Huyo ambaye unasema umemnukuu inaelekea wala hajui namna PAYE inavyokokotolewa (with due respect kwa G Malisa!). Angetafuta wataalamu wamuelekeze tu. Na hata kodi ya VAT pia hujaelewa inavyofanya kazi. Tembelea hata website ya TRA ujifunze.
Huyo ambaye unasema umemnukuu inaelekea wala hajui namna PAYE inavyokokotolewa (with due respect kwa G Malisa!). Angetafuta wataalamu wamuelekeze tu. Na hata kodi ya VAT pia hujaelewa inavyofanya kazi. Tembelea hata website ya TRA ujifunze.