HahahahaKABLA YAO HAKUKUWA NA CCM? JAMANI ACHENI KUTUMIKA VIBAYA KWA MAHABA AU SHEKELI, CCM INA WATU WENGI SANA MUHIMU AMBAO HAO KINA NAPE NA MWIGULU HAWASTAHILI HATA KUFUA NGUO ZAO!
Unapata wapi nguvu ya kuwatofautisha hawa na CCM ya kileo?!
Unaanza vipi kuwapuuza hawa na ulevi wa madaraka na SIFA ya kijana ambaye hata kwalo hakuwa na msaada wowote wa kukikomboa chama tokea ndani ya dimbwi la kupotea km walivyopambana vijana hao(NAPE NA MWIGULU)?!
NAsikitika sana!Si kwa sababu ya vijana hawa waliopambana usiku na mchana kukikomboa chama wanavyotendwa leo Bali kwa HATARI iliyo kuu mbele ya chama chetu endapo hawa wakiendelea kupuuzwa.
Narudia,CCM ya kileo bila NAPE na MWIGULU, ni hapo.
Mkuu huyu Makonda awe kakosea au hajakosea ila ana ujasiri wa kumwambia mtu wewe unafanya kitu flani kibaya. Kama alivyowataja watu wa unga au alivyowataja akina Rostam na Lowassa. Wazee ndani ya CCM walikuwa wanaona vurugu za Lowassa na Rostam lakini wengi walikosa ujasiri wa kuwaambia ukweli hadharani wakabaki wanapiga umbea chini kwa chini.
Wana CCM watakataa hili lakini hawa vijana (Nape, Mwigulu na Makamba) ni watu wenye ushaishi, fitina na wazuri kwenye propaganda nzuri za kutafuta kura .Unapata wapi nguvu ya kuwatofautisha hawa na CCM ya kileo?!
Unaanza vipi kuwapuuza hawa na ulevi wa madaraka na SIFA ya kijana ambaye hata kwalo hakuwa na msaada wowote wa kukikomboa chama tokea ndani ya dimbwi la kupotea km walivyopambana vijana hao(NAPE NA MWIGULU)?!
NAsikitika sana!Si kwa sababu ya vijana hawa waliopambana usiku na mchana kukikomboa chama wanavyotendwa leo Bali kwa HATARI iliyo kuu mbele ya chama chetu endapo hawa wakiendelea kupuuzwa.
Narudia,CCM ya kileo bila NAPE na MWIGULU, ni hapo.
Nyinyi si mlishaambiwa na bwana yule alipambana mwenyewe hakuchangiwa na mtu..
Push-ups alipiga mwenyewe na kuacha kabisa kutegemea nguvu ya chama bali ya kwake mwenyewe sasa hao utamweleza vipi kuwa walimpiga
khaaaaaaaaaaa! ilikuwa vita ya mtu mmoja
😀😀😀Ila baada ya uchaguzi wa 2010 hao watu tajwa wamefanya kazi kubwa sana kuibomoa chadema kwa wale mnaokumbuka ile operation ya chini chini ndani ya chadema PM7 ilikuwa ikidhaminiwa na Mwigulu.Kuhama kwa wale vijana machachari enzi hizo akina Shonza, Mtela mwampamba,Festo Sanga na wengine wengi yalikuwa ni matunda ya Mwigulu na Nape