Tunakwenda kulala tarehe 24 iliyopigiwa debe imemalizika kama zilivyopita ahadi zote za mashujaa wa mitandaoni hakuna mabadiliko

kipara kipya

JF-Expert Member
May 2, 2016
20,006
24,174
Asubuhi ya leo kila mwananchi alikuwa busy kwenda kujitafutia ugali wake..wengi wakazi wa jiji wanatumia simu za vitochi..

Chadema na wale mashujaa wao wa mitandaoni wameshindwa vibaya sana maana wengi wao ni wanafunzi na waandishi wachache wanafunzi wengi wanategemea WIFI za bure pita uwanja wa taifa au mahotelini utawakuta wakidandia wavuja jasho vyao ni vitochi au viswaswadu hawana muda na upuuzi wa kesi ya mtu wala hawamjui mwenyekiti wa CHADEMA Mariah sarungi...

Wasanii wao wapo busy na kesi ya Mwinjaku na talaka ya Manara...matokeo yake waliokwenda kisutu ndio wale wale wa makao makuu na fulana za chama na kombati zao bila mwananchi.

Safi sana wananchi hawa wanalipana ruzuku ..wewe ukijeruhiwa hakuna wa kukupa dona kaa mbali nao CHADEMA wasikupe ulemavu wa kujitakia...kuna mmoja kafa huko kwa mujibh wa taarifa zao tunataka kuona hiyo familia ya muhanga italipwa nini na chama...bila ya hivyo wakawafungulie kesi kwa kumshawishi ndugu yao kumuingiza kwenye matatizo...
 
Asubuhi ya leo kila mwananchi alikuwa busy kwenda kujitafutia ugali wake..wengi wakazi wa jiji wanatumia simu za vitochi..

Chadema na wale mashujaa wao wa mitandaoni wameshindwa vibaya sana maana wengi wao ni wanafunzi na waandishi wachache wanafunzi wengi wanategemea WIFI za bure pita uwanja wa taifa au mahotelini utawakuta wakidandia wavuja jasho vyao ni vitochi au viswaswadu hawana muda na upuuzi wa kesi ya mtu wala hawamjui mwenyekiti wa CHADEMA Mariah sarungi...

Wasanii wao wapo busy na kesi ya Mwinjaku na talaka ya Manara...matokeo yake waliokwenda kisutu ndio wale wale wa makao makuu na fulana za chama na kombati zao bila mwananchi.

Safi sana wananchi hawa wanalipana ruzuku ..wewe ukijeruhiwa hakuna wa kukupa dona kaa mbali nao CHADEMA wasikupe ulemavu wa kujitakia...kuna mmoja kafa huko kwa mujibh wa taarifa zao tunataka kuona hiyo familia ya muhanga italipwa nini na chama...bila ya hivyo wakawafungulie kesi kwa kumshawishi ndugu yao kumuingiza kwenye matatizo...
Wenzako tumeshafanya yetu kwa polisi. Mungu anisamehe najua mbwa yule ataugua kwa muda hatimae atakufa tu!
 
Asubuhi ya leo kila mwananchi alikuwa busy kwenda kujitafutia ugali wake..wengi wakazi wa jiji wanatumia simu za vitochi..

Chadema na wale mashujaa wao wa mitandaoni wameshindwa vibaya sana maana wengi wao ni wanafunzi na waandishi wachache wanafunzi wengi wanategemea WIFI za bure pita uwanja wa taifa au mahotelini utawakuta wakidandia wavuja jasho vyao ni vitochi au viswaswadu hawana muda na upuuzi wa kesi ya mtu wala hawamjui mwenyekiti wa CHADEMA Mariah sarungi...

Wasanii wao wapo busy na kesi ya Mwinjaku na talaka ya Manara...matokeo yake waliokwenda kisutu ndio wale wale wa makao makuu na fulana za chama na kombati zao bila mwananchi.

Safi sana wananchi hawa wanalipana ruzuku ..wewe ukijeruhiwa hakuna wa kukupa dona kaa mbali nao CHADEMA wasikupe ulemavu wa kujitakia...kuna mmoja kafa huko kwa mujibh wa taarifa zao tunataka kuona hiyo familia ya muhanga italipwa nini na chama...bila ya hivyo wakawafungulie kesi kwa kumshawishi ndugu yao kumuingiza kwenye matatizo...
Siku ikifika ya kulazimishana kuwa na nidhamu uwepo na familia yako yote kushuhudia.
 
Asubuhi ya leo kila mwananchi alikuwa busy kwenda kujitafutia ugali wake..wengi wakazi wa jiji wanatumia simu za vitochi..

Chadema na wale mashujaa wao wa mitandaoni wameshindwa vibaya sana maana wengi wao ni wanafunzi na waandishi wachache wanafunzi wengi wanategemea WIFI za bure pita uwanja wa taifa au mahotelini utawakuta wakidandia wavuja jasho vyao ni vitochi au viswaswadu hawana muda na upuuzi wa kesi ya mtu wala hawamjui mwenyekiti wa CHADEMA Mariah sarungi...

Wasanii wao wapo busy na kesi ya Mwinjaku na talaka ya Manara...matokeo yake waliokwenda kisutu ndio wale wale wa makao makuu na fulana za chama na kombati zao bila mwananchi.

Safi sana wananchi hawa wanalipana ruzuku ..wewe ukijeruhiwa hakuna wa kukupa dona kaa mbali nao CHADEMA wasikupe ulemavu wa kujitakia...kuna mmoja kafa huko kwa mujibh wa taarifa zao tunataka kuona hiyo familia ya muhanga italipwa nini na chama...bila ya hivyo wakawafungulie kesi kwa kumshawishi ndugu yao kumuingiza kwenye matatizo...
Kelele za mitandaoni wenyewe hawaonekani Kisutu.Wanataka watoto wa wenzao wavunjwe mifupa
 
Asubuhi ya leo kila mwananchi alikuwa busy kwenda kujitafutia ugali wake..wengi wakazi wa jiji wanatumia simu za vitochi..

Chadema na wale mashujaa wao wa mitandaoni wameshindwa vibaya sana maana wengi wao ni wanafunzi na waandishi wachache wanafunzi wengi wanategemea WIFI za bure pita uwanja wa taifa au mahotelini utawakuta wakidandia wavuja jasho vyao ni vitochi au viswaswadu hawana muda na upuuzi wa kesi ya mtu wala hawamjui mwenyekiti wa CHADEMA Mariah sarungi...

Wasanii wao wapo busy na kesi ya Mwinjaku na talaka ya Manara...matokeo yake waliokwenda kisutu ndio wale wale wa makao makuu na fulana za chama na kombati zao bila mwananchi.

Safi sana wananchi hawa wanalipana ruzuku ..wewe ukijeruhiwa hakuna wa kukupa dona kaa mbali nao CHADEMA wasikupe ulemavu wa kujitakia...kuna mmoja kafa huko kwa mujibh wa taarifa zao tunataka kuona hiyo familia ya muhanga italipwa nini na chama...bila ya hivyo wakawafungulie kesi kwa kumshawishi ndugu yao kumuingiza kwenye matatizo...
Sawa.
 
Asubuhi ya leo kila mwananchi alikuwa busy kwenda kujitafutia ugali wake..wengi wakazi wa jiji wanatumia simu za vitochi..

Chadema na wale mashujaa wao wa mitandaoni wameshindwa vibaya sana maana wengi wao ni wanafunzi na waandishi wachache wanafunzi wengi wanategemea WIFI za bure pita uwanja wa taifa au mahotelini utawakuta wakidandia wavuja jasho vyao ni vitochi au viswaswadu hawana muda na upuuzi wa kesi ya mtu wala hawamjui mwenyekiti wa CHADEMA Mariah sarungi...

Wasanii wao wapo busy na kesi ya Mwinjaku na talaka ya Manara...matokeo yake waliokwenda kisutu ndio wale wale wa makao makuu na fulana za chama na kombati zao bila mwananchi.

Safi sana wananchi hawa wanalipana ruzuku ..wewe ukijeruhiwa hakuna wa kukupa dona kaa mbali nao CHADEMA wasikupe ulemavu wa kujitakia...kuna mmoja kafa huko kwa mujibh wa taarifa zao tunataka kuona hiyo familia ya muhanga italipwa nini na chama...bila ya hivyo wakawafungulie kesi kwa kumshawishi ndugu yao kumuingiza kwenye matatizo...
Mpe moyo bibi yako mwambie hivi kayakoroga...hafiki popote

Lissu si Mbowe.

Hii ni Tanganyika....na wenye Tanganyika wanaitaka ..so yeye haimuhusu..
 
Back
Top Bottom