Rwaz
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 2,001
- 3,407
Ni kawaida watu kuwa na mitazamo tofauti namna ya kuishi.
Haijalishi umechukua mwerekeo upi bado kuna changamoto zitakuwepo na hata zinatofautiana uzito.
Kuna msemo between two evils choose lesser evil
Sasa ukweli mchungu ni kuwa .. kutokuoa ni kuchagua shetan hatari zaid!
Utafiti unaonyesha asiyeoa hufa miaka 5 kabla ya aliyeoa!
Na aliyeoa mke mmoja hufa mapema kuliko wa wengi!(sababu siijui na siko tayari kubishana na utafiti bila utafiti)
Sasa inapofikia huwezi kuoa, adui mkubwa ni HOFU ya kutokuwa na msaidizi! (endapo tafsiri, maana na hali ya ndoa itakuwa imebaki ile ile, siyo zile ndoa vita!)
Kwa sasa hoja sio kwanini kuoa au kutokuoa bali ni mashauriano ya endapo hukuoa ni mambo gani ujipange usingoje kuzeeka, wakati ambao ni muafaka kuwa na mwenza wa mnayeanguka na kuinuka pamoja!
Tunajua fika mara nyingi mme ndo huchakaa mapema hadi kuhitaji wa kumbadirisha pampers akipupu kama dogo!
Binafs nina haya kama maandalizi ya msingi.
1. Bima kubwa (km Aghakhan wanaohudumia kuliko 5 star hotel hadi unataman kuumwa tena! sio vifurush vya kutupiwa panadol!)
2. hisa katika kampuni kubwa zisizoyumba ( sio kama za walionunua kampun flan ya simu)
3. real estate investiments kama frames za kukodisha, nyumba/vyumba kupanga. pesa ikufate kwako bila usimamizi wa kila siku.
Pia misitu ya miti.
4. Serikali na wadau wawekeze nchini Bima ya kulea wazee katika nyumba maalum yenye hadhi na huduma kama huko nje (hapa simaanishi vituo vya sasa vya wazee mafukara unatunzwa ili ufe). namaanisha unaishi chini ya uangalizi mkubwa na mzuri kwa pesa zako ulizochangia na unajaliwa.
5. Pia wadau wawaishe AI ya kuunganisha ubongo na huduma mzee atakayo bila kuhitaji binadam.
Hofu yangu ni usipokuwa katika hali ya kifamilia unaweza kukutwa umekauka ndani!
Binadam wanazid kuwa wabinafs na busy, ikiwemo wanao!
.... ukisoma mwanzo hadi mwisho utagundua ,,,heri kuoa!
Haijalishi umechukua mwerekeo upi bado kuna changamoto zitakuwepo na hata zinatofautiana uzito.
Kuna msemo between two evils choose lesser evil
Sasa ukweli mchungu ni kuwa .. kutokuoa ni kuchagua shetan hatari zaid!
Utafiti unaonyesha asiyeoa hufa miaka 5 kabla ya aliyeoa!
Na aliyeoa mke mmoja hufa mapema kuliko wa wengi!(sababu siijui na siko tayari kubishana na utafiti bila utafiti)
Sasa inapofikia huwezi kuoa, adui mkubwa ni HOFU ya kutokuwa na msaidizi! (endapo tafsiri, maana na hali ya ndoa itakuwa imebaki ile ile, siyo zile ndoa vita!)
Kwa sasa hoja sio kwanini kuoa au kutokuoa bali ni mashauriano ya endapo hukuoa ni mambo gani ujipange usingoje kuzeeka, wakati ambao ni muafaka kuwa na mwenza wa mnayeanguka na kuinuka pamoja!
Tunajua fika mara nyingi mme ndo huchakaa mapema hadi kuhitaji wa kumbadirisha pampers akipupu kama dogo!
Binafs nina haya kama maandalizi ya msingi.
1. Bima kubwa (km Aghakhan wanaohudumia kuliko 5 star hotel hadi unataman kuumwa tena! sio vifurush vya kutupiwa panadol!)
2. hisa katika kampuni kubwa zisizoyumba ( sio kama za walionunua kampun flan ya simu)
3. real estate investiments kama frames za kukodisha, nyumba/vyumba kupanga. pesa ikufate kwako bila usimamizi wa kila siku.
Pia misitu ya miti.
4. Serikali na wadau wawekeze nchini Bima ya kulea wazee katika nyumba maalum yenye hadhi na huduma kama huko nje (hapa simaanishi vituo vya sasa vya wazee mafukara unatunzwa ili ufe). namaanisha unaishi chini ya uangalizi mkubwa na mzuri kwa pesa zako ulizochangia na unajaliwa.
5. Pia wadau wawaishe AI ya kuunganisha ubongo na huduma mzee atakayo bila kuhitaji binadam.
Hofu yangu ni usipokuwa katika hali ya kifamilia unaweza kukutwa umekauka ndani!
Binadam wanazid kuwa wabinafs na busy, ikiwemo wanao!
.... ukisoma mwanzo hadi mwisho utagundua ,,,heri kuoa!