitiza sio jipu na nisijaribu kufinya au kutoboa coz ni mshipa wa damu, na ukitoboa unaweza toka damu hadi ufe. Hii kitu mbaya sana, ukiwa msiri unaweza kudhania ni ubnomalities kumbe ni tatizo linalojulikana.
 
Mwatuko wa mfereji wa haja kubwa (Anal Fissure) Imeandikwa Na Dr.Henry Mayala




ndani.jpg
Ni tatizo ambalo huathiri wote wanaume na wanawake, vilevile watu wa rika yote kwa ujumla. Tatizo hili husababishwa na mpasuko au mchaniko katika eneo la mwisho la mfereji wa haja kubwa.


Nini husababisha mwatuko wa mfereji wa haja kubwa?


-aina yoyote ya ajali katika mfereji wa haja kubwa husababisha mwatuko kama ifuatavyo:


• Kupata choo kingi na kigumu kwa muda mrefu
• Tatizo sugu la kuharisha
• Kuvimba kwa eneo la mfereji wa haja kubwa (inflammation)


-sababu nyinginezo ni kama zifuatazo:



  • Ngono ya njia ya haja kubwa
  • Kansa
  • Virusi vya ukimwi
  • Kaswende
  • Kifua kikuu
anal_fissures.jpg
Watu gani wanaweza kupata tatizo hili?



  • Watoto chini ya mwaka mmoja (infants)
  • Umri mkubwa- kwasababu kuna upungufu wa ugavi wa damu katika mfereji wa njia ya haja kubwa
  • Kupata choo kigumu kwa muda
  • Wanawake wakati wa kujifungua
  • Crohn's disease

Dalili:

  • Maumivu mara baada ya haja kubwa
  • Damu kwenye kinyesi na huonekana kwenye karatasi ya chooni (toilet paper)
  • Maumivu huweza kuwa makali mpaka kumfanya mtu ajizuie kwenda msalani.
  • Kuwashwa
Vipimo na uchunguzi:

  • Sigmoidocopy
  • Colonoscopy
Matibabu:

1. Huweza kutibiwa kwa dawa katika hatua za hawali;


• Dawa za kulainisha choo

• Sitz bath
• Cream za kupaka (Anusol, zinc oxide)
• Nitroglycerin
• Botox
• Calcium channel blockers (nifedipine and diltiazem)

2. Kama tatizo hili limekuwa sugu na halitibiki kwa tiba nyingine, basi Upasuaji ndio huwa tiba mwafaka

• Partial lateral internal sphicterotomy
• Anal dilation

Jinsi ya kuzuia mwatuko wa mfereji wa haja kubwa:

• Vyakula vya kulainisha choo- matunda na mbogamboga
• Kunywa maji mara kwa mara
• Na fanya mazoezi

Source:Mwatuko wa mfereji wa haja kubwa (Anal Fissure)

Chanzo:
https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/146913-mwatuko-wa-mfereji-wa-haja-kubwa-anal-fissure-bawasiri-au-futuro.html


Vizuri sana mkuu, tunataka watu wawe wanaelimishwa kitaalamu namna hii hasa linapokuja suala la mwili wa binadamu si jambo la kuchezea kama vitu vingine vilivyo nje ya mwili.

Kwenye medical kuna usemi kuwa kila asiyejua mwili wake ni layman! hivyo yanapohitajika masuala ya kitabibu basi majibu yatolewe na competent medical practitioners ( si klia medical personnel ni competent!)
 

• Kupata choo kingi na kigumu kwa muda mrefu
• Tatizo sugu la kuharisha
• Kuvimba kwa eneo la mfereji wa haja kubwa (inflammation)​


-sababu nyinginezo ni kama zifuatazo:



  • Ngono ya njia ya haja kubwa
  • Kansa
  • Virusi vya ukimwi
  • Kaswende
  • Kifua kikuu
Ahsante Jamadari kwa shule ya nguvu, ila hapo kwenye nyekundu una uhakika? Do you have a strong supportive literature/evidence on that?
 
hii kitu iliwahi kunitesa wakati fulani, nikajua ni jipu, nakumbuka dakari alisisitiza sio jipu na nisijaribu kufinya au kutoboa coz ni mshipa wa damu, na ukitoboa unaweza toka damu hadi ufe. Hii kitu mbaya sana, ukiwa msiri unaweza kudhania ni ubnomalities kumbe ni tatizo linalojulikana.
Uliponaje?
 
Back
Top Bottom