misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 14,214
- 10,021
Teh teh teh!! Doh!! HatariKati ya mambo yanayofurahisha uswahilini hasa kwenye nyumba za kupanga ni tabia ya kuazimana hata visivyoazimwa..
1. Mtu anasonga ugali huko kwake anakuja kwako na bakuli umuazime mboga!
2. Mtu ana TV ila deki hana, anaenda kuazima muvi kisha anakuja kuazima deki. Na akichukua harudishi hadi uifate
3. Ukiwa na friji utahifadhi nyama, maziwa, samaki, wa nyumba nzima
4. Jirani akipata wageni, wengine anakuja kuwaombea walale kwako..
5. Ratiba ya usafi