Tunaotumia Sim Card(Line) Moja tukutane apa

Bird Watcher

JF-Expert Member
Aug 19, 2013
3,116
6,200
Wakuu Mimi natumia Sim card moja tu, Kuna baadhi ya watu wamekuwa wakishangaa Ila Kiukweli naenjoy kuwa na Line moja tu
 
Mimi mmoja wapo..

Nimejaribu kusajili mtandao mwingine kwa wakati tofauti lakini nashindwa.
Ila mwenye laini zaidi ya moja simshangai pia.


Ila mkuu, mpaka hili jambo dogo tu unalianzishia uzi🤣🤣
 
Mimi mmoja wapo..

Nimejaribu kusajili mtandao mwingine kwa wakati tofauti lakini nashindwa.
Mimi nime stack kwenye mtandao Mmoja kwa sababu ya Kitu Kinaitwa Volte ambacho nadhani bongo hapa Ni Voda na Tigo ndio wana hio feature, Yani sipendi ile disruption of Internet wakati naongea kwa Normal call
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom