Tuliowahi kwenda kwa nabii Flora tujuane

Mitambo gani hairuhusiwi kujaribiwa? Ulipe pesa bila kujaribu, isipowaka....
Isipowaka utabaki nayo maisha yote kifo tu kitawatenganisha, na hii ni baada ya kufungiwa ndoa na kuapa hata ije shida gani hamtaachana mtavumiliana mwanzo hadi mwisho
 
Mitambo ya kiume isipofanya kazi yake huwa ni mtihani mkubwa, bora ya kike hata kama haifanyi kazi itatumika, maana kazi yake kubwa ni kutoa watoto. Kama haitoi watoto itaendelea kutumika. Shughuli pevu ni mitambo ya kiume ikizima haitavumiliwa
 
Nabii Flora Peter
IMG_1664.jpg

IMG_1663.jpg

IMG_1661.jpg
 
Back
Top Bottom