talentboy
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 2,104
- 2,072
mkuu unajua maana ya adavocate?tuanzie hapo kwanzaAdvocate anachukua ngapi kwa mwezi baada ya makato ya kodi?
mkuu unajua maana ya adavocate?tuanzie hapo kwanzaAdvocate anachukua ngapi kwa mwezi baada ya makato ya kodi?
Cheki akili yako ilivyojaa matope we nyumbu.hujui kujenga ni akili ya mtu.bora hao walimu wanaojenga baada ya kustaafu kuliko nyi nyumbu ambao kila siku mnatupiga mizinga ya vocha huku mtaani mnakufa mnazunguka na baasha mkononiMbona Huwa mnajenga baada ya Kustaafu Teacher is a Cursed Professional
kaongeze elimu mkuu,bila kusahau kupitia pale law school of tz(LST)...baada ya hapo kamwe hutojutia kwanini uliamua kusomea fani hii tukufu na yenye hadhi na heshima kote duniani tokea enzi na enzi(we call it a noble profession,a family from high rank of the society)Kiukweli wanasheria watu wa mbwembwe xnVita hii Lawyers v Teachers
Nnachoona maticha wana ajira so wanatutambia cc wauza sura kwenye DP zetu "lawyers in making" wkt ni wabeba bahasha tu...Binafsi nna kadiploma ka sheria
Advocate ni wakili, au kuna tafsiri nyingine?mkuu unajua maana ya adavocate?tuanzie hapo kwanza
Law imebaki jina tu siku hizi, imekuwa sawa na secretari course.kaongeze elimu mkuu,bila kusahau kupitia pale law school of tz(LST)...baada ya hapo kamwe hutojutia kwanini uliamua kusomea fani hii tukufu na yenye hadhi na heshima kote duniani tokea enzi na enzi(we call it a noble profession,a family from high rank of the society)
Law imebaki jina tu siku hizi, imekuwa sawa na secretari course.
Mwalimu Wa siku hizi anachukua mkopo ananunua gari, utamjua kama yeye!!Ila walimu nao cku hzi kwa nyodo!
Sawa mzee....thanks for sharingdead line hawajaweka mkuu.. cha msingi apply tu.
Ndo mnavodanganyanaga hivo uko mitaani.?Law imebaki jina tu siku hizi, imekuwa sawa na secretari course.
Sijataka tafsiri ya advocate kwa kiswahili..nimetaka maana ya advocate.Advocate ni wakili, au kuna tafsiri nyingine?
Wewe elezea tu. Wakili ni mtu anayefanya kazi ya kuzungumza kwa niaba ya mtu mwingine mahakamani.Sijataka tafsiri ya advocate kwa kiswahili..nimetaka maana ya advocate.
Au labda niulize hivi,nini maana ya wakili?
Maana yangu ya kuuliza hivo ni kuna mdau hapo ameuliza eti advocate kwa mwezi anachukua kiasi gani?
Wewe mwanasheria gani hujui kuandika vizuri, nyambaf.Ndo mnavodanganyanaga hivo uko mitaani.?