Tulioamua kutokuoa tupeane mikakati ya uzeeni!

Rwaz

JF-Expert Member
May 3, 2013
2,001
3,407
Ni kawaida watu kuwa na mitazamo tofauti namna ya kuishi.
Haijalishi umechukua mwerekeo upi bado kuna changamoto zitakuwepo na hata zinatofautiana uzito.
Kuna msemo between two evils choose lesser evil
Sasa ukweli mchungu ni kuwa .. kutokuoa ni kuchagua shetan hatari zaid!
Utafiti unaonyesha asiyeoa hufa miaka 5 kabla ya aliyeoa!
Na aliyeoa mke mmoja hufa mapema kuliko wa wengi!(sababu siijui na siko tayari kubishana na utafiti bila utafiti)
Sasa inapofikia huwezi kuoa, adui mkubwa ni HOFU ya kutokuwa na msaidizi! (endapo tafsiri, maana na hali ya ndoa itakuwa imebaki ile ile, siyo zile ndoa vita!)
Kwa sasa hoja sio kwanini kuoa au kutokuoa bali ni mashauriano ya endapo hukuoa ni mambo gani ujipange usingoje kuzeeka, wakati ambao ni muafaka kuwa na mwenza wa mnayeanguka na kuinuka pamoja!
Tunajua fika mara nyingi mme ndo huchakaa mapema hadi kuhitaji wa kumbadirisha pampers akipupu kama dogo!
Binafs nina haya kama maandalizi ya msingi.
1. Bima kubwa (km Aghakhan wanaohudumia kuliko 5 star hotel hadi unataman kuumwa tena! sio vifurush vya kutupiwa panadol!)
2. hisa katika kampuni kubwa zisizoyumba ( sio kama za walionunua kampun flan ya simu)
3. real estate investiments kama frames za kukodisha, nyumba/vyumba kupanga. pesa ikufate kwako bila usimamizi wa kila siku.
Pia misitu ya miti.
4. Serikali na wadau wawekeze nchini Bima ya kulea wazee katika nyumba maalum yenye hadhi na huduma kama huko nje (hapa simaanishi vituo vya sasa vya wazee mafukara unatunzwa ili ufe). namaanisha unaishi chini ya uangalizi mkubwa na mzuri kwa pesa zako ulizochangia na unajaliwa.
5. Pia wadau wawaishe AI ya kuunganisha ubongo na huduma mzee atakayo bila kuhitaji binadam.
Hofu yangu ni usipokuwa katika hali ya kifamilia unaweza kukutwa umekauka ndani!
Binadam wanazid kuwa wabinafs na busy, ikiwemo wanao!
.... ukisoma mwanzo hadi mwisho utagundua ,,,heri kuoa!
 
Ni kawaida watu kuwa na mitazamo tofauti namna ya kuisha.
Haijalishi umechukua mwerekeo upi bado kuna changamoto zitakuwepo na hata zinatofautiana uzito.
Kuna msemo between two evils choose lesser evil
Sasa ukweli mchungu ni kuwa .. kutokuoa ni kuchagua shetan hatari zaid!
Utafiti unaonyesha asiyeoa hufa miaka 5 kabla ya aliyeoa!
Na aliyeoa mke mmoja hufa mapema kuliko wa wengi!(sababu siijui na siko tayari kubishana na utafiti bila utafiti)
Sasa inapofikia huwezi kuoa, adui mkubwa ni HOFU ya kutokuwa na msaidizi! (endapo tafsiri, maana na hali ya ndoa itakuwa imebaki ile ile, siyo zile ndoa vita!)
Kwa sasa hoja sio kwanini kuoa au kutokuoa bali ni mashauriano ya endapo hukuoa ni mambo gani ujipange usingoje kuzeeka, wakati ambao ni muafaka kuwa na mwenza wa mnayeanguka na kuinuka pamoja!
Tunajua fika mara nyingi mme ndo huchakaa mapema hadi kuhitaji wa kumbadirisha pampers akipupu kama dogo!
Binafs nina haya kama maandalizi ya msingi.
1. Bima kubwa (km Aghakhan wanaohudumia kuliko 5 star hotel hadi unataman kuumwa tena! sio vifurush vya kutupiwa panadol!)
2. hisa katika kampuni kubwa zisizoyumba ( sio kama za walionunua kampun flan ya simu)
3. real estate investiments kama frames za kukodisha, nyumba/vyumba kupanga. pesa ikufate kwako bila usimamizi wa kila siku.
Pia misitu ya miti.
4. Serikali na wadau wawekeze nchini Bima ya kulea wazee katika nyumba maalum yenye hadhi na huduma kama huko nje (hapa simaanishi vituo vya sasa vya wazee mafukara unatunzwa ili ufe). namaanisha unaishi chini ya uangalizi mkubwa na mzuri kwa pesa zako ulizochangia na unajaliwa.
5. Pia wadau wawaishe AI ya kuunganisha ubongo na huduma mzee atakayo bila kuhitaji binadam.
Hofu yangu ni usipokuwa katika hali ya kifamilia unaweza kukutwa umekauka ndani!
Binadam wanazid kuwa wabinafs na busy, ikiwemo wanao!
.... ukisoma mwanzo hadi mwisho utagundua ,,,heri kuoa!
umeandika kitu ambacho nilikuwa na discuss na m sure mmoja majuzi, analalamika kuwa alilazimika kumhudumia mwanae wa 38 years old kwa kumnawisha alipo pupu
anasema dogo alipaswa awe ameoa na ahudumiwe na mwenzi wake
 
umeandika kitu ambacho nilikuwa na discuss na m sure mmoja majuzi, analalamika kuwa alilazimika kumhudumia mwanae wa 38 years old kwa kumnawisha alipo pupu
anasema dogo alipaswa awe ameoa na ahudumiwe na mwenzi wake
Tunapokuwa wazima wa afya tunajilisha upepo kuwa kila kitu kitakuwa ok bila mwenza!
Ukweli ni kwamba mke hajawai kuwa na mbadala!
Walau katika mantiki ya usaidizi hasa wa kifaragha.
Kuna hali hakuna ndugu, mtoto, jamaa au rafiki wa kukuhudumia kama mke!
Hasa mambo yakigusa sehemu za siri!!!!!
Kwa ambao tumeshindwa kuandaa marafiki wa kuoa hadi muda wa kuoa ukapita(time barred) kuna hofu sana!
Kuna wakati pesa pekee haisaidii bila mtu hasa ..mke!
Nahisi wanawake hawana hofu hii sana mana wao hawana sehem za siri sana hata binti zao na mashost wanawasaidia tu!
Lakin sisi hata ukuwe na boy child hupendi akushike shike au kukuosha osha zaid ya mke!
 
Nashangaa wanao reply ni waliojichanganya kuoa. Sio lazima kila nyuzi mchangie zisiowahusu. Heshimuni maamuzi ya mtu.

Turudi kwenye Topic:

Jikumbushe kuna aina zaidi ya saba [7] za love, sisi tunawekeza zaidi kwenye Eros [sexual], sasa nashauri wekeza zaidi kwenye izo aina nyingine.


1. Tuishi vizuri na ndugu/jamaa zetu. Kuanzia wazazi, kaka na dada, na wadogo.

2. Kua na marafiki [haijalishi jinsia] ambao watatusaidia [tutasaidiana] kwenye ishu mbalimbali.

3. Kula vizuri, mazoezi na kuchukua taadhari zote za kiafya ya mwili na akili umri unavyozidi kwenda.

4. Issue ya Bima ya muhimu. Tafuta bima nzuri ya afya.

5. Kupunguza loneliness, kama unaweza fuga pet animal [paka, mbwa, samaki.. etc]

6. Usiendekeze nyege. Unaweza kua na partner [girlfriend] ambaye n yeye anamisimamo kama yako.

7. Ukipata nafasi jitoe out weekends na vacations kubwa kubwa holidays.

8...
 
Umeongea point ila pia ukiwa na hela usiishi peke yako kama mchawi,weka house girl hata wawili,chukua mtoto hata kama dio ndugu ishi nae
 
Back
Top Bottom