...
Hofu yangu ni kuwa watu wa kima cha chini wanaoingiza hiace au Mini buses...hawatoweza kuafford hili, na kuna uwezekano mkubwa kuna wajanja wachache wanataka kuingiza gari zao, na ili zilipe basi wanaweka vizingit wengine wasiweze kuagiza magari yao. Na Hapa kuna uwezekano mkubwa wa kuwa wahusika wakalambishwa chochote juu ya Hili.
....
Barabara zote zinazotoka DSM kwenda mikoani sio nyembamba, zimejengwa kwa viwango vya kimataifa, tofauti ni kwamba barabara zetu ni single lane. Pamoja na kuwa sehemu kubwa ni single lane, barabara toka DSM hadi Morogoro kuna sehemu wameweka double lane kwa ajili ya magari kujapita magari yaendao taratibu. Sehemu hizo ni zile zenye milima, ambapo advantage ya double lane inatolewa kwa magari yanayopanda mlima.
Sababu kubwa za Ajali ni Barabara za Nyembamba sana na Madereva wazembe...na si Magari yalio nyuma ya ten years...