Dish
JF-Expert Member
- Jun 3, 2019
- 623
- 922
Na wala sio TUCHEL ni Tuchel
Hapo sasa ni abdallah kuitwa dullah
Na wala sio TUCHEL ni Tuchel
Na wala siyo Tuchel! Ni Thomas Tuchel. 😇Na wala sio TUCHEL ni Tuchel
Sawa.Nauhakika atawatoa city nje ndani yaani kama alishinda na Chelsea ndo ashindwe kuwafunga akiwa na Bayern? Tumekaa pale
SawaMan City aandae Mali mapema
Aisee Mane hajaflop ni basi tu kakosa formation nzuri ila naamini under TT atajipataDayot upemacano anagawana mshahara na tuchel
Mechi ya 1 kasababisha goli 2
Mechi ya 2 kanusurika umeme kasababisha penati kasababisha goli lakn hakutolewa h nje Kama substution
Kuna watu wanabahati zao
Mane n flopp pale Bavarian