Tuna chimba visima virefu na vifupi..kwa mashine za kisasa

Yan unaweza usifike mita hizo 160,maji yanayotumika kutoa mchaga juu yakawa hayarudi yani yanakutana na mwamba ambao upo waz..kwaiyo huwa tunaweka bomba maan.sehemu hizo maji yapo meng
Nimekupata boss. Wacha nijichange change nitakujaga kukutafuta huko mbeleni
 
0584fab3fe02327773d045f2ebd7502e.jpg
055f0574925d1c608d3d95cd696b7d08.jpg
Mbona hamzingatii safety ya wafanyakazi wenu?
 
Back
Top Bottom