britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,288
- 33,947
Pango lao si bei kubwa maana hakuna choo wanajihudumu kwa mzee chenge, ni nyumba jirani pale ufipa, nasema nachojua
Stupidity has found the ownerPango lao si bei kubwa maana hakuna choo wanajihudumu kwa mzee chenge, ni nyumba jirani pale ufipa, nasema nachojua
Kwani CCM viwanja vya michezo vya kirumba sokoine n.k imevijenga kwa shilingi ngapi?Je Kwa miaka 23 Chadema inalipia Pango?
Fedha hiyo haijatosha kujenga jengo lenye ghorofa 20 kwenda juu?
Fedha hiyo haitoshi kutengeneza madawati shule zote za Kata za Sekondari?
Fedha hiyo haitoshi kuwanunuliwa chakula watoto yatima kwenye makao yao kwa miaka mifano mfululizo?
Kama ndivyo kwanini wasishitakiwe kwa uhujumu uchumi?