Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,600
- 4,690
Hapo vip!!
Kwa ubora wa Simba na hadhi yake inauwezo wa kucheza ligi kuu ya misri kisha ikatwaa kombe.
Tukumbuke Simba ni timu ya 4 sasa hivi kwa ubora na ukubwa barani Afrika,hivyo kwa hujuma za wivu,za kishetani ,za kijinga,za kimaskini na kipumbavu zilizopo kwenye ligi yetu ambazo iliisababishia Simba icheze shirikisho,naona kwa lengo la Simba kulinda hadhi yake na kuepuka huu mpira wa GSM kwenye ligi yeti ni bora waanze mikakati mdogo mdogo kuangalia namna ya kupewa kibali na kucheza ligi kuu ya Misri.
Tumuache GSM na waamuzi waendelea kuikusanyia yanga point za bure.
Kwa ubora wa Simba na hadhi yake inauwezo wa kucheza ligi kuu ya misri kisha ikatwaa kombe.
Tukumbuke Simba ni timu ya 4 sasa hivi kwa ubora na ukubwa barani Afrika,hivyo kwa hujuma za wivu,za kishetani ,za kijinga,za kimaskini na kipumbavu zilizopo kwenye ligi yetu ambazo iliisababishia Simba icheze shirikisho,naona kwa lengo la Simba kulinda hadhi yake na kuepuka huu mpira wa GSM kwenye ligi yeti ni bora waanze mikakati mdogo mdogo kuangalia namna ya kupewa kibali na kucheza ligi kuu ya Misri.
Tumuache GSM na waamuzi waendelea kuikusanyia yanga point za bure.