Hapo sasa na huyo bwana wake aliyempaka mafuta kampaka sehemu ipi labda? Ya mwili ? Na kwa ajili ya nini? LabdaAmepakwa sehemu gani ya mwili!!?
Hapo sasa na huyo bwana wake aliyempaka mafuta kampaka sehemu ipi labda? Ya mwili ? Na kwa ajili ya nini? LabdaAmepakwa sehemu gani ya mwili!!?
Hawara mzee? Akili ya vijana wa bongo no uchi tu, watu wana maslahi na taifa sio vijimamboKumkataa kuwa hawara ndio amtengue ?
Aluta continua
Kama kwenye chama tu mtu anageuka dikteta katili, akipewa nchi je. Mungu amewaonesha mapema watanazania rangi halisi ya hawa watu wa haki faragha.Tundu Lissu, Mwenyekiti wa chama Taifa CHADEMA leo 5.4.2025 ametengua uteuzi wa mjumbe wa secritariate na mtalamu wa dawati la jinsia Catherine Ruge.
Catherine Ruge ni mmoja ya Kikundi cha ndani ya CHADEMA cha G55 chenye Malengo ya kukwamisha Kampeni ya no reforms no Election. Pia wanadaiwa kuhujumu au kuangusha Uongozi uliopo madaraka chini ya Tundu Lissu.
Kundi hilo linadaiwa kudhaminiwa na Freeman Mbowe aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA kwa madhumuni ya kuonesha Umma kwamba Tunddu Lissu na Uongozi wake haukubaliki. Wengine walio kwenye hilo kundi la G55 ni John Mrema naa Mwita
Operesheni #NoReforms NoElection
inaendelea kuchanja mbuga kanda ya kusini.
Lisu dicteta uchwaraKama kwenye chama tu mtu anageuka dikteta katili, akipewa nchi je. Mungu amewaonesha mapema watanazania rangi halisi ya hawa watu wa haki faragha.
Akili zenu zimejaa upumbavu sana.Sio kule niniliuu alikopatumia akiwa ubelgiji??
Hakika Mkuu. Hata wanaomuunga mkono wana slavery mentality.Lisu dicteta uchwara
Si unajua, ni mpenda ushoga huyo!!Hapo sasa na huyo bwana wake aliyempaka mafuta kampaka sehemu ipi labda? Na kwa ajili ya nini?
Bora abaki peke yake na kuungwa mkono na wananchi, hilo ndo jambo la muhimu.wananchi tunataka kiongozi wa upinzani asiyekuwa dalali wa kisiasa nakupanda bei!Mwisho Huyo Lissu wenu atajikuta anabaki peke yake na hatimaye atajitengua mwenyewe!! Ha ha ha ha!! Ngoja niagize popcorn.
Endelea kutumia choo hicho ndotoni utanishukuru na mvua hiziLisu Hafiki uchaguzi akiwa mwenyekiti huyo atakuwa keshapigwa chini uenyekiti
Chadema wanamlia timing tu
Mark my words
Endeleeni kupigana vijembe tuTundu Lissu, Mwenyekiti wa chama Taifa CHADEMA leo 5.4.2025 ametengua uteuzi wa mjumbe wa secritariate na mtalamu wa dawati la jinsia Catherine Ruge.
Catherine Ruge ni mmoja ya Kikundi cha ndani ya CHADEMA cha G55 chenye Malengo ya kukwamisha Kampeni ya no reforms no Election. Pia wanadaiwa kuhujumu au kuangusha Uongozi uliopo madaraka chini ya Tundu Lissu.
Kundi hilo linadaiwa kudhaminiwa na Freeman Mbowe aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA kwa madhumuni ya kuonesha Umma kwamba Tunddu Lissu na Uongozi wake haukubaliki. Wengine walio kwenye hilo kundi la G55 ni John Mrema naa Mwita
Operesheni #NoReforms NoElection
inaendelea kuchanja mbuga kanda ya kusini.
Kwa Upande wake Hilda Newton ameishukuru Mungu kwa kuwaepusha CHADEMA na Catherine kwani Alikuwa anagombea UKatibu Mkuu wa BAWACHA akashindwa.
View attachment 3294110
Na Hilda Newton Chadema
Mungu fundi sana
Imagine leo story ingekuwa isomeka Katibu Mkuu wa Bawacha Taifa apinga Azimio la Chadema la #NoReformsNoElection.
Mungu awabariki sana Wajumbe wa Kamati Tendaji ya Bawacha Taifa ni Kama tulikuwa mbele ya muda.😂
Ukipitia orodha ya watu waliosaini petition ya kupinga #NoReformsNoElection wote ni watu ambao kwenye Uchaguzi wetu wa ndani walikuwa wanamuunga mkono Mhe. Mbowe.
Wengine ni Wajumbe wenzangu wa Baraza Kuu na Mkutano Mkuu wa Chama Taifa wakati tunapitisha hili Azimio la #NoReformsNoElection chini ya Mwenyekiti Mbowe na wao walipiga kura ya Ndiyooo tena kwa sauti kubwa sana.
Sasa hivi baada ya Mhe. Lissu kuwa Mwenyekiti wale wale waliopitisha Azimio hili kwenye Vikao halali sasa wametoka dharani kulipinga.
Nakumbuka siku tunapitisha Azimio hili cha Baraza Kuu na Mkutano Mkuu wa Januari 2025 kwenye Kikao Mhe. Mbowe aliuliza kuna mtu yeyote mwenye maoni au swali lolote kwenye Azimio hili wote tulinyamaza Kimya kuonyesha kwamba tunaunga mkono.
Najiuliza, haya maswali ambayo wanauliza leo kwanini hawakumuuliza Mwenyekiti Mbowe wakati anaendesha kikao kilichopitisha Azimio hili?
Au walipitisha hili Azimio kwasababu walijua Mhe. Mbowe angeshinda asingetekeleza.?
Mwisho, Kama wao kiu yao ni kushiriki Uchaguzi kwanini wasiende kujiunga na akina NCCR ambao mawazo yao na wao yanafanana ili wapewe nafasi ya kugombea huo ubunge watimize hiyo kiu yao ya kuwagombea bila Reforms?
1 litre ya gongo ? 😎Unaagiza kitu gani?Agiza gongo lita moja,"popokoni" achia ngedere.
Hilda newton anawinda nafasi ya Catherine RugeTundu Lissu, Mwenyekiti wa chama Taifa CHADEMA leo 5.4.2025 ametengua uteuzi wa mjumbe wa secritariate na mtalamu wa dawati la jinsia Catherine Ruge.
Catherine Ruge ni mmoja ya Kikundi cha ndani ya CHADEMA cha G55 chenye Malengo ya kukwamisha Kampeni ya no reforms no Election. Pia wanadaiwa kuhujumu au kuangusha Uongozi uliopo madaraka chini ya Tundu Lissu.
Kundi hilo linadaiwa kudhaminiwa na Freeman Mbowe aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA kwa madhumuni ya kuonesha Umma kwamba Tunddu Lissu na Uongozi wake haukubaliki. Wengine walio kwenye hilo kundi la G55 ni John Mrema naa Mwita
Operesheni #NoReforms NoElection
inaendelea kuchanja mbuga kanda ya kusini.
Kwa Upande wake Hilda Newton ameishukuru Mungu kwa kuwaepusha CHADEMA na Catherine kwani Alikuwa anagombea UKatibu Mkuu wa BAWACHA akashindwa.
View attachment 3294110
Catherine Ruge akiwa amevaa Wigi
Na Hilda Newton Chadema
Mungu fundi sana
Imagine leo story ingekuwa isomeka Katibu Mkuu wa Bawacha Taifa apinga Azimio la Chadema la #NoReformsNoElection.
Mungu awabariki sana Wajumbe wa Kamati Tendaji ya Bawacha Taifa ni Kama tulikuwa mbele ya muda.😂
Ukipitia orodha ya watu waliosaini petition ya kupinga #NoReformsNoElection wote ni watu ambao kwenye Uchaguzi wetu wa ndani walikuwa wanamuunga mkono Mhe. Mbowe.
Wengine ni Wajumbe wenzangu wa Baraza Kuu na Mkutano Mkuu wa Chama Taifa wakati tunapitisha hili Azimio la #NoReformsNoElection chini ya Mwenyekiti Mbowe na wao walipiga kura ya Ndiyooo tena kwa sauti kubwa sana.
Sasa hivi baada ya Mhe. Lissu kuwa Mwenyekiti wale wale waliopitisha Azimio hili kwenye Vikao halali sasa wametoka dharani kulipinga.
Nakumbuka siku tunapitisha Azimio hili cha Baraza Kuu na Mkutano Mkuu wa Januari 2025 kwenye Kikao Mhe. Mbowe aliuliza kuna mtu yeyote mwenye maoni au swali lolote kwenye Azimio hili wote tulinyamaza Kimya kuonyesha kwamba tunaunga mkono.
Najiuliza, haya maswali ambayo wanauliza leo kwanini hawakumuuliza Mwenyekiti Mbowe wakati anaendesha kikao kilichopitisha Azimio hili?
Au walipitisha hili Azimio kwasababu walijua Mhe. Mbowe angeshinda asingetekeleza.?
Mwisho, Kama wao kiu yao ni kushiriki Uchaguzi kwanini wasiende kujiunga na akina NCCR ambao mawazo yao na wao yanafanana ili wapewe nafasi ya kugombea huo ubunge watimize hiyo kiu yao ya kuwagombea bila Reforms?
Hakuna Aliyejuu ya Chama kwenye Demokrasia imara.Tundu Lissu, Mwenyekiti wa chama Taifa CHADEMA leo 5.4.2025 ametengua uteuzi wa mjumbe wa secritariate na mtalamu wa dawati la jinsia Catherine Ruge.
Catherine Ruge ni mmoja ya Kikundi cha ndani ya CHADEMA cha G55 chenye Malengo ya kukwamisha Kampeni ya no reforms no Election. Pia wanadaiwa kuhujumu au kuangusha Uongozi uliopo madaraka chini ya Tundu Lissu.
Kundi hilo linadaiwa kudhaminiwa na Freeman Mbowe aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA kwa madhumuni ya kuonesha Umma kwamba Tunddu Lissu na Uongozi wake haukubaliki. Wengine walio kwenye hilo kundi la G55 ni John Mrema naa Mwita
Operesheni #NoReforms NoElection
inaendelea kuchanja mbuga kanda ya kusini.
Kwa Upande wake Hilda Newton ameishukuru Mungu kwa kuwaepusha CHADEMA na Catherine kwani Alikuwa anagombea UKatibu Mkuu wa BAWACHA akashindwa.
View attachment 3294110
Catherine Ruge akiwa amevaa Wigi
Na Hilda Newton Chadema
Mungu fundi sana
Imagine leo story ingekuwa isomeka Katibu Mkuu wa Bawacha Taifa apinga Azimio la Chadema la #NoReformsNoElection.
Mungu awabariki sana Wajumbe wa Kamati Tendaji ya Bawacha Taifa ni Kama tulikuwa mbele ya muda.😂
Ukipitia orodha ya watu waliosaini petition ya kupinga #NoReformsNoElection wote ni watu ambao kwenye Uchaguzi wetu wa ndani walikuwa wanamuunga mkono Mhe. Mbowe.
Wengine ni Wajumbe wenzangu wa Baraza Kuu na Mkutano Mkuu wa Chama Taifa wakati tunapitisha hili Azimio la #NoReformsNoElection chini ya Mwenyekiti Mbowe na wao walipiga kura ya Ndiyooo tena kwa sauti kubwa sana.
Sasa hivi baada ya Mhe. Lissu kuwa Mwenyekiti wale wale waliopitisha Azimio hili kwenye Vikao halali sasa wametoka dharani kulipinga.
Nakumbuka siku tunapitisha Azimio hili cha Baraza Kuu na Mkutano Mkuu wa Januari 2025 kwenye Kikao Mhe. Mbowe aliuliza kuna mtu yeyote mwenye maoni au swali lolote kwenye Azimio hili wote tulinyamaza Kimya kuonyesha kwamba tunaunga mkono.
Najiuliza, haya maswali ambayo wanauliza leo kwanini hawakumuuliza Mwenyekiti Mbowe wakati anaendesha kikao kilichopitisha Azimio hili?
Au walipitisha hili Azimio kwasababu walijua Mhe. Mbowe angeshinda asingetekeleza.?
Mwisho, Kama wao kiu yao ni kushiriki Uchaguzi kwanini wasiende kujiunga na akina NCCR ambao mawazo yao na wao yanafanana ili wapewe nafasi ya kugombea huo ubunge watimize hiyo kiu yao ya kuwagombea bila Reforms?
Mungu hapaki mafuta watetea ushoga bwashee. Acha kumkufuru Mungu.Safi sana mpakwa mafuta wa Mungu Tundu Antipas Lissu.
Yap!Unaigonga hadi unapiga kwikwi Saba mfululizo.1 litre ya gongo ? 😎
🚮🚮🚮Hilda newton anawinda nafasi ya Catherine Ruge
Mziki unakuja mtaondoka na Lisu wenu Chadema
Stay tuned
😡Kama kwenye chama tu mtu anageuka dikteta katili, akipewa nchi je. Mungu amewaonesha mapema watanazania rangi halisi ya hawa watu wa haki faragha.
Subiri wewe kabla uchaguzi mkuu kufika wewe na Lisu wako mtajificha vyooni kwa aibuHakuna Aliyejuu ya Chama kwenye Demokrasia imara.
Hiki sio chama cha kuleana.
Hakika Mkuu. Hata wanaomuunga mkono wana slavery mentality.
Subiri wewe kabla uchaguzi mkuu kufika wewe na Lisu wako mtajificha vyooni kwa aibu