Pre GE2025 Tundu Lisu Vs John Heche katika kuwasilisha hoja kwa wananchi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Maswa Yetu

JF-Expert Member
Mar 18, 2023
535
879
Ndiyo shida kubwa ya Lisu, hajui kabisa kuzungumzia shida za wananchi masikini wa kijijini,

Huwezi kumsikia Lisu akizungumzia uchumi, ajira, barabara, maji yeye ni kuzungumzia mambo yanayomhusu yeye tu yani uchaguzi.

John Heche anaeleweka haraka kwa wananchi kwa sababu anazungumza namna atakavyotatua shida zao na siyo kuzungumzia shida za wanasiasa tu
 
Ndiyo shida kubwa ya Lisu, hajui kabisa kuzungumzia shida za wananchi masikini wa kijijini,
Huwezi kumsikia Lisu akizungumzia uchumi, ajira, barabara, maji yeye ni kuzungumzia mambo yanayomhusu yeye tu yani uchaguzi.

John Heche anaeleweka haraka kwa wananchi kwa sababu anazungumza namna atakavyotatua shida zao na siyo kuzungumzia shida za wanasiasa tu
Ukiunganisha ajenda za wote wawili unapata nini? Jibu unalo.
Kitaeleweka.
 
Kuna siku mtagindua Lisu ni mbinafsi na mbabe sana.Hata yule muumba anayegawa vitu alikuwa na sababu ya kuminya uchumi wake ili ampunguze makalo kiumbe wake
 
Ndiyo shida kubwa ya Lisu, hajui kabisa kuzungumzia shida za wananchi masikini wa kijijini,
Huwezi kumsikia Lisu akizungumzia uchumi, ajira, barabara, maji yeye ni kuzungumzia mambo yanayomhusu yeye tu yani uchaguzi.

John Heche anaeleweka haraka kwa wananchi kwa sababu anazungumza namna atakavyotatua shida zao na siyo kuzungumzia shida za wanasiasa tu
No Reform no Election. Shida za wananchi hata wewe unaweza kuzizungumzia
 
Ndiyo shida kubwa ya Lisu, hajui kabisa kuzungumzia shida za wananchi masikini wa kijijini,
Huwezi kumsikia Lisu akizungumzia uchumi, ajira, barabara, maji yeye ni kuzungumzia mambo yanayomhusu yeye tu yani uchaguzi.

John Heche anaeleweka haraka kwa wananchi kwa sababu anazungumza namna atakavyotatua shida zao na siyo kuzungumzia shida za wanasiasa tu
Pole sana kwa kutomwelewa Tundu Lissu.

Tundu Lissu yeye ameamua kwenda kwenye kiini cha tatizo la nchi hii.

Hayati Baba wa Taifa alisema "Ili nchi iweze kuendelea inahitaji vitu 4. Aridhi, watu, Siasa safi na utawala bora"
Mpaka sasa vitu 2 tunavyo (Aridhi na watu) viwili vilivyobaki (siasa safi na utawala bora) hivi ni matunda ya uchaguzi huru na haki.

Tundu Lissu anachopigania kwa sasa ni tume huru na haki ya uchaguzi ambayo itatupa siasa safi pamoja na utawala bora.

Jitaidi kumsikiliza Lissu kwa nia ya kujifunza kwani pale ni zaidi ya chuo.
 
No Reform No ELECTION.....kuna mutu hapati busingizi huko alipo kama Sultan Makange

Ndo kwanza tunatest mitambo shughuli INAKUYAA
watu mnajuwa kuwakera wenzenu hadi wanataka kujinyonga😂😂😂
 
Pole sana kwa kutomwelewa Tundu Lissu.

Tundu Lissu yeye ameamua kwenda kwenye kiini cha tatizo la nchi hii.

Hayati Baba wa Taifa alisema "Ili nchi iweze kuendelea inahitaji vitu 4. Aridhi, watu, Siasa safi na utawala bora"
Mpaka sasa vitu 2 tunavyo (Aridhi na watu) viwili vilivyobaki (siasa safi na utawala bora) hivi ni matunda ya uchaguzi huru na haki.

Tundu Lissu anachopigania kwa sasa ni tume huru na haki ya uchaguzi ambayo itatupa siasa safi pamoja na utawala bora.

Jitaidi kumsikiliza Lissu kwa nia ya kujifunza kwani pale ni zaidi ya chuo.
Wananchi wa kawaida ambao ndiyo wengi na ndiyo wapiga kura ili wakuelewe lazima utaje shida zao kwanza na siyo kutaja shida zako tu
 
Back
Top Bottom