CCM MKAMBARANI
JF-Expert Member
- Mar 15, 2017
- 1,789
- 1,216
- Thread starter
- #21
Ndio upi huo mzee?Usajili mpya wa CCM mwezi june
Ndio upi huo mzee?Usajili mpya wa CCM mwezi june
Wanajukwaa habari zenu?
Sasa inaenda kuwa rasmi,nguli wa sheria Lissu anafutwa uanachama,kwakweli Wanachadema kindakindaki wamepania kukipasua chama kabisa ili mbowe ashike adabu yake.
Hakika kila lenye mwanzo halikosi mwisho,Bowel anaendelea kuwaburuza wenzie.
Ngoja tusikilizie.
sawa wasimfute tu uzima ili tuendeleze hoja za muungano ,ila uvccm mbona hamumsaidia makala uenezi wa chamaWanajukwaa habari zenu?
Sasa inaenda kuwa rasmi,nguli wa sheria Lissu anafutwa uanachama,kwakweli Wanachadema kindakindaki wamepania kukipasua chama kabisa ili mbowe ashike adabu yake.
Hakika kila lenye mwanzo halikosi mwisho,Bowel anaendelea kuwaburuza wenzie.
Ngoja tusikilizie.
Dogo uwe makini wengine tunauwezo wakuloga kwa hata kwamajina yenu bandia shauri yakoSasa wewe nimekujibu ulivyouliza unataka nini bwana mbumbumbu
Wewe usitishe watu,huo ndio ukweli maana mbowe amejiapiza kufia kwenye kitiModerator kwa kuachia nyuzi za kishirikina kama hizi zisizo na chembe ya ukweli jukwaani, Hali ya hewa ikichafuka msimlaumu mtu.
Kikao cha Kamati kuu kimetangazwa hadharani na ajenda zake ziko wazi, huu ujinga wa huyu jamaa mnauacha hapa ili iweje?
Feisal kurudi YangaNdio upi huo mzee?
Mbowe ni hatari ikija suala la uenyekitisawa wasimfute tu uzima
Kabisa mkuuCHADEMA ikimtoa Mbowe, bas itapata viti vingi sana 2025
Lissu anazo hoja,lkn maajabu ni kuwa wenzio wamemgeuka inabidi atiwe moyo ili kuboresha muunganoWanaccm wenzangu mliopo humu!jibuni hoja zake Kwa maslahi mapana ya watz!!
Hasta akifutwa uanachama kwani kero za muungano zitaisha!!?wizi na ubadhirifu uatakoma serikalini!!?katiba mpya itapatikana!!?
SahihiWanasiasa wote wanajali matumbo yao, watajua wenyewe hata wakishikiana mawe.
Muhimu ni sisi wananchi kuwakataa kwa kupata katiba bora itakayosimamia haki na utawala ubora
VizuriFeisal kurudi Yanga
Ugonjwa wa lissu kupinga ufisadiWahini Mkatibiwe huu Ugonjwa kama Magonjwa mengine HATARISHI
TetesiSource?
Ni aibu sana kwa jitu zee kama wewe kuandika uongo hapa jfWewe usitishe watu,huo ndio ukweli maana mbowe amejiapiza kufia kwenye kiti