Tundu Lissu adai Rais Samia ana mpango kama wa Hayati Magufuli kwenye Uchaguzi wa 2025 wa kuiba kura, Mbowe amwangalia kwa mshangao!

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Ila Joh unajua kunogesha habari.
Hata kama habari haivutii ila wewe unaweka chachandu.
 
Kwani Tundu Lissu huko Ubeligiji alikua anasomea upigaji ramli? Na kama ndivyo yatupasa kua makini hizi ni Ramli Chonganishi anazofanya na ndio maana Mbowe amemshangaa. Watanzania tusikubali kuchonganishwa na wapiga Ramli (Lamba Lamba).
 
Lissu anaposikia maridhiano anaelewa vipi? Zanzibar kila uchaguzi huwa wanaridhiana je kipi CUF au ACT walifaidika nacho?
 
Wewe akili ndogo...be Intelligence!!!
 
Anadi sera Zake na kujenga chama sio muda wa kuanzia Julia Lia wakitafuta huruma
Kwani wako kujenga Chama au kwenye utoaji elimu kuhusu katiba mpya inayotufaa sisi diospora na watanzania wezetu hapo nyumbani Tanzania
 
Nisahihi kabisa asemalo Lisu

Zingatia kwamba tayari Sheria ya usalama wataifa mabadiliko yake ,kuwa chini ya rais mojakwamoja
 
Lisu anatumiwa na mbowe kufikisha ujumbe ,hoja za lisu ndio hoja za mbowe sema mbowe ni muoga Kwa sasa kuhusu kesi zake zilizowekwa pending

USSR
Siyo muoga bhana dhambi ya kulamba asali ndio inamtafuna huyu mzee ndani kwa ndani .asali ikiexpire atamuung a mkono kamanda Lissu .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…