Tunauza miche ya miti aina ya mitiki kwa bei nafuu sana

Mti w mtiki unatakiwa kuvunwa baada ya miaka mingapi?na bei ya mti mkubwa ulio tayri kuvunwa kwa sasa bei gani ya soko? Please
Tafadhali ingia google, angalia Tectona glandis tree species utapata majibu yako yote!
 
Mitiki sio kwa nguzo za umeme hapana, mitiki inatumika sana kwenye meli na ni miti isiyooza kwa miaka mingi sana, na soko lake kubwa ni Ulaya.. Mfano ukiwa Mayo hapa Tz wazungu wanaeza kuja kukulipa na ukaendelea kuitunza mpka itkapokuwa tayari
Mitiki inalipa
 
nasikia hii miti huwa inanyonya maji mengi sana ardhini, yaani ukipanda kwa wingi inaweza ikaathiri hadi mazao yaliyo karibu na hiyo miti, au ilo shamba baada ya muda huwez fanya kilimo kingine, NI KWELI!?
Ni kweli
 
Tunauza miche ya miti aina ya mitiki kwa bei nafuu sana tunakuletea ulipo kwa mikoa mitatu yaani pwan, daressalaam na morogoro kwa mikoa mingine pia mzigo unatumwa kwenye gari kwa@Tsh350
+255717778964
+255757026958
+255784699804
Miche bado ipo
 
Back
Top Bottom