Mr nobby
Senior Member
- Aug 25, 2023
- 194
- 390
Wakubwa habarii za muda huu?
Hii interview ya Uhamiaji ndio ya kwanza katika maisha yangu maan nimebahatika kuitwa kwa fani ya umeme (electrical engineering) ngazi ya diploma .
Kwa hapa mwenye kujua mchakato unavoenda naomba anipe mbinu ikiwa pamoja na possible za maswali yanayo husu electrical engineering itapendeza zaidi. Asaanten.
Hii interview ya Uhamiaji ndio ya kwanza katika maisha yangu maan nimebahatika kuitwa kwa fani ya umeme (electrical engineering) ngazi ya diploma .
Kwa hapa mwenye kujua mchakato unavoenda naomba anipe mbinu ikiwa pamoja na possible za maswali yanayo husu electrical engineering itapendeza zaidi. Asaanten.