Tuliofoji vyeti tukutane hapa

Eti magufuli kachukizwa na Heading za magazeti ya leo, Anadai jamaa aliyetoa bastola alifanya hivyo kwa utashi wake , serikali haihusiki na kile alichofanya.

Nadhani alitegemea sinema yake ya kichina ya jana itapewa promo. Cha ajabu ilipoteza mvuto kabla haijafika kwa walaji.
hata yule askari mmoja wetu katika sisi tulofoji vyeti
 
*Bongowood2017*
season 1-madawa ya kulevya..
season 2-vyeti feki vya paul makonda
season 3-mtoto feki wa gwajima
season 4-uvamizi clouds
season 5-Makonda chapa kazi
season 6-tume ya nape kufanya kazi
season 7-Napee kwishneyi
Season 8-Magazeti yamkera magufuli
season 9- Nape anyooshewa bastola
season 10- magufuli ana shoot scene mpya bandarini
season 11-Kinana anatumwa kutibiwa India
usikose season 12*
 
Hoja itakuwa na maana sana kama tu na wale waliofukuzwa kazini na vyuoni nao watarudishwa kazini au ktk vyuo vyao. Maana awali ilionekana kufoji ni tatizo na wengi pia wamefunguliwa mashitaka sasa iweje wengine.
 
Kwanza kidumu chama chetu chama cha mapinduzi
ccm oyeeeeee!!!!

kutokana hali inavyoendelea hapa nchini nimeona tuitane hapa tuliofoji vyeti kusimama kidete kumtetea ndugu yetu makonda (bashite)kama mnavyomuita katika kadhia hii ya kufoji vyeti,

Nafikiri tusimame kwa kauli moja kusema sisi tunaweza kama rais alivyoonyesha imani kubwa kwa ndugu yetu makonda ,ndio maana tumegawanyika katika idara zote za serikali kuanzia polisi,madaktari,na walimu na kwengineko hata jeshini pia tupo,

Tumshukuru ndugu rais kutuona sisi na kuwaacha hao wenye vyeti vyao original,kwani vinavyofanya kazi si vyeti ni mtu na pia tunaangalia utendaji wake uliotukuka kazini,

Kwani nyinyi wenye vyeti original safari hii mtazunguuka na mtakaa sana kwenye mabenchi mpaka makalio yenu yaote sugu na vyeti vyenu mkafungue maandazi

Na mkuu keshasema haangaiki na vipost vyenu na mwaka huu hakuna pa kukimbilia

CCM oyeee
Nawasilisha
Huu ni upuuzi
You can't be serious
 
Mi nilifoji cheti nicheze copa coca cola under 17 nilifanikiwa kwenda hadi ngazi ya taifa kwa jina la mtu mwingine
 
Mwezi huu sijapata mshahara serikalini, historia yangu na ya bashite zina fanana.. naona watakuwa washanikata tayari..!!
 
Tuliofoji naomba tuache kujifichaficha hebu tujitokezen waungwana kumtetea m/kiti wetu Albert/Paul na huu umoja una nguvu sana kwa sababu una baraka zote za mkemia mwenye Phd yake sasa sijui nae ni miongoni mwetu ila kwa sasa M/kit wetu ni Bashite nilijua tu mtaanza kututamani...msisahau pia tuko na member mwenzetu hapa jf anaejiita Cococh..karibun hakuna kiingilio
 
Back
Top Bottom