Uchaguzi ukirudiwa tena Zanzibar CCM wakashindwa tena uchaguzi utarudiwa?

yangeshika adabu masisiem yana tabia ya kulindana kama huyu Jecha angetakiwa kuwa lupango leo kwa alichokifanya
Aisee lupango bado angekula ugali wa mlipa kodi, mi nadhani haki yake ni kwenda moja kwa moja kwa Shetani tu maana kwa Mungu Geti lake lilishafungwa
 
Najua mkuu i
Mkuu uchaguzi uraisi siyo kama Meya japokuwa tumeshinda.
Najjua mkuu wangu ila ushindi ni ushindi tu maana hata zenju sisi kama UKAWA tulishinda na sasa wanabana hawa wahafidhina ila wakirudia japo siamini tutawakalisha tu maana kila mtu anajua hali ilivyo na hakuna aliyekata tamaa, tunaugulia tu maumivu ya haki yetu kubakwa ila ya Mungu mengi.
 
Najua mkuu i

Najjua mkuu wangu ila ushindi ni ushindi tu maana hata zenju sisi kama UKAWA tulishinda na sasa wanabana hawa wahafidhina ila wakirudia japo siamini tutawakalisha tu maana kila mtu anajua hali ilivyo na hakuna aliyekata tamaa, tunaugulia tu maumivu ya haki yetu kubakwa ila ya Mungu mengi.
uchaguzi ukirudiwa Zanzibar lazima ccm watatumia mbinu zao chafu hata kuiba kura umesahau Alichofanyiwa Lowasa?
 
Aisee lupango bado angekula ugali wa mlipa kodi, mi nadhani haki yake ni kwenda moja kwa moja kwa Shetani tu maana kwa Mungu Geti lake lilishafungwa
Hukumu ya kunyongwa sijui kama ipo
 
Hukumu ya k
Hukumu ya kunyongwa sijui kama ipo

Hukumu ya kunyongwa upo kila mahali ila watawala hua haitumii mara nyingi, ila kwa huyu inabidi maramana hakuna jinsi nyigine maaana shetani atakua anamsubiri sana.
 
Hukumu ya k


Hukumu ya kunyongwa upo kila mahali ila watawala hua haitumii mara nyingi, ila kwa huyu inabidi maramana hakuna jinsi nyigine maaana shetani atakua anamsubiri sana.
hukumu ya kunyonga Tanzania sheria ipo utelekezaji wake ni ziro watuhumiwa wakubwa ni makada wa chama tawala
 
Nakubaliana na hoja ya ccm kutangazwa washindi bila hata kurudia uchaguzi because that is what they want,no matter what ccm hawako tayar kushindwa so kurudia uchaguzi is a wastage of funds.Kama wameona hawako tayari kumkubali Seif aongoze bas watangaze wameshinda wao yaishe!
 
hukumu ya kunyonga Tanzania sheria ipo utelekezaji wake ni ziro watuhumiwa wakubwa ni makada wa chama tawala
Poa tu ila bado ZIRAILI hatawafuta kwenye daftari yake ya wanaostahili kwenda kula. Wabebane tu ila ipo siku
 
Back
Top Bottom