Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,073
Kawaulize wakaazi wa arushaKalamu zenye kamera zitatumika tena kupigia kura?
Kawaulize wakaazi wa arushaKalamu zenye kamera zitatumika tena kupigia kura?
Asante sana kwa analysis hii.Kwa vyovyote vile ushindi wa CDM Utakua palepale.!Mkuu wilaya ya Kinondoni ilikuwa na majimbo manne (4) kama ifuatavyo:
Kawe - kata 10
Kinondoni - kata 10
Ubungo - kata 8
Kibamba - kata 6.
Sasa wilaya mpya ya Kinondoni itabakia na majimbo ya Kawe na Kinondoni na wilaya mpya ya Ubungo itakuwa na majimbo ya Ubungo na Kibamba.
Wilaya ya Ilala haijaguswa kwani inabakia na majimbo yake matatu (3) ya Ukonga, Ilala na Segerea, ambako CDM ina madiwani wa kuchaguliwa 22 na mbunge 1 na CCM ina madiwani 14 na wabunge 2.
Wilaya ya Temeke ilikuwa na maajimbo matatu (3) ya Mbagala, Kigamboni na Temeke ambako CDM ina madiwani wa kuchaguliwa 12 na mbunge 1 while CCM inao 20 na wabunge 2.
hahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaMzuka wa rais
Wenzako wanafuta pa kutokeahuku ndo kubana matumizi?
Hata waanzishe wilaya ngapi ukawa wapo tuEti anajaribu kubana matumizi, upuuzi mtupu
too late,Wenzako wanafuta pa kutokea
Mkuu Sexer ,je hiyo kibamba na kigamboni nazo zitakuwa manispaa?
sio kweli wilaya zinazounda jiji lazima ziwe manispaa , mwanza ni jiji toka mwaka 2000 ikiwa na wilaya ya nyamagana na ilemela. ilemela imekuwa manispaa mwaka 2013 sio kwa sababu iko ndan ya jiji bali ilitimiza vigezo vya kuwa manispaaMkuu Sexer ,
Wilaya mpya ni Kigamboni na Ubungo,hakuna wilaya ya Kibamba,ila Kibamba ni Jimbo ,ambalo liko chini ya CDM/UKAWA na Mbunge ni John John Mnyika.Taratibu ni kwamba wilaya zote zinazounda Jiji huwa ni Manispaa.!
Mkuu hawa CCM sijui ni jamii ya wapiHata waanzishe wilaya ngapi ukawa wapo tu
Jamii ya dodoma tuMkuu hawa CCM sijui ni jamii ya wapi
Ndio maanaHaswaaaaaaaaaaaa
kalamu zenye kamera oyeee!Kawaulize wakaazi wa arusha