johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 98,210
- 172,430
Tanzania tuna makardinali wawili muadhama Polycap Kardinali Pengo na Muadhama Protace Kardinali Rugambwa
Je, Kardinali Pengo altapiga kura?
Papa ni lazima apate 2/3 ya kura ili atangazwe mshindi kwahiyo kura 1 ina nguvu sana
Ahsanteni 😁
Je, Kardinali Pengo altapiga kura?
Papa ni lazima apate 2/3 ya kura ili atangazwe mshindi kwahiyo kura 1 ina nguvu sana
Ahsanteni 😁