We "Punguani" hebu acha kutisha watu "kipuuzi" Kwani Kuwa UDSM Ndio kunazuio la Kujihushia na siasa?Mkuu huwa nakuona sana Unajihusisha na Siasa na Ni mfanyakazi wa UDSM. Chagua Moja you will end up in disasters!
Kwa wakristo hairuhusiwi mkuuNi vema wakalipa kisasi kwanza , halafu baadaye watubu .
Unajua , siku zote hawa polisi , tunawaambia kwamba kuna maisha baada ya huo upolisi wenu ,
Kwa mfano , Omary Mahita baada ya kustaafu alidhalilishwa mahakamani kwa kosa la kumtelekeza house girl wake baada ya kumtundika mimba , haikufahamika kama alimbaka au walikubaliana .
Ndie aliewapeleka selo "cell"?Mpigieni Magoti Dr Slaa
Mbona Kitila Mkumbo alijihusisha na siasa akiwa UDSM? Kwani kuna shida?Mkuu huwa nakuona sana Unajihusisha na Siasa na Ni mfanyakazi wa UDSM. Chagua Moja you will end up in disasters!
Vitisho ndio njia pekee ya mtu mjinga , muoga na masikini wa kutupwa kujihami , nimekudharau moja kwa moja .Mkuu huwa nakuona sana Unajihusisha na Siasa na Ni mfanyakazi wa UDSM. Chagua Moja you will end up in disasters!
Ni kweli , lakini Mungu ana huruma sana , mara nyingi huwasamehe waovu wakubwa kama hawa , ama wakati mwingine huchelewa sana kuwaadhibu .Mkuu kisasi ni juu ya Mungu
Watafunguliwa mashtaka upya na wanaweza kuozea ngome.....................................Aliyekua anasimama kutoa mashtaka!
Mpigieni Magoti Dr Slaa
Huu ndio ukoloni mambo Leo sasa Mkuu.Watafunguliwa mashtaka upya na wanaweza kuozea ngome.....................................
Mkuu huwa nakuona sana Unajihusisha na Siasa na Ni mfanyakazi wa UDSM. Chagua Moja you will end up in disasters!
Umemuelewa lakini au na wewe mtazamo wako sawa na yule mkuu wa kituo cha polisi. Kwa sababu hayupo upande wa Chama chenu basi unahisi ni mfuasi wa chama chetu.Mpigieni Magoti Dr Slaa
Mkuu huwa nakuona sana Unajihusisha na Siasa na Ni mfanyakazi wa UDSM. Chagua Moja you will end up in disasters!
Michango yako inaakisi pia uwezo wako wa kufikiri, huwezi ukawa unafikiri hivi then ukajiita great thinker. some thing wrong.Mkuu huwa nakuona sana Unajihusisha na Siasa na Ni mfanyakazi wa UDSM. Chagua Moja you will end up in disasters!
SIASA ni nini>Mkuu huwa nakuona sana Unajihusisha na Siasa na Ni mfanyakazi wa UDSM. Chagua Moja you will end up in disasters!