SOFTWARE Tunatengeneza na kudesign logo/website pamoja na android application

Hofu yangu ni kwamba haya mambo tunayoshangilia mbona tumeyaweka kama vile ni hisani kuyapata na hayapo kwenye katiba.na kama yapo kwenye katiba hii tunayosema ni mbovu na tumekubali kuburuzwa muda wa miaka saba sasa,hv kweli hata hiyo katiba mpya tunayoitaka tunataka ije ifanye nn ikiwa mambo ya kijinga kama haya ya kukataza mikutano ya vyama vya siasa katiba hii imekataza kabisa lkn hatuitetei katiba.Ndugu zangu hapa tutafakari na tujitafakari sote ni nn tunachoweza kukitetea kwa nguvu zote na kikaenda kwa mujiba wa katiba.
 
Je, umekua ukisikia tuu swala la kuwa na website lakini hujaelewa kwanini haswa uwe na website kwa ajili ya biashara au asasi yako isiyo ya kiserikali (NGO)? Au unayo website lakini haujaona bado faida za kuwa na website? Basi makala hii itakupasha faida haswa ya kuwa na website kwa namna ambayo pengine hujawahi kufikiria.

Hakuna wakati ambao website ni ya muhimu kama wakati ambapo tupo katika zama za utandawazi. Yawezekana ukajiona kuwa unachofanya ni kidogo hivyo hauhitaji website, hata hivyo kuna mengi utakua unakosa kwa kutokujikita katika kuwa na website kwa biashara au asasi yako.

Kukipa thamani ufanyacho
Imekua kawaida watu wengi kuamini kuwa biashara au asasi yenye website basi itakua makini . Hata hivyo sio tuu website ili mradi website. Unatakiwa uwe na website ambayo kweli inaonyesha umakini na ubora wa asasi au biashara yako hii inajumuisha website yenye muonekano mzuri, yenye maelezo yaliyokamilika, yenye taarifa ambazo kweli.

Kuleta ushawishi
Unahitaji website ili kuweza kujenga uaminifu na kuonekana kweli upo serious. Website yako itakupa nafasi ya kuwaeleza watu kwa umakini na kwa ushawishi kile unachofanya na kwanini wakutafute wewe. Tena website itakusaidia kufanya ushawishi huu kwa watu wengi sana kuliko kuwa tuu na vipeperushi ambavyo utasambaza kwa watu wachache.

Kuelezea Ufanyacho
Website hukufanya uwe na nafasi ya kueleza mambo uyafanyacho kwa watu wengi zaidi. Ni kweli unaweza kuwa na akaunti nyingi za mitandao ya kijamii . Lakini watu wengi hawatopata kukufahamu vizuri kama sio kupitia kwa website yako ambapo utakua na kurasa zilizopangiliwa vema kabisa.

Kupatikana wakati masaa 24 siku 7 za wiki
Ofisi yako hufungwa, duka lako hufungwa, lakini website yaweza kupatikana masaa 24 siku 7 za wiki. Hivyo kuwa na website ni fursa kwako kuwafaikia walengwa wako masaa yote kila siku.

Kuwasiliana na kuwaelimisha wateja
Kwa kutumia blog itakayoambatana na website yako utaweza kuwapatia wateja wako na wale wateja watarajiwa Makala ambazo zitawaelimisha na kuwavuta karibu na wewe. Pia ni nafasi yako ya kuwapa updates kuhusu bidhaa mpya unazotaka kutoa au mabadiliko mengine ya kiutendaji , kimarketing na sera za biashara au asasi yako.

Kuwa na email address binafsi
Website itakufanya uweze kuwa na email address inayotaja jina la biashara yako. Haipendezi na haionekani kuwa “professional” pale unapohitajika kutaja email address yako halafu ukatumia email yenye domain ya makampuni makubwa kama gmail, yahoo au Hotmail. Kama kampuni yako ni ABC Limited, basi ni vema ukasema jinalako@abc.com au jinalako@abc.co.tz

Kwa wewe unayetaka kuwa na website inayokunufaisha na kwa gharama nafuu kabisa,
tuwasiliane kwa:

0621454246 au 0652416926/SMS/WhatsApp and calls
 
Je? Unamiliki biashara ya aina yoyote na ulikuwa unahitaji kufikia wateja wengi,kujitangaza pia kuuza bidhaa zako kupitia njia ya kidigitali.

Wasiliana nasi Leo tutakutengenezea website kwa gharama nafuu ya Tsh; 170,000/tu.

Gharama zinajumuisha;

  • Free .co.tz domain/year
  • Free hosting for 6 months
  • Free SSL Certificate
  • 15 Business Email
  • Full access cpanel
  • Free support etc.

Pia tunatoa huduma ya kusajiri Domain pamoja na kuhost Website kwa gharama ya kuanzia Tsh.3,000/ kwa mwezi.
Wasiliana nasi sasa,

Contacts;
CALL/Whatsap/Sms
0621454246/0626954253.
 
Je? Unamiliki biashara ya aina yoyote na ulikuwa unahitaji kufikia wateja wengi,kujitangaza pia kuuza bidhaa zako kupitia njia ya kidigitali.

Wasiliana nasi Leo tutakutengenezea website kwa gharama nafuu ya kuanzia Tsh; 170,000/tu.

Gharama zinajumuisha;

  • Free .co.tz domain/year
  • Free hosting for 6 months
  • Free SSL Certificate
  • 15 Business Email
  • Full access cpanel
  • Free support etc.

Pia tunatoa huduma ya kusajiri Domain pamoja na kuhost Website kwa gharama ya kuanzia Tsh.3,000/ kwa mwezi.
Wasiliana nasi sasa,

Contacts;
CALL/Whatsap/Sms
0652416926.
 
Website kwa 170k?? Nyie ndio WAJINGA mnaoharibu na kushusha thamani tasnia hii kwa tamaa za kijinga
 
Je? Unamiliki biashara ya aina yoyote na ulikuwa unahitaji kufikia wateja wengi,kujitangaza pia kuuza bidhaa zako kupitia njia ya kidigitali.

Wasiliana nasi Leo tutakutengenezea website kwa gharama nafuu ya Tsh; 250,000/tu.

Gharama zinajumuisha;

  • Free .co.tz domain/year
  • Free hosting for 6 months
  • Free SSL Certificate
  • 15 Business Email
  • Full access cpanel
  • Free support etc.

Pia tunatoa huduma ya kusajiri Domain pamoja na kuhost Website kwa gharama ya kuanzia Tsh.3,000/ kwa mwezi.
Wasiliana nasi sasa,

Contacts;
CALL/Whatsap/Sms
0652416926.
 
Je? Unamiliki biashara ya aina yoyote na ulikuwa unahitaji kufikia wateja wengi,kujitangaza pia kuuza bidhaa zako kupitia njia ya kidigitali.

Wasiliana nasi Leo tutakutengenezea website kwa gharama nafuu ya Tsh; 250,000/tu.

Gharama zinajumuisha;

  • Free .co.tz domain/year
  • Free hosting for 6 months
  • Free SSL Certificate
  • 15 Business Email
  • Full access cpanel
  • Free support etc.

Pia tunatoa huduma ya kusajiri Domain pamoja na kuhost Website kwa gharama ya kuanzia Tsh.3,000/ kwa mwezi.
Wasiliana nasi sasa,

Contacts;
CALL/Whatsap/Sms
0652416926.
 
Je? Unamiliki biashara ya aina yoyote na ulikuwa unahitaji kufikia wateja wengi,kujitangaza pia kuuza bidhaa zako kupitia njia ya kidigitali.

Wasiliana nasi Leo tutakutengenezea website kwa gharama nafuu ya Tsh; 250,000/tu.

Gharama zinajumuisha;

  • Free .co.tz domain/year
  • Free hosting for 6 months
  • Free SSL Certificate
  • 15 Business Email
  • Full access cpanel
  • Free support etc.

Pia tunatoa huduma ya kusajiri Domain pamoja na kuhost Website kwa gharama ya kuanzia Tsh.3,000/ kwa mwezi.
Wasiliana nasi sasa,

Contacts;

Call/Whatsap/sms
0652416926.
 
Back
Top Bottom