gentlemanx
JF-Expert Member
- Jun 21, 2015
- 2,375
- 7,217
Okay,tuanze na story gani??
HahahahaHapa ni pa kupunguzia stress huyu ataka kupafanya pa kubebea stress.
C uendee jukwaa LA matangazo madogomadgoNatafuta mpenzi nisaidieni wakuu
Humu kwenye huu uzi mixer ndiyo itakua vizuri zaidi.C uendee jukwaa LA matangazo madogomadgo![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
MdogomdogoKujuana na nani? Kwani hapa si tunaongea na kushaurina
Angejua route niliyotumia kupata hii ID hapa eti tujuane, na nani?
Humu kwenye huu uzi mixer ndiyo itakua vizuri zaidi.
Mi ngoja niendelee kuzengea zengea![]()
![]()
pa1 mkuu natania tu
![]()
![]()
![]()
Kuzengea hku mkuu c kunayale majukwaa pendwa unaweza bahatikaMi ngoja niendelee kuzengea zengea
Hahahaha yale majukwaa pendwa unaacha na rekodi zako wazi kabisa, bora huku hadi mtu akukamate mpaka achambue mno.Kuzengea hku mkuu c kunayale majukwaa pendwa unaweza bahatika![]()
![]()
![]()
![]()
Hahahaha yale majukwaa pendwa unaacha na rekodi zako wazi kabisa, bora huku hadi mtu akukamate mpaka achambue mno.
Avatar tu ndio imenifanya nichangieC uendee jukwaa LA matangazo madogomadgo![]()
![]()
![]()
![]()
![]()