Walitanguliziwa 1Million, je zilizobaki zilikuwa ni ahadi?Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amesema anasikitishwa na baadhi ya viongozi wa kisiasa ambao wamelichukulia suala la vifo vya wanafunzi 32 wa Lucky Vicent kisiasa.
Katika taarifa yake iliyotolewa kwa vyombo vya habari, Gambo amesema uongozi wa mkoa wa Arusha umeamua kutoa taarifa ya wazi kwa yumma kuhusu michango iliyotolewa na matumizi yake.
“Hili si tukio la kisiasa bali ni mtihani na changamotyo kubwa uliozikumba familia za wananchi wetu. Wakati serikali inahangaika na shida za watu tunasikitika kuona baadhi ya viongozi wa kisiasa wanahangika na mitandao ya kijamii,”imesema taarifa hiyo
Taarifa hiyo iliyoambatana na jedwali lenye mchanganuo wa rambi rambi hizo inaonyesha kuwa jumla ya michango ya serikali na ya wadau ni Sh 261.3 milioni.
Michango ya Serikali ni Sh 102.7milioni na ya wadau ni Sh 158.5milioni.
Katika mchanganuo wa taarifa hiyo, Gambo amesema familia za wafiwa hao zitapewa Sh 3,857,143 kwa kila familia. Kila familia ilipewa Sh1milioni siku ya kuaga miili uwanja wa Sheikh Amri Abeid.
Chanzo: Mwananchi
Gambo ndiye ameufanya msiba wa watoto wetu wapendwa kuwa siasa.Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amesema anasikitishwa na baadhi ya viongozi wa kisiasa ambao wamelichukulia suala la vifo vya wanafunzi 32 wa Lucky Vicent kisiasa.
Katika taarifa yake iliyotolewa kwa vyombo vya habari, Gambo amesema uongozi wa mkoa wa Arusha umeamua kutoa taarifa ya wazi kwa yumma kuhusu michango iliyotolewa na matumizi yake.
“Hili si tukio la kisiasa bali ni mtihani na changamotyo kubwa uliozikumba familia za wananchi wetu. Wakati serikali inahangaika na shida za watu tunasikitika kuona baadhi ya viongozi wa kisiasa wanahangika na mitandao ya kijamii,”imesema taarifa hiyo
Taarifa hiyo iliyoambatana na jedwali lenye mchanganuo wa rambi rambi hizo inaonyesha kuwa jumla ya michango ya serikali na ya wadau ni Sh 261.3 milioni.
Michango ya Serikali ni Sh 102.7milioni na ya wadau ni Sh 158.5milioni.
Katika mchanganuo wa taarifa hiyo, Gambo amesema familia za wafiwa hao zitapewa Sh 3,857,143 kwa kila familia. Kila familia ilipewa Sh1milioni siku ya kuaga miili uwanja wa Sheikh Amri Abeid.
Chanzo: Mwananchi
mbona tangu wiki iliyopita Gambo anatangaza kuwa ataweka hesabu zote wazi, aah watanzania mnachosa sasaKwa hiyo kama meya asingesema chochote gambo angepiga kimya tu
Kwanini taarifa yake ya mwanzo alisema kila familia umepata tsh.....ilhali alikuwa ana uhakika kuna familia hazijapewa kiasi hicho?Walipewa 1m, panapo majaaliwa watapewa Sh 3,857,143.
Unajichosha mwemyewe mkuu..mbona tangu wiki iliyopita Gambo anatangaza kuwa ataweka hesabu zote wazi, aah watanzania mnachosa sasa
fedha za michango huwa hazifiki kwa pamoja maana kila mtu anatoa kwa wakati wakeAngeweka na hako kamchanganuo humu ingesaidia sana. Sasa mbona walipewa 1M tu badala ya kupewa zote? Lengo la kuwapa kidogo kwanza ilikuwa nini???
Haya mkuu ila upumbavu ndo tusi..... angeweka wazi michango yote ni kiasi gani by names au kwa asiye taka tajwa aweka amount bila jina.... harafu kwa wafiwa aonyeshe wazi kazigawa vp maana kuna wanao sema yule yatima hakulipwa, kama hakulipwa ni kwa nn? Kwa nn wasipewe wamiliki wa alipo kuwa anaishi na yatima wenzake, mara mwalim na dereva hawakulipwa... .yawezekana wamelipwa lakini awe muwaz bana hasa katika nyakat hiz za waswas wa rambirambi za kagera la sivo halitamwacha salama hili na atakuwa anakuwa mentioned by name yeye kwa jinsi alivo handle issue nzima.....Naomba niwatkane wote waliotoa michango. Kwani hawajui policy ya michango ya maafa kwa nchi hii. Wajinga. Kila mmoja angeliwapelekea wafiwa personally! Tunajenga miundo mbinu ya daraja lililoleta maafa! Haraka haraka wamesahau ya kagera. Watanzania wajinga! (Note: ujinga sio tusi please)
Ccm ni PanyaKwanini taarifa yake ya mwanzo alisema kila familia umepata tsh.....ilhali alikuwa ana uhakika kuna familia hazijapewa kiasi hicho?
Lengo lake lilikua ni nini?
Sasa mbona aliweka mjumuisho wa pesa iliyopatikanafedha za michango huwa hazifiki kwa pamoja maana kila mtu anatoa kwa wakati wake
alifanya hivyo baada ya ahadi kukusanywa, wabunge na wadau wengineSasa mbona aliweka mjumuisho wa pesa iliyopatikana
Huwezi kusema zilipatikana kiasi kadhaa hapo hapo ukawa umejumuisha na ahadi, fuatilia tamko lake utaelewa kwanini watu walianza kuhoji baada ya taarifa yake.alifanya hivyo baada ya ahadi kukusanywa, wabunge na wadau wengine