ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 44,642
- 51,499
Jana mheshimiwa Rais Samia amezindua rasmi Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi ambayo Ina majukumu ya Kulinda na kutunza faragha za watu.
Sasa Kuna mtindo umezuka ambapo Online Creditors Wamekuwa wanasambaza taarifa binafsi za Wateja Wao Kwa watu mbalimbali ambao Huwa wanawasiliana Kwa kuwapigia na kutoa kashfa na kueleza kwamba wanamdai mhusika.Watu wengi wamekuwa wanalalamika Kwa huu upuuzi unaofanywa na Hawa wakopeshaji wa kimtandao.
Hii tabia sio tuu inakiuka faragha Bali inakiuka Haki ya mteja. Kama walikibaliana kulipana na mteja hajatimiza matakwa Kwa nini hawafuati masharti yaliyopo kwenye makubaliano Yao? Hii tabia ya kuidhalilisha wateja imetoka wapi?
Nitoe wito Kwa Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi ichukue hatia Kali Kwa TCRA,Benki Kuu na Mitandao ya Simu Kwa kuyotimiza wajibu wao badala yake wanakiuka Haki za mteja.
View: https://twitter.com/MwananchiNews/status/1774848738290188590?t=7TkELfmQcCU4e96SX2mWIQ&s=19
My Take: Ni vile watu hawajui sheria na pa kuanzia ila jambo hili likigikishwa mahakamani ni wazi wahusika watalipishwa faini na fidia Kwa damage wanayofanyia wateja.
View: https://www.instagram.com/p/C5TEsort5sR/?igsh=MWx2N3p1a2hqa3Q4bw==
Pia soma malalamiko mengine: KERO - Taarifa Binafsi: Kampuni ya mkopo mtandaoni (online loan app) imenidhalilisha sana
Sasa Kuna mtindo umezuka ambapo Online Creditors Wamekuwa wanasambaza taarifa binafsi za Wateja Wao Kwa watu mbalimbali ambao Huwa wanawasiliana Kwa kuwapigia na kutoa kashfa na kueleza kwamba wanamdai mhusika.Watu wengi wamekuwa wanalalamika Kwa huu upuuzi unaofanywa na Hawa wakopeshaji wa kimtandao.
Hii tabia sio tuu inakiuka faragha Bali inakiuka Haki ya mteja. Kama walikibaliana kulipana na mteja hajatimiza matakwa Kwa nini hawafuati masharti yaliyopo kwenye makubaliano Yao? Hii tabia ya kuidhalilisha wateja imetoka wapi?
Nitoe wito Kwa Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi ichukue hatia Kali Kwa TCRA,Benki Kuu na Mitandao ya Simu Kwa kuyotimiza wajibu wao badala yake wanakiuka Haki za mteja.
View: https://twitter.com/MwananchiNews/status/1774848738290188590?t=7TkELfmQcCU4e96SX2mWIQ&s=19
My Take: Ni vile watu hawajui sheria na pa kuanzia ila jambo hili likigikishwa mahakamani ni wazi wahusika watalipishwa faini na fidia Kwa damage wanayofanyia wateja.
View: https://www.instagram.com/p/C5TEsort5sR/?igsh=MWx2N3p1a2hqa3Q4bw==
Pia soma malalamiko mengine: KERO - Taarifa Binafsi: Kampuni ya mkopo mtandaoni (online loan app) imenidhalilisha sana