Tuliopigwa kwenye Iphone 16 n na 15 Pro Max Copy Tusione Aibu kusema yaliyoyukuta!

MAKULUGA

JF-Expert Member
Jan 21, 2011
7,858
10,567
Mwaka Jana kati ya Julai na Oktoba kuliibuka matangazo mengi ya ubora na uzuri wa Iphone 15 na 16 copies!

Tukaambiwa sio copy tu ni high copy!

Mojawapo walioingia mkenge ni Mimi hapa! Nikaagiza kwa dada Moja mwenye biashara zake China Dar!

Kwa kifupi ,hizi sio simu ni za hovyo,tena hovyo kweli!

Nawashauri wanaotaka kununua wakimbie nduki,kurudi.nyuma!

Leo hii imepoteza Network na fundi kaniambia TCRA,wameshaifungia!

Kizuri share na wenzako....usiingie mkenge!
 
Pole sana, kuna watu (watanzania) wanaishi/wanafanya biashara ulaya na marekani huko ni uhakika wa kuagiza kifaa cha uhakika na sio copy. Sema pesa yake ndefu.
Bidhaa za China hata niambiwe hii ni genuine hiwa siziamini hata kidogo, hata nikinunua najua kabisa hapa ni kwa muda tuu.
 
Pole sana, kuna watu (watanzania) wanaishi/wanafanya biashara ulaya na marekani huko ni uhakika wa kuagiza kifaa cha uhakika na sio copy. Sema pesa yake ndefu.
Bidhaa za China hata niambiwe hii ni genuine hiwa siziamini hata kidogo, hata nikinunua najua kabisa hapa ni kwa muda tuu.
Yaani ,nilikuwa nikipita chocho,vijana wananichora kweli, ningeweza pigwa roba la mbao kisa 210,000/ ...Bure ghali!
 
This is very true because I can
remember one day I went back to the
village and my grandfather told me
that grandson, no matter how useless
your comment is, there will be
someone who will read it till the end.
 
This is very true because I can
remember one day I went back to the
village and my grandfather told me
that grandson, no matter how useless
your comment is, there will be
someone who will read it till the end.
😡
 
We mtz umeambiwa ni copy bado unanunua? Au mwenzetu hela unaokota? Au ulikaamini kale ka dada kalikokuwa kanapigia debe vitu feki kwenye vyombo vya habari? Halafu sijui kwa nini serikali ilikaangalia tu hadi kana umiza watu!
 
Back
Top Bottom