Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,903
- 165,964
Ndio, ya kubambikia kesi ccm inafanya vizuri kwa 100%Haya ndiyo tunayaweza!
Ndio, ya kubambikia kesi ccm inafanya vizuri kwa 100%Haya ndiyo tunayaweza!
😅😅😅Ndio, ya kubambikia kesi ccm inafanya vizuri kwa 100%
Acheni kufananisha wapigania uhuru wakati wa ukoloni na hawa wahuni wenu wasaka madarakaDuuh
Nelson Mandela
Sam Nujoma
Kenyata
Robert Mugabe
Mml nyerere
Cyril Ramaphosa.
What do you learn from this trend? All were accused of Treason.
Halafu wakifika mahakamani kuthibitisha madai yao wanaishia kupatwa fistula kama ilivyokuwa kwa DCI Kingai wakati wa kesi ya mchongo dhidi ya Mbowe.Ndio, ya kubambikia kesi ccm inafanya vizuri kwa 100%
Wasaka madaraka ni wale wanaojaza mikutano kwa kubeba watu na matrela.Acheni kufananisha wapigania uhuru wakati wa ukoloni na hawa wahuni wenu wasaka madaraka
ni vizuri asalie korokoroni,Inadaiwa leo Aprili 10, 2025, Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mwanasheria Tundu Lissu amehojiwa kwenye na Polisi kanda Maalumu ya Dar es Salaam kwa makosa mawili ya Uhaini na kutoa taarifa za Uongo. Inadaiwa pia Lissu hajatoa maelezo yoyote isipokuwa taarifa zake binafsi pekee.
Pia soma: Pre GE2025 - John Heche: Nimepata taarifa za kuaminika kuhusu mpango wa kumkamata Tundu Lissu kwa Kumbambikia Kesi ya Uhaini
View attachment 3298983
Lissu alimnanga Mbowe kuwa kachoka Mara goi goi Mara kalamba ati kaitisha maandamano kajitokeza yeye na mwanae tu haya kiko wapi?Nguvu ya Umma Tanzania nzima karibu masaa 24 yatatimu na bado hatujaingia mitaani ?
Aisee hii inahitaji ufafanuzi, Mkuu. Ebu tiririka kwa ufasaha!Uhaini tena? wao walipomzunguka yule jamaa na kumaliza haikuwa uhaini?
Lissu alimnanga Mbowe kuwa kachoka Mara goi goi Mara kalamba ati kaitisha maandamano kajitokeza yeye na mwanae tu haya kiko wapi?
Sikuwa nafahamu vyema ya kampeni ya Chadema ya NRNE ila baada ya kukamatwa Lissu jana rafiki zangu wa Marekani na Uingerereza wamenifafanulia nini kinaendelea na sasa nimejua hiyo kampeni...Hii ni mbaya saana kwa Taifa letu ila wasichokijua kuwa huu ni mtego ambao vyama vya upinzani wamekuwa wakiutumia kupata wafuasi wengi...na mmesadia saana kusukuma ajenda ya Chadema ya NR NE...au mmetumwa na Yanga manake mmetufanya washabiki wa Simba tusahaau ushindi wetu wa janaInadaiwa leo Aprili 10, 2025, Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mwanasheria Tundu Lissu amehojiwa kwenye na Polisi kanda Maalumu ya Dar es Salaam kwa makosa mawili ya Uhaini na kutoa taarifa za Uongo. Inadaiwa pia Lissu hajatoa maelezo yoyote isipokuwa taarifa zake binafsi pekee.
Pia soma: Pre GE2025 - John Heche: Nimepata taarifa za kuaminika kuhusu mpango wa kumkamata Tundu Lissu kwa Kumbambikia Kesi ya Uhaini
View attachment 3298983
EU wamekaliwa kooni na Trump huku wakijibaraguza kumdhibiti Russia. Sina hakika kama wataweza kwa Sasa.EU na jaramba la Nyundo kubwa....
halafu wamemkariisha chadema kumkomoa Mbowe, stupid!Anaanza kupita njia za Mbowe zile ambazo Doctor Silaha alisema anakasirishwa sana na wanaosema Mbowe sio gaidi.Jamani tuweke akiba ya maneno,tumuombee tu ili wenye maamuzi ya kuwapa watu kesi wasimpe kesi ngumu Lisu.
Siku waasi wakitokea Tz naungana nao , ccmu wana dharau za kitoto sanaInadaiwa leo Aprili 10, 2025, Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mwanasheria Tundu Lissu amehojiwa kwenye na Polisi kanda Maalumu ya Dar es Salaam kwa makosa mawili ya Uhaini na kutoa taarifa za Uongo. Inadaiwa pia Lissu hajatoa maelezo yoyote isipokuwa taarifa zake binafsi pekee.
Pia soma: Pre GE2025 - John Heche: Nimepata taarifa za kuaminika kuhusu mpango wa kumkamata Tundu Lissu kwa Kumbambikia Kesi ya Uhaini
View attachment 3298983
Kichaa anatumia policcm ili akubalike na wananchi. Sukari ni Sukari tu hata uichanganye na chumvi.Usifananishe watu wenye akili timamu na kichaa