Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 943
- 4,458
Kwa sasa hivi Tundu Lissu ndiye mwanasiasa mwenye mvuto Tanzania. Hoja zake zinajadiliwa na kila mtu na zimepelekea hata vyuo kutunga mitihani kuhusu Muungano na hali ya siasa nchi ni.
Mwanafunzi wengi wanaofanya mitihani ya majaribio wameona reflection ya hoja za Lisu kwenye masomo na maswali.
Vijiwe vyote vinamjadili Lissu na kufanya viongozi kuweweseka kuhusu moto anaouwasha.
Watu kama Halima wanalipwa kupunguza makali ya Lissu lakini pia baadhi ya viongozi wa kisiasa wameonekana wazi kukerwa na idadi kubwa ya wananchi wanaomsikiliza.
Akiendelea kupiga mawe hivi wabunge watapata wakati mgumu sana majimboni 2025, wananchi watakuwa wamejaa chuki.
Mwanafunzi wengi wanaofanya mitihani ya majaribio wameona reflection ya hoja za Lisu kwenye masomo na maswali.
Vijiwe vyote vinamjadili Lissu na kufanya viongozi kuweweseka kuhusu moto anaouwasha.
Watu kama Halima wanalipwa kupunguza makali ya Lissu lakini pia baadhi ya viongozi wa kisiasa wameonekana wazi kukerwa na idadi kubwa ya wananchi wanaomsikiliza.
Akiendelea kupiga mawe hivi wabunge watapata wakati mgumu sana majimboni 2025, wananchi watakuwa wamejaa chuki.