😀😀😀😀😀😀😀Ni Katika Mkutano wa hadhara kwenye Operesheni +255 makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu amesema Rais Samia amekataa misaada ya Jumuiya za kimataifa wakati wa Uchaguzi kama alivyokataa hayati Magufuli kwenye Uchaguzi wa 2020.
Tundu Lisu akawauliza Wananchi huku akimwangalia Mbowe " Rais Samia ana nia gani?" Wananchi wakajibu kwa makelele JIBU lililomfanya Mbowe ashikwe na mshangao.
Kiukweli Lisu anaonekana kuwa na mashaka na Maridhiano hata kama hana mgogoro na mwenyekiti wake
Nawatakia Dominica njema!
Wewe akili ndogo...be Intelligence!!!Ni Katika Mkutano wa hadhara kwenye Operesheni +255 makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu amesema Rais Samia amekataa misaada ya Jumuiya za kimataifa wakati wa Uchaguzi kama alivyokataa hayati Magufuli kwenye Uchaguzi wa 2020.
Tundu Lisu akawauliza Wananchi huku akimwangalia Mbowe " Rais Samia ana nia gani?" Wananchi wakajibu kwa makelele JIBU lililomfanya Mbowe ashikwe na mshangao.
Kiukweli Lisu anaonekana kuwa na mashaka na Maridhiano hata kama hana mgogoro na mwenyekiti wake
Nawatakia Dominica njema!
Kwani wako kujenga Chama au kwenye utoaji elimu kuhusu katiba mpya inayotufaa sisi diospora na watanzania wezetu hapo nyumbani TanzaniaAnadi sera Zake na kujenga chama sio muda wa kuanzia Julia Lia wakitafuta huruma
Visigino vikiwa vipele vitupuLissu anaona mbali, wengine wakakuja kushtuka kumekucha.
TAL Akili ndogo?!Wewe akili ndogo...be Intelligence!!!
Siyo muoga bhana dhambi ya kulamba asali ndio inamtafuna huyu mzee ndani kwa ndani .asali ikiexpire atamuung a mkono kamanda Lissu .Lisu anatumiwa na mbowe kufikisha ujumbe ,hoja za lisu ndio hoja za mbowe sema mbowe ni muoga Kwa sasa kuhusu kesi zake zilizowekwa pending
USSR
Wewe unamfikiria kama nani? Hao uliowataja ni Mungu? Acha hizo!Mwambieni Lissu siku akiacha chuki dhidi ya JKN na JPJM ataweza kufikiriwa kuwa rais