Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 127,943
- 244,531
- Thread starter
- #21
Mbona mbali sana ! Kwanini asitimuliwe hata leo ?kakubali huu Msimu wake wa mwisho
Mbona mbali sana ! Kwanini asitimuliwe hata leo ?kakubali huu Msimu wake wa mwisho
Bora huyu mzee Wenger aendelee kuwepo ili arsenal iwe mdebwedo hasa inapokutana na liver.Nahisi kuna siri kubwa sana kwann asena Wenger hafukuzwi Emirates. Ngoja tumpe mda
..hii timu (Arsenal) haina viwango vya Champions League , haina tofauti sana na Sunderland , Crystal Palace & the likes , sijui inaingiaje Top 4 ?.
Tatizo timu za epl zote ni mafalaKwanza niwape pole sana mashabiki wa Arsenal kwa kipigo cha mbwa mwizi aliyekunywa maziwa ya mtoto , binafsi sikustuka bali nilishangaa kwa Bayern kupata mabao machache kinyume cha matarajio .
Sasa ngoja niwape mchongo .
Bila kuizuia Arsenal chini ya Wenger kuingia ndani ya Top 4 , England itaendelea kufedheheshwa miaka nenda rudi , hii timu haina viwango vya Champions League , haina tofauti sana na Sunderland , Crystal Palace & the likes , sijui inaingiaje Top 4 ?
Ili kulinda heshima ya EPL na kulinda pia heshima ya UEFA CHAMPIONS LEAGUE , ni lazima liundwe zengwe Arsenal isiwemo Top 4 .
Mkuu ushawahi kuwa mpiga ramli ?Inaingia kwa kuwa team nyingine ndogo kama Liverpool, Tottenham and Everton zinashangaa mnooo. Liverpool na Tottenham wakikaza msuli kwenye mechi 11 hizi zilizobaki, Arsenal top 4 wataisoma kwa mbali tu. Very soon wataexchange positions na Man Utd.
Mimi ni kocha mchezaji mkuu..Mkuu ushawahi kuwa mpiga ramli ?
Swadakta .Inaingia kwa kuwa team nyingine ndogo kama Liverpool, Tottenham and Everton zinashangaa mnooo. Liverpool na Tottenham wakikaza msuli kwenye mechi 11 hizi zilizobaki, Arsenal top 4 wataisoma kwa mbali tu. Very soon wataexchange positions na Man Utd.