Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 26,814
- 52,374
Hello
Kesho nafikiri tupike pamoja JF hapa hatua kwa hatu ratiba yetu itakuwa hivi
Morng
Saa moja na nusu tutaanda chai ambapo kutakuwa na bagia za dengu na maziwa
Mahitaji ya bagia
1) unga wa dengu
2) chapa maandazi / barking powder
3) dania
4) karoti
5) chumvi
Baada ya hapo mchana tutaanda bilian ambapo mahitaji yake yatakuwa kama yafwatavyo
1: Mchele wa basmat mimi nitatumia 1kg
2: bilian masala
3: Pilau mix
4: dania
5: Tomato paste
6: mtindi
7: hoho na karoti
9: nyama inategemeana na nyama ulio nayo
10: food color inategemeana na rangi unayo taka mimi nitatumia nyekundu na orange
11: limao
12: kitunguu maji cha kutosha
13: viazi au mayai inategemeana na mapendeleo yako unaweza usiweke
UPDDATE:
Live inaanzia hapa ~
Post in thread 'Tupike pasaka pamoja live'
Tupike pasaka pamoja live
Kesho nafikiri tupike pamoja JF hapa hatua kwa hatu ratiba yetu itakuwa hivi
Morng
Saa moja na nusu tutaanda chai ambapo kutakuwa na bagia za dengu na maziwa
Mahitaji ya bagia
1) unga wa dengu
2) chapa maandazi / barking powder
3) dania
4) karoti
5) chumvi
Baada ya hapo mchana tutaanda bilian ambapo mahitaji yake yatakuwa kama yafwatavyo
1: Mchele wa basmat mimi nitatumia 1kg
2: bilian masala
3: Pilau mix
4: dania
5: Tomato paste
6: mtindi
7: hoho na karoti
9: nyama inategemeana na nyama ulio nayo
10: food color inategemeana na rangi unayo taka mimi nitatumia nyekundu na orange
11: limao
12: kitunguu maji cha kutosha
13: viazi au mayai inategemeana na mapendeleo yako unaweza usiweke
UPDDATE:
Live inaanzia hapa ~
Post in thread 'Tupike pasaka pamoja live'
Tupike pasaka pamoja live