Tundu Lissu: CCM na uwongo wao wa gesi kupunguza bei ya umeme CAG kawaanika na kawashauri

Huyo mlie mshangilia bungeni ndio anahusika na mikataba ya gesi na si Magufuli,endeleeni kumshangilia tu sasa mnashangaa nini,tunajua wabunge ni wanafiki ,kwani ina maana siku zote walikuwa hawajui hiyo mikataba ya gesi hadi leo wanashangaa,na Mh raisi akitaka kuipitia hiyo mokataba mnakuwa wa kwanza kusema oh raisi ataingiza nchi kwenye migogoro na mahakama za kimataifa,huyu Lissu kila kitu yeye ni kupinga tu sasa si atoe na ufumbuzi au ubunge kaanza mwaka jana

Mfianchi!
Wacha kujifanya hamnazo huyo JPM alikuwa Waziri kwa miaka ishirini ya utawala wa CCM yaani miaka 5 Naibu Waziri na Miaka 15 Waziri hakuwahi kusikika kutoa hata mawazo kuhusu mikataba mibovu ya Ujenzi wa Barabara Hewa wala Madini na hata Gesi Asilia ni chama chake kilikuwa madarakani na sababu ya upuuzi huo wote na yeye ni walewale. Ningemuunga mkono kama angalau angechukua uamuzi mgumu wa kuvunja mikataba yote ya Gesi Asilia, Madini,mauzo ya viwanda, Manunuzi ya Umeme , mauzo ya nyumba za serikali na kadhalika na dunia ingemwelewa , wataalam walishiriki kama wapo hai wapelekwe mahakama ya mafisadi na Marais wote wa zamani waliohusika na wako hai wakae kule Kigamboni kama Marehemu Alhaji Jumbe . Baada ya hapo apitie sera zote na kubadilisha sheria. Vinginevyo ni kupotezeana muda tu! Manunuzi yote anayofanya bila kufuta sheria ya Manunuzi asitishe kama ndege to get value for money pasipo kufanya hivyo hakuna kitu !
 
"Tumekumisiiiii Tumekumisiiiii Tumekumisiiii" hicho ndicho mlichokumbuka kwa kuwa mlikuwa mnakula pamoja, ila kumuuliza kuhusu mikataba kama hii ya gesi mlijifanya mmesahau. Tundu Lissu na wenzako acheni unafiki.
 
Huyo mlie mshangilia bungeni ndio anahusika na mikataba ya gesi na si Magufuli,endeleeni kumshangilia tu sasa mnashangaa nini,tunajua wabunge ni wanafiki ,kwani ina maana siku zote walikuwa hawajui hiyo mikataba ya gesi hadi leo wanashangaa,na Mh raisi akitaka kuipitia hiyo mokataba mnakuwa wa kwanza kusema oh raisi ataingiza nchi kwenye migogoro na mahakama za kimataifa,huyu Lissu kila kitu yeye ni kupinga tu sasa si atoe na ufumbuzi au ubunge kaanza mwaka jana

Mkuu umesahau suala la GAS wapinzani walipiga kelele lakini wabunge wa CCM wakalipitisha peke yao tena kwa idadi pungufu ya wabunge kisheria. Sasa kama waliwapa taadhali kuhusu hiyo mikataba lakini wao wakapitisha kwa dharula tena kwa kasi ya ajabu. LISSU kosa lake liko wapi?
 
"Tumekumisiiiii Tumekumisiiiii Tumekumisiiii" hicho ndicho mlichokumbuka kwa kuwa mlikuwa mnakula pamoja, ila kumuuliza kuhusu mikataba kama hii ya gesi mlijifanya mmesahau. Tundu Lissu na wenzako acheni unafiki.


Mkuu umesahau suala la GAS wapinzani walipiga kelele lakini wabunge wa CCM wakalipitisha peke yao tena kwa idadi pungufu ya wabunge kisheria. Sasa kama waliwapa taadhali kuhusu hiyo mikataba lakini wao wakapitisha kwa dharula tena kwa kasi ya ajabu. LISSU kosa lake liko wapi?
 
View attachment 495151

Ndio maana sijawai msikia Magufuli akizungumzia gesi kumbe sie tunamiliki bomba tu gesi inawenyewe.

Na JK alidanganya kuwa yeye ndo rais wa mwisho kuongoza taifa maskini maana gesi ni utajiri mkubwa
Mungu wangu, sasa hilo bomba lenyewe si tumekopeshwa? Tukimaliza kulipa deni na hiyo gesi si itakuwa imekwisha? Mi naona kama tunatwanga maji kwenye kinu tu! (Ni mawazo yangu ya ki layman tu)
 
Ukitaka kufahamu ukweli kuhusu sekta ya umeme hapa Tanzania, inabidi usisikilize wanasiasa, nenda kwenye makabrasha na soma mpango mkakati wa umeme na mpango mkuu wa nishati(Energy master plan) ndipo utagundua wanasiasa wanatudanganya. Kwa mujibu wa nyaraka za serikali, mchango wa umeme wa gesi kwenye gridi utakuwa 30% ya uzalishaji, kuna 30% kutokana na makaa ya mawe, na zinazobaki ni umeme wa maji na nishati zingine(Solar,wind). Lakini ajabu suala la gesi lilipambwa utafikiri tumegundua mafuta mengi kuliko Saudi Arabia!

Gesi ambayo hukuitafuta, hukuichimba wala hukuisafirisha haiwezi kuwa rahisi. Mpaka warudishe pesa zao sio leo. Na hata wakirudisha hatuwezi kujua kama tunavyofanyiwa kwenye madini. Kwa kifupi, kwetu sisi gesi ni kama makalio-tumezaliwa tumeyakuta yapo, hatukufanya chochote kuyatengeneza!:D:D
 
Huyo mlie mshangilia bungeni ndio anahusika na mikataba ya gesi na si Magufuli,endeleeni kumshangilia tu sasa mnashangaa nini,tunajua wabunge ni wanafiki ,kwani ina maana siku zote walikuwa hawajui hiyo mikataba ya gesi hadi leo wanashangaa,na Mh raisi akitaka kuipitia hiyo mokataba mnakuwa wa kwanza kusema oh raisi ataingiza nchi kwenye migogoro na mahakama za kimataifa,huyu Lissu kila kitu yeye ni kupinga tu sasa si atoe na ufumbuzi au ubunge kaanza mwaka jana
Wanapojadili jambo bungeni,lazima wafunge mjadala kwa maamuzi ya kura! Hata kama wachache wao wataendelea kupinga,uamuzi wa kura ya ndiyooo kwa wengi ndiyo uamuzi wa wote bungeni. Mabunge ya baadhi ya nchi nyingine kuna utofauti!
Walio wachache bungeni,hujaribu kuendeleza mijadala tata nje ya bunge kuwafahamisha wananchi maoni yao kwa mikutano,makongamano nk.
Pia ikumbukwe,mswada tata unapopitishwa na kuwa sheria, Mwanasheria yeyote kwa sheria za nchi,lazima atumie sheria hiyohiyo mahakamani haki ipatikane upande unaolalamika! Hivyo,kuna haja ya kuwepo uwazi, na elimu zaidi kabla miswada haijapitishwa,wananchi waelewe kwani ndiyo wahusika wakuu.
 
"Tumekumisiiiii Tumekumisiiiii Tumekumisiiii" hicho ndicho mlichokumbuka kwa kuwa mlikuwa mnakula pamoja, ila kumuuliza kuhusu mikataba kama hii ya gesi mlijifanya mmesahau. Tundu Lissu na wenzako acheni unafiki.
Mikataba mibovu, wabunge wa 'Chama Cha Matesoyawatanzania waliipitisha kwa mabavu, huku wakipiga 'mayowe ya ndiooooooo... wabunge wa upinzani wao waligoma kuipitisha, basi wale wabunge wa ndio wa chama cha majangili wakajifungia wao wenyewe mle ndani usiku wa manane kwa mabavu wakapitisha ile mikataba... wakampelekea JK yeye akasaini. Kwani vipi, ulitaka JK awakatalie wabunge wa ccm alivunje bunge? Au labda ulitaka wabunge wa upinzani wamteke spika na wasaidizi wake ili wapate mwanya wa kuirudisha ile mikataba serikalini?
 
Wanasiasa bana!

Wakiwa Bungeni wanaongea Mipasho lakin wakishika kwny Mitandao ndo wanaandika vitu vya maana
 
Huyo mlie mshangilia bungeni ndio anahusika na mikataba ya gesi na si Magufuli,endeleeni kumshangilia tu sasa mnashangaa nini,tunajua wabunge ni wanafiki ,kwani ina maana siku zote walikuwa hawajui hiyo mikataba ya gesi hadi leo wanashangaa,na Mh raisi akitaka kuipitia hiyo mokataba mnakuwa wa kwanza kusema oh raisi ataingiza nchi kwenye migogoro na mahakama za kimataifa,huyu Lissu kila kitu yeye ni kupinga tu sasa si atoe na ufumbuzi au ubunge kaanza mwaka jana
Huyo Raisi ni sehemu ya serikali iliyoingia hiyo mikataba na alishiriki 100% kama mbunge, waziri na mjumbe ktk balaza la mawaziri.Mbona hakupinga au kujiuzulu kama aliona hiyo mikataba haina manufaa kwa nchi? CCM ni ileileeee !
 
Huyo mlie mshangilia bungeni ndio anahusika na mikataba ya gesi na si Magufuli,endeleeni kumshangilia tu sasa mnashangaa nini,tunajua wabunge ni wanafiki ,kwani ina maana siku zote walikuwa hawajui hiyo mikataba ya gesi hadi leo wanashangaa,na Mh raisi akitaka kuipitia hiyo mokataba mnakuwa wa kwanza kusema oh raisi ataingiza nchi kwenye migogoro na mahakama za kimataifa,huyu Lissu kila kitu yeye ni kupinga tu sasa si atoe na ufumbuzi au ubunge kaanza mwaka jana

Lissu akili yake ni kupinga tu, leo utasikia mikataba mibovu mnashindwa kuivunja sababu mnapew rushwa, kesho akisikia rais anasema mkataba fulani uvunjwa utasikia Lissu anasema rais inaingiza nchi kwenye janga la kulipa mabilioni. Ni vema Lissu achunguzwe akili yake kama huwa anafikiri vizuri.
 
Lissu akili yake ni kupinga tu, leo utasikia mikataba mibovu mnashindwa kuivunja sababu mnapew rushwa, kesho akisikia rais anasema mkataba fulani uvunjwa utasikia Lissu anasema rais inaingiza nchi kwenye janga la kulipa mabilioni. Ni vema Lissu achunguzwe akili yake kama huwa anafikiri vizuri.
Elewa kuwa sisi tunamiliki mabomba tu gesi inawenyewe.Lissu ndio aliyechangia iwe hivyo ????
 
Back
Top Bottom