Jul 6, 2024
63
50
TUYAONDOE MAJAMBAZI YA KISIASA KWENYE VYEO YALIKOJIPENYEZA KWA RUSHWA YAKAPATA VYEO ILI TUBAKI NA WATU WAAMINIFU NA WAADILIFU WENYE UCHUNGU WA KUWAINUA MAFUKARA

Nilisikika nikiunguruma katika Ulimwengu wa Kiroho huko Ndotoni. Baada ya kuyaona Majambazi ya Kisiasa Baadhi yaliyo jipenyeza kwenye Cha na kushika Nyadhifa.

Nikaanza. Hatuwezi kuiongoza nchi pasipo kumtanguliza Mungu ili atubariki kutupatia Elimu ya kututosha kutenda Haki miongoni mwetu huku tukitanguliza hofu ya kumhofu Mwenyezi Mungu ndipo tutaweza kujuwa Chama chetu kinatutaka tufanye Nini ili kutenda Haki kwa waliotuamini na kutupatia ridhaa.

Huku sisi pia Wanaccm tukitendeana Haki kupunguza Makali na ugumu wa maisha unaopelekea kutufanya tuonekane Ombaomba mbele ya Jamii iliyotuamini. Shekhe Mussa kundecha alitoa mawaidha tarehe nakumbuka Tarehe 24/01/2023 alisema elimu lazima iwe Elimu sahihi inayokuongoza kumtambuwa Mwenyezi Mungu Subhahanahu Wataalla.

Kutambuwa miiko ya Mwenyezi Mungu Subhahanahu Wataalla kutambuwa ni nini kinakubalika na ni kipi hakikubaliki. Mwisho wa kunukuu.

Apostle Deonis Mutalemwa Bushir wa ECG Church huko Makongo. Nakumbuka Tarehe 01/08/2023
alisema mimi nasema ili huku (ndani kabisa ya moyo Wangu) nisibaki na kitu. (Wewe unayenisikiliza) umekipokea, hujakipokea, kimetokea, me I don't care. Mwisho wa kunukuu.

Tuache kuishi maisha feki ya kusimama Majukwaani na kutamka Mambo yaliyo feki Kinyume na matakwa ya katiba Kanuni Miongozo na taratibu zetu. Tutoke kwenye ufeki, turudi kwenye Uhalisia
Katika simulizi za Denis Mpagaze zilizo somwa na Msomi maarufu Ananias Edger Tarehe 21/08/2022
Alisema, unaishi maisha feki, kuanzia kuwaza feki, kuvaa feki, kula feki, yaani sio wewe kabisa kwa sababu uko na ufeki feki mwingi. Mwisho wa kunukuu.

Mheshimiwa saaana Dkt Sophia Edward Mjema akiwa Katibu NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa
aliwahi kusema lazima Wanachama wetu tuwafundishe wajuwe chama kinataka nini. Mwisho wa kunukuu Chama Cha Mapinduzi kinataka Kila mtu na Binadamu anayetumua aliyejipima, akajiona, anafaa kujiunga na CCM ni lazima, sio ombi afuate Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 toleo la 2005 ibara 26(1)(2) na ibara 9(a)(b)(f)(h).

Afuate Sheria The Political Parties act chapter 258 inayotuelekeza kuheshimu kwa utii Mkubwa maandiko ya Chama kimaneno na kivitendo aheshimu ilani ya CCM 2020 uk 01 ibara 04
Uk 161-168 kwa maneno na Vitendo visivyo na bla bla akimalizia ibara 10 na 11. Aheshimu kitabu Cha Awamu ya tatu ya Mradi kukiimarisha Chama uk 07 usia aliotupatia Mheshimiwa Dkt Jakaya Mrisho Kikwete.

Aheshimu na kutoa Maamuzi magumu baada ya kusoma katiba Kanuni Miongozo na taratibu za Chama huku kipekee akizingatia Kanuni ya Fedha na Mali za Chama na Jumuiya zake uk 164-165 kwa Msisitizo wa kuyaishi maneno hayo huku akijikumbusha katiba ya CCM 1977 toleo 2022 uk 08 ibara 13(1)(c)(d)(e) bila kuiacha ibara 19(1)(c)(d) huku akisoma na kutoa machozi.

Huyo Ndiyo kada anayeweza kuisaidia Tanzania pasipo na Bla bla. Nakumbuka Tarehe 10/11/2023
Mheshimiwa Paul Christian Makonda atibu NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa akiwa Chato alisema
Mimi nataka kufuata Sheria. Chama hiki (CCM) kinasema tufuate nini? (Sheriaaaa). Mwisho wa kunukuu

Nakumbuka February 2019 Hayati Mwenyekiti wa CCM Taifa Dkt John Pombe Joseph Magufuli
Katika wiki ya Sheria Alisema Ingawa Mimi sio Mwanasheria Lakini napenda Sana Sheria. Sheria ni muhimu katika kujenga Umoja kwenye Jamii Kuimarisha uhusiano katika ya serikali na Wananchi kulinda Uhuru Haki za Wananchi, Kudumisha amani Na kuzuia ama kuondoa migogoro katika Jamii na Taifa kwa ujumla.

Mwisho wa kunukuu Naye Mheshimiwa Dkt Samia Suluhu Hassan Rais wa Tanzania Katika Maadhimisho ya Miaka 60 ya KKKT Arusha Alisema Serikali ya Awamu ya Sita imejidhatiti kuimarisha Misingi ya Utawala Bora unaozingatia sheria Demokrasia na Maadili yetu Kama Watanzania. Mimi Binafsi nimedhamiria hivyo. Na ndivyo ninavyo waelezaWasaidizi Wangu. Mwisho wa kunukuu.

Ili Chama kiwe na watu Waadilifu na Waaminifu hakuna namna tunavyoweza kukwepa kuwaondoa Viongozi wote Waliopenya kwa Rushwa Kinyume na utaratibu ambao hawakubaliki kwa Wanaccm walio wengi kisa tu ni Mpango kazi wa wakubwa Fulani kwa ajili ya uchaguzi 2025. Mheshimiwa Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli katika hafla ya kuapisha Waziri Mkuu Tarehe 16/11/2020 alisema
Ndiyo Ukweli.

Maneno mengi yanaumiza lakini nataka niwaeleze muwe munajitayarisha kisaikolojia. Mwisho wa kunukuu Naye Mheshimiwa Paul Christian Makonda, Katibu NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nakumbuka Tarehe 10/11/2023 Akiwa Chato Alisema Nimuombe Mwenyekiti Wangu wa Chama (Cha Mapinduzi) Mkoa Na Wilaya.

Tunaelekea kwenye Uchaguzi wa serikali za Mitaa mwakani (2024) Hakikisheni mnapitisha majina ya Wagombea Waadilifu (Waaminifu) Kama ambavyo viapo (vyenu ) na Kanuni za Chama zinataka.
Ili (wapatikane Viongozi) wafanye kazi kwa Maslahi ya Wananchi. Mwisho wa kunukuu.

Maneno haya ni mazuri ila bila ya kuwaondoa kwenye Nyadhifa Viongozi wasio takiwa na Wanaccm walio wengi itakuwa ni kama kukisaka kibinti kigoli ndani ya Wodi ya kujifungulia akina Mama.
Mwarobaini wa haya ni kusimama kwenye Haki. Anayestahili abakie kwenye nafasi yake. Asiyetakiwa atoke.

Huku ndiko kuyatendea Haki Maandiko ya mifumo ya nchi na kuvitendea Haki viapo Na kuwa na hofu ya Mwenyezi Mungu. Utumishi wa umma sio kuonyesha kiburi Cha Madaraka Bali kujishusha na kuwaonea huruma Mafukara wanaokutegemea utende Haki kwa kuwapatia Viongozi watakao weza kuwasaidia wasiotokana na Rushwa hapo ndipo Tutasema tuna hofu ya Mwenyezi Mungu.

Hatutakuwa na hofu ya kumhofu Mwenyezi Mungu kwa kuwabeba Viongozi waliotapikwa na Jamii halafu sisi tukatumia Madaraka yetu kuyalinda Majambazi ya Kisiasa kwa Maslahi ya wachache watoa Rushwa kununua Vyeo kwa Maslahi Binafsi. Kuutambuwa utu wa mtu ni pamoja na kuwatendea Haki Mafukara kuwapatia Viongozi safi watokanao na ridhaa yao.

Nakumbuka Tarehe Mwaka 2019 Hayati Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli Akiwa Mpanda Katavi. Alisema Inasikitisha saana. Tulikuwa tumefika katika level ya kuto kutambuwa utu wa Watanzania.
Nikasema hapana. Katika Utawala Wangu. Lazima hawa watu masikini walionipigia kura juwa linawachoma Mnvua inawanyeshea Wakanipa kura Mimi Magufuli. Ni lazima Magufuli haya yakatumike kufungua maisha yao kwa ajili ya Maendeleo Yao.

Kwa hiyo napenda kuwahakikishia ndugu zangu , Mimi nitaendelea kuwa Mtumishi wenu Mmenipa hii kazi Kazi hii ni sadaka kwenu, Ni sadaka kwa Watanzania kwa ajili ya kuwatoa machozi (yawatoke yasiwepo) na kuwatumikia Hilo ndilo lengo langu. Na ndiyo maana huwa namuomba saana Mwenyezi Mungu na Ninyi muendelee kuniombea na Viongozi wa Dini muendelee kuniombea. Kamwe Nisijekuwa Na kiburi. Nikaendelee kuwatumikia Watanzania bila kuwabagua. Nisiwabaguwe Kwa Dini zao
Makabila Yao. Nikawe Mtumishi wenu.

Na Utumishi Wangu ukawaguse ninyi katika kuwaondolea kero na kuwatajirisha katika maisha yenu
Hicho ndicho ninaomba.. Mwisho wa kunukuu. Mheshimiwa Paul Christian Makonda Umeanza vyema
Nikiombe saana Ebu fumba macho Safisha Chama. Watoe wote waliowekwa kimpango kazi. Weka watu wanaokubalika na Wanaccm Mafukara Kwa Taarifa yako. Makada wafia Chama wote wako nje
Hawana Vyeo.

Waliopo wanaonekana kama ni CCM lakini wapo kwenye vyeo hivyo wakiwa hawajuwi kabisaa lolote lile kuhusu Katiba Kanuni Miongozo na Taratibu. Ndiyo maana migogoro ndani ya CCM imeshamiri.
Nakuomba ufuate Mienendo Hiyo ya Dkt Samia Suluhu Hassan bila kuacha kuuishi Ujasiri wa Hayati Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli ili uisaidie nchi kuirudisha pale inapostahili kuwa .
Nakumbuka Tarehe 10/11/2023. Mheshimiwa Paul Christian Makonda. Katibu NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Akiwa Chato Alisema Nimekuja kuona Mzee Wangu (Dkt John Pombe Joseph Magufuli) alipolala
Nimekuja kuona kaburi la Mpendwa wetu.

Mwalimu Wangu, Rafiki, Mshauri Ninayempenda saana ambaye siwezi kumkana hata ukiniwekea bastola (Watu ) wanasema Sema Hukooo Wanatukana Watasemaje Lakini Mimi Paul Christian Makonda Sitamkana Dkt John Joseph Pombe Magufuli Ni Roll modle Wangu. Na Hilo Wala Sina wasiwasi nalo.

Yaani Mimi si yule mtu wa kumung'unya mung'unya maneno. Wako watu Wanajichanganya
Changanya Akifika mahali anatoka (ili) aonekane mzuri kidogo. Mara (mtu Huyo) anasema sema maneno ya hovyo. Uongo Uzushi. Kwa sababu (Dkt Magufuli) ameisha kufa. Hawezi (Tena) kuongea.
Basi kila kitu kibaya Wanamsingizia Yeye. Mimi nasema Paul Christian Makonda. Sitamkana(Dkt) Magufuli. Najuwa Mchango wake katika Taifa hili. Najuwa Uaminifu wake katika Taifa hili
Najuwa Mapenzi alipokuwa nayo na alama alizoziacha.

Mwisho wa kunukuu, Mheshimiwa Paul Makonda Mzee wetu Magufuli alitaka Sisi Tutajirike Tukiinue Chama kimapato Maskini wasionewe Viongozi wabovu , wezi na Wala Rushwa watolewe
Nimebuni miradi ya kuongeza Pato la CCM sikupata msaada kwa miaka mingi Nimeandika mabarua kwa wizara zote Mikoa yote Wakurugenzi wote, Idara zote Kimyaaa. Isipokuwa TU Mkubwa wa Majeshi aliyenipatia msaidizi wake kunisikiliza. Safu zisiwepo. Haki zitendeke. Mheshimiwa Paul Makonda hukoo Nkiwanzeeezaa. Kuna Viongozi Miungu watu Ebu wasaidie Mafukara kuwatolea wasio Wahitaji.

Ukiyafanya hayo Mheshimiwa. Kwa Umoja wetu tutakuwa tunamuenzi Hayati Dkt John Pombe Joseph Magufuli kwa vitendo na sio maneno matupu. Nikashtuka kutoka Ndotoni nikiwa naona kushoto ndiyo kulia Na kulia ndiyo kushoto Ebu nilale Tena nikiamka pengine nitakuwa sawa. Kidumu Chama Cha Mapinduzi.

Mathias Mugerwa Kahinga

🙏🏿🙏🏿🙏🏿🔨🔨🔨💪🏿💪🏿💪🏿
 
A new member na
TUYAONDOE MAJAMBAZI YA KISIASA KWENYE VYEO YALIKOJIPENYEZA KWA RUSHWA YAKAPATA VYEO ILI TUBAKI NA WATU WAAMINIFU NA WAADILIFU WENYE UCHUNGU WA KUWAINUA MAFUKARA

Nilisikika nikiunguruma katika Ulimwengu wa Kiroho huko Ndotoni. Baada ya kuyaona Majambazi ya Kisiasa Baadhi yaliyo jipenyeza kwenye Cha na kushika Nyadhifa.

Nikaanza. Hatuwezi kuiongoza nchi pasipo kumtanguliza Mungu ili atubariki kutupatia Elimu ya kututosha kutenda Haki miongoni mwetu huku tukitanguliza hofu ya kumhofu Mwenyezi Mungu ndipo tutaweza kujuwa Chama chetu kinatutaka tufanye Nini ili kutenda Haki kwa waliotuamini na kutupatia ridhaa.

Huku sisi pia Wanaccm tukitendeana Haki kupunguza Makali na ugumu wa maisha unaopelekea kutufanya tuonekane Ombaomba mbele ya Jamii iliyotuamini. Shekhe Mussa kundecha alitoa mawaidha tarehe nakumbuka Tarehe 24/01/2023 alisema elimu lazima iwe Elimu sahihi inayokuongoza kumtambuwa Mwenyezi Mungu Subhahanahu Wataalla.

Kutambuwa miiko ya Mwenyezi Mungu Subhahanahu Wataalla kutambuwa ni nini kinakubalika na ni kipi hakikubaliki. Mwisho wa kunukuu.

Apostle Deonis Mutalemwa Bushir wa ECG Church huko Makongo. Nakumbuka Tarehe 01/08/2023
alisema mimi nasema ili huku (ndani kabisa ya moyo Wangu) nisibaki na kitu. (Wewe unayenisikiliza) umekipokea, hujakipokea, kimetokea, me I don't care. Mwisho wa kunukuu.

Tuache kuishi maisha feki ya kusimama Majukwaani na kutamka Mambo yaliyo feki Kinyume na matakwa ya katiba Kanuni Miongozo na taratibu zetu. Tutoke kwenye ufeki, turudi kwenye Uhalisia
Katika simulizi za Denis Mpagaze zilizo somwa na Msomi maarufu Ananias Edger Tarehe 21/08/2022
Alisema, unaishi maisha feki, kuanzia kuwaza feki, kuvaa feki, kula feki, yaani sio wewe kabisa kwa sababu uko na ufeki feki mwingi. Mwisho wa kunukuu.

Mheshimiwa saaana Dkt Sophia Edward Mjema akiwa Katibu NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa
aliwahi kusema lazima Wanachama wetu tuwafundishe wajuwe chama kinataka nini. Mwisho wa kunukuu Chama Cha Mapinduzi kinataka Kila mtu na Binadamu anayetumua aliyejipima, akajiona, anafaa kujiunga na CCM ni lazima, sio ombi afuate Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 toleo la 2005 ibara 26(1)(2) na ibara 9(a)(b)(f)(h).

Afuate Sheria The Political Parties act chapter 258 inayotuelekeza kuheshimu kwa utii Mkubwa maandiko ya Chama kimaneno na kivitendo aheshimu ilani ya CCM 2020 uk 01 ibara 04
Uk 161-168 kwa maneno na Vitendo visivyo na bla bla akimalizia ibara 10 na 11. Aheshimu kitabu Cha Awamu ya tatu ya Mradi kukiimarisha Chama uk 07 usia aliotupatia Mheshimiwa Dkt Jakaya Mrisho Kikwete.

Aheshimu na kutoa Maamuzi magumu baada ya kusoma katiba Kanuni Miongozo na taratibu za Chama huku kipekee akizingatia Kanuni ya Fedha na Mali za Chama na Jumuiya zake uk 164-165 kwa Msisitizo wa kuyaishi maneno hayo huku akijikumbusha katiba ya CCM 1977 toleo 2022 uk 08 ibara 13(1)(c)(d)(e) bila kuiacha ibara 19(1)(c)(d) huku akisoma na kutoa machozi.

Huyo Ndiyo kada anayeweza kuisaidia Tanzania pasipo na Bla bla. Nakumbuka Tarehe 10/11/2023
Mheshimiwa Paul Christian Makonda atibu NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa akiwa Chato alisema
Mimi nataka kufuata Sheria. Chama hiki (CCM) kinasema tufuate nini? (Sheriaaaa). Mwisho wa kunukuu

Nakumbuka February 2019 Hayati Mwenyekiti wa CCM Taifa Dkt John Pombe Joseph Magufuli
Katika wiki ya Sheria Alisema Ingawa Mimi sio Mwanasheria Lakini napenda Sana Sheria. Sheria ni muhimu katika kujenga Umoja kwenye Jamii Kuimarisha uhusiano katika ya serikali na Wananchi kulinda Uhuru Haki za Wananchi, Kudumisha amani Na kuzuia ama kuondoa migogoro katika Jamii na Taifa kwa ujumla.

Mwisho wa kunukuu Naye Mheshimiwa Dkt Samia Suluhu Hassan Rais wa Tanzania Katika Maadhimisho ya Miaka 60 ya KKKT Arusha Alisema Serikali ya Awamu ya Sita imejidhatiti kuimarisha Misingi ya Utawala Bora unaozingatia sheria Demokrasia na Maadili yetu Kama Watanzania. Mimi Binafsi nimedhamiria hivyo. Na ndivyo ninavyo waelezaWasaidizi Wangu. Mwisho wa kunukuu.

Ili Chama kiwe na watu Waadilifu na Waaminifu hakuna namna tunavyoweza kukwepa kuwaondoa Viongozi wote Waliopenya kwa Rushwa Kinyume na utaratibu ambao hawakubaliki kwa Wanaccm walio wengi kisa tu ni Mpango kazi wa wakubwa Fulani kwa ajili ya uchaguzi 2025. Mheshimiwa Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli katika hafla ya kuapisha Waziri Mkuu Tarehe 16/11/2020 alisema
Ndiyo Ukweli.

Maneno mengi yanaumiza lakini nataka niwaeleze muwe munajitayarisha kisaikolojia. Mwisho wa kunukuu Naye Mheshimiwa Paul Christian Makonda, Katibu NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nakumbuka Tarehe 10/11/2023 Akiwa Chato Alisema Nimuombe Mwenyekiti Wangu wa Chama (Cha Mapinduzi) Mkoa Na Wilaya.

Tunaelekea kwenye Uchaguzi wa serikali za Mitaa mwakani (2024) Hakikisheni mnapitisha majina ya Wagombea Waadilifu (Waaminifu) Kama ambavyo viapo (vyenu ) na Kanuni za Chama zinataka.
Ili (wapatikane Viongozi) wafanye kazi kwa Maslahi ya Wananchi. Mwisho wa kunukuu.

Maneno haya ni mazuri ila bila ya kuwaondoa kwenye Nyadhifa Viongozi wasio takiwa na Wanaccm walio wengi itakuwa ni kama kukisaka kibinti kigoli ndani ya Wodi ya kujifungulia akina Mama.
Mwarobaini wa haya ni kusimama kwenye Haki. Anayestahili abakie kwenye nafasi yake. Asiyetakiwa atoke.

Huku ndiko kuyatendea Haki Maandiko ya mifumo ya nchi na kuvitendea Haki viapo Na kuwa na hofu ya Mwenyezi Mungu. Utumishi wa umma sio kuonyesha kiburi Cha Madaraka Bali kujishusha na kuwaonea huruma Mafukara wanaokutegemea utende Haki kwa kuwapatia Viongozi watakao weza kuwasaidia wasiotokana na Rushwa hapo ndipo Tutasema tuna hofu ya Mwenyezi Mungu.

Hatutakuwa na hofu ya kumhofu Mwenyezi Mungu kwa kuwabeba Viongozi waliotapikwa na Jamii halafu sisi tukatumia Madaraka yetu kuyalinda Majambazi ya Kisiasa kwa Maslahi ya wachache watoa Rushwa kununua Vyeo kwa Maslahi Binafsi. Kuutambuwa utu wa mtu ni pamoja na kuwatendea Haki Mafukara kuwapatia Viongozi safi watokanao na ridhaa yao.

Nakumbuka Tarehe Mwaka 2019 Hayati Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli Akiwa Mpanda Katavi. Alisema Inasikitisha saana. Tulikuwa tumefika katika level ya kuto kutambuwa utu wa Watanzania.
Nikasema hapana. Katika Utawala Wangu. Lazima hawa watu masikini walionipigia kura juwa linawachoma Mnvua inawanyeshea Wakanipa kura Mimi Magufuli. Ni lazima Magufuli haya yakatumike kufungua maisha yao kwa ajili ya Maendeleo Yao.

Kwa hiyo napenda kuwahakikishia ndugu zangu , Mimi nitaendelea kuwa Mtumishi wenu Mmenipa hii kazi Kazi hii ni sadaka kwenu, Ni sadaka kwa Watanzania kwa ajili ya kuwatoa machozi (yawatoke yasiwepo) na kuwatumikia Hilo ndilo lengo langu. Na ndiyo maana huwa namuomba saana Mwenyezi Mungu na Ninyi muendelee kuniombea na Viongozi wa Dini muendelee kuniombea. Kamwe Nisijekuwa Na kiburi. Nikaendelee kuwatumikia Watanzania bila kuwabagua. Nisiwabaguwe Kwa Dini zao
Makabila Yao. Nikawe Mtumishi wenu.

Na Utumishi Wangu ukawaguse ninyi katika kuwaondolea kero na kuwatajirisha katika maisha yenu
Hicho ndicho ninaomba.. Mwisho wa kunukuu. Mheshimiwa Paul Christian Makonda Umeanza vyema
Nikiombe saana Ebu fumba macho Safisha Chama. Watoe wote waliowekwa kimpango kazi. Weka watu wanaokubalika na Wanaccm Mafukara Kwa Taarifa yako. Makada wafia Chama wote wako nje
Hawana Vyeo.

Waliopo wanaonekana kama ni CCM lakini wapo kwenye vyeo hivyo wakiwa hawajuwi kabisaa lolote lile kuhusu Katiba Kanuni Miongozo na Taratibu. Ndiyo maana migogoro ndani ya CCM imeshamiri.
Nakuomba ufuate Mienendo Hiyo ya Dkt Samia Suluhu Hassan bila kuacha kuuishi Ujasiri wa Hayati Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli ili uisaidie nchi kuirudisha pale inapostahili kuwa .
Nakumbuka Tarehe 10/11/2023. Mheshimiwa Paul Christian Makonda. Katibu NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Akiwa Chato Alisema Nimekuja kuona Mzee Wangu (Dkt John Pombe Joseph Magufuli) alipolala
Nimekuja kuona kaburi la Mpendwa wetu.

Mwalimu Wangu, Rafiki, Mshauri Ninayempenda saana ambaye siwezi kumkana hata ukiniwekea bastola (Watu ) wanasema Sema Hukooo Wanatukana Watasemaje Lakini Mimi Paul Christian Makonda Sitamkana Dkt John Joseph Pombe Magufuli Ni Roll modle Wangu. Na Hilo Wala Sina wasiwasi nalo.

Yaani Mimi si yule mtu wa kumung'unya mung'unya maneno. Wako watu Wanajichanganya
Changanya Akifika mahali anatoka (ili) aonekane mzuri kidogo. Mara (mtu Huyo) anasema sema maneno ya hovyo. Uongo Uzushi. Kwa sababu (Dkt Magufuli) ameisha kufa. Hawezi (Tena) kuongea.
Basi kila kitu kibaya Wanamsingizia Yeye. Mimi nasema Paul Christian Makonda. Sitamkana(Dkt) Magufuli. Najuwa Mchango wake katika Taifa hili. Najuwa Uaminifu wake katika Taifa hili
Najuwa Mapenzi alipokuwa nayo na alama alizoziacha.

Mwisho wa kunukuu, Mheshimiwa Paul Makonda Mzee wetu Magufuli alitaka Sisi Tutajirike Tukiinue Chama kimapato Maskini wasionewe Viongozi wabovu , wezi na Wala Rushwa watolewe
Nimebuni miradi ya kuongeza Pato la CCM sikupata msaada kwa miaka mingi Nimeandika mabarua kwa wizara zote Mikoa yote Wakurugenzi wote, Idara zote Kimyaaa. Isipokuwa TU Mkubwa wa Majeshi aliyenipatia msaidizi wake kunisikiliza. Safu zisiwepo. Haki zitendeke. Mheshimiwa Paul Makonda hukoo Nkiwanzeeezaa. Kuna Viongozi Miungu watu Ebu wasaidie Mafukara kuwatolea wasio Wahitaji.

Ukiyafanya hayo Mheshimiwa. Kwa Umoja wetu tutakuwa tunamuenzi Hayati Dkt John Pombe Joseph Magufuli kwa vitendo na sio maneno matupu. Nikashtuka kutoka Ndotoni nikiwa naona kushoto ndiyo kulia Na kulia ndiyo kushoto Ebu nilale Tena nikiamka pengine nitakuwa sawa. Kidumu Chama Cha Mapinduzi.

Mathias Mugerwa Kahinga

🙏🏿🙏🏿🙏🏿🔨🔨🔨💪🏿💪🏿💪🏿
Lukas mwashambwa kapatwa 🤣
 
TUYAONDOE MAJAMBAZI YA KISIASA KWENYE VYEO YALIKOJIPENYEZA KWA RUSHWA YAKAPATA VYEO ILI TUBAKI NA WATU WAAMINIFU NA WAADILIFU WENYE UCHUNGU WA KUWAINUA MAFUKARA

Nilisikika nikiunguruma katika Ulimwengu wa Kiroho huko Ndotoni. Baada ya kuyaona Majambazi ya Kisiasa Baadhi yaliyo jipenyeza kwenye Cha na kushika Nyadhifa.

Nikaanza. Hatuwezi kuiongoza nchi pasipo kumtanguliza Mungu ili atubariki kutupatia Elimu ya kututosha kutenda Haki miongoni mwetu huku tukitanguliza hofu ya kumhofu Mwenyezi Mungu ndipo tutaweza kujuwa Chama chetu kinatutaka tufanye Nini ili kutenda Haki kwa waliotuamini na kutupatia ridhaa.

Huku sisi pia Wanaccm tukitendeana Haki kupunguza Makali na ugumu wa maisha unaopelekea kutufanya tuonekane Ombaomba mbele ya Jamii iliyotuamini. Shekhe Mussa kundecha alitoa mawaidha tarehe nakumbuka Tarehe 24/01/2023 alisema elimu lazima iwe Elimu sahihi inayokuongoza kumtambuwa Mwenyezi Mungu Subhahanahu Wataalla.

Kutambuwa miiko ya Mwenyezi Mungu Subhahanahu Wataalla kutambuwa ni nini kinakubalika na ni kipi hakikubaliki. Mwisho wa kunukuu.

Apostle Deonis Mutalemwa Bushir wa ECG Church huko Makongo. Nakumbuka Tarehe 01/08/2023
alisema mimi nasema ili huku (ndani kabisa ya moyo Wangu) nisibaki na kitu. (Wewe unayenisikiliza) umekipokea, hujakipokea, kimetokea, me I don't care. Mwisho wa kunukuu.

Tuache kuishi maisha feki ya kusimama Majukwaani na kutamka Mambo yaliyo feki Kinyume na matakwa ya katiba Kanuni Miongozo na taratibu zetu. Tutoke kwenye ufeki, turudi kwenye Uhalisia
Katika simulizi za Denis Mpagaze zilizo somwa na Msomi maarufu Ananias Edger Tarehe 21/08/2022
Alisema, unaishi maisha feki, kuanzia kuwaza feki, kuvaa feki, kula feki, yaani sio wewe kabisa kwa sababu uko na ufeki feki mwingi. Mwisho wa kunukuu.

Mheshimiwa saaana Dkt Sophia Edward Mjema akiwa Katibu NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa
aliwahi kusema lazima Wanachama wetu tuwafundishe wajuwe chama kinataka nini. Mwisho wa kunukuu Chama Cha Mapinduzi kinataka Kila mtu na Binadamu anayetumua aliyejipima, akajiona, anafaa kujiunga na CCM ni lazima, sio ombi afuate Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 toleo la 2005 ibara 26(1)(2) na ibara 9(a)(b)(f)(h).

Afuate Sheria The Political Parties act chapter 258 inayotuelekeza kuheshimu kwa utii Mkubwa maandiko ya Chama kimaneno na kivitendo aheshimu ilani ya CCM 2020 uk 01 ibara 04
Uk 161-168 kwa maneno na Vitendo visivyo na bla bla akimalizia ibara 10 na 11. Aheshimu kitabu Cha Awamu ya tatu ya Mradi kukiimarisha Chama uk 07 usia aliotupatia Mheshimiwa Dkt Jakaya Mrisho Kikwete.

Aheshimu na kutoa Maamuzi magumu baada ya kusoma katiba Kanuni Miongozo na taratibu za Chama huku kipekee akizingatia Kanuni ya Fedha na Mali za Chama na Jumuiya zake uk 164-165 kwa Msisitizo wa kuyaishi maneno hayo huku akijikumbusha katiba ya CCM 1977 toleo 2022 uk 08 ibara 13(1)(c)(d)(e) bila kuiacha ibara 19(1)(c)(d) huku akisoma na kutoa machozi.

Huyo Ndiyo kada anayeweza kuisaidia Tanzania pasipo na Bla bla. Nakumbuka Tarehe 10/11/2023
Mheshimiwa Paul Christian Makonda atibu NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa akiwa Chato alisema
Mimi nataka kufuata Sheria. Chama hiki (CCM) kinasema tufuate nini? (Sheriaaaa). Mwisho wa kunukuu

Nakumbuka February 2019 Hayati Mwenyekiti wa CCM Taifa Dkt John Pombe Joseph Magufuli
Katika wiki ya Sheria Alisema Ingawa Mimi sio Mwanasheria Lakini napenda Sana Sheria. Sheria ni muhimu katika kujenga Umoja kwenye Jamii Kuimarisha uhusiano katika ya serikali na Wananchi kulinda Uhuru Haki za Wananchi, Kudumisha amani Na kuzuia ama kuondoa migogoro katika Jamii na Taifa kwa ujumla.

Mwisho wa kunukuu Naye Mheshimiwa Dkt Samia Suluhu Hassan Rais wa Tanzania Katika Maadhimisho ya Miaka 60 ya KKKT Arusha Alisema Serikali ya Awamu ya Sita imejidhatiti kuimarisha Misingi ya Utawala Bora unaozingatia sheria Demokrasia na Maadili yetu Kama Watanzania. Mimi Binafsi nimedhamiria hivyo. Na ndivyo ninavyo waelezaWasaidizi Wangu. Mwisho wa kunukuu.

Ili Chama kiwe na watu Waadilifu na Waaminifu hakuna namna tunavyoweza kukwepa kuwaondoa Viongozi wote Waliopenya kwa Rushwa Kinyume na utaratibu ambao hawakubaliki kwa Wanaccm walio wengi kisa tu ni Mpango kazi wa wakubwa Fulani kwa ajili ya uchaguzi 2025. Mheshimiwa Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli katika hafla ya kuapisha Waziri Mkuu Tarehe 16/11/2020 alisema
Ndiyo Ukweli.

Maneno mengi yanaumiza lakini nataka niwaeleze muwe munajitayarisha kisaikolojia. Mwisho wa kunukuu Naye Mheshimiwa Paul Christian Makonda, Katibu NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nakumbuka Tarehe 10/11/2023 Akiwa Chato Alisema Nimuombe Mwenyekiti Wangu wa Chama (Cha Mapinduzi) Mkoa Na Wilaya.

Tunaelekea kwenye Uchaguzi wa serikali za Mitaa mwakani (2024) Hakikisheni mnapitisha majina ya Wagombea Waadilifu (Waaminifu) Kama ambavyo viapo (vyenu ) na Kanuni za Chama zinataka.
Ili (wapatikane Viongozi) wafanye kazi kwa Maslahi ya Wananchi. Mwisho wa kunukuu.

Maneno haya ni mazuri ila bila ya kuwaondoa kwenye Nyadhifa Viongozi wasio takiwa na Wanaccm walio wengi itakuwa ni kama kukisaka kibinti kigoli ndani ya Wodi ya kujifungulia akina Mama.
Mwarobaini wa haya ni kusimama kwenye Haki. Anayestahili abakie kwenye nafasi yake. Asiyetakiwa atoke.

Huku ndiko kuyatendea Haki Maandiko ya mifumo ya nchi na kuvitendea Haki viapo Na kuwa na hofu ya Mwenyezi Mungu. Utumishi wa umma sio kuonyesha kiburi Cha Madaraka Bali kujishusha na kuwaonea huruma Mafukara wanaokutegemea utende Haki kwa kuwapatia Viongozi watakao weza kuwasaidia wasiotokana na Rushwa hapo ndipo Tutasema tuna hofu ya Mwenyezi Mungu.

Hatutakuwa na hofu ya kumhofu Mwenyezi Mungu kwa kuwabeba Viongozi waliotapikwa na Jamii halafu sisi tukatumia Madaraka yetu kuyalinda Majambazi ya Kisiasa kwa Maslahi ya wachache watoa Rushwa kununua Vyeo kwa Maslahi Binafsi. Kuutambuwa utu wa mtu ni pamoja na kuwatendea Haki Mafukara kuwapatia Viongozi safi watokanao na ridhaa yao.

Nakumbuka Tarehe Mwaka 2019 Hayati Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli Akiwa Mpanda Katavi. Alisema Inasikitisha saana. Tulikuwa tumefika katika level ya kuto kutambuwa utu wa Watanzania.
Nikasema hapana. Katika Utawala Wangu. Lazima hawa watu masikini walionipigia kura juwa linawachoma Mnvua inawanyeshea Wakanipa kura Mimi Magufuli. Ni lazima Magufuli haya yakatumike kufungua maisha yao kwa ajili ya Maendeleo Yao.

Kwa hiyo napenda kuwahakikishia ndugu zangu , Mimi nitaendelea kuwa Mtumishi wenu Mmenipa hii kazi Kazi hii ni sadaka kwenu, Ni sadaka kwa Watanzania kwa ajili ya kuwatoa machozi (yawatoke yasiwepo) na kuwatumikia Hilo ndilo lengo langu. Na ndiyo maana huwa namuomba saana Mwenyezi Mungu na Ninyi muendelee kuniombea na Viongozi wa Dini muendelee kuniombea. Kamwe Nisijekuwa Na kiburi. Nikaendelee kuwatumikia Watanzania bila kuwabagua. Nisiwabaguwe Kwa Dini zao
Makabila Yao. Nikawe Mtumishi wenu.

Na Utumishi Wangu ukawaguse ninyi katika kuwaondolea kero na kuwatajirisha katika maisha yenu
Hicho ndicho ninaomba.. Mwisho wa kunukuu. Mheshimiwa Paul Christian Makonda Umeanza vyema
Nikiombe saana Ebu fumba macho Safisha Chama. Watoe wote waliowekwa kimpango kazi. Weka watu wanaokubalika na Wanaccm Mafukara Kwa Taarifa yako. Makada wafia Chama wote wako nje
Hawana Vyeo.

Waliopo wanaonekana kama ni CCM lakini wapo kwenye vyeo hivyo wakiwa hawajuwi kabisaa lolote lile kuhusu Katiba Kanuni Miongozo na Taratibu. Ndiyo maana migogoro ndani ya CCM imeshamiri.
Nakuomba ufuate Mienendo Hiyo ya Dkt Samia Suluhu Hassan bila kuacha kuuishi Ujasiri wa Hayati Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli ili uisaidie nchi kuirudisha pale inapostahili kuwa .
Nakumbuka Tarehe 10/11/2023. Mheshimiwa Paul Christian Makonda. Katibu NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Akiwa Chato Alisema Nimekuja kuona Mzee Wangu (Dkt John Pombe Joseph Magufuli) alipolala
Nimekuja kuona kaburi la Mpendwa wetu.

Mwalimu Wangu, Rafiki, Mshauri Ninayempenda saana ambaye siwezi kumkana hata ukiniwekea bastola (Watu ) wanasema Sema Hukooo Wanatukana Watasemaje Lakini Mimi Paul Christian Makonda Sitamkana Dkt John Joseph Pombe Magufuli Ni Roll modle Wangu. Na Hilo Wala Sina wasiwasi nalo.

Yaani Mimi si yule mtu wa kumung'unya mung'unya maneno. Wako watu Wanajichanganya
Changanya Akifika mahali anatoka (ili) aonekane mzuri kidogo. Mara (mtu Huyo) anasema sema maneno ya hovyo. Uongo Uzushi. Kwa sababu (Dkt Magufuli) ameisha kufa. Hawezi (Tena) kuongea.
Basi kila kitu kibaya Wanamsingizia Yeye. Mimi nasema Paul Christian Makonda. Sitamkana(Dkt) Magufuli. Najuwa Mchango wake katika Taifa hili. Najuwa Uaminifu wake katika Taifa hili
Najuwa Mapenzi alipokuwa nayo na alama alizoziacha.

Mwisho wa kunukuu, Mheshimiwa Paul Makonda Mzee wetu Magufuli alitaka Sisi Tutajirike Tukiinue Chama kimapato Maskini wasionewe Viongozi wabovu , wezi na Wala Rushwa watolewe
Nimebuni miradi ya kuongeza Pato la CCM sikupata msaada kwa miaka mingi Nimeandika mabarua kwa wizara zote Mikoa yote Wakurugenzi wote, Idara zote Kimyaaa. Isipokuwa TU Mkubwa wa Majeshi aliyenipatia msaidizi wake kunisikiliza. Safu zisiwepo. Haki zitendeke. Mheshimiwa Paul Makonda hukoo Nkiwanzeeezaa. Kuna Viongozi Miungu watu Ebu wasaidie Mafukara kuwatolea wasio Wahitaji.

Ukiyafanya hayo Mheshimiwa. Kwa Umoja wetu tutakuwa tunamuenzi Hayati Dkt John Pombe Joseph Magufuli kwa vitendo na sio maneno matupu. Nikashtuka kutoka Ndotoni nikiwa naona kushoto ndiyo kulia Na kulia ndiyo kushoto Ebu nilale Tena nikiamka pengine nitakuwa sawa. Kidumu Chama Cha Mapinduzi.

Mathias Mugerwa Kahinga

🙏🏿🙏🏿🙏🏿🔨🔨🔨💪🏿💪🏿💪🏿
Huwa mnapata wapi muda wa kuandika pumba zote hizo!?

Hiyo ni dalili kwamba hukuwa na hoja mahsusi!!

Ulipokuwa unaandika ukawa unaongeza Kila kinachokuja kichwani!! Kha
 
TUYAONDOE MAJAMBAZI YA KISIASA KWENYE VYEO YALIKOJIPENYEZA KWA RUSHWA YAKAPATA VYEO ILI TUBAKI NA WATU WAAMINIFU NA WAADILIFU WENYE UCHUNGU WA KUWAINUA MAFUKARA

Nilisikika nikiunguruma katika Ulimwengu wa Kiroho huko Ndotoni. Baada ya kuyaona Majambazi ya Kisiasa Baadhi yaliyo jipenyeza kwenye Cha na kushika Nyadhifa.

Nikaanza. Hatuwezi kuiongoza nchi pasipo kumtanguliza Mungu ili atubariki kutupatia Elimu ya kututosha kutenda Haki miongoni mwetu huku tukitanguliza hofu ya kumhofu Mwenyezi Mungu ndipo tutaweza kujuwa Chama chetu kinatutaka tufanye Nini ili kutenda Haki kwa waliotuamini na kutupatia ridhaa.

Huku sisi pia Wanaccm tukitendeana Haki kupunguza Makali na ugumu wa maisha unaopelekea kutufanya tuonekane Ombaomba mbele ya Jamii iliyotuamini. Shekhe Mussa kundecha alitoa mawaidha tarehe nakumbuka Tarehe 24/01/2023 alisema elimu lazima iwe Elimu sahihi inayokuongoza kumtambuwa Mwenyezi Mungu Subhahanahu Wataalla.

Kutambuwa miiko ya Mwenyezi Mungu Subhahanahu Wataalla kutambuwa ni nini kinakubalika na ni kipi hakikubaliki. Mwisho wa kunukuu.

Apostle Deonis Mutalemwa Bushir wa ECG Church huko Makongo. Nakumbuka Tarehe 01/08/2023
alisema mimi nasema ili huku (ndani kabisa ya moyo Wangu) nisibaki na kitu. (Wewe unayenisikiliza) umekipokea, hujakipokea, kimetokea, me I don't care. Mwisho wa kunukuu.

Tuache kuishi maisha feki ya kusimama Majukwaani na kutamka Mambo yaliyo feki Kinyume na matakwa ya katiba Kanuni Miongozo na taratibu zetu. Tutoke kwenye ufeki, turudi kwenye Uhalisia
Katika simulizi za Denis Mpagaze zilizo somwa na Msomi maarufu Ananias Edger Tarehe 21/08/2022
Alisema, unaishi maisha feki, kuanzia kuwaza feki, kuvaa feki, kula feki, yaani sio wewe kabisa kwa sababu uko na ufeki feki mwingi. Mwisho wa kunukuu.

Mheshimiwa saaana Dkt Sophia Edward Mjema akiwa Katibu NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa
aliwahi kusema lazima Wanachama wetu tuwafundishe wajuwe chama kinataka nini. Mwisho wa kunukuu Chama Cha Mapinduzi kinataka Kila mtu na Binadamu anayetumua aliyejipima, akajiona, anafaa kujiunga na CCM ni lazima, sio ombi afuate Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 toleo la 2005 ibara 26(1)(2) na ibara 9(a)(b)(f)(h).

Afuate Sheria The Political Parties act chapter 258 inayotuelekeza kuheshimu kwa utii Mkubwa maandiko ya Chama kimaneno na kivitendo aheshimu ilani ya CCM 2020 uk 01 ibara 04
Uk 161-168 kwa maneno na Vitendo visivyo na bla bla akimalizia ibara 10 na 11. Aheshimu kitabu Cha Awamu ya tatu ya Mradi kukiimarisha Chama uk 07 usia aliotupatia Mheshimiwa Dkt Jakaya Mrisho Kikwete.

Aheshimu na kutoa Maamuzi magumu baada ya kusoma katiba Kanuni Miongozo na taratibu za Chama huku kipekee akizingatia Kanuni ya Fedha na Mali za Chama na Jumuiya zake uk 164-165 kwa Msisitizo wa kuyaishi maneno hayo huku akijikumbusha katiba ya CCM 1977 toleo 2022 uk 08 ibara 13(1)(c)(d)(e) bila kuiacha ibara 19(1)(c)(d) huku akisoma na kutoa machozi.

Huyo Ndiyo kada anayeweza kuisaidia Tanzania pasipo na Bla bla. Nakumbuka Tarehe 10/11/2023
Mheshimiwa Paul Christian Makonda atibu NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa akiwa Chato alisema
Mimi nataka kufuata Sheria. Chama hiki (CCM) kinasema tufuate nini? (Sheriaaaa). Mwisho wa kunukuu

Nakumbuka February 2019 Hayati Mwenyekiti wa CCM Taifa Dkt John Pombe Joseph Magufuli
Katika wiki ya Sheria Alisema Ingawa Mimi sio Mwanasheria Lakini napenda Sana Sheria. Sheria ni muhimu katika kujenga Umoja kwenye Jamii Kuimarisha uhusiano katika ya serikali na Wananchi kulinda Uhuru Haki za Wananchi, Kudumisha amani Na kuzuia ama kuondoa migogoro katika Jamii na Taifa kwa ujumla.

Mwisho wa kunukuu Naye Mheshimiwa Dkt Samia Suluhu Hassan Rais wa Tanzania Katika Maadhimisho ya Miaka 60 ya KKKT Arusha Alisema Serikali ya Awamu ya Sita imejidhatiti kuimarisha Misingi ya Utawala Bora unaozingatia sheria Demokrasia na Maadili yetu Kama Watanzania. Mimi Binafsi nimedhamiria hivyo. Na ndivyo ninavyo waelezaWasaidizi Wangu. Mwisho wa kunukuu.

Ili Chama kiwe na watu Waadilifu na Waaminifu hakuna namna tunavyoweza kukwepa kuwaondoa Viongozi wote Waliopenya kwa Rushwa Kinyume na utaratibu ambao hawakubaliki kwa Wanaccm walio wengi kisa tu ni Mpango kazi wa wakubwa Fulani kwa ajili ya uchaguzi 2025. Mheshimiwa Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli katika hafla ya kuapisha Waziri Mkuu Tarehe 16/11/2020 alisema
Ndiyo Ukweli.

Maneno mengi yanaumiza lakini nataka niwaeleze muwe munajitayarisha kisaikolojia. Mwisho wa kunukuu Naye Mheshimiwa Paul Christian Makonda, Katibu NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nakumbuka Tarehe 10/11/2023 Akiwa Chato Alisema Nimuombe Mwenyekiti Wangu wa Chama (Cha Mapinduzi) Mkoa Na Wilaya.

Tunaelekea kwenye Uchaguzi wa serikali za Mitaa mwakani (2024) Hakikisheni mnapitisha majina ya Wagombea Waadilifu (Waaminifu) Kama ambavyo viapo (vyenu ) na Kanuni za Chama zinataka.
Ili (wapatikane Viongozi) wafanye kazi kwa Maslahi ya Wananchi. Mwisho wa kunukuu.

Maneno haya ni mazuri ila bila ya kuwaondoa kwenye Nyadhifa Viongozi wasio takiwa na Wanaccm walio wengi itakuwa ni kama kukisaka kibinti kigoli ndani ya Wodi ya kujifungulia akina Mama.
Mwarobaini wa haya ni kusimama kwenye Haki. Anayestahili abakie kwenye nafasi yake. Asiyetakiwa atoke.

Huku ndiko kuyatendea Haki Maandiko ya mifumo ya nchi na kuvitendea Haki viapo Na kuwa na hofu ya Mwenyezi Mungu. Utumishi wa umma sio kuonyesha kiburi Cha Madaraka Bali kujishusha na kuwaonea huruma Mafukara wanaokutegemea utende Haki kwa kuwapatia Viongozi watakao weza kuwasaidia wasiotokana na Rushwa hapo ndipo Tutasema tuna hofu ya Mwenyezi Mungu.

Hatutakuwa na hofu ya kumhofu Mwenyezi Mungu kwa kuwabeba Viongozi waliotapikwa na Jamii halafu sisi tukatumia Madaraka yetu kuyalinda Majambazi ya Kisiasa kwa Maslahi ya wachache watoa Rushwa kununua Vyeo kwa Maslahi Binafsi. Kuutambuwa utu wa mtu ni pamoja na kuwatendea Haki Mafukara kuwapatia Viongozi safi watokanao na ridhaa yao.

Nakumbuka Tarehe Mwaka 2019 Hayati Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli Akiwa Mpanda Katavi. Alisema Inasikitisha saana. Tulikuwa tumefika katika level ya kuto kutambuwa utu wa Watanzania.
Nikasema hapana. Katika Utawala Wangu. Lazima hawa watu masikini walionipigia kura juwa linawachoma Mnvua inawanyeshea Wakanipa kura Mimi Magufuli. Ni lazima Magufuli haya yakatumike kufungua maisha yao kwa ajili ya Maendeleo Yao.

Kwa hiyo napenda kuwahakikishia ndugu zangu , Mimi nitaendelea kuwa Mtumishi wenu Mmenipa hii kazi Kazi hii ni sadaka kwenu, Ni sadaka kwa Watanzania kwa ajili ya kuwatoa machozi (yawatoke yasiwepo) na kuwatumikia Hilo ndilo lengo langu. Na ndiyo maana huwa namuomba saana Mwenyezi Mungu na Ninyi muendelee kuniombea na Viongozi wa Dini muendelee kuniombea. Kamwe Nisijekuwa Na kiburi. Nikaendelee kuwatumikia Watanzania bila kuwabagua. Nisiwabaguwe Kwa Dini zao
Makabila Yao. Nikawe Mtumishi wenu.

Na Utumishi Wangu ukawaguse ninyi katika kuwaondolea kero na kuwatajirisha katika maisha yenu
Hicho ndicho ninaomba.. Mwisho wa kunukuu. Mheshimiwa Paul Christian Makonda Umeanza vyema
Nikiombe saana Ebu fumba macho Safisha Chama. Watoe wote waliowekwa kimpango kazi. Weka watu wanaokubalika na Wanaccm Mafukara Kwa Taarifa yako. Makada wafia Chama wote wako nje
Hawana Vyeo.

Waliopo wanaonekana kama ni CCM lakini wapo kwenye vyeo hivyo wakiwa hawajuwi kabisaa lolote lile kuhusu Katiba Kanuni Miongozo na Taratibu. Ndiyo maana migogoro ndani ya CCM imeshamiri.
Nakuomba ufuate Mienendo Hiyo ya Dkt Samia Suluhu Hassan bila kuacha kuuishi Ujasiri wa Hayati Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli ili uisaidie nchi kuirudisha pale inapostahili kuwa .
Nakumbuka Tarehe 10/11/2023. Mheshimiwa Paul Christian Makonda. Katibu NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Akiwa Chato Alisema Nimekuja kuona Mzee Wangu (Dkt John Pombe Joseph Magufuli) alipolala
Nimekuja kuona kaburi la Mpendwa wetu.

Mwalimu Wangu, Rafiki, Mshauri Ninayempenda saana ambaye siwezi kumkana hata ukiniwekea bastola (Watu ) wanasema Sema Hukooo Wanatukana Watasemaje Lakini Mimi Paul Christian Makonda Sitamkana Dkt John Joseph Pombe Magufuli Ni Roll modle Wangu. Na Hilo Wala Sina wasiwasi nalo.

Yaani Mimi si yule mtu wa kumung'unya mung'unya maneno. Wako watu Wanajichanganya
Changanya Akifika mahali anatoka (ili) aonekane mzuri kidogo. Mara (mtu Huyo) anasema sema maneno ya hovyo. Uongo Uzushi. Kwa sababu (Dkt Magufuli) ameisha kufa. Hawezi (Tena) kuongea.
Basi kila kitu kibaya Wanamsingizia Yeye. Mimi nasema Paul Christian Makonda. Sitamkana(Dkt) Magufuli. Najuwa Mchango wake katika Taifa hili. Najuwa Uaminifu wake katika Taifa hili
Najuwa Mapenzi alipokuwa nayo na alama alizoziacha.

Mwisho wa kunukuu, Mheshimiwa Paul Makonda Mzee wetu Magufuli alitaka Sisi Tutajirike Tukiinue Chama kimapato Maskini wasionewe Viongozi wabovu , wezi na Wala Rushwa watolewe
Nimebuni miradi ya kuongeza Pato la CCM sikupata msaada kwa miaka mingi Nimeandika mabarua kwa wizara zote Mikoa yote Wakurugenzi wote, Idara zote Kimyaaa. Isipokuwa TU Mkubwa wa Majeshi aliyenipatia msaidizi wake kunisikiliza. Safu zisiwepo. Haki zitendeke. Mheshimiwa Paul Makonda hukoo Nkiwanzeeezaa. Kuna Viongozi Miungu watu Ebu wasaidie Mafukara kuwatolea wasio Wahitaji.

Ukiyafanya hayo Mheshimiwa. Kwa Umoja wetu tutakuwa tunamuenzi Hayati Dkt John Pombe Joseph Magufuli kwa vitendo na sio maneno matupu. Nikashtuka kutoka Ndotoni nikiwa naona kushoto ndiyo kulia Na kulia ndiyo kushoto Ebu nilale Tena nikiamka pengine nitakuwa sawa. Kidumu Chama Cha Mapinduzi.

Mathias Mugerwa Kahinga

🙏🏿🙏🏿🙏🏿🔨🔨🔨💪🏿💪🏿💪🏿
Joined Saturday!! Yaani juzi..

Kwanini usingejipa muda wa kujifunza Kwa wenzako kwanza?
 
KANUNI ZA UCHAGUZI WA CCM TOLEO 2017


Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiwa Ziarani Kwenye Ufunguzi wa Barabara Tunduma - Sumbawanga
TBC MARUDIO Tarehe 06/10/2019 alisema,

" Na ndiyo maana naona niwaambie UKWELI"

Tukisoma kitabu cha Mwongozo wa CCM 1981 uk 45 kifungu 58

Maandiko yanasema,

" Suala la kukosoa , kujikosoa, na kukosoana ni njia ya kukijenga na KUKIIMARISHA CHAMA na Wanachama."

" Tumependelea kuteteana , kufichiana Makosa na hata kutafuta VISINGIZIO visivyo na Msingi. Neno kuleana limechukua nafasi ya KUKOSOANA."

Tukisoma kitabu cha The Impossible is Possible uk 32

Mwandishi John Mason aliwahi kuandika,

" It is not enough to know that you know. It is more important to show that you know."

Tukisoma KANUNI ZA UONGOZI NA MAADILI toleo 2017 uk 02 kifungu (iv) Maandiko yanasema,

"Katiba ya Chama ndiyo Sheria KUU ya CCM."
" Kufuata na KUTII KATIBA ya CCM na KANUNI ZAKE NI WAJIBU wa kila Mwanachama wa CCM."

Wanaccm wenzangu tumebahatika watanzania kumpata Rais comrade Dkt. John Pombe Joseph Magufuli ambaye mara kwa mara amekuwa akitusisitizia umuhimu wa kuishi kwa kufuata sheria na kanuni ili kuepuka kuwaonea watu hasa wanyonge na mafukara.

Hakuna mwanaccm yeyote mwenye ziada ya kuwaonea wenzie kwa kujifanya yuko juu ya sheria.

Kwa umoja wetu tunapowahimiza wenzetu wa chini kufuata sheria ni lazima na sisi kuonyesha umuhimu wa kuzitekeleza sheria zenyewe.

Niliwahi kusoma kitabu cha Tujisahihishe uk 13
Mwl JK Nyerere aliwahi kuandika,

"Daktari asipojuwa ugonjwa wangu na sababu zake hawezi kujuwa Dawa yake."

Nilichobaini migogoro mingi ndani ya ccm na jamii inatokana na baadhi ya viongozi miongoni mwetu ambao wana vyeo ila hutumia vyeo hivyo kulia bata na kupigiwa makofi na kupenda sifa ya kusifiwa huku kichwani mwao kukiwa hakuna material yeyote japo ya danganya toto vichwani mwao hivyo viongozi jamii hii kwanza walio wengi ni wapigaji na huongoza kwa vitisho ili kujihami na watu wanaohisi wanawazidi uelewa. Walio wengi wao.

Hawa ndiyo vyanzo vya unafiki na fitna na ndiyo vyanzo vya maonezi na kudidimiza juhudi zetu za kimaendeleo.


Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiwa Ziarani Kwenye Ufunguzi wa Barabara Tunduma - Sumbawanga (laela)

TBC MARUDIO TAREHE 06/10/2019 Alisema,

" Hatuwezi tukaenda na Michezo ya kipumbavu."

WANATUVURUGA WAO KISHA KWA FITNA NA UNAFIKI WAO WANAWAONEA WATU WANYONGE NA MAFUKARA KWA KUTOA MAAMUZI YASIYO NA TIJA KWA CCM NA HIVYO KUJENGA CHUKI NA HASAMA MIONGONI MWA WANACCM NA JAMII KWA UJUMLA.

Niliwahi kusoma kitabu Cha Nukuu za Kiswahili za Mwalimu uk 111

Mwl JK Nyerere aliwahi kusema,

".....Mtu anayetuvurugia Umoja wetu si Mwenzetu, Hata angevaa ngozi ya kondoo huyu ni MBWA MWITU hatufai hata kidogo."

Tukisoma kitabu cha Nukuu za Kiswahili za Mwalimu uk 03

Mwl JK Nyerere aliwahi kusema,

"Asili ya Uongozi Wetu ni HAKI".

Ipo haja kwa CCM Kuangalia Mfumo wa CCM upya kwani Ni Ukweli usiopingika KUNA SHERIA ZIMESHAPITWA NA WAKATI HAZITUFAI NYAKATI HIZI KWANI HAZIENDANI NA NYAKATI TULIZOMO NA ZINASABABISHA VYANZO VYA UWEPO WA RUSHWA.
Sheria zilizopitwa na Wakati ni vyanzo vikubwa vya changamoto ndani ya CCM ni lazima kama chama TUZIJUE SHIDA ZETU , sio lazima zote tuzitatue kwa nyakati hizi ila tunapozijua ndiyo TUNAUMIZA vichwa kuzitafutia ufumbuzi.

Niliwahi kusoma kitabu cha The Amazing Results of Positive thinking uk 138

Mwandishi Dr Norman Vincent Peale aliwahi kuandika,

" The only place I've ever been where people have no problems is a cemeteries and there they are all DEAD."

Tukisoma kitabu cha Kanuni za uchaguzi wa CCM toleo 2017 uk ii

Maandiko yanasema,

" Kufanya kazi kwa kujitolea ndiyo Mila inayoendana na mifumo ya vyama vingi Duniani kote.".

Watanzani na Wanaccm wamekuwa WAKIJITOLEA TOKEA NYAKATI ZA KUSAKA UHURU HADI LEO HII.
WAPO WALIOTOA VIWANJA, MAJUMBA, nk na wapo waliojitolea kwa kutumia ujuzi na Elimu zao KUKIIMARISHA Chama na leo hii CCM INA MALI ZA KUTOSHA.

CCM TUNA MSHIKAMANO MKUBWA ILA TUMETETEREKA KWENYE UPENDO HATUPENDANI KAMA MUNGU WETU ANAVYOTAKA TUPENDANE
ANAYESHIBA ANASHIBA TU BILA KUMJALI MWENYE NJAA NA ASIYE NACHO .
HUU NDIYO MWANZO WA RUSHWA NA MIFARAKANO
HAIWEZEKANI WEWE ULE SHIBE KISHA UMWAMBIE HUYU MWENYE NJAA AWE MUADILIFU NA MWAMINIFU WAKATI MAISHA ANAYOISHI YANAMCHAPA BAKORA ZA KUTOSHA HUKU AKUSHUHUDIA MIONGONI MWETU WATU WAKIISHI KWA ANASA NA KUFURAHIA MAISHA
Shida zikizidi mara nyingi huwa CHANZO CHA MTU KUPOTEZA UAMINIFU NA UADILIFU HASA PALE SHIDA HIZO ZINAPOKUWA HAZISEMWI WALA HAZITAJWI, MTU HUJIHISI KATELEKEZWA.

Niliwahi kusoma Kitabu cha Nukuu za Kiswahili za Mwalimu uk 07
Mwl JK Nyerere aliwahi kusema,

" Wakati wa shida ndiyo wakati wa kumtoa mtu kwenye imani yake."

Tukisoma Kitabu cha Kanuni za uchaguzi wa CCM toleo 2017 uk 61 na tukisoma Kitabu cha Mwongozo wa CCM 1981 uk 43

Maandiko yote YANAMTAKA KILA MWANACCM AWE NA KAZI YA KUFANYA NJE YA SIASA.

Wanaccm walio wengi wanapenda maisha mazuri ya kula na kunywa wakitakacho ILA WALIO WENGI CHOKA MBAYA .

Wanaccm na Viongozi walio wengi HAWANA KAZI ZA KUFANYA TOKEA SHINA HADI JUU INGAWA CHAMA CHETU WANAKIPENDA NA MATOKEO YAKE TUMEKUWA NA VIONGOZI WENGI WABABAISHAJI WABINAFSI KWANI VIPATO WANAVYO VIPATA HAWANA UHAKIKA NA KESHO YAO NA HIVYO KILA MWANACCM ANAPAMBANA KUMPITISHA KIONGOZI MWENYE FEDHA HATA KAMA ANA UFINYU WA UELEWA SIO NENO, WAO WANAJALI kumtanguliza mtu mwenye fedha kama ATM zao kesho baada ya Uchaguzi.
Mtandao wa WABABAISHAJI NI MKUBWA TOKEA CHINI HADI JUU NA MATOKEO YAKE HUKU NGAZI ZA CHINI KUMEKUWAPO MALALAMIKO MENGI YASIYO NA UFUMBUZI KWANI VIONGOZI WOTE FEKI WALIOPITA KWA HILA WANALINDWA NA KUTETEWA HUKU MAKAPUKU WAKILA MSOTO NA HAWANA MTETEZI ZAIDI YA KUTISHWA NA KUFOKEWA.

Tusome Kitabu cha Kanuni za uchaguzi wa CCM uk (vi)

Tukisoma uk vii kifungu (v) Kanuni za uchaguzi
Maandiko yanasema,

"Muda wa Uanachama wa KILA MGOMBEA USIPUNGUE MIAKA MITANO MFULULIZO ili Chama kiwe na UHAKIKA na Msimamo wake

Kanuni hii inavunjwa kwa Matendo ya rushwa.
Tunaposema lengo la CCM kikatiba ya 1977 toleo 2017 uk 1 ibara 5(1) ni kushika Dola MAANA YAKE SIO KUKIUKA TARATIBU ZETU NA KUTANGULIZA PESA MBELE KWA HILA KWA KUWAPA WATU UONGOZI WENYE VIPATO HATA KAMA VICHWANI WAKO ZERO. NI LAZIMA TUZINGATIE VIGEZO TULIVYO JIWEKEA ILI TUEPUKE KUENDELEA KUZALISHA MIGOGORO ITOKANAYO NA UVUNJIFU WA MAKSUDI WA TARATIBU ZETU.
Tusome kanuni za uchaguzi wa CCM uk vii kifungu (iv)(vi)

Upindishwaji wa Kanuni UNA MADHARA MAKUBWA YA KUTUPATIA VIONGOZI WAUZA SURA WENYE UCHU WA MADARAKA WALIOJAWA NA ROHO MBAYA NA TAMAA YA KUJILIMBIKIZIA MALI NA MARA NYINGI HAWANA KABISA HURUMA WALA MSAADA KWA MAKAPUKU ZAIDI YA KUWALAGHAI TU.

Tukisoma Kitabu cha Kanuni za uchaguzi wa CCM uk (ix) kifungu (vii)(2)

Maandiko yanasema,

" Msingi wa wajibu wa kiongozi LAZIMA DAIMA utokane na imani ya KUTUMIKIA WANANCHI KWA DHATI katika kuwasaidia na KUWAENDELEZA WAINUE HALI ZAO za maisha na kuzifanya ZILINGANE.

Wanaccm wenzangu tunashuhudia leo hii pamoja na kwamba Ilani ya CCM uk 235 kifungu 187 kinatutaka kubuni miradi ila tunapobuni HAKUNA MSAADA TUNABANIANA SABABU YA BAADHI MIONGONI MWETU WANA ROHO CHAFU NA WENGINE WALIINGIA MADARAKANI KWA HILA HIVYO HAWANA MAPENZI YA DHATI KWA CCM.
Tusome Kitabu cha Kanuni za uchaguzi wa CCM uk (viii) kifungu (vi)

Wanaccm wenzangu Maendeleo ya mtu Mmoja mmoja yanachelewa kwa sababu ya baadhi yetu miongoni mwetu kuwa na ROHO CHAFU ZA KWANINI YULE APATE.
Tukisoma Kitabu cha SERA YA CCM YA KUJITEGEMEA KIMAPATO NA KIUCHUMI uk 31 kifungu (L)(iv)

Maandiko yanasomeka ,

" Maombi ya wanao hitaji kuwekeza kwa UBIA yashughulikiwe kwa Umakini na haraka"

Wanaccm wenzangu kupiga kwetu hatua KIMAENDELEO KUTATEGEMEA SISI KUWACHAGUA VIONGOZI MAKINI WANAO ENDANA NA MATAKWA YA SHERIA ZETU ZOTE TULIZO JIWEKEA NA SI VINGINEVYO.

Gazeti la Uhuru la Tarehe 20/01/2020 uk 08
Comrade Philip Mangula aliwahi kusema,

" Chama kinaongozwa na Ilani yake, pia kuna kanuni na utaratibu, ambao viongozi na Wanachama kwa ujumla wanapaswa kuzijuwa na KUZISIMAMIA."

Gazeti la Mwananchi la Tarehe 10/12/2019 uk 03

Mzee Joseph Butiku
Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwl JK Nyerere aliwahi kusema,

" Sasa kama tuna Matatizo halafu hatuwezi kuzungumza freely tunataka nini ?"

Gazeti la Tanzanite la Tarehe 10/12/2019 uk 04
Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli alisema,

" Tunatakiwa kuweka Mkazo Mkubwa wa kuikomboa nchi hii kiuchumi"

Wanaccm wenzangu Naamini yote YANAWEZEKANA kwa SISI sote KUPENDANA NA WOTE KUFUATA SHERIA HUKU TUKIZIIBUA CHANGAMOTO ZINAZO TUDHOOFISHA NA KUTUJENGEA CHUKI MIONGONI MWETU ILI TUZITAFUTIE UFUMBUZI WA KUDUMU.

Tukisoma Kitabu cha Nukuu za Kiswahili za Mwalimu uk 238

Mwl JK Nyerere aliwahi kusema,

" Mipango yetu ni mizuri, Lakini Utekelezaji wake mbaya siku zote."

Wanaccm wenzangu Matatizo yetu yatakwisha KWA KUAMBIZANA UKWELI NA KUUKATAA UONGO ILI TUJIEPUSHE NA TABIA ZA KIJINGA NA ZA KIPUMBAVU AMBAZO ZINATULETEA MIFARAKANO MIONGONI MWETU.
Tukisoma Kitabu cha 100 Ways to Motivate yourself uk 182

Mwandishi Steve Chandler aliwahi kuandika,

" Truth leads you to a more confident level in your relationships with others and with yourself.
It diminishes FEAR and increase your sense of personal Mastery.
Lies and half - Truth will always WEIGHT YOU DOWN, Where as truth will clear up your thinking and give you the energy and clarity needed for self- Motivation."

Tukisoma Maandiko Matakatifu Kitabu cha Muntakhab Ahadith uk 788
Maandiko Matakatifu yanasema,

" Abdullah bin Umar Radhiallahu Anhuma amesimulia kuwa Mtume Swallallahu Alaihi Sallaam amesema,
" Wakati mtu anaposema Uongo, Malaika humkimbia kwa Umbali wa Maili moja kutokana na HARUFU MBAYA YA KILE ALICHOKILETA."

TUWE WAKWELI VIONGOZI WALIOKATALIWA NA KATIBA, KANUNI, MIONGOZO NA TARATIBU ZETU WAKAE PEMBENI.

HII NDIYO HAKI NA KUEPUSHA CHUKI NA MINONG'ONO KWA WALIO WENGI WANAOHISI

WANABURUZWA NA KUBURUZANA HUKU MAISHA YAKIWACHAPA BAKORA ZA UKWELI.
 
Watu wenye tamaa mbaya wasio weza kujizuia,

Uroho wa madaraka usiojali kujidharirisha

Uchu wa kupata mihela kwa kutumia vyeo usiojali umuhimu wa katiba kanuni miongozo na taratibu tulizokubaliana kila mhusika wa ccm kuzifuata na kuziheshimu.

Tusome kitabu cha kanuni za uongozi na maadili toleo 2017 uk 02 kifungu (iv)

Tusome katiba ya ccm 1977 toleo 2017 uk 01 - 03 ibara 5(16)(17)

Tusome katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania 1977 toleo 2005 uk 18 ibara 9(a)(g)(h)

Tusome katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania uk 20 ibara 12(1)(2) ibara 13 (1)(4)(5)

Tusome katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania uk 22 ibara 15(1)

Tusome katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania uk 23 ibara 18( a)(b)(c) ibara 19(1)

Tusome katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania 1977 toleo 2005 uk 25 ibara 21(2)

Tukisoma katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania 1977 toleo 2005 uk 27 ibara 26(1)(2)

Maandiko yanasema,

" kila mtu ana wajibu wa kufuata na kutii katiba hii na sheria za jamhuri ya muungano."

"Kila mtu ana haki kwa kufuata utaratibu uliowekwa na sheria kuchukuwa hatua za kisheria kuhakikisha hifadhi ya katiba na sheria za nchi."

Tusome kitabu cha azimio la arusha uk 04 kifungu (I))

Tusome katiba ya ccm 1977 toleo 2017 uk 01 - 02 ibara 5 (8)

Tusome katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania 1977 toleo 2017 uk 27 ibara 28(1)

Tukisoma kitabu cha kanuni za uongozi na maadili toleo 2017 uk 34 kifungu 2(I)

Maandiko yanasema,

" chama chetu lazima kiendeshwe kwa misingi ya demokrasia katika kila ngazi."

Tukisoma kitabu cha kanuni za uongozi na maadili uk 35 kifungu 2(ii)

Maandiko yanasema,

" mwalimu amewahi kusisitiza,

" nidhamu bila demokrasia ni udikiteta na demokrasia bila nidhamu ni fujo."

Wanaccm wenzangu tuiimarishe demokrasia kwa wote kuwa na utayari kufuata sheria bila ubaguzi na upendeleo wa aina yeyote. Tunapoteleza tukosoane na tuwe na utayari wa kukiri makosa na kuwa na dhamira ya kuyaacha ili tuujenge vizuri na kuuimarisha mshikamano wetu bila ya maonezi na manung' uniko.

Tusome kitabu cha kanuni za uongozi na maadili uk 33 - 34

Kifungu cha 9(1)(ii)

Tukisoma kitabu cha mwongozo wa ccm 1981 uk 46 kifungu 59

Maandiko yanasema,

" wanachama na viongozi kuwa tayari kusema ukweli katika vitendo vyao na kukubali kuambizana ukweli."

" viongozi wawe tayari kukosolewa bila kuhamaki na inapobidi kukubali kujirekebisha."

Tukisoma kitabu cha mwongozo wa ccm 1981 uk 47 kifungu 60

Maandiko yanasema

" ni muhimu kutafuta sababu za makosa hayo na kuchukua hatua za haraka za kuyarekebisha"

" makosa pia yanaweza kutokana na uamuzi wenyewe kutokuwa sahihi."

Wanaccm wenzangu tunaposamehe , haimaanishi makovu ya yale magumu tuliyofanyiwa yanaweza kufutika mioyoni mwetu kwani asili ya kovu kamwe halifutiki.

Kusamehe haimaanishi kutowajali wafia chama ambao pamoja na kusalitiwa bado walisimama imara kwani siri zetu zilianikwa upande wa wenzetu hivyo waungwana tulivuliwa nguo ila tulichutama kwa usaliti wa watu wachache wenye tamaa ya kukimbilia kupata vyeo na fedha ambao badala ya kubaki tushindane kwa hoja wao waliona njia nyepesi ni kutuuza.

Tusome kitabu cha kanuni za uongozi na maadili uk 32 kifungu cha (viii)(ix)(a)(b)(c)

Tunaposamehe, msamaha mzuri ni ule wa kumuonya uliyemsamehe asirudie tena ila pia kumuelekeza kuwa na adabu na unyenyekevu na utii wa sheria anazozikuta ccm na awe na nia thabiti ya kuzitii kwa dhati ya moyo wake na kujutia usaliti wake.

Huku ndiyo kujenga mshikamano wa dhati kwa miongoni mwa watu aliowakuta baada ya kuwaumiza kwa usaliti wake..

Tamaa ya kujionyesha bado ana dhamiri ya kuvunja sheria zinazomtaka atulie ni dalili mbaya za ukosefu wa utu na heshima kwa waliompokea na ni kujifanya yuko juu ya sheria na hili ni jambo baya na linalokera miongoni mwa wavumilivu wafia chama ambao wapo waliojitolea kwa hali na mali hadi leo wamefilisika na hawana msaada wowote kutoka ccm.

Tukisoma kitabu cha kanuni za uteuzi wa wagombea wa ccm katika vyombo vya dola toleo 2005 uk 04 kifungu cha 02.

Maandiko yanasema,

" bila ya kufuata taratibu, sheria na kanuni, utendaji kazi serikalini utatawaliwa sana na malumbano ya kisiasa, vurugu, majungu, uzembe, wizi, rushwa na ubadhilifu wa mali za umma mambo ambayo ni kikwazo kikubwa kwa katika harakati za ujenzi wa taifa.

Kwa kuzingatia ccm ndiyo inaiongoza serikali tunapaswa kuwa mfano bora wa kuigwa ili tulete maana halisi ya utii wa sheria bila ubaguzi na upendeleo.

Tukisoma kitabu cha mwongozo wa ccm 1981 uk 103 kifungu 108

Maandiko yanasema,

"Chama kinaiongoza serikali na vyombo vyake vyote kwanza kabisa kwa kutoa shabaha na malengo."

Tusome ilani ya ccm 2015 uk (v) kifungu 16.

Wanaccm wenzangu tujifunze kuelekeza yale yote tunayoyatenda kuliko sisi kwa sisi tunapindishiana huku wengine tunawaamuru kwa nguvu zote watende haki na usawa na wawe waaminifu na waadilifu.

Huku sisi tukishindwa kabisa kuyatekeleza hayo na kuamua kuzivunja katiba kanuni miongozo na taratibu zetu zote kwa maksudi na kwa jeuri tu kwa visingizio dhaifu.

Huku ndiko kuukataa unafiki kwa dhati ya mioyo yetu na kudhamiria kuuacha ili usitutengenezee makundi.

Tukisoma kitabu cha awamu ya tatu ya mradi wa kukiimarisha chama uk 07

Comrade dkt jm kikwete aliwahi kusema,

" viongozi lazima waongoze kwa mfano na sio kwa maneno. Kauli za fuata maneno yangu usijali matendo hazina nafasi katika uongozi wa chama cha watu.

Tuseme tunayotenda ili tujenge moyo kwa watu kutuamini.

Tusome kitabu cha kanuni za uongozi na maadili uk 02 kifungu (iv)

Mwanaccm ni askari wa mstari wa mbele katika mapambano ya kujenga ujamaa. Askari anapo kuwa msaliti ni lazima tuheshimu taratibu zetu tulizojiwekea kudeal na wasaliti.

Tukusamehe ni lazima pia tuangalie taratibu zetu kikatiba, kikanuni, kimiongo nk na ni lazima wote tuzifuate.

Hakuna mtu yeyote aliye na haraka ya maisha ya kihivyo.

Tusome kitabu cha mwongozo wa ccm 1981 uk 26 - 27 kifungu 37.

Tuheshimu taratibu zetu.

Kuhimiza kuheshimu taratibu zetu kuna faida kubwa ya kuimarisha mshikamano wetu ikiwa kweli tuna dhamira ya kuendelea kuwa wamoja na lazima kuziepuka kasoro kubwa kama hizi.

Wanaccm walipambana wakawabana mbavu wapinzani ,

Wapinzani wakaishiwa pumzi na wakafeli mipango yao ya kukisaliti chama chetu.

Wakarudi kwetu.

Cha ajabu

Walichangia kuwabana wasaliti na kuwalegeza wanakula msoto na hakuna japo cheti cha utambuzi wa kazi zao za kujitolea kwa hali na mali.

Na waliosababisha majanga na wasaliti waliotubu na kusamehewa wanaishi maisha mazuri japo wengine tunawajuwa wana historia mbaya ndani ya jamii na jamii imewachoka.

Sisi tunahitaji viongozi waaminifu na waadilifu ili watatue kero za wananchi, leo hii tunalazimisha kuwapa shavu wasaliti wastaafu na kuwakera wafia chama .

Tunaelekea wapi !?!?

Mwanaccm kosa dogo tu , tunamwambia mroho wa madaraka wakati anajitolea na tunamhukumu hukumu kali kwa maonezi tu.
Ila Msaliti tunamlisha bata ananogewa hadi anasahau ya kwamba yeye amejiunga na ccm mwaka jana na mwaka huu 2020 sheria zetu zinamtaka akae miezi 36 tumchunguze.

Anasahau kanuni zetu zinamtaka awe ndani ya ccm miaka mitano mfululizo.

Anasahau kuna taratibu za kikatiba za kuzifuata za ccm na kuzitii.

Najiuliza msaliti mstaafu anabebwa na sheria zipi

Na Mfia chama anaumizwa kwa kosa gani na kutengwa. Na kutelekezwa.

Ni wakati wetu kukaa chini kufarijiana na sio kuzidishiana madonda ya moyo

Upendo na kumtanguliza mungu ndiko kutatufanya kuendelea kuhurumiana na kuudumisha umoja wetu.

Tuwadhibiti wote wenye uchu , uroho, na tamaa ya vyeo waliotuumiza na sasa bado wanapambana kutuona wajinga sisi tunaovumilia na kuzilinda sheria zetu.

Kwa waroho wamadaraka sheria kwao hazina maana.

Tukiweka viongozi waroho na wavunjifu wa sheria kwa maksudi wanawezaje kwenda kuwasaidia makapuku wanao onewa na wanahitaji msaada wa kisheria !??

Tukumbuke mtoto wa nyoka ni nyoka na tusisahau damu ni nzito kuliko maji.

Mtenda wema hupenda mema.

Mtenda maovu hushabikia uovu

Tujikosoe tuanze kutenda mema ili tueneze haki na usawa kwa walio wengi.

Wanaccm tuko takribani million 16 ndiyo maana tulipo salitiwa hatukuyumba tulihakikisha tunaishika dola.

Dola tunayo na tumeshajua tulijikwaa wapi .

Hatuna haja ya kusaogopa wapinzani

Vinginevyo itakuwa ile historia ya vitabu vya zamani vya

Sizitaki mbichi hizi.

Tuoneane imani, tupendane kwa kila mmoja wetu kufuata utaratibu wa ccm.

Aliyesaliti akatubu asome maandiko yanavyo muelekeza aishi kwa kuyafuata na kuyatii na aonyeshe kuyakubali ili kunenga moyo wa kuaminika kwa aliyewaumiza wakalia machozi yakakauka na wakaamua kumsamehe.

Wafia chama nao wafuate taratibu zilizopo kwa ukamilifu na wawe na subira kwenye mambo ya kuitafuta haki kwani haki utafutaji wake una maumivu makali na walio wengi hawapendi haki kwa kuhofia kutengwa hivyo wameona unafiki ni njia rahisi ya kuyafikia mafanikio.

Tukisoma maandiko matakatifu kitabu cha kuvunda kwa uislam na tiba yake ya pekee uk 25

Maandiko matakatifu yanasema,

"Rasulullahi swallallahu alaihi wasallam alisema,

" hakuna nabii aliyeteseka kuliko mimi katika kuitangaza haki."

Tutende haki duniani tunapita , kuna maisha baada ya haya tuache maasi na maudhi ya maksudi kwa wanaccm wenzetu walioumia kutufikisha tulipo.

Tukisoma maandiko matakatifu kitabu cha muntakhab ahadith uk 89

Maandiko matakatifu yanasema,
" abdullah bin umar radhiallahu anhuma amesimulia kuwa nilikuja kwa nabii swallallahu alaihi wasallam nikiwa mtu wa kumi kati ya masahaba kumi.

Mtu mmoja kati ya maansari alisimama na kusema,

" ewe nabii wa allah ! Ni mtu gani mwenye busara zaidi na thabiti zaidi miongoni mwa watu ?"

Akajibu,

" yule anayekumbuka mauti kwa wingi, na akajiandaa kwa bidii zaidi kwa ajili ya mauti kabla ya mauti kumfikia.

Bila ya shaka hao ndiyo watu wenye busara zaidi. Wamepata utukufu wa dunia hii na utukufu wa akhera."

Nimekukumbusha Sasa endelea kuwaonea na kuwanyanyasa wenzio kisa tu unajiona bora kuliko wenzio kiasi cha kuwadharau wenzio na kujiona uungu fulani .

Siku ukiwa unaingia motoni utanikumbuka.

M m kahinga
🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
 
TUNAVUNJA KATIBA, KANUNI , MIONGOZO NA TARATIBU ZETU ZA CCM KWA MAKSUDI ILI KUWABEBA WATU WALIO TUUMIZA NA KUTUWEKEA MAZINGIRA MAGUMU YA CCM KUSHIKA DOLA

NA

TUNAWAUMIZA NA KUWAVUNJA MOYO WANACCM WATIIFU WAFIA CHAMA WALIO VUMILIA MATUSI NA KEJELI ZA WATU WALIOKUWA WANATUTUSI NA KUTUPA VIPIGO

TUNATENDA DHAMBI KUBWA MBELE YA MWENYEZI MUNGU

HII SIO HAKI HATA KIDOGO.



Tukisoma Katiba ya CCM 1977 uk 143 Kifungu 08

Maandiko yanasema,

Nitasema Kweli Daima, fitina kwangu Mwiko.

Niliwahi kusoma Kitabu cha The Impossible is Possible uk 32

Maandishi John Mason aliwahi kuandika,

"There's no excuse for being full of excuses."
"You can learn from your mistake if you don't waste your time denying and defending them."

Niliwahi kusoma Kitabu cha Nukuu za Kiswahili za Mwalimu uk 233

Mwl JK Nyerere aliwahi kusema,

" Ukweli una tabia moja nzuri sana, haujali Mkubwa wala Mdogo, haujali Adui wala rafiki kwake WOTE NI SAWA."

Tukisoma Qur aan Tukufu Juzuu ya 23 As Saaffat (37) kifungu 72 - 73

Maandiko Matakatifu yanasema,

" Na hakika tulipeleka Waonyaji KWAO lakini walikataa kutii "
" Basi Tazama ulikuwaje Mwisho wa wale WALIOONYWA WASIONYEKE ?"

Wanaccm wenzangu tunapoambizana UKWELI NDIYO TUNAKIIMARISHA CHAMA kuliko kuambizana UONGO.
Wapo wanao kejeli Mimi sijali kwani natimiza wajibu wangu kikatiba ya CCM 1977 toleo 2017 uk 143 Kifungu 06.

Tukisoma Qur aan Tukufu Juzuu 19 Ash Shuaraa (26) kifungu 184 - 185

Maandiko Matakatifu yanasema,

" Na Mcheni aliyekuumbeni nyinyi na Viumbe waliopita wote."

Wakisema,
"Hakika wewe ni Miongoni mwa WALIO ROGWA wakaharibika akili."

Wanaccm wenzangu tuache KUDHARAULIANA tutendeane HAKI na USAWA tuache UBAGUZI na UPENDELEO Kwani tabia hizi zinajenga CHUKI MIONGONI MWETU. Asili ya Uongozi Wetu ni HAKI.

Tukisoma Kitabu cha Nukuu za Kiswahili za Mwalimu uk 08

" Asili ya Uongozi Wetu ni HAKI."
" Binadamu wanapofanya Umoja aina yoyote huwa wanayo Shabaha ya kuundwa kwa Umoja huo."

Tusome Katiba ya CCM 1977 toleo 2017 uk 01 - 03 ibara 5(16)

Tusome Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 toleo 2005 uk 18 ibara 9(h)

Tusome Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania uk 20 - 21 ibara 13 (4)(5)

Tusome Kitabu cha Azimio la Arusha uk 04 kifungu cha (i)

Nitaendelea kumuunga Mkono Rais wetu Mpendwa Dkt John Pombe Joseph Magufuli kwa jitihada zake za kutuhimiza Watanzania kuishi kwa kufuata SHERIA na KUKOSOA pale inapobidi.

Tukisoma Kitabu cha Mwongozo wa CCM 1981 uk 46 kifungu 60

Maandiko yanasema,

" Kujikosoa kama chama ni kuwa na Utaratibu wa kuyarudia Maamuzi ya nyuma, kuona jinsi yalivyotelezwa na KUPIMA Matokeo ya Utekelezaji kwa kuzingatia nia ya Chama KUTOA UAMUZI HUO."

Kila Mwanachama wa CCM NI LAZIMA awe na UTII WA KATIBA, KANUNI , MIONGOZO NA TARATIBU ZETU bila kujali Cheo , kipato au Ukapuku wake.

Tusome Kitabu cha kanuni za Uongozi na Maadili uk 02 kifungu (ix)

Wanaccm WENZETU WALIO TUASI NA KUTIMKIA PANDE ZA VYAMA VINGINE WALITUUMIZA MNO NA WALITUACHA katika hali mbaya , na huko walipotimkia WALIHAKIKISHA WAMETUKAMLIA MALIMAO na MIRUTU RUTU YA KUTOSHA .
HAKIKA TULIUMIA SANA na laiti TUNGEKUWA wepesi TUNGEPOTEZA NAFASI YA KUSHIKA DOLA KWA SUMU WALIZOKUWA WAKIZIMIMINA JUU YETU.

Tusome Katiba ya CCM uk 07 ibara 13.

Tukisoma Kitabu cha Kanuni za Uongozi na Maadili uk 32 Kifungu (ix)

Maandiko yanasema,

" Kosa kubwa Kuliko yote katika Chama cha Mapinduzi ni KUKISALITI CHAMA na KUKIWEKA KATIKA HALI AMA YA KUSHINDWA KATIKA UCHAGUZI WA DOLA
ANAYESHIRIKIANA NA WAPINZANI KUCHIMBA na KUKIVURUGA CHAMA CHETU huyo HAWEZI KUKUBALIKA kuwa Miongoni Mwetu.AFUKUZWE KATIKA CHAMA. "

Wenzetu hawa WANAKIJUWA WALICHOTUFANYIA KIBAYA KABISA NA WENGINE KURUDI KWAO KUMETOKANA NA SISI UNGANGARI WETU WAKANYOOSHA MIKONO JUU KUOMBA POOOO.
Tumerudisha Mioyo yetu NA KUWASAMEHE NA TUMEWAPOKEA.

Gazeti la Majira la Tarehe 05/09/ 2019 uk 04

Mwenyekiti CCM Taifa Comrade Dkt John Pombe Joseph Magufuli alisema,

" Ni muhimu kusamehe pale Mtu anapokukosea."

" Maandiko yanasema tuyaishi. Nikajiuliza Mimi kila siku naomba Msamaha kwa MUNGU na Ile sala ya TUSAMEHE MAKOSA YETU KAMA TUNAVYO WASAMEHE ."
" Ni muhimu kujifunza kusamehe kwa sababu sisi sote ni watoto wa Mungu Mmoja.( Biblia sala Baba yetu & Samehe saba mara sabini).

Tukisoma Kitabu cha Build self confidence uk 111
Maandiko yanasema,

" Forgiveness."
" One who has learnt the lesson of forgiveness, has truly learnt the assence of forgiveness.
It is indeed very difficult to forgive a person who has wronged you, But instead of keeping ill feeling and Burning with the fire of vengeance, one must learn how to forgive."


Tukisoma Kitabu cha The Impossible is Possible uk 134

Msomi Lany Bielat aliwahi kuandika,

" He who cannot forgive destroys the Bridge over which he may one day need to pass."

Wanaccm wenzangu KUSAMEHE HAIMAANISHI TUMESAHAU YALE WALIYOTENDA LAAA .
Kusamehe ni hali ya kibinadamu.

ILA HATUWEZI KUENDELEA KUKIUKA MAANDIKO YETU ILI KUWAFURAHISHA WAO ILI WASITUCHUKIE, NI LAZIMA NAO WAO WALIORUDI WAYADOME MAANDIKO YETU WAWE WAPOLE WAYAFUATE NA WAWE WAVUMILIVU KAMA TUNAVYO VUMILIA SISI JAPO TUNA NJAA HATARI. KUNA SIKU NDOTONI ILINIJIA SENTENSI HII
KUMFURAHISHA JINI WAKATI KITI ANAKONDA HAITAKIWI.
HADI LEO NAUMIZA KICHWA KUWAZA USEMI HUU.

Tukisoma Kitabu chaTujisahihishe uk 06

Mwl JK Nyerere aliwahi kusema,

" Kwa kuogopa kuwaudhi wengine tunawaacha Watende Makosa bila KUWASAHIHISHA , wasije wakatuchukia".

" Huu ni UNAFSI mbaya Sana."

Wanaccm TUPO TAKRIBANI MILLION KUMI na SITA TANZANIA NZIMA TUANZE KUJENGA MIOYO YA WALIO UMIZWA KWA KUWAONYESHA KUTENDA HAKI KWA WOTE KUFUATA SHERIA BILA YA UBAGUZI UNAOTUPELEKEA KUVUNJA KATIBA BILA KUCHUKULIWA HATUA HUKU SHERIA HIZO HIZO ZIKIWAUMIZA WATU WA CHINI NA KUWAKATISHA TAMAA

.
KWA FAIDA YAO WALE WOTE WENZETU TULIOWAPOKEA WAKITOKEA UPINZANI WAHESHIMU SANA KATIBA YA CCM YA CCM KWANI WAMETUKUTA TUKIIHESHIMU KATIBA YETU.
WASOME katiba hii kwa makini uk 07 ibara 13 (1)(2)(3)(4()(5) WAWE WAPOLE WAVUMILIE KAMA SISI TULIVYOVUMILIA MIAKA YOTE.NAAMINI NCHINI KWETU HAKUNA MTU BORA KULIKO MWINGINE.

Kumsamehe mtu HAKUTUFANYI SASA KUWADHARAU WALE WALIO VUMILIA WALA HAKUTUFANYI KUVUNJA TARATIBU ZETU ILI TUENDELEE KUWAFURAHISHA WASITUCHUKIE.

WALE WENZETU TULIO WAPOKEA WASOME KITABU CHA KANUNI ZA UONGOZI NA MAADILI uk 30 -31 Kifungu (vi)(a)(b)(c) pia kifungu (vii)
Wajipime , Watafakari , Waonyeshe HESHIMA KWA CCM KWA KUYATII MAANDIKO HAYA KWANI NDANI YA CCM HAKUNA HARAKA YA KIHIVYO. WAWE WAPOLE TU ILI TUZIDISHE UPENDO NA MSHIKAMANO MIONGONI MWETU KWANI NAAMINI TUNAZO AKILI ZA KUTOSHA KUFANYA MAAJABU KIMAENDELEO.

Wenzetu TULIO WAPOKEA WASOME KITABU CHA KANUNI ZA UCHAGUZI WA CCM TOLEO 2017 uk ( vii) vifungu ( I)(ii)(iii)(iv)(v)

Mwisho NAIOMBA KAMATI KUU YA HALMASHAURI KUU YA TAIFAYETU PENDWA IKITOKEA KUAMUA VINGINEVYO KWA MASLAHI YA CCM TUNAOMBA WARAKA USHUKE NGAZI ZOTE KWANI CCM IMEJIPAMBANUA KIMUUNDO WAKE TOKEA SHINA HADI TAIFA.
FAIDA ZA KUPEANA TAARIFA KWA MAANDISHI HUSAIDIA KUWADHIBITI WAJANJA WACHACHE NDANI YA CCM AMBAO HUPENDA TUMIA MANENO YA

HAYA NI MAAGIZO KUTOKA JUU

KUMBE HUFANYA HIVYO KWA MASLAHI BINAFSI NA KUTENGENEZA MIANYA YA UBAGUZI NA RUSHWA CHAFU ZINAZOKERA NA KUTENGENEZA CHUKI MIONGONI MWA WANACHAMA.

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI



M M KAHINGA
🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽







"
 
KANUNI ZA UCHAGUZI WA CCM TOLEO 2017


Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiwa Ziarani Kwenye Ufunguzi wa Barabara Tunduma - Sumbawanga
TBC MARUDIO Tarehe 06/10/2019 alisema,

" Na ndiyo maana naona niwaambie UKWELI"

Tukisoma kitabu cha Mwongozo wa CCM 1981 uk 45 kifungu 58

Maandiko yanasema,

" Suala la kukosoa , kujikosoa, na kukosoana ni njia ya kukijenga na KUKIIMARISHA CHAMA na Wanachama."

" Tumependelea kuteteana , kufichiana Makosa na hata kutafuta VISINGIZIO visivyo na Msingi. Neno kuleana limechukua nafasi ya KUKOSOANA."

Tukisoma kitabu cha The Impossible is Possible uk 32

Mwandishi John Mason aliwahi kuandika,

" It is not enough to know that you know. It is more important to show that you know."

Tukisoma KANUNI ZA UONGOZI NA MAADILI toleo 2017 uk 02 kifungu (iv) Maandiko yanasema,

"Katiba ya Chama ndiyo Sheria KUU ya CCM."
" Kufuata na KUTII KATIBA ya CCM na KANUNI ZAKE NI WAJIBU wa kila Mwanachama wa CCM."

Wanaccm wenzangu tumebahatika watanzania kumpata Rais comrade Dkt. John Pombe Joseph Magufuli ambaye mara kwa mara amekuwa akitusisitizia umuhimu wa kuishi kwa kufuata sheria na kanuni ili kuepuka kuwaonea watu hasa wanyonge na mafukara.

Hakuna mwanaccm yeyote mwenye ziada ya kuwaonea wenzie kwa kujifanya yuko juu ya sheria.

Kwa umoja wetu tunapowahimiza wenzetu wa chini kufuata sheria ni lazima na sisi kuonyesha umuhimu wa kuzitekeleza sheria zenyewe.

Niliwahi kusoma kitabu cha Tujisahihishe uk 13
Mwl JK Nyerere aliwahi kuandika,

"Daktari asipojuwa ugonjwa wangu na sababu zake hawezi kujuwa Dawa yake."

Nilichobaini migogoro mingi ndani ya ccm na jamii inatokana na baadhi ya viongozi miongoni mwetu ambao wana vyeo ila hutumia vyeo hivyo kulia bata na kupigiwa makofi na kupenda sifa ya kusifiwa huku kichwani mwao kukiwa hakuna material yeyote japo ya danganya toto vichwani mwao hivyo viongozi jamii hii kwanza walio wengi ni wapigaji na huongoza kwa vitisho ili kujihami na watu wanaohisi wanawazidi uelewa. Walio wengi wao.

Hawa ndiyo vyanzo vya unafiki na fitna na ndiyo vyanzo vya maonezi na kudidimiza juhudi zetu za kimaendeleo.


Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiwa Ziarani Kwenye Ufunguzi wa Barabara Tunduma - Sumbawanga (laela)

TBC MARUDIO TAREHE 06/10/2019 Alisema,

" Hatuwezi tukaenda na Michezo ya kipumbavu."

WANATUVURUGA WAO KISHA KWA FITNA NA UNAFIKI WAO WANAWAONEA WATU WANYONGE NA MAFUKARA KWA KUTOA MAAMUZI YASIYO NA TIJA KWA CCM NA HIVYO KUJENGA CHUKI NA HASAMA MIONGONI MWA WANACCM NA JAMII KWA UJUMLA.

Niliwahi kusoma kitabu Cha Nukuu za Kiswahili za Mwalimu uk 111

Mwl JK Nyerere aliwahi kusema,

".....Mtu anayetuvurugia Umoja wetu si Mwenzetu, Hata angevaa ngozi ya kondoo huyu ni MBWA MWITU hatufai hata kidogo."

Tukisoma kitabu cha Nukuu za Kiswahili za Mwalimu uk 03

Mwl JK Nyerere aliwahi kusema,

"Asili ya Uongozi Wetu ni HAKI".

Ipo haja kwa CCM Kuangalia Mfumo wa CCM upya kwani Ni Ukweli usiopingika KUNA SHERIA ZIMESHAPITWA NA WAKATI HAZITUFAI NYAKATI HIZI KWANI HAZIENDANI NA NYAKATI TULIZOMO NA ZINASABABISHA VYANZO VYA UWEPO WA RUSHWA.
Sheria zilizopitwa na Wakati ni vyanzo vikubwa vya changamoto ndani ya CCM ni lazima kama chama TUZIJUE SHIDA ZETU , sio lazima zote tuzitatue kwa nyakati hizi ila tunapozijua ndiyo TUNAUMIZA vichwa kuzitafutia ufumbuzi.

Niliwahi kusoma kitabu cha The Amazing Results of Positive thinking uk 138

Mwandishi Dr Norman Vincent Peale aliwahi kuandika,

" The only place I've ever been where people have no problems is a cemeteries and there they are all DEAD."

Tukisoma kitabu cha Kanuni za uchaguzi wa CCM toleo 2017 uk ii

Maandiko yanasema,

" Kufanya kazi kwa kujitolea ndiyo Mila inayoendana na mifumo ya vyama vingi Duniani kote.".

Watanzani na Wanaccm wamekuwa WAKIJITOLEA TOKEA NYAKATI ZA KUSAKA UHURU HADI LEO HII.
WAPO WALIOTOA VIWANJA, MAJUMBA, nk na wapo waliojitolea kwa kutumia ujuzi na Elimu zao KUKIIMARISHA Chama na leo hii CCM INA MALI ZA KUTOSHA.

CCM TUNA MSHIKAMANO MKUBWA ILA TUMETETEREKA KWENYE UPENDO HATUPENDANI KAMA MUNGU WETU ANAVYOTAKA TUPENDANE
ANAYESHIBA ANASHIBA TU BILA KUMJALI MWENYE NJAA NA ASIYE NACHO .
HUU NDIYO MWANZO WA RUSHWA NA MIFARAKANO
HAIWEZEKANI WEWE ULE SHIBE KISHA UMWAMBIE HUYU MWENYE NJAA AWE MUADILIFU NA MWAMINIFU WAKATI MAISHA ANAYOISHI YANAMCHAPA BAKORA ZA KUTOSHA HUKU AKUSHUHUDIA MIONGONI MWETU WATU WAKIISHI KWA ANASA NA KUFURAHIA MAISHA
Shida zikizidi mara nyingi huwa CHANZO CHA MTU KUPOTEZA UAMINIFU NA UADILIFU HASA PALE SHIDA HIZO ZINAPOKUWA HAZISEMWI WALA HAZITAJWI, MTU HUJIHISI KATELEKEZWA.

Niliwahi kusoma Kitabu cha Nukuu za Kiswahili za Mwalimu uk 07
Mwl JK Nyerere aliwahi kusema,

" Wakati wa shida ndiyo wakati wa kumtoa mtu kwenye imani yake."

Tukisoma Kitabu cha Kanuni za uchaguzi wa CCM toleo 2017 uk 61 na tukisoma Kitabu cha Mwongozo wa CCM 1981 uk 43

Maandiko yote YANAMTAKA KILA MWANACCM AWE NA KAZI YA KUFANYA NJE YA SIASA.

Wanaccm walio wengi wanapenda maisha mazuri ya kula na kunywa wakitakacho ILA WALIO WENGI CHOKA MBAYA .

Wanaccm na Viongozi walio wengi HAWANA KAZI ZA KUFANYA TOKEA SHINA HADI JUU INGAWA CHAMA CHETU WANAKIPENDA NA MATOKEO YAKE TUMEKUWA NA VIONGOZI WENGI WABABAISHAJI WABINAFSI KWANI VIPATO WANAVYO VIPATA HAWANA UHAKIKA NA KESHO YAO NA HIVYO KILA MWANACCM ANAPAMBANA KUMPITISHA KIONGOZI MWENYE FEDHA HATA KAMA ANA UFINYU WA UELEWA SIO NENO, WAO WANAJALI kumtanguliza mtu mwenye fedha kama ATM zao kesho baada ya Uchaguzi.
Mtandao wa WABABAISHAJI NI MKUBWA TOKEA CHINI HADI JUU NA MATOKEO YAKE HUKU NGAZI ZA CHINI KUMEKUWAPO MALALAMIKO MENGI YASIYO NA UFUMBUZI KWANI VIONGOZI WOTE FEKI WALIOPITA KWA HILA WANALINDWA NA KUTETEWA HUKU MAKAPUKU WAKILA MSOTO NA HAWANA MTETEZI ZAIDI YA KUTISHWA NA KUFOKEWA.

Tusome Kitabu cha Kanuni za uchaguzi wa CCM uk (vi)

Tukisoma uk vii kifungu (v) Kanuni za uchaguzi
Maandiko yanasema,

"Muda wa Uanachama wa KILA MGOMBEA USIPUNGUE MIAKA MITANO MFULULIZO ili Chama kiwe na UHAKIKA na Msimamo wake

Kanuni hii inavunjwa kwa Matendo ya rushwa.
Tunaposema lengo la CCM kikatiba ya 1977 toleo 2017 uk 1 ibara 5(1) ni kushika Dola MAANA YAKE SIO KUKIUKA TARATIBU ZETU NA KUTANGULIZA PESA MBELE KWA HILA KWA KUWAPA WATU UONGOZI WENYE VIPATO HATA KAMA VICHWANI WAKO ZERO. NI LAZIMA TUZINGATIE VIGEZO TULIVYO JIWEKEA ILI TUEPUKE KUENDELEA KUZALISHA MIGOGORO ITOKANAYO NA UVUNJIFU WA MAKSUDI WA TARATIBU ZETU.
Tusome kanuni za uchaguzi wa CCM uk vii kifungu (iv)(vi)

Upindishwaji wa Kanuni UNA MADHARA MAKUBWA YA KUTUPATIA VIONGOZI WAUZA SURA WENYE UCHU WA MADARAKA WALIOJAWA NA ROHO MBAYA NA TAMAA YA KUJILIMBIKIZIA MALI NA MARA NYINGI HAWANA KABISA HURUMA WALA MSAADA KWA MAKAPUKU ZAIDI YA KUWALAGHAI TU.

Tukisoma Kitabu cha Kanuni za uchaguzi wa CCM uk (ix) kifungu (vii)(2)

Maandiko yanasema,

" Msingi wa wajibu wa kiongozi LAZIMA DAIMA utokane na imani ya KUTUMIKIA WANANCHI KWA DHATI katika kuwasaidia na KUWAENDELEZA WAINUE HALI ZAO za maisha na kuzifanya ZILINGANE.

Wanaccm wenzangu tunashuhudia leo hii pamoja na kwamba Ilani ya CCM uk 235 kifungu 187 kinatutaka kubuni miradi ila tunapobuni HAKUNA MSAADA TUNABANIANA SABABU YA BAADHI MIONGONI MWETU WANA ROHO CHAFU NA WENGINE WALIINGIA MADARAKANI KWA HILA HIVYO HAWANA MAPENZI YA DHATI KWA CCM.
Tusome Kitabu cha Kanuni za uchaguzi wa CCM uk (viii) kifungu (vi)

Wanaccm wenzangu Maendeleo ya mtu Mmoja mmoja yanachelewa kwa sababu ya baadhi yetu miongoni mwetu kuwa na ROHO CHAFU ZA KWANINI YULE APATE.
Tukisoma Kitabu cha SERA YA CCM YA KUJITEGEMEA KIMAPATO NA KIUCHUMI uk 31 kifungu (L)(iv)

Maandiko yanasomeka ,

" Maombi ya wanao hitaji kuwekeza kwa UBIA yashughulikiwe kwa Umakini na haraka"

Wanaccm wenzangu kupiga kwetu hatua KIMAENDELEO KUTATEGEMEA SISI KUWACHAGUA VIONGOZI MAKINI WANAO ENDANA NA MATAKWA YA SHERIA ZETU ZOTE TULIZO JIWEKEA NA SI VINGINEVYO.

Gazeti la Uhuru la Tarehe 20/01/2020 uk 08
Comrade Philip Mangula aliwahi kusema,

" Chama kinaongozwa na Ilani yake, pia kuna kanuni na utaratibu, ambao viongozi na Wanachama kwa ujumla wanapaswa kuzijuwa na KUZISIMAMIA."

Gazeti la Mwananchi la Tarehe 10/12/2019 uk 03

Mzee Joseph Butiku
Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwl JK Nyerere aliwahi kusema,

" Sasa kama tuna Matatizo halafu hatuwezi kuzungumza freely tunataka nini ?"

Gazeti la Tanzanite la Tarehe 10/12/2019 uk 04
Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli alisema,

" Tunatakiwa kuweka Mkazo Mkubwa wa kuikomboa nchi hii kiuchumi"

Wanaccm wenzangu Naamini yote YANAWEZEKANA kwa SISI sote KUPENDANA NA WOTE KUFUATA SHERIA HUKU TUKIZIIBUA CHANGAMOTO ZINAZO TUDHOOFISHA NA KUTUJENGEA CHUKI MIONGONI MWETU ILI TUZITAFUTIE UFUMBUZI WA KUDUMU.

Tukisoma Kitabu cha Nukuu za Kiswahili za Mwalimu uk 238

Mwl JK Nyerere aliwahi kusema,

" Mipango yetu ni mizuri, Lakini Utekelezaji wake mbaya siku zote."

Wanaccm wenzangu Matatizo yetu yatakwisha KWA KUAMBIZANA UKWELI NA KUUKATAA UONGO ILI TUJIEPUSHE NA TABIA ZA KIJINGA NA ZA KIPUMBAVU AMBAZO ZINATULETEA MIFARAKANO MIONGONI MWETU.
Tukisoma Kitabu cha 100 Ways to Motivate yourself uk 182

Mwandishi Steve Chandler aliwahi kuandika,

" Truth leads you to a more confident level in your relationships with others and with yourself.
It diminishes FEAR and increase your sense of personal Mastery.
Lies and half - Truth will always WEIGHT YOU DOWN, Where as truth will clear up your thinking and give you the energy and clarity needed for self- Motivation."

Tukisoma Maandiko Matakatifu Kitabu cha Muntakhab Ahadith uk 788
Maandiko Matakatifu yanasema,

" Abdullah bin Umar Radhiallahu Anhuma amesimulia kuwa Mtume Swallallahu Alaihi Sallaam amesema,
" Wakati mtu anaposema Uongo, Malaika humkimbia kwa Umbali wa Maili moja kutokana na HARUFU MBAYA YA KILE ALICHOKILETA."

TUWE WAKWELI VIONGOZI WALIOKATALIWA NA KATIBA, KANUNI, MIONGOZO NA TARATIBU ZETU WAKAE PEMBENI.

HII NDIYO HAKI NA KUEPUSHA CHUKI NA MINONG'ONO KWA WALIO WENGI WANAOHISI

WANABURUZWA NA KUBURUZANA HUKU MAISHA YAKIWACHAPA BAKORA ZA UKWELI.
Ccm imeoza ndugu haisafishiki hata kwa jiki, ni chama cha majizi.
 
KANUNI ZA UCHAGUZI WA CCM TOLEO 2017


Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiwa Ziarani Kwenye Ufunguzi wa Barabara Tunduma - Sumbawanga
TBC MARUDIO Tarehe 06/10/2019 alisema,

" Na ndiyo maana naona niwaambie UKWELI"

Tukisoma kitabu cha Mwongozo wa CCM 1981 uk 45 kifungu 58

Maandiko yanasema,

" Suala la kukosoa , kujikosoa, na kukosoana ni njia ya kukijenga na KUKIIMARISHA CHAMA na Wanachama."

" Tumependelea kuteteana , kufichiana Makosa na hata kutafuta VISINGIZIO visivyo na Msingi. Neno kuleana limechukua nafasi ya KUKOSOANA."

Tukisoma kitabu cha The Impossible is Possible uk 32

Mwandishi John Mason aliwahi kuandika,

" It is not enough to know that you know. It is more important to show that you know."

Tukisoma KANUNI ZA UONGOZI NA MAADILI toleo 2017 uk 02 kifungu (iv) Maandiko yanasema,

"Katiba ya Chama ndiyo Sheria KUU ya CCM."
" Kufuata na KUTII KATIBA ya CCM na KANUNI ZAKE NI WAJIBU wa kila Mwanachama wa CCM."

Wanaccm wenzangu tumebahatika watanzania kumpata Rais comrade Dkt. John Pombe Joseph Magufuli ambaye mara kwa mara amekuwa akitusisitizia umuhimu wa kuishi kwa kufuata sheria na kanuni ili kuepuka kuwaonea watu hasa wanyonge na mafukara.

Hakuna mwanaccm yeyote mwenye ziada ya kuwaonea wenzie kwa kujifanya yuko juu ya sheria.

Kwa umoja wetu tunapowahimiza wenzetu wa chini kufuata sheria ni lazima na sisi kuonyesha umuhimu wa kuzitekeleza sheria zenyewe.

Niliwahi kusoma kitabu cha Tujisahihishe uk 13
Mwl JK Nyerere aliwahi kuandika,

"Daktari asipojuwa ugonjwa wangu na sababu zake hawezi kujuwa Dawa yake."

Nilichobaini migogoro mingi ndani ya ccm na jamii inatokana na baadhi ya viongozi miongoni mwetu ambao wana vyeo ila hutumia vyeo hivyo kulia bata na kupigiwa makofi na kupenda sifa ya kusifiwa huku kichwani mwao kukiwa hakuna material yeyote japo ya danganya toto vichwani mwao hivyo viongozi jamii hii kwanza walio wengi ni wapigaji na huongoza kwa vitisho ili kujihami na watu wanaohisi wanawazidi uelewa. Walio wengi wao.

Hawa ndiyo vyanzo vya unafiki na fitna na ndiyo vyanzo vya maonezi na kudidimiza juhudi zetu za kimaendeleo.


Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiwa Ziarani Kwenye Ufunguzi wa Barabara Tunduma - Sumbawanga (laela)

TBC MARUDIO TAREHE 06/10/2019 Alisema,

" Hatuwezi tukaenda na Michezo ya kipumbavu."

WANATUVURUGA WAO KISHA KWA FITNA NA UNAFIKI WAO WANAWAONEA WATU WANYONGE NA MAFUKARA KWA KUTOA MAAMUZI YASIYO NA TIJA KWA CCM NA HIVYO KUJENGA CHUKI NA HASAMA MIONGONI MWA WANACCM NA JAMII KWA UJUMLA.

Niliwahi kusoma kitabu Cha Nukuu za Kiswahili za Mwalimu uk 111

Mwl JK Nyerere aliwahi kusema,

".....Mtu anayetuvurugia Umoja wetu si Mwenzetu, Hata angevaa ngozi ya kondoo huyu ni MBWA MWITU hatufai hata kidogo."

Tukisoma kitabu cha Nukuu za Kiswahili za Mwalimu uk 03

Mwl JK Nyerere aliwahi kusema,

"Asili ya Uongozi Wetu ni HAKI".

Ipo haja kwa CCM Kuangalia Mfumo wa CCM upya kwani Ni Ukweli usiopingika KUNA SHERIA ZIMESHAPITWA NA WAKATI HAZITUFAI NYAKATI HIZI KWANI HAZIENDANI NA NYAKATI TULIZOMO NA ZINASABABISHA VYANZO VYA UWEPO WA RUSHWA.
Sheria zilizopitwa na Wakati ni vyanzo vikubwa vya changamoto ndani ya CCM ni lazima kama chama TUZIJUE SHIDA ZETU , sio lazima zote tuzitatue kwa nyakati hizi ila tunapozijua ndiyo TUNAUMIZA vichwa kuzitafutia ufumbuzi.

Niliwahi kusoma kitabu cha The Amazing Results of Positive thinking uk 138

Mwandishi Dr Norman Vincent Peale aliwahi kuandika,

" The only place I've ever been where people have no problems is a cemeteries and there they are all DEAD."

Tukisoma kitabu cha Kanuni za uchaguzi wa CCM toleo 2017 uk ii

Maandiko yanasema,

" Kufanya kazi kwa kujitolea ndiyo Mila inayoendana na mifumo ya vyama vingi Duniani kote.".

Watanzani na Wanaccm wamekuwa WAKIJITOLEA TOKEA NYAKATI ZA KUSAKA UHURU HADI LEO HII.
WAPO WALIOTOA VIWANJA, MAJUMBA, nk na wapo waliojitolea kwa kutumia ujuzi na Elimu zao KUKIIMARISHA Chama na leo hii CCM INA MALI ZA KUTOSHA.

CCM TUNA MSHIKAMANO MKUBWA ILA TUMETETEREKA KWENYE UPENDO HATUPENDANI KAMA MUNGU WETU ANAVYOTAKA TUPENDANE
ANAYESHIBA ANASHIBA TU BILA KUMJALI MWENYE NJAA NA ASIYE NACHO .
HUU NDIYO MWANZO WA RUSHWA NA MIFARAKANO
HAIWEZEKANI WEWE ULE SHIBE KISHA UMWAMBIE HUYU MWENYE NJAA AWE MUADILIFU NA MWAMINIFU WAKATI MAISHA ANAYOISHI YANAMCHAPA BAKORA ZA KUTOSHA HUKU AKUSHUHUDIA MIONGONI MWETU WATU WAKIISHI KWA ANASA NA KUFURAHIA MAISHA
Shida zikizidi mara nyingi huwa CHANZO CHA MTU KUPOTEZA UAMINIFU NA UADILIFU HASA PALE SHIDA HIZO ZINAPOKUWA HAZISEMWI WALA HAZITAJWI, MTU HUJIHISI KATELEKEZWA.

Niliwahi kusoma Kitabu cha Nukuu za Kiswahili za Mwalimu uk 07
Mwl JK Nyerere aliwahi kusema,

" Wakati wa shida ndiyo wakati wa kumtoa mtu kwenye imani yake."

Tukisoma Kitabu cha Kanuni za uchaguzi wa CCM toleo 2017 uk 61 na tukisoma Kitabu cha Mwongozo wa CCM 1981 uk 43

Maandiko yote YANAMTAKA KILA MWANACCM AWE NA KAZI YA KUFANYA NJE YA SIASA.

Wanaccm walio wengi wanapenda maisha mazuri ya kula na kunywa wakitakacho ILA WALIO WENGI CHOKA MBAYA .

Wanaccm na Viongozi walio wengi HAWANA KAZI ZA KUFANYA TOKEA SHINA HADI JUU INGAWA CHAMA CHETU WANAKIPENDA NA MATOKEO YAKE TUMEKUWA NA VIONGOZI WENGI WABABAISHAJI WABINAFSI KWANI VIPATO WANAVYO VIPATA HAWANA UHAKIKA NA KESHO YAO NA HIVYO KILA MWANACCM ANAPAMBANA KUMPITISHA KIONGOZI MWENYE FEDHA HATA KAMA ANA UFINYU WA UELEWA SIO NENO, WAO WANAJALI kumtanguliza mtu mwenye fedha kama ATM zao kesho baada ya Uchaguzi.
Mtandao wa WABABAISHAJI NI MKUBWA TOKEA CHINI HADI JUU NA MATOKEO YAKE HUKU NGAZI ZA CHINI KUMEKUWAPO MALALAMIKO MENGI YASIYO NA UFUMBUZI KWANI VIONGOZI WOTE FEKI WALIOPITA KWA HILA WANALINDWA NA KUTETEWA HUKU MAKAPUKU WAKILA MSOTO NA HAWANA MTETEZI ZAIDI YA KUTISHWA NA KUFOKEWA.

Tusome Kitabu cha Kanuni za uchaguzi wa CCM uk (vi)

Tukisoma uk vii kifungu (v) Kanuni za uchaguzi
Maandiko yanasema,

"Muda wa Uanachama wa KILA MGOMBEA USIPUNGUE MIAKA MITANO MFULULIZO ili Chama kiwe na UHAKIKA na Msimamo wake

Kanuni hii inavunjwa kwa Matendo ya rushwa.
Tunaposema lengo la CCM kikatiba ya 1977 toleo 2017 uk 1 ibara 5(1) ni kushika Dola MAANA YAKE SIO KUKIUKA TARATIBU ZETU NA KUTANGULIZA PESA MBELE KWA HILA KWA KUWAPA WATU UONGOZI WENYE VIPATO HATA KAMA VICHWANI WAKO ZERO. NI LAZIMA TUZINGATIE VIGEZO TULIVYO JIWEKEA ILI TUEPUKE KUENDELEA KUZALISHA MIGOGORO ITOKANAYO NA UVUNJIFU WA MAKSUDI WA TARATIBU ZETU.
Tusome kanuni za uchaguzi wa CCM uk vii kifungu (iv)(vi)

Upindishwaji wa Kanuni UNA MADHARA MAKUBWA YA KUTUPATIA VIONGOZI WAUZA SURA WENYE UCHU WA MADARAKA WALIOJAWA NA ROHO MBAYA NA TAMAA YA KUJILIMBIKIZIA MALI NA MARA NYINGI HAWANA KABISA HURUMA WALA MSAADA KWA MAKAPUKU ZAIDI YA KUWALAGHAI TU.

Tukisoma Kitabu cha Kanuni za uchaguzi wa CCM uk (ix) kifungu (vii)(2)

Maandiko yanasema,

" Msingi wa wajibu wa kiongozi LAZIMA DAIMA utokane na imani ya KUTUMIKIA WANANCHI KWA DHATI katika kuwasaidia na KUWAENDELEZA WAINUE HALI ZAO za maisha na kuzifanya ZILINGANE.

Wanaccm wenzangu tunashuhudia leo hii pamoja na kwamba Ilani ya CCM uk 235 kifungu 187 kinatutaka kubuni miradi ila tunapobuni HAKUNA MSAADA TUNABANIANA SABABU YA BAADHI MIONGONI MWETU WANA ROHO CHAFU NA WENGINE WALIINGIA MADARAKANI KWA HILA HIVYO HAWANA MAPENZI YA DHATI KWA CCM.
Tusome Kitabu cha Kanuni za uchaguzi wa CCM uk (viii) kifungu (vi)

Wanaccm wenzangu Maendeleo ya mtu Mmoja mmoja yanachelewa kwa sababu ya baadhi yetu miongoni mwetu kuwa na ROHO CHAFU ZA KWANINI YULE APATE.
Tukisoma Kitabu cha SERA YA CCM YA KUJITEGEMEA KIMAPATO NA KIUCHUMI uk 31 kifungu (L)(iv)

Maandiko yanasomeka ,

" Maombi ya wanao hitaji kuwekeza kwa UBIA yashughulikiwe kwa Umakini na haraka"

Wanaccm wenzangu kupiga kwetu hatua KIMAENDELEO KUTATEGEMEA SISI KUWACHAGUA VIONGOZI MAKINI WANAO ENDANA NA MATAKWA YA SHERIA ZETU ZOTE TULIZO JIWEKEA NA SI VINGINEVYO.

Gazeti la Uhuru la Tarehe 20/01/2020 uk 08
Comrade Philip Mangula aliwahi kusema,

" Chama kinaongozwa na Ilani yake, pia kuna kanuni na utaratibu, ambao viongozi na Wanachama kwa ujumla wanapaswa kuzijuwa na KUZISIMAMIA."

Gazeti la Mwananchi la Tarehe 10/12/2019 uk 03

Mzee Joseph Butiku
Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwl JK Nyerere aliwahi kusema,

" Sasa kama tuna Matatizo halafu hatuwezi kuzungumza freely tunataka nini ?"

Gazeti la Tanzanite la Tarehe 10/12/2019 uk 04
Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli alisema,

" Tunatakiwa kuweka Mkazo Mkubwa wa kuikomboa nchi hii kiuchumi"

Wanaccm wenzangu Naamini yote YANAWEZEKANA kwa SISI sote KUPENDANA NA WOTE KUFUATA SHERIA HUKU TUKIZIIBUA CHANGAMOTO ZINAZO TUDHOOFISHA NA KUTUJENGEA CHUKI MIONGONI MWETU ILI TUZITAFUTIE UFUMBUZI WA KUDUMU.

Tukisoma Kitabu cha Nukuu za Kiswahili za Mwalimu uk 238

Mwl JK Nyerere aliwahi kusema,

" Mipango yetu ni mizuri, Lakini Utekelezaji wake mbaya siku zote."

Wanaccm wenzangu Matatizo yetu yatakwisha KWA KUAMBIZANA UKWELI NA KUUKATAA UONGO ILI TUJIEPUSHE NA TABIA ZA KIJINGA NA ZA KIPUMBAVU AMBAZO ZINATULETEA MIFARAKANO MIONGONI MWETU.
Tukisoma Kitabu cha 100 Ways to Motivate yourself uk 182

Mwandishi Steve Chandler aliwahi kuandika,

" Truth leads you to a more confident level in your relationships with others and with yourself.
It diminishes FEAR and increase your sense of personal Mastery.
Lies and half - Truth will always WEIGHT YOU DOWN, Where as truth will clear up your thinking and give you the energy and clarity needed for self- Motivation."

Tukisoma Maandiko Matakatifu Kitabu cha Muntakhab Ahadith uk 788
Maandiko Matakatifu yanasema,

" Abdullah bin Umar Radhiallahu Anhuma amesimulia kuwa Mtume Swallallahu Alaihi Sallaam amesema,
" Wakati mtu anaposema Uongo, Malaika humkimbia kwa Umbali wa Maili moja kutokana na HARUFU MBAYA YA KILE ALICHOKILETA."

TUWE WAKWELI VIONGOZI WALIOKATALIWA NA KATIBA, KANUNI, MIONGOZO NA TARATIBU ZETU WAKAE PEMBENI.

HII NDIYO HAKI NA KUEPUSHA CHUKI NA MINONG'ONO KWA WALIO WENGI WANAOHISI

WANABURUZWA NA KUBURUZANA HUKU MAISHA YAKIWACHAPA BAKORA ZA UKWELI.
CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavu
 
WANACCM NDANI YA CCM

Makada wa CCM ndani ya serikali,

Kila mmoja amuwazie mwenzake mema.

Tuache kuchuliana powa.

Powa powa sio powa.

Hakika hatutampenda Mungu bila ya kuwapenda waliotuwezesha kuwa na maisha tuliyonayo.

CHARITY BEGINS AT HOME. Tuondoe umaskini kwa wanaccm kwanza ili tuwaondolee Watanzania umaskini.

Nakumbuka tarehe 23/Novemba/2021

Mbunge na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani na Mwenyekiti wa Baraza la Usalama Barabarani Tanzania, Comrade Hamisi Hamza Chiro, alianza kwa kusema:

"Mabibi na Mabwana na Wanahabari,

Asalaam Aleikhum

Bwana Yesu Asifiwe,

Ninawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...

Kwanza kabla ya yote, nichukuwe fursa hii nimshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuwa ametujaalia tumekutana hapa tukiwa wazima wa afya."

Mwisho wa kunukuu.

Comrade Steave Biko, mpinga maovu aliyeuliwa kikatili huko Afrika Kusini tarehe 12/Septemba/1977 katika mahabusu ya polisi ya Makaburu aliwahi kusema:

"It is better to die for an idea that will live than to die for an idea that will die."

"I am going to be me as I am. And you can beat me or jail me or even kill me but I'm not going to be what you want me to be."

Mwisho wa kunukuu.

Nakumbuka tarehe 25/Agosti/2021

Padre Dkt Faustine Kamugisha wa Parokia ya Minziro-Bukoba aliwahi kusema:

"Na mimi naongea kwa sababu nina matumaini kwamba haya yote yatawasaidia."

"Na wewe unayeyasikiliza una matumaini kwamba yatakusaidia."

Mwisho wa kunukuu.

Tukiisoma Kitabu cha Maandiko Matakatifu ya Mwenyezi Mungu kiitwacho Fadhila za A'maal, ukurasa wa 166, maandiko yanasema:

"Rasulullahi Swallallahu Alaihi Wasallam amesema: Kuweni wanyenyekevu sana na wenye heshima kwa watu ambao kutoka kwao mnapata elimu."

Mwisho wa kunukuu.

Wanaccm na Watanzania wenzangu, chama chetu CCM ngazi za shina, tawi, kata, na majimbo hali ya kimionekano sio nzuri na hii ni aibu kwa wanaccm wote bila ya kujali vyeo vyetu.

Na huu sio utu, ni kinyume na matakwa ya ilani ya CCM 2020 - 2025. Posho za baadhi ya viongozi ngazi hizo za CCM huku chini ni vichekesho.

Tubadilike kifikra.

Nakumbuka tarehe 05/Desemba/2021

Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan akifungua barabara ya Morocco - Mwenge Dar alisema:

"Niwaombe sana na wananchi tubadilike kifikra, tubadilike kimatendo."

Mwisho wa kunukuu.

Ofisi za CCM ngazi za shina, tawi, kata, na jimbo hazina kumbi za mikutano, hakuna ofisi za kutosha kwa viongozi wa ngazi hizo, hakuna posho, na miradi mingi ya CCM ilianzia huku chini ila fedha nyingi inapaa juu. Mrejesho wa fedha hizo haukidhi mahitaji ya wanaccm wa huku chini.

Ukiangalia ngazi za wilaya, mkoa, na taifa hali ni nzuri sana. Tujenge daraja la kutuunganisha wote hali zetu ili tusichukuliane powa walau tujenge vyoo tu. Wanaccm wanaumia ila hawasemi. Baadaye tunawalaumu wajumbe kumbe ni sisi baadhi ya wanaccm tunawachukulia powa wenzetu kwa ukimya wao.

Nakumbuka Novemba 2020

Dkt Hassan Abbass aliyekuwa msemaji mkuu wa serikali akiwa katibu mkuu wa wizara yenye dhamana na sanaa aliwahi kusema:

"Kama wenzetu wamejengewa mradi la Rufiji kule la matrillioni, hivi na sisi kwenye sanaa huku hatuna kitu fulani hivi amazing cha billion kadhaa tukafanyiwa! Mbona wanatuchukulia powa hawa watu."

"Sasa inawezekana tulikuwa tunachukuliwa powa kwa sababu na sisi wenyewe tuko powa. Ehee, ukiwa umepowa watu wanakupoza tu, unaona bhana, inakuwa simple tu."

Mwisho wa kunukuu.

Nakumbuka tarehe 04/Novemba/2016

Hayati Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiongea na wahariri wa habari alisema:

"Tuna wajibu wa kwenda pamoja, sisi wote ni wamoja tuna haki sawa mbele ya Mwenyezi Mungu wetu."

Mwisho wa kunukuu.

Wanaccm na Watanzania wenzangu, miongoni mwetu kuna baadhi hawaamini kabisa kama na sisi wanaccm wa ngazi hizi za chini tunahitaji kutendewa haki na usawa kwenye mambo ya kimsingi ya kibinadamu.

Nakumbuka tarehe 26/Desemba/2021

Comrade Job Yustino Ndugai, Spika wa Bunge alisema:

"Ohoo unajua sisi, tunadharaulika tunafany... Usidharaulike kwa nini?! Kwani una nini cha kukufanya uheshimike? Watu wanaheshimikaga tu hivi hivi?!"

"Haiwezekani, unaheshimika kwa kazi, kwa achievable, huna cha kuonyesha huheshimiki."

"Hii maneno ya shuleni binadamu wote ni sawa ile ni theory ya kupasi mtihani, ile ni ya kufaulu mtihani wa Wizara ya Elimu."

"Binadamu ni sawa tangu mwaka gani?! Tangu lini?"

Mwisho wa kunukuu.

Tusome Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 toleo 2005 ukurasa wa 20 Ibara 12 (1)(2), Ibara 13(1)(4)(5), Ibara 26(1)(2) bila kuacha Ibara 9(a)(b)(f).

Katiba ya CCM 1977 toleo 2020 ukurasa wa 01 Ibara 04 (1)(2).

Azimio la Arusha ukurasa wa 01 kifungu (a)(b).

Nakumbuka tarehe 15/Desemba/2021

Rais Samia Suluhu Hassan katika mkutano wa wadau wa kujadili hali ya demokrasia ya vyama vingi nchini alisema:

"Unapovunja sheria, unajivunjia heshima, na serikali inashindwa kukuheshimu."

"Naomba tufanye kazi kwa kuheshimu sheria."

"Hakuna mbora wetu mbele ya sheria."

"Mbora wetu ni yule anayefuata sheria."

Mwisho wa kunukuu.

Nakumbuka tarehe 27/12/2021

Akihojiwa na ITV, Mheshimiwa IGP Simon Nyakoro Sirro alisema:

"Unajua Mheshimiwa Rais (Samia) akisha zungumza ni maelekezo. Na mimi nayafanyia kazi maelekezo yake, nafuatilia."

Tusome Ilani ya CCM 2020 ukurasa wa 161 - 168 bila kuacha ukurasa wa 01 Ibara 04.

Nitoe wito kwa viongozi wa CCM ngazi za juu kutuangalia sisi tulioko huku chini kwa jicho la huruma na upendo huku tukijikumbusha ya kuwa sisi ni mwili mmoja.

Tukisoma Kitabu cha Awamu ya TATU ya Mradi wa Kukiimarisha Chama ukurasa wa 05, maandiko yanasema:

"Katika kikao chake cha Desemba 1985, Halmashauri Kuu ya Taifa ilianzisha mradi wa kwanza wa kuimarisha chama baada ya kubaini kuwa chama kilikuwa kibovu hasa katika ngazi zake za mwanzo."

Mwisho wa kunukuu.

Nakumbuka tarehe 04/12/2021

Mheshimiwa Salvatory Venance Mabeyo, Mkuu wa Majeshi alisema:

"Hakuna mwanadamu ambaye Mungu kamnyima kila kitu, wala hakuna aliyepewa kila kitu. Wote tumepewa kadri ya uwezo wetu. Na hivyo ni wajibu wetu na hasa viongozi wetu kutuunganisha sote kwa pamoja kushirikiana katika kuujenga ufalme wa Mungu."

Mwisho wa kunukuu.

Tukisoma Kitabu cha Sera ya CCM ya Kujitegemea Kimapato na Kiuchumi ukurasa wa 03, maandiko yanasema:

"Katika chama hiki tokea 2000 yamekuwepo maamuzi mbali mbali ya vikao vya juu vya chama kuanzia sekretarieti, kamati kuu, halmashauri kuu ya taifa na hata mkutano mkuu wa taifa kuhusu chama kujitegemea kimapato na kiuchumi. Changamoto kubwa imekuwa ni utekelezaji wa maamuzi hayo."

Mwisho wa kunukuu.

Ilani yetu ya CCM imetamka neno ubunifu mara nyingi ila hakuna mtu aliye tayari kusaidia kwa lolote ili kubadili mielekeo na mitazamo ya kimaskini ndani ya CCM.

Mwenye uwezo naomba anipeleke kwa Mheshimiwa Sam
 
TUMUOGOPE SANA TENA SANA MWENYEZI MUNGU LAKINI PIA TUWAOGOPE SANA MAFUKARA, MASKINI NA WANYONGE WALIO WENGI.

Nakumbuka Tarehe 08 May/2021
Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan
Katika hafla ya Uzinduzi wa Kitabu cha Mzee Ally Hassan Mwinyi,
Alianza kwa maneno haya,

" Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania......"

" Waheshimiwa nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Rehema aliyetujaalia UHAI na kutuwezesha kutukutanisha hapa tukiwa wenye afya njema"

Mwisho wa kunukuu

Nami naungana na Mwenyekiti wangu wa CCM Taifa ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwasalimu na kumshukuru Mwenyezi Mungu kuweza kutuwezesha uhai wa kuiona siku ya leo na kukutana hapa kwa njia ya Mtandao.

Tusome Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 toleo 2005 uk 127 ibara 152.

Wanaccm Wenzangu , Sisi tunalo jukumu la kuwa WAKWELI MUDA WOTE ILI TUONYESHE TASWIRA NZURI MBELE ya Jamii iliyotuamini ikatupa Ridhaa ya kuongoza nchi ambayo HATA VYAMA PINZANI VILITAMANI SANA KUPATA NAFASI HIYO.
PAMOJA NA KWAMBA VYAMA HIVYO VILITUWEKEA MAZINGIRA MAGUMU YA KUPATA DOLA ILA WANACCM KWA UMOJA WETU TULIFAULU KUSIKA DOLA. Tuusimamie UKWELI UTUVUSHE.

Tusome Katiba ya CCM 1977 toleo 2020 uk 151 kifungu cha 08
(Ahadi za Wanaccm)

Nakumbuka February 2021
Professor Ibrahim Hamisi Juma
Katika hafla ya kuwaapisha Mahakimu
Alisema,

" Kiapo ni ahadi"


Mwisho wa kunukuu.

Tukisoma Katiba ya CCM 1977 toleo 2020 uk 10 ibara 15(4)
Inasema,

" Kila Mwanachama atakuwa na wajibu ufuatao, kuwa Wakati wote Mkweli Mwaminifu na Raia Mwema wa Tanzania.

Mwisho wa kunukuu

Tukisoma Maandiko MATAKATIFU ya Mwenyezi Mungu kutoka Katika Kitabu cha Tarjuma ya Sahih Al Bukhari uk 247
Maandiko yanasema,

" Na Ibn Abbaass amesema ,
Amehadithia Abu Sufyan katika hadith ya Heraql akasema,
" Anatuamrisha yaani Mtume ( SAW) Kusali KUSEMA KWELI na kujitenga na Maasi."

Mwisho wa kunukuu

Wanaccm Wenzangu tunapokubaliana wote kufuata SHERIA ni lazima sheria hizo ziwe kwa wote na sio kuwabeba wachache KUWAEPUSHA NAZO na kutumia SHERIA hizo hizo KUWAGANDAMIZA WALIO WENGI .
HAYA NI MAONEZI NA NI MACHUKUZO MBELE YA MOLA WETU NA NI MATUMIZI MABAYA YA MADARAKA.

Tusome Kitabu cha Mwongozo wa CCM 1981 uk 99

Tusome kwa UMAKINI MKUBWA katiba ya CCM 1977 Toleo 2020 uk wote wa (vi)

Tusome katiba ya CCM 1977 Toleo 2020 uk 03 - 04 ibara ya 5(16)

Tukisoma Qur aan Tukufu ; Juzuu 1 Al baqarah (2) kifungu cha 48

Maandiko Matakatifu ya Mwenyezi Mungu yanasema,

" Na iogopeni siku ambayo nafsi haitafaa nafsi nyingine Chochote, wala hayatakubaliwa kwake nafsi hiyo maombezi Kama ataombewa ,
Wala
Hakutapokewa kukombolewa kwake wala
Hawatanusuliwa."

Mwisho wa kunukuu

Tukisoma Kitabu cha Binadamu na Maendeleo uk 13

Mwl JK Nyerere anatukumbusha,

" Ukweli lazima usemwe kwa jinsi ile ile unavyo onekana bila mtu kujali yatakayo mtokea Yeye binafsi "

Mwisho wa kunukuu

Tusome Mwongozo wa CCM 1981 uk 138 - 139 kifungu cha 159 - 162

Tukisoma Kitabu cha Nukuu za Kiswahili za Mwalimu uk 165

Mwl Nyerere aliwahi kusema,

" Viongozi wasifiche Makosa ,
haya ni makosa kwa kuwa njia pekee ya kusonga mbele ni kuyakabili KAMA YAPO ,
Kuyakubali kuwa ni MATATIZO na kuyatafutia njia za kuyatatua na SIYO kujidai kwamba hayapo."

Mwisho wa kunukuu

Tukisoma Kitabu cha Nukuu za Kiswahili za Mwalimu uk 50

Mwl JK Nyerere anatukumbusha,

" Tunaposema kuwa tumenyonywa ,
Tumeonewa
Na kupuuzwa kiasi cha KUTOSHA sio kwamba tunayaambia Mataifa ya nje tu,
Bali tunamwambia Mtanzania yeyote ambaye AMEZOEA au
ANATAMANI KUWANYONYA,
Kuwaonea, au
Kuwapuuza Wenzie."

Mwisho wa kunukuu

Tukisoma katiba ya CCM 1977 Toleo 2020 uk 06 ibara 08 (2)

Maandiko yanasema,

"(Masharti ya Uanachama) Mtu atakayekubaliwa kuingia katika CCM ,
Au kuendelea kuwa Mwanachama ni yule anayetimiza Masharti yafuatayo,
"Kuwa mtu anayefanya Juhudi ya KUIELEWA,
KUIELEZA,
KUITETEA,
NA KUITEKELEZA Itikadi ya Siasa ya CCM."

Tukisoma katiba ya CCM 1977 toleo 2020 uk 08 ibara 13(1)(e)
( Kuondoka katika Chama)" Uanachama wa Mwanachama utakwisha kwa ,
Kutotimiza Masharti ya Uanachama."

Mwisho wa kunukuu

Wanaccm Wenzangu NI LAZIMA TUKOSOANE KWANI NAAMINI HAKUNA MTU ANAYEJUWA KILA KITU
WOTE TUNATEGEMEANA NI LAZIMA ATAKAYEONA JAMBO TOFAUTI NI LAZIMA AWE TAYARI KUWAKOSOA WENZAKE ILI TURUDI KWENYE MSTARI VINGINEVYO TUTAPOTEZANA KIMITAZAMO NA KUAMINISHANA MAMBO YASIYO KISAIDIA CHAMA KUIMARIKA.
SISI NI BINADAMU SIO MIUNGU TUNAKOSEA.

Nakumbuka Tarehe 08/May/2021
Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan,
Akiwa katika hafla za Uzinduzi wa Kitabu cha Mzee Ally Hassan Mwinyi
Alitamka maneno haya,

" Umuhimu wa kukiri Makosa ,
Viongozi sio Malaika, Viongozi ni Binadamu, na Binadamu kwa kawaida ameumbiwa KUFANYA makosa."

Nakumbuka Tarehe 07 May/ 2021
Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan
Akiongea na Wazee wa Dar
Alisema,

" Pale Mtakapoona tunatetereka ,
Msisite kutukumbusha,
Turudi kwenye Mstari ili tusivuke Misingi ya Maadili na Misingi ya Ujenzi wa nchi yetu Kama ilivyowekwa na Waasisi wa nchi zetu."
" Kwa upande wetu nataka niwahakikishie
TUTASIKILIZA BILA BEZO WALA DHARAU Yale yote ambayo YATAKUWA kwenye UWEZO WETU kwa wakati husika."

Mwisho wa kunukuu

Tusome katiba ya CCM 1977 Toleo 2021 uk 10 - 11 ibara ya 15(7)

Tusome Kitabu cha Mwongozo wa CCM 1981 uk 45 -46 kifungu cha 58 - 58 na uk 46 - 47 kifungu cha 60 na uk 49 kifungu cha 62 na uk 51-52 kifungu cha 65.

Tusome Kanuni za Uongozi na Maadili uk 33 - 34 kifungu cha 9(1)(ii)

Tukisoma Kitabu cha Nukuu za Kiswahili za Mwalimu uk 175

Mwl JK Nyerere anatukumbusha,

" Ufa wa nchi ni KUENDESHA MAMBO bila kujali SHERIA."

Mwisho wa kunukuu

Nakumbuka Tarehe 30/April/ 2021
Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan
Mwenyekiti CCM Taifa
Katika Mikutano Mkuu wa Dharura Dodoma,
Akihutubia na hotuba kurushwa kwenye vyombo vya habari,

Nayakumbuka baadhi ya maneno ya hotuba hiyo.

" Najuwa jukumu mlilonipa ni kubwa na sio rahisi ,
Lakini Ninaamini nitaweza .
Ninaamini nitaweza kwa sababu ,
Kwanza, Chama chetu KINAONGOZWA NA KATIBA,KANUNI, NA TARATIBU."
" Ambazo NINAAHIDI KUZIFUATA KIKAMILIFU"

" Nitasimamia Maadili, Kanuni na Taratibu za Chama ili kujenga Chama Chenye Nidhamu na Chenye WANACHAMA wanaotambua Wajibu wao kwa Chama na kwa Taifa lao."

Mwisho wa kunukuu

Tusome katiba ya CCM 1977 Toleo 2020 uk 10 - 11 ibara ya 15(1) - (9).

Tukisoma Kitabu cha CCM cha kanuni za Uongozi na Maadili uk 02 kifungu cha (iv)
Kinatukumbusha,

" Kufuata na kutii KATIBA , YA CCM na Kanuni zake NI WAJIBU WA KILA MWANACHAMA WA CCM."

Mwisho wa kunukuu

Naamini Sisi sote kwa Umoja wetu tokea shina hadi Juu , WOTE NI LAZIMA TUFUATE MAANDIKO YETU.

Tusome Kitabu cha Kanuni za Fedha na Mali za Chama na Jumuiya zake uk 164 - 165 vifungu vya 14;2 na 14;3.

Tusome katiba ya CCM 1977 toleo 2020 uk (ii)

Tusome katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 Toleo 2005 uk 27 ibara 26(1)(2).

Tusome Ilani ya CCM 2020 uk 161 - 168

Tusome Kitabu cha The Political Parties act
Chapter 258
Revised Edition 2019 uk 11 kifungu cha 06 A(1)(2)(5)

Katika orodha ya Viongozi ninao wakubali wa KUWATOLEA MFANO BILA KUOGOPA KUAIBIKA NI PROFESSOR IBRAHIM HAMIS JUMA.
JAJI MKUU WA TANZANIA
ANANIVUTIA HASA KWA UCHA MUNGU UNAOJIDHIHIRISHA WAZI HATA KATIKA MAONGEZI YAKE.

Nakumbuka Mwaka 2019
Professor Palamagamba Kabudi
Alisema,

" Professor Ibrahim Hamisi Juma, Jaji Mkuu wa Mfano, Jaji Mkuu Mweledi, Jaji Mkuu Mcha Mungu."

Mwisho wa kunukuu

Nakumbuka February 2021
Professor Ibrahim Hamisi Juma
Akiwa katika hafla ya kuwaapisha Mahakimu
Aliwahi kutamka maneno haya ,

" Nguzo ya kwanza ni Utawala Bora,
Uwajibikaji, na
Usimamizi mzuri wa Raslilimali."

" Kila Mmoja wenu anatakiwa azingatie Utawala Bora , Yeye binafsi na Utawala wa Shughuli zote Ambazo anazifanya".
( Ilani ya CCM 2020 uk 161 - 168)

"Hata Sisi tuko Chini ya Sheria na TUNAWEZA KUCHUKULIWA HATUA ZA KISHERIA".

Mwisho wa kunukuu

Tukisoma katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 toleo 2005 uk 27 ibara 26(1)
Inasema,

" Kila Mtu ana wajibu wa kufuata na KUITII katiba hii na sheria za Jamhuri ya Muungano."

Mwisho wa kunukuu katiba.

Naamini Sisi sote NI WATU.
Tunao wajibu wa KUITII KATIBA NA YOTE YALIYOMO NDANI HUKU TUKIJIEPUSHA NA MATENDO YA KIBAGUZI NA KIUPENDELEO.

tusome katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 toleo 2005 ibara 12(1)(2) na 13(4)(5).

Nakumbuka Mwaka 2019
Professor Palamagamba Kabudi
Akiwa Bungeni - Dodoma
Aliwahi kutamka maneno haya ,

" Sisi Watanzania tuna Bahati kubwa sana ya kuzaliwa katika nchi hii ya Tanzania na katika mfumo ambao unatoa HAKI NA UHURU KWA WATU kuliko nchi nyingi nyingine."

" Watanzania tuna Uhuru
Tuna HAKI ambazo zinalindwa na KATIBA
Lakini pia viko vyombo vingi ambavyo vimeundwa kuhakikisha kuwa HAKI HIZO ambazo ziko ndani ya Katiba ZINAHESHIMIWA au ZINAFUATWA."

" SISI ni Miongoni Mwa nchi chache sana katika Bara la Africa ambazo hazifiki nne ,
Ambazo ZIMEWARUHUSU RAIA WAKE KUWEZA KUISHITAKI SERIKALI KATIKA Mahakama ya Afrika ya haki za Binadamu na watu."

Mwisho wa kunukuu

Tusome katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 Toleo 2005 uk 23 ibara ya 18(a)(b()c)(d).

Nakumbuka Tarehe 28/March/2021
Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan
Katika hafla ya Upokeaji Taarifa CAG &TAKUKURU
Alitamka maneno haya,

" Tumesisitiza kuendelea kuthibiti Vitendo vya Rushwa , kuimarisha mifumo ya Utawala Bora na kukuza UWAJIBIKAJI katika Taifa letu."
( Ilani ya CCM 2020 uk 161 - 168)
" Naomba sana TUFUATE Maadili ya Taasisi zetu na SHERIA ZETU ili kurahisisha kazi ya Taasisi zetu."

Mwisho wa kunukuu.

Naamini WANACCM kwa nyakati hizi tuko Takribani Million kumi na mbili au zaidi.
Kwenye Mamilioni hayo NINAAMINI KABISA TUNAO WASOMI WA KUTOSHA WAFIA CHAMA WALIOTESEKA KUHAKIKISHA CCM INASHIKA DOLA .
VILE VILE TUNAO WASIO NA ELIMU ILA NAO WANA MCHANGO MIUBWA KATIKA NYAKATI ZA KUSAKA DOLA.
KIFUPI TUNA HAZINA KUBWA YA WATU WA KULIONGOZA TAIFA HILI WAKITOKEA NDANI YA CCM WAKIWA WAADILIFU NA WAAMINIFU WA HALI YA JUU.
SIAMINI NA SITAKI KUAMINI KUWA KATIKA MILIONI 12 HAKUNA WATU WENYE VIGEZO NA SIFA ZA KUONGOZA NCHI .
TUNAJITOSHELEZA NA HATUHITAJI MAJESHI YA KUKODI KUTOKEA UPINZANI.

Nakumbuka Tarehe 30/April/2021
Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan
Katika Mkutano Mkuu wa Dharura wa Kitaifa
Alisema,

Chama chetu ambacho sasa kina Wanachama wapatao Takribani Million 12 kina jukumu la kuhakikisha kwamba kinakuwa ndiyo Sauti ya Watanzania na kinashiriki moja kwa moja katika kuhakikisha Maendeleo ya nchi yetu sambamba na kuisimamia Serikali."

Mwisho wa kunukuu

Tusome Mwongozo wa CCM 1981 uk 103 kifungu cha 108.

Tusome Kitabu cha Binadamu na Maendeleo uk 21.

Makosa tuliyoyafanya nyuma tusiyarudie tena.
Huu ni wakati wa KUTENDEANA HAKI NA USAWA nchi yetu isonge mbele.
Tukumbuke Watanzania wengi wapo huku ngazi za chini zinazo dharauliwa na wengi.
Watu waliaminishwa kuwa WAADILIFU NA WAAMINIFU kitambo

WAKATII NA KUVUMILIA
SHIDA ZOTE WAKIJITOLEA.

Watu wsmeshuhudia katika jamii WAKIWAONA BAADHI YA WATU WACHACHE WENYE HISTORIA MBAYA NDANI YA JAMII WAKISAIDIWA KUSAFISHWA NA KUFANYWA VIONGOZI HUKU WALE WAADILIFU NA WAAMINIFU WAKIPAKAZIWA NA KUZUSHIWA UONGO HUKU WAKIWA HAWANA WA KUWASEMEA.
HAYA NI MAONEZI NA MATUMIZI MABAYA YA MADARAKA YENYE KIBURI CHA KUMUASI MOLA AMBAYE ANATUTAKA KUWATENDEA MEMA WATU DHAIFU.

Tusome Ilani ya CCM 2020 uk 04 -05
Kifungu cha 07
Kisha tusome Ilani ya CCM 2015 uk 231 kifungu cha 183 na uk 233 - 234 kifungu cha 185(b)(c)(d) na uk 236 kifungu cha 189.

Narudia KUCHUWA MTU UPINZANI HUKU SHERIA ZETU ZIKIWATAKA WATU HAO KUFUATA UTARATIBU WA SHERIA NA SISI TUNAPINDISHA MAKSUDI ....
NAONA UTARATIBU HUU UNASIGINA SHERIA TULIZO APA KUZILINDA NA KUZITETEA NA KUZITII NA TUNA WADHARAULISHA WANACCM MILLION 12 KWAMBA HAKUNA ANAYEFAA KUWA KIONGOZI.

Ikiwa SISI wenye Dhamana ya Uongozi tutazisigina katiba na kuzidhalilisha IKITOKEA MTU WA CHINI AMEKOSEA ATAHUKUMIWA KWA SHERIA IPI ?!?!?
TUTAKUWA TUNAENDELEA KUWAONEA SANA WAFIA CHAMA NA NI JAMBO BAYA KWA TAIFA LETU AMBALO TUMEAMUA KUMTANGULIZA MUNGU MBELE HUKU TUKUFANYA MATENDO YA KUWAONEA WANYONGE HUKU TUKISEMA TUNAWASAIDIA.

TUMWOGOPE MUNGU NA TUWAOGOPE WATU HAWA WENGI WALIO KIMYA WAKIUMIA HUKU WAKIONA WATU WACHACHE WAKIISHI KAMA WAKO PEPONI.

TUTENDE HAKI NA USAWA SHERIA ZITUMIKE BILA UBAGUZI.

Kuwasafisha WANAO KATALIWA NA TARATIBU ZETU TULIZOJIWEKEA
NA KUWASIGINA WANAOKUBALIKA NA TARATIBU ZETU TULIZOJIWEKEA DHAMBI HII TUTAKWENDA KUIJIBU KWA MOLA WETU.

Niliwahi kuona JAMVI ONLINE TV CLIP YA HAYATI RAIS WETU MPENDWA DKT JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI
alikuwa anasema,

" Na ndiyo maana ninawaomba ndugu zangu hizi kazi Sisi wote TUMEPEWA DHAMANA,
MIMI nimepewa Dhamana
Ninyi mmepewa Dhamana,
Hakuna Mwenye Guarantee ya kazi hizi,
Hata Mimi wala Sina Guarantee ya kazi hii kwamba I will be a permanent President.
No."
" Sasa na Ninyi Basi angalau mteseke kidogo hivyo Kama na Mimi ninavyoteseka ili kusudi TUWASAIDIE hawa ambao tumepewa na Mungu KUWAONGOZA
Machozi yao tutakuja KUYALIPA
There is no way tunaweza TUKAYAKWEPA
Kama mabaya yamefanyika kwenye Mkoa wako au kwenye Wilaya yako ,
Wewe Mkuu wa Mkoa au Wewe RAS lazima malipo yake utayapata.."

Mwisho wa kunukuu

Nakumbuka Tarehe 22/March/2021
Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan
Akiuaga Mwili wa Dkt Magufuli - Dodoma
Alisema,

" Maana yeye Mwenyewe aliwahi kusema, katika moja ya hotuba zake kwamba siku nikifariki mtanikumbuka "
" Na KWELI leo na Milele tutamkumbuka ,
Alikuwa sahihi sana ,
Tunamkumbuka sana."

Mwisho wa kunukuu

Tusome katiba ya CCM 1977 Toleo 2020 uk 08 - 09 ibara ya 13(5)
Ibara hii imeweka Utaratibu kwa Mtu anayetokea Upinzani .

Lakini pia tusome Kitabu cha Kanuni za Uongozi na Maadili uk 16 - 17 kifungu cha 5(1)(2)
Kifungu hiki Moja kwa moja kinawataka WATU WALIOTOKA UPINZANI Watulie kwanza WASIKIMBILIE MADARAKA WAWE WAVUMILIVU KAMA WANACCM MILLION 12 WALIVYOVUMILIA.

Kikao halali ndani ya CCM huwa kimeongozwa kwa kufuata katiba ya CCM inayowataka wajumbe wa kikao husika kuheshimu watu.
Tusome katiba ya CCM 1977 toleo 2020 uk 08 ibara ya 08(1)
Utakuta vikao vya chini vinamjuwa mgombea fulani ANANUKA MBELE YA USO WA JAMII ILA VIKAO VYA JUU YAKE KATIKA MAZINGIRA TATA WANAMPITISHA MTU HUYO ALIYEKATALIWA NA VIKAO VINAVYOMJUWA.
KISHA WANAJIITA KIKAO HALALI .

HII HAIKO SAWA WANAOFANYA DHARAU HIZO WANAISIGINA KATIBA NA KUFANYA KIKAO HICHO KILICHODHARAU KIKAO CHA CHINI KUWA na Maamuzi haramu na sio halali kwani wanakuwa wanaonea na kutweza utu wa watu wa chini na KUISIGINA ILA NI 2020 uk 01 kifungu cha 01 na 04 uk 02 kifungu 6(c) na uk 05 kifungu cha 8(a) na 09 A (iii)

Tusome sera ya CCM ya Kujitegemea kimapato na KIUCHUMI uk 18 kifungu cha 21(a)

Tusome Kitabu cha Kanuni za Uongozi na Maadili uk 30 - 31 kifungu cha (vi)(vii)

Tusome Kitabu cha Kanuni za Uongozi na Maadili uk 32 - 33
Kifungu cha (viii)(ix)(a)(b)(c)

Tusome Kanuni za Uongozi na Maadili uk 33 kifungu cha (3)(4)

Tutende haki ili tudumushe mshikamano wetu.
Million kumi na mbili tuko wengi sana na chenji inabaki.
WALIOTOKA UPINZANI wafuate taratibu zinazowataka wazifiate kwani wamerudi wametukuta na CCM yetu waliyoisaliti SISI TUKIWA NGANGARI KUIPIGANIA NA KUITETEA JAPO TUNAISHI TUKIOMBAOMBA .

Ilani yetu Imetaja neno UBUNIFU MARA NYINGI .
WANACCM TUJIPANGE KUWEZESHANA ILI TUONDOE HALI HII YA OMBA OMBA MIONGONI MWETU.
TUKUWEZESHANA TUKAWA NA MAISHA BORA
KAMWE HATUTAWAZA KUCHUKUWA WATU WALIOTUSALITI KUWAPA VYEO .
NAJUWA MASKINI SIKU ZOTE HAAMINIKI NDIYO MAANA HATA MWANACCM UKIWA NA AKILI NAMNA GANI KAMA HAUNA ......
NI VIGUMU KUWA KIONGOZI UTABAKIA KUPIGA MAKELELE KAMA VUVUZELA.

Umaskini sio kitu kizuri
Tulio Wachache kila tunapofaidi keki ya Taifa
TUWAKUMBUKE walio wengi wanaoteseka

KUNA HEKIMA NDANI YAKE.
NI KHERI MTU ANAYESEMA KULIKO MTU MKIMYA.
TUNAYO KASORO YA KUWATENGA WALE WANAOONEKANA WANA MAONO FULANI NA KUWAKUMBATIA WASIO JIELEWA KISA TU TUNACHEZA NA AKILI ZAO
SIO JAMBO JEMA

Nakumbuka Tarehe 30 / March /2021
Mheshimiwa Dkt Philipo Isdor Nzabayanga Mpango
Akilihutubia KULIAGA Bunge

Alisema,

" Nataka kuwakumbusheni kwanza Matukio mawili wakati tunamuomboleza
Rais wetu kipenzi Hayati Dkt John Pombe Joseph Magufuli."

" Pale uwanja wa ndege wa Dar es salaam,
Wote tuliwashuhudia Wananchi WANYONGE KABISA ,
Wakiruka fensi,
Kwenda kumsindikiza kipenzi Chao ,
Wakati Mwili wake unakaribia kupakiwa kwenye ndege ili kwenda ,
Ili kuja hapa Dodoma."

" Tukio la pili mliliona hapa Dodoma jinsi ambavyo Boda boda Waliamua kuchukuwa kazi ya Police wa barabarani wakamsindikiza kipenzi Chao."

" Kwangu Mimi matukio hayo mawili ni ishara wazi ya WANYONGE KUTUAMBIA KWAMBA kazi zote alizoziacha kiongozi wetu zisipokwenda vizuri HATUNA NAMNA ".
" Sijuwi Kama mliwasikia walivyokuwa wanaimba ,
Walikuwa wanaimba, JESHI , JESHI, JESHI.."

Mwisho wa kunukuu

Nakumbuka siku ya kumbukizi Miaka 20 ya Mwl JK Nyerere
Mheshimiwa Joseph Butiku
Mkurugezi wa Taasisi ya Mwl Nyerere
Alisimulia.

" Mwalimu ( Nyerere) kila Asubuhi anakwenda kanisani saa kumi na mbili na nusu ,
Kila Asubuhi,
Hata anapokuwa nje huko ,
Hata Urusi huko,
Asubuhi lazima aende ."

" Binti fulani pale nyumbani kwake MSASANI akamuuliza,
Wewe unatusumbuwa kila siku unakwenda kanisani ,
Kila siku Asubuhi,
Kwanini ?
Akacheka , akasema,
" Mimi NAWAOGOPA WATU,
Msikilize hili,
Mimi NAWAOGOPA WATU".

" Nimeomba niwe KIONGOZI WAO , na Wakakubali,
Lakini MIMI SIWAJUI , na wao HAWANIJUWI SANA ,
Kwa hiyo inabidi kila Asubuhi KWA IMANI YANGU ,
Niende mbele KWA YULE AMBAYE NINAAMINI ( MUNGU) ametuweka sisi wote kuomba Upatanisho."

" Yaani siku ikianza TUIENDESHE vizuri mpaka imalizike tusiwe
TUMEGOMBANA
NAO .
WAO WANIELEWE NIA NJEMA Mimi niwaelewe YAO WANAYOTAKA."

" Ukiwa na Roho nzuri UNAMPENDA kila mtu na unapenda APATE.,
Na hupendi apate taabu,
Akipata taabu wewe unaona UNAPATA TAABU"

" Na hapo ndipo Mwl ( Nyerere) alipoanzia kupenda watu kwa IMANI.
Si kuwapenda juu juu,
Kupenda watu kwa imani."

Mwisho wa kunukuu

Wanaccm tuanze kupendana sasa
Ngazi za Shina , Matawi, kata na Jimbo TUZIBORESHE TUWE MWILI MMOJA ZIFANANE KAMA OFISI ZA WILAYA , MKOA NA TAIFA.
HUKU CHINI NAO NI BINADAMU
MAMBO YA KUFANYA YAPO NIITENI NIWAONYESHE TUANZE KIDOGO KIDOGO KUUONDOA MUONEKANO HUU WA UMASKINI TOKEA UHURU WA NCHI YETU."

Tusome Katiba ya CCM 1977 Toleo 2020 uk 01 ibara 4(1)(2)

Naikumbuka kauli ya Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan
Rais wetu Mpendwa wa Tanzania
Akiwa katika kongamano la Wafanyabiasha - Nairobi
Alisema,

" Real Development is only realize when we develop TOGETHER."

Mwisho wa kunukuu

Mwisho niseme ,
Viongozi wote , kwa mfumo wa Tanzania, BAADHI ( Wa kisiasa) hutokana na CHAMA.
WANACCM wenzangu,BAADHI YETU tunajisikiaje KUWAONA WANACCM WENZETU WAKIWA OMBA OMBA.
KAMA OMBAOMBA HAWA WALIFANYA KOSA BASI TUKAE TUYAONGEE ILI ZILE NGUVU AMBAZO HUTUMIKA KUSAKA DOLA
BAADA YA KUISHIKA DOLA NGUVU ZILE ZILE
ZISIPOWE
ZIENDELEE KATIKA KUWAINUA NAO WAWE WANAFURAHIA MATUNDA YA KAZI ILE.
NI UKWELI HATA MSIKITINI AU KANISANI KUNA SADAKA .
NA SADAKA ILE HUSAIDIA SHUGHULI ZIENDE.
MBONA HUKU CCM NGAZI ZA CHINI TUMEKWAMA !?!?

Nakumbuka Tarehe 22/ 04/ 2021
Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan
Akihutubia Bunge Dodoma
Alisema,

" Na Mimi nataka niwaahidi kuwa Serikali ( YA CCM) itakuwa IKO TAYARI WAKATI WOWOTE KUPOKEA USHAURI WENU NA PIA Ushauri wa watu wengine wenye NIA YA KUILETEA maendeleo nchi yetu."

Mwisho wa kunukuu

Tukisoma Kitabu cha Nukuu za Kiswahili za Mwalimu uk 08

Mwl JK Nyerere aliwahi kusema,

"Asili ya Uongozi wetu ni HAKI"

Mwisho wa kunukuu.




KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI




Mathias Mugerwa Kahinga
🙏🏿🙏🏿🤲🏾🤲🏾👏🏿👏🏿🤝🏾🤝🏾
 
TUMUOGOPE SANA TENA SANA MWENYEZI MUNGU LAKINI PIA TUWAOGOPE SANA MAFUKARA, MASKINI NA WANYONGE WALIO WENGI.

Nakumbuka Tarehe 08 May/2021
Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan
Katika hafla ya Uzinduzi wa Kitabu cha Mzee Ally Hassan Mwinyi,
Alianza kwa maneno haya,

" Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania......"

" Waheshimiwa nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Rehema aliyetujaalia UHAI na kutuwezesha kutukutanisha hapa tukiwa wenye afya njema"

Mwisho wa kunukuu

Nami naungana na Mwenyekiti wangu wa CCM Taifa ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwasalimu na kumshukuru Mwenyezi Mungu kuweza kutuwezesha uhai wa kuiona siku ya leo na kukutana hapa kwa njia ya Mtandao.

Tusome Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 toleo 2005 uk 127 ibara 152.

Wanaccm Wenzangu , Sisi tunalo jukumu la kuwa WAKWELI MUDA WOTE ILI TUONYESHE TASWIRA NZURI MBELE ya Jamii iliyotuamini ikatupa Ridhaa ya kuongoza nchi ambayo HATA VYAMA PINZANI VILITAMANI SANA KUPATA NAFASI HIYO.
PAMOJA NA KWAMBA VYAMA HIVYO VILITUWEKEA MAZINGIRA MAGUMU YA KUPATA DOLA ILA WANACCM KWA UMOJA WETU TULIFAULU KUSIKA DOLA. Tuusimamie UKWELI UTUVUSHE.

Tusome Katiba ya CCM 1977 toleo 2020 uk 151 kifungu cha 08
(Ahadi za Wanaccm)

Nakumbuka February 2021
Professor Ibrahim Hamisi Juma
Katika hafla ya kuwaapisha Mahakimu
Alisema,

" Kiapo ni ahadi"


Mwisho wa kunukuu.

Tukisoma Katiba ya CCM 1977 toleo 2020 uk 10 ibara 15(4)
Inasema,

" Kila Mwanachama atakuwa na wajibu ufuatao, kuwa Wakati wote Mkweli Mwaminifu na Raia Mwema wa Tanzania.

Mwisho wa kunukuu

Tukisoma Maandiko MATAKATIFU ya Mwenyezi Mungu kutoka Katika Kitabu cha Tarjuma ya Sahih Al Bukhari uk 247
Maandiko yanasema,

" Na Ibn Abbaass amesema ,
Amehadithia Abu Sufyan katika hadith ya Heraql akasema,
" Anatuamrisha yaani Mtume ( SAW) Kusali KUSEMA KWELI na kujitenga na Maasi."

Mwisho wa kunukuu

Wanaccm Wenzangu tunapokubaliana wote kufuata SHERIA ni lazima sheria hizo ziwe kwa wote na sio kuwabeba wachache KUWAEPUSHA NAZO na kutumia SHERIA hizo hizo KUWAGANDAMIZA WALIO WENGI .
HAYA NI MAONEZI NA NI MACHUKUZO MBELE YA MOLA WETU NA NI MATUMIZI MABAYA YA MADARAKA.

Tusome Kitabu cha Mwongozo wa CCM 1981 uk 99

Tusome kwa UMAKINI MKUBWA katiba ya CCM 1977 Toleo 2020 uk wote wa (vi)

Tusome katiba ya CCM 1977 Toleo 2020 uk 03 - 04 ibara ya 5(16)

Tukisoma Qur aan Tukufu ; Juzuu 1 Al baqarah (2) kifungu cha 48

Maandiko Matakatifu ya Mwenyezi Mungu yanasema,

" Na iogopeni siku ambayo nafsi haitafaa nafsi nyingine Chochote, wala hayatakubaliwa kwake nafsi hiyo maombezi Kama ataombewa ,
Wala
Hakutapokewa kukombolewa kwake wala
Hawatanusuliwa."

Mwisho wa kunukuu

Tukisoma Kitabu cha Binadamu na Maendeleo uk 13

Mwl JK Nyerere anatukumbusha,

" Ukweli lazima usemwe kwa jinsi ile ile unavyo onekana bila mtu kujali yatakayo mtokea Yeye binafsi "

Mwisho wa kunukuu

Tusome Mwongozo wa CCM 1981 uk 138 - 139 kifungu cha 159 - 162

Tukisoma Kitabu cha Nukuu za Kiswahili za Mwalimu uk 165

Mwl Nyerere aliwahi kusema,

" Viongozi wasifiche Makosa ,
haya ni makosa kwa kuwa njia pekee ya kusonga mbele ni kuyakabili KAMA YAPO ,
Kuyakubali kuwa ni MATATIZO na kuyatafutia njia za kuyatatua na SIYO kujidai kwamba hayapo."

Mwisho wa kunukuu

Tukisoma Kitabu cha Nukuu za Kiswahili za Mwalimu uk 50

Mwl JK Nyerere anatukumbusha,

" Tunaposema kuwa tumenyonywa ,
Tumeonewa
Na kupuuzwa kiasi cha KUTOSHA sio kwamba tunayaambia Mataifa ya nje tu,
Bali tunamwambia Mtanzania yeyote ambaye AMEZOEA au
ANATAMANI KUWANYONYA,
Kuwaonea, au
Kuwapuuza Wenzie."

Mwisho wa kunukuu

Tukisoma katiba ya CCM 1977 Toleo 2020 uk 06 ibara 08 (2)

Maandiko yanasema,

"(Masharti ya Uanachama) Mtu atakayekubaliwa kuingia katika CCM ,
Au kuendelea kuwa Mwanachama ni yule anayetimiza Masharti yafuatayo,
"Kuwa mtu anayefanya Juhudi ya KUIELEWA,
KUIELEZA,
KUITETEA,
NA KUITEKELEZA Itikadi ya Siasa ya CCM."

Tukisoma katiba ya CCM 1977 toleo 2020 uk 08 ibara 13(1)(e)
( Kuondoka katika Chama)" Uanachama wa Mwanachama utakwisha kwa ,
Kutotimiza Masharti ya Uanachama."

Mwisho wa kunukuu

Wanaccm Wenzangu NI LAZIMA TUKOSOANE KWANI NAAMINI HAKUNA MTU ANAYEJUWA KILA KITU
WOTE TUNATEGEMEANA NI LAZIMA ATAKAYEONA JAMBO TOFAUTI NI LAZIMA AWE TAYARI KUWAKOSOA WENZAKE ILI TURUDI KWENYE MSTARI VINGINEVYO TUTAPOTEZANA KIMITAZAMO NA KUAMINISHANA MAMBO YASIYO KISAIDIA CHAMA KUIMARIKA.
SISI NI BINADAMU SIO MIUNGU TUNAKOSEA.

Nakumbuka Tarehe 08/May/2021
Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan,
Akiwa katika hafla za Uzinduzi wa Kitabu cha Mzee Ally Hassan Mwinyi
Alitamka maneno haya,

" Umuhimu wa kukiri Makosa ,
Viongozi sio Malaika, Viongozi ni Binadamu, na Binadamu kwa kawaida ameumbiwa KUFANYA makosa."

Nakumbuka Tarehe 07 May/ 2021
Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan
Akiongea na Wazee wa Dar
Alisema,

" Pale Mtakapoona tunatetereka ,
Msisite kutukumbusha,
Turudi kwenye Mstari ili tusivuke Misingi ya Maadili na Misingi ya Ujenzi wa nchi yetu Kama ilivyowekwa na Waasisi wa nchi zetu."
" Kwa upande wetu nataka niwahakikishie
TUTASIKILIZA BILA BEZO WALA DHARAU Yale yote ambayo YATAKUWA kwenye UWEZO WETU kwa wakati husika."

Mwisho wa kunukuu

Tusome katiba ya CCM 1977 Toleo 2021 uk 10 - 11 ibara ya 15(7)

Tusome Kitabu cha Mwongozo wa CCM 1981 uk 45 -46 kifungu cha 58 - 58 na uk 46 - 47 kifungu cha 60 na uk 49 kifungu cha 62 na uk 51-52 kifungu cha 65.

Tusome Kanuni za Uongozi na Maadili uk 33 - 34 kifungu cha 9(1)(ii)

Tukisoma Kitabu cha Nukuu za Kiswahili za Mwalimu uk 175

Mwl JK Nyerere anatukumbusha,

" Ufa wa nchi ni KUENDESHA MAMBO bila kujali SHERIA."

Mwisho wa kunukuu

Nakumbuka Tarehe 30/April/ 2021
Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan
Mwenyekiti CCM Taifa
Katika Mikutano Mkuu wa Dharura Dodoma,
Akihutubia na hotuba kurushwa kwenye vyombo vya habari,

Nayakumbuka baadhi ya maneno ya hotuba hiyo.

" Najuwa jukumu mlilonipa ni kubwa na sio rahisi ,
Lakini Ninaamini nitaweza .
Ninaamini nitaweza kwa sababu ,
Kwanza, Chama chetu KINAONGOZWA NA KATIBA,KANUNI, NA TARATIBU."
" Ambazo NINAAHIDI KUZIFUATA KIKAMILIFU"

" Nitasimamia Maadili, Kanuni na Taratibu za Chama ili kujenga Chama Chenye Nidhamu na Chenye WANACHAMA wanaotambua Wajibu wao kwa Chama na kwa Taifa lao."

Mwisho wa kunukuu

Tusome katiba ya CCM 1977 Toleo 2020 uk 10 - 11 ibara ya 15(1) - (9).

Tukisoma Kitabu cha CCM cha kanuni za Uongozi na Maadili uk 02 kifungu cha (iv)
Kinatukumbusha,

" Kufuata na kutii KATIBA , YA CCM na Kanuni zake NI WAJIBU WA KILA MWANACHAMA WA CCM."

Mwisho wa kunukuu

Naamini Sisi sote kwa Umoja wetu tokea shina hadi Juu , WOTE NI LAZIMA TUFUATE MAANDIKO YETU.

Tusome Kitabu cha Kanuni za Fedha na Mali za Chama na Jumuiya zake uk 164 - 165 vifungu vya 14;2 na 14;3.

Tusome katiba ya CCM 1977 toleo 2020 uk (ii)

Tusome katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 Toleo 2005 uk 27 ibara 26(1)(2).

Tusome Ilani ya CCM 2020 uk 161 - 168

Tusome Kitabu cha The Political Parties act
Chapter 258
Revised Edition 2019 uk 11 kifungu cha 06 A(1)(2)(5)

Katika orodha ya Viongozi ninao wakubali wa KUWATOLEA MFANO BILA KUOGOPA KUAIBIKA NI PROFESSOR IBRAHIM HAMIS JUMA.
JAJI MKUU WA TANZANIA
ANANIVUTIA HASA KWA UCHA MUNGU UNAOJIDHIHIRISHA WAZI HATA KATIKA MAONGEZI YAKE.

Nakumbuka Mwaka 2019
Professor Palamagamba Kabudi
Alisema,

" Professor Ibrahim Hamisi Juma, Jaji Mkuu wa Mfano, Jaji Mkuu Mweledi, Jaji Mkuu Mcha Mungu."

Mwisho wa kunukuu

Nakumbuka February 2021
Professor Ibrahim Hamisi Juma
Akiwa katika hafla ya kuwaapisha Mahakimu
Aliwahi kutamka maneno haya ,

" Nguzo ya kwanza ni Utawala Bora,
Uwajibikaji, na
Usimamizi mzuri wa Raslilimali."

" Kila Mmoja wenu anatakiwa azingatie Utawala Bora , Yeye binafsi na Utawala wa Shughuli zote Ambazo anazifanya".
( Ilani ya CCM 2020 uk 161 - 168)

"Hata Sisi tuko Chini ya Sheria na TUNAWEZA KUCHUKULIWA HATUA ZA KISHERIA".

Mwisho wa kunukuu

Tukisoma katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 toleo 2005 uk 27 ibara 26(1)
Inasema,

" Kila Mtu ana wajibu wa kufuata na KUITII katiba hii na sheria za Jamhuri ya Muungano."

Mwisho wa kunukuu katiba.

Naamini Sisi sote NI WATU.
Tunao wajibu wa KUITII KATIBA NA YOTE YALIYOMO NDANI HUKU TUKIJIEPUSHA NA MATENDO YA KIBAGUZI NA KIUPENDELEO.

tusome katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 toleo 2005 ibara 12(1)(2) na 13(4)(5).

Nakumbuka Mwaka 2019
Professor Palamagamba Kabudi
Akiwa Bungeni - Dodoma
Aliwahi kutamka maneno haya ,

" Sisi Watanzania tuna Bahati kubwa sana ya kuzaliwa katika nchi hii ya Tanzania na katika mfumo ambao unatoa HAKI NA UHURU KWA WATU kuliko nchi nyingi nyingine."

" Watanzania tuna Uhuru
Tuna HAKI ambazo zinalindwa na KATIBA
Lakini pia viko vyombo vingi ambavyo vimeundwa kuhakikisha kuwa HAKI HIZO ambazo ziko ndani ya Katiba ZINAHESHIMIWA au ZINAFUATWA."

" SISI ni Miongoni Mwa nchi chache sana katika Bara la Africa ambazo hazifiki nne ,
Ambazo ZIMEWARUHUSU RAIA WAKE KUWEZA KUISHITAKI SERIKALI KATIKA Mahakama ya Afrika ya haki za Binadamu na watu."

Mwisho wa kunukuu

Tusome katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 Toleo 2005 uk 23 ibara ya 18(a)(b()c)(d).

Nakumbuka Tarehe 28/March/2021
Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan
Katika hafla ya Upokeaji Taarifa CAG &TAKUKURU
Alitamka maneno haya,

" Tumesisitiza kuendelea kuthibiti Vitendo vya Rushwa , kuimarisha mifumo ya Utawala Bora na kukuza UWAJIBIKAJI katika Taifa letu."
( Ilani ya CCM 2020 uk 161 - 168)
" Naomba sana TUFUATE Maadili ya Taasisi zetu na SHERIA ZETU ili kurahisisha kazi ya Taasisi zetu."

Mwisho wa kunukuu.

Naamini WANACCM kwa nyakati hizi tuko Takribani Million kumi na mbili au zaidi.
Kwenye Mamilioni hayo NINAAMINI KABISA TUNAO WASOMI WA KUTOSHA WAFIA CHAMA WALIOTESEKA KUHAKIKISHA CCM INASHIKA DOLA .
VILE VILE TUNAO WASIO NA ELIMU ILA NAO WANA MCHANGO MIUBWA KATIKA NYAKATI ZA KUSAKA DOLA.
KIFUPI TUNA HAZINA KUBWA YA WATU WA KULIONGOZA TAIFA HILI WAKITOKEA NDANI YA CCM WAKIWA WAADILIFU NA WAAMINIFU WA HALI YA JUU.
SIAMINI NA SITAKI KUAMINI KUWA KATIKA MILIONI 12 HAKUNA WATU WENYE VIGEZO NA SIFA ZA KUONGOZA NCHI .
TUNAJITOSHELEZA NA HATUHITAJI MAJESHI YA KUKODI KUTOKEA UPINZANI.

Nakumbuka Tarehe 30/April/2021
Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan
Katika Mkutano Mkuu wa Dharura wa Kitaifa
Alisema,

Chama chetu ambacho sasa kina Wanachama wapatao Takribani Million 12 kina jukumu la kuhakikisha kwamba kinakuwa ndiyo Sauti ya Watanzania na kinashiriki moja kwa moja katika kuhakikisha Maendeleo ya nchi yetu sambamba na kuisimamia Serikali."

Mwisho wa kunukuu

Tusome Mwongozo wa CCM 1981 uk 103 kifungu cha 108.

Tusome Kitabu cha Binadamu na Maendeleo uk 21.

Makosa tuliyoyafanya nyuma tusiyarudie tena.
Huu ni wakati wa KUTENDEANA HAKI NA USAWA nchi yetu isonge mbele.
Tukumbuke Watanzania wengi wapo huku ngazi za chini zinazo dharauliwa na wengi.
Watu waliaminishwa kuwa WAADILIFU NA WAAMINIFU kitambo

WAKATII NA KUVUMILIA
SHIDA ZOTE WAKIJITOLEA.

Watu wsmeshuhudia katika jamii WAKIWAONA BAADHI YA WATU WACHACHE WENYE HISTORIA MBAYA NDANI YA JAMII WAKISAIDIWA KUSAFISHWA NA KUFANYWA VIONGOZI HUKU WALE WAADILIFU NA WAAMINIFU WAKIPAKAZIWA NA KUZUSHIWA UONGO HUKU WAKIWA HAWANA WA KUWASEMEA.
HAYA NI MAONEZI NA MATUMIZI MABAYA YA MADARAKA YENYE KIBURI CHA KUMUASI MOLA AMBAYE ANATUTAKA KUWATENDEA MEMA WATU DHAIFU.

Tusome Ilani ya CCM 2020 uk 04 -05
Kifungu cha 07
Kisha tusome Ilani ya CCM 2015 uk 231 kifungu cha 183 na uk 233 - 234 kifungu cha 185(b)(c)(d) na uk 236 kifungu cha 189.

Narudia KUCHUWA MTU UPINZANI HUKU SHERIA ZETU ZIKIWATAKA WATU HAO KUFUATA UTARATIBU WA SHERIA NA SISI TUNAPINDISHA MAKSUDI ....
NAONA UTARATIBU HUU UNASIGINA SHERIA TULIZO APA KUZILINDA NA KUZITETEA NA KUZITII NA TUNA WADHARAULISHA WANACCM MILLION 12 KWAMBA HAKUNA ANAYEFAA KUWA KIONGOZI.

Ikiwa SISI wenye Dhamana ya Uongozi tutazisigina katiba na kuzidhalilisha IKITOKEA MTU WA CHINI AMEKOSEA ATAHUKUMIWA KWA SHERIA IPI ?!?!?
TUTAKUWA TUNAENDELEA KUWAONEA SANA WAFIA CHAMA NA NI JAMBO BAYA KWA TAIFA LETU AMBALO TUMEAMUA KUMTANGULIZA MUNGU MBELE HUKU TUKUFANYA MATENDO YA KUWAONEA WANYONGE HUKU TUKISEMA TUNAWASAIDIA.

TUMWOGOPE MUNGU NA TUWAOGOPE WATU HAWA WENGI WALIO KIMYA WAKIUMIA HUKU WAKIONA WATU WACHACHE WAKIISHI KAMA WAKO PEPONI.

TUTENDE HAKI NA USAWA SHERIA ZITUMIKE BILA UBAGUZI.

Kuwasafisha WANAO KATALIWA NA TARATIBU ZETU TULIZOJIWEKEA
NA KUWASIGINA WANAOKUBALIKA NA TARATIBU ZETU TULIZOJIWEKEA DHAMBI HII TUTAKWENDA KUIJIBU KWA MOLA WETU.

Niliwahi kuona JAMVI ONLINE TV CLIP YA HAYATI RAIS WETU MPENDWA DKT JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI
alikuwa anasema,

" Na ndiyo maana ninawaomba ndugu zangu hizi kazi Sisi wote TUMEPEWA DHAMANA,
MIMI nimepewa Dhamana
Ninyi mmepewa Dhamana,
Hakuna Mwenye Guarantee ya kazi hizi,
Hata Mimi wala Sina Guarantee ya kazi hii kwamba I will be a permanent President.
No."
" Sasa na Ninyi Basi angalau mteseke kidogo hivyo Kama na Mimi ninavyoteseka ili kusudi TUWASAIDIE hawa ambao tumepewa na Mungu KUWAONGOZA
Machozi yao tutakuja KUYALIPA
There is no way tunaweza TUKAYAKWEPA
Kama mabaya yamefanyika kwenye Mkoa wako au kwenye Wilaya yako ,
Wewe Mkuu wa Mkoa au Wewe RAS lazima malipo yake utayapata.."

Mwisho wa kunukuu

Nakumbuka Tarehe 22/March/2021
Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan
Akiuaga Mwili wa Dkt Magufuli - Dodoma
Alisema,

" Maana yeye Mwenyewe aliwahi kusema, katika moja ya hotuba zake kwamba siku nikifariki mtanikumbuka "
" Na KWELI leo na Milele tutamkumbuka ,
Alikuwa sahihi sana ,
Tunamkumbuka sana."

Mwisho wa kunukuu

Tusome katiba ya CCM 1977 Toleo 2020 uk 08 - 09 ibara ya 13(5)
Ibara hii imeweka Utaratibu kwa Mtu anayetokea Upinzani .

Lakini pia tusome Kitabu cha Kanuni za Uongozi na Maadili uk 16 - 17 kifungu cha 5(1)(2)
Kifungu hiki Moja kwa moja kinawataka WATU WALIOTOKA UPINZANI Watulie kwanza WASIKIMBILIE MADARAKA WAWE WAVUMILIVU KAMA WANACCM MILLION 12 WALIVYOVUMILIA.

Kikao halali ndani ya CCM huwa kimeongozwa kwa kufuata katiba ya CCM inayowataka wajumbe wa kikao husika kuheshimu watu.
Tusome katiba ya CCM 1977 toleo 2020 uk 08 ibara ya 08(1)
Utakuta vikao vya chini vinamjuwa mgombea fulani ANANUKA MBELE YA USO WA JAMII ILA VIKAO VYA JUU YAKE KATIKA MAZINGIRA TATA WANAMPITISHA MTU HUYO ALIYEKATALIWA NA VIKAO VINAVYOMJUWA.
KISHA WANAJIITA KIKAO HALALI .

HII HAIKO SAWA WANAOFANYA DHARAU HIZO WANAISIGINA KATIBA NA KUFANYA KIKAO HICHO KILICHODHARAU KIKAO CHA CHINI KUWA na Maamuzi haramu na sio halali kwani wanakuwa wanaonea na kutweza utu wa watu wa chini na KUISIGINA ILA NI 2020 uk 01 kifungu cha 01 na 04 uk 02 kifungu 6(c) na uk 05 kifungu cha 8(a) na 09 A (iii)

Tusome sera ya CCM ya Kujitegemea kimapato na KIUCHUMI uk 18 kifungu cha 21(a)

Tusome Kitabu cha Kanuni za Uongozi na Maadili uk 30 - 31 kifungu cha (vi)(vii)

Tusome Kitabu cha Kanuni za Uongozi na Maadili uk 32 - 33
Kifungu cha (viii)(ix)(a)(b)(c)

Tusome Kanuni za Uongozi na Maadili uk 33 kifungu cha (3)(4)

Tutende haki ili tudumushe mshikamano wetu.
Million kumi na mbili tuko wengi sana na chenji inabaki.
WALIOTOKA UPINZANI wafuate taratibu zinazowataka wazifiate kwani wamerudi wametukuta na CCM yetu waliyoisaliti SISI TUKIWA NGANGARI KUIPIGANIA NA KUITETEA JAPO TUNAISHI TUKIOMBAOMBA .

Ilani yetu Imetaja neno UBUNIFU MARA NYINGI .
WANACCM TUJIPANGE KUWEZESHANA ILI TUONDOE HALI HII YA OMBA OMBA MIONGONI MWETU.
TUKUWEZESHANA TUKAWA NA MAISHA BORA
KAMWE HATUTAWAZA KUCHUKUWA WATU WALIOTUSALITI KUWAPA VYEO .
NAJUWA MASKINI SIKU ZOTE HAAMINIKI NDIYO MAANA HATA MWANACCM UKIWA NA AKILI NAMNA GANI KAMA HAUNA ......
NI VIGUMU KUWA KIONGOZI UTABAKIA KUPIGA MAKELELE KAMA VUVUZELA.

Umaskini sio kitu kizuri
Tulio Wachache kila tunapofaidi keki ya Taifa
TUWAKUMBUKE walio wengi wanaoteseka

KUNA HEKIMA NDANI YAKE.
NI KHERI MTU ANAYESEMA KULIKO MTU MKIMYA.
TUNAYO KASORO YA KUWATENGA WALE WANAOONEKANA WANA MAONO FULANI NA KUWAKUMBATIA WASIO JIELEWA KISA TU TUNACHEZA NA AKILI ZAO
SIO JAMBO JEMA

Nakumbuka Tarehe 30 / March /2021
Mheshimiwa Dkt Philipo Isdor Nzabayanga Mpango
Akilihutubia KULIAGA Bunge

Alisema,

" Nataka kuwakumbusheni kwanza Matukio mawili wakati tunamuomboleza
Rais wetu kipenzi Hayati Dkt John Pombe Joseph Magufuli."

" Pale uwanja wa ndege wa Dar es salaam,
Wote tuliwashuhudia Wananchi WANYONGE KABISA ,
Wakiruka fensi,
Kwenda kumsindikiza kipenzi Chao ,
Wakati Mwili wake unakaribia kupakiwa kwenye ndege ili kwenda ,
Ili kuja hapa Dodoma."

" Tukio la pili mliliona hapa Dodoma jinsi ambavyo Boda boda Waliamua kuchukuwa kazi ya Police wa barabarani wakamsindikiza kipenzi Chao."

" Kwangu Mimi matukio hayo mawili ni ishara wazi ya WANYONGE KUTUAMBIA KWAMBA kazi zote alizoziacha kiongozi wetu zisipokwenda vizuri HATUNA NAMNA ".
" Sijuwi Kama mliwasikia walivyokuwa wanaimba ,
Walikuwa wanaimba, JESHI , JESHI, JESHI.."

Mwisho wa kunukuu

Nakumbuka siku ya kumbukizi Miaka 20 ya Mwl JK Nyerere
Mheshimiwa Joseph Butiku
Mkurugezi wa Taasisi ya Mwl Nyerere
Alisimulia.

" Mwalimu ( Nyerere) kila Asubuhi anakwenda kanisani saa kumi na mbili na nusu ,
Kila Asubuhi,
Hata anapokuwa nje huko ,
Hata Urusi huko,
Asubuhi lazima aende ."

" Binti fulani pale nyumbani kwake MSASANI akamuuliza,
Wewe unatusumbuwa kila siku unakwenda kanisani ,
Kila siku Asubuhi,
Kwanini ?
Akacheka , akasema,
" Mimi NAWAOGOPA WATU,
Msikilize hili,
Mimi NAWAOGOPA WATU".

" Nimeomba niwe KIONGOZI WAO , na Wakakubali,
Lakini MIMI SIWAJUI , na wao HAWANIJUWI SANA ,
Kwa hiyo inabidi kila Asubuhi KWA IMANI YANGU ,
Niende mbele KWA YULE AMBAYE NINAAMINI ( MUNGU) ametuweka sisi wote kuomba Upatanisho."

" Yaani siku ikianza TUIENDESHE vizuri mpaka imalizike tusiwe
TUMEGOMBANA
NAO .
WAO WANIELEWE NIA NJEMA Mimi niwaelewe YAO WANAYOTAKA."

" Ukiwa na Roho nzuri UNAMPENDA kila mtu na unapenda APATE.,
Na hupendi apate taabu,
Akipata taabu wewe unaona UNAPATA TAABU"

" Na hapo ndipo Mwl ( Nyerere) alipoanzia kupenda watu kwa IMANI.
Si kuwapenda juu juu,
Kupenda watu kwa imani."

Mwisho wa kunukuu

Wanaccm tuanze kupendana sasa
Ngazi za Shina , Matawi, kata na Jimbo TUZIBORESHE TUWE MWILI MMOJA ZIFANANE KAMA OFISI ZA WILAYA , MKOA NA TAIFA.
HUKU CHINI NAO NI BINADAMU
MAMBO YA KUFANYA YAPO NIITENI NIWAONYESHE TUANZE KIDOGO KIDOGO KUUONDOA MUONEKANO HUU WA UMASKINI TOKEA UHURU WA NCHI YETU."

Tusome Katiba ya CCM 1977 Toleo 2020 uk 01 ibara 4(1)(2)

Naikumbuka kauli ya Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan
Rais wetu Mpendwa wa Tanzania
Akiwa katika kongamano la Wafanyabiasha - Nairobi
Alisema,

" Real Development is only realize when we develop TOGETHER."

Mwisho wa kunukuu

Mwisho niseme ,
Viongozi wote , kwa mfumo wa Tanzania, BAADHI ( Wa kisiasa) hutokana na CHAMA.
WANACCM wenzangu,BAADHI YETU tunajisikiaje KUWAONA WANACCM WENZETU WAKIWA OMBA OMBA.
KAMA OMBAOMBA HAWA WALIFANYA KOSA BASI TUKAE TUYAONGEE ILI ZILE NGUVU AMBAZO HUTUMIKA KUSAKA DOLA
BAADA YA KUISHIKA DOLA NGUVU ZILE ZILE
ZISIPOWE
ZIENDELEE KATIKA KUWAINUA NAO WAWE WANAFURAHIA MATUNDA YA KAZI ILE.
NI UKWELI HATA MSIKITINI AU KANISANI KUNA SADAKA .
NA SADAKA ILE HUSAIDIA SHUGHULI ZIENDE.
MBONA HUKU CCM NGAZI ZA CHINI TUMEKWAMA !?!?

Nakumbuka Tarehe 22/ 04/ 2021
Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan
Akihutubia Bunge Dodoma
Alisema,

" Na Mimi nataka niwaahidi kuwa Serikali ( YA CCM) itakuwa IKO TAYARI WAKATI WOWOTE KUPOKEA USHAURI WENU NA PIA Ushauri wa watu wengine wenye NIA YA KUILETEA maendeleo nchi yetu."

Mwisho wa kunukuu

Tukisoma Kitabu cha Nukuu za Kiswahili za Mwalimu uk 08

Mwl JK Nyerere aliwahi kusema,

"Asili ya Uongozi wetu ni HAKI"

Mwisho wa kunukuu.




KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI




Mathias Mugerwa Kahinga
🙏🏿🙏🏿🤲🏾🤲🏾👏🏿👏🏿🤝🏾🤝🏾
Yote haya umeandika asome nani?

Una tatizo la Afya ya Akili
 
TUMUOGOPE SANA TENA SANA MWENYEZI MUNGU LAKINI PIA TUWAOGOPE SANA MAFUKARA, MASKINI NA WANYONGE WALIO WENGI.

Nakumbuka Tarehe 08 May/2021
Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan
Katika hafla ya Uzinduzi wa Kitabu cha Mzee Ally Hassan Mwinyi,
Alianza kwa maneno haya,

" Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania......"

" Waheshimiwa nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Rehema aliyetujaalia UHAI na kutuwezesha kutukutanisha hapa tukiwa wenye afya njema"

Mwisho wa kunukuu

Nami naungana na Mwenyekiti wangu wa CCM Taifa ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwasalimu na kumshukuru Mwenyezi Mungu kuweza kutuwezesha uhai wa kuiona siku ya leo na kukutana hapa kwa njia ya Mtandao.

Tusome Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 toleo 2005 uk 127 ibara 152.

Wanaccm Wenzangu , Sisi tunalo jukumu la kuwa WAKWELI MUDA WOTE ILI TUONYESHE TASWIRA NZURI MBELE ya Jamii iliyotuamini ikatupa Ridhaa ya kuongoza nchi ambayo HATA VYAMA PINZANI VILITAMANI SANA KUPATA NAFASI HIYO.
PAMOJA NA KWAMBA VYAMA HIVYO VILITUWEKEA MAZINGIRA MAGUMU YA KUPATA DOLA ILA WANACCM KWA UMOJA WETU TULIFAULU KUSIKA DOLA. Tuusimamie UKWELI UTUVUSHE.

Tusome Katiba ya CCM 1977 toleo 2020 uk 151 kifungu cha 08
(Ahadi za Wanaccm)

Nakumbuka February 2021
Professor Ibrahim Hamisi Juma
Katika hafla ya kuwaapisha Mahakimu
Alisema,

" Kiapo ni ahadi"


Mwisho wa kunukuu.

Tukisoma Katiba ya CCM 1977 toleo 2020 uk 10 ibara 15(4)
Inasema,

" Kila Mwanachama atakuwa na wajibu ufuatao, kuwa Wakati wote Mkweli Mwaminifu na Raia Mwema wa Tanzania.

Mwisho wa kunukuu

Tukisoma Maandiko MATAKATIFU ya Mwenyezi Mungu kutoka Katika Kitabu cha Tarjuma ya Sahih Al Bukhari uk 247
Maandiko yanasema,

" Na Ibn Abbaass amesema ,
Amehadithia Abu Sufyan katika hadith ya Heraql akasema,
" Anatuamrisha yaani Mtume ( SAW) Kusali KUSEMA KWELI na kujitenga na Maasi."

Mwisho wa kunukuu

Wanaccm Wenzangu tunapokubaliana wote kufuata SHERIA ni lazima sheria hizo ziwe kwa wote na sio kuwabeba wachache KUWAEPUSHA NAZO na kutumia SHERIA hizo hizo KUWAGANDAMIZA WALIO WENGI .
HAYA NI MAONEZI NA NI MACHUKUZO MBELE YA MOLA WETU NA NI MATUMIZI MABAYA YA MADARAKA.

Tusome Kitabu cha Mwongozo wa CCM 1981 uk 99

Tusome kwa UMAKINI MKUBWA katiba ya CCM 1977 Toleo 2020 uk wote wa (vi)

Tusome katiba ya CCM 1977 Toleo 2020 uk 03 - 04 ibara ya 5(16)

Tukisoma Qur aan Tukufu ; Juzuu 1 Al baqarah (2) kifungu cha 48

Maandiko Matakatifu ya Mwenyezi Mungu yanasema,

" Na iogopeni siku ambayo nafsi haitafaa nafsi nyingine Chochote, wala hayatakubaliwa kwake nafsi hiyo maombezi Kama ataombewa ,
Wala
Hakutapokewa kukombolewa kwake wala
Hawatanusuliwa."

Mwisho wa kunukuu

Tukisoma Kitabu cha Binadamu na Maendeleo uk 13

Mwl JK Nyerere anatukumbusha,

" Ukweli lazima usemwe kwa jinsi ile ile unavyo onekana bila mtu kujali yatakayo mtokea Yeye binafsi "

Mwisho wa kunukuu

Tusome Mwongozo wa CCM 1981 uk 138 - 139 kifungu cha 159 - 162

Tukisoma Kitabu cha Nukuu za Kiswahili za Mwalimu uk 165

Mwl Nyerere aliwahi kusema,

" Viongozi wasifiche Makosa ,
haya ni makosa kwa kuwa njia pekee ya kusonga mbele ni kuyakabili KAMA YAPO ,
Kuyakubali kuwa ni MATATIZO na kuyatafutia njia za kuyatatua na SIYO kujidai kwamba hayapo."

Mwisho wa kunukuu

Tukisoma Kitabu cha Nukuu za Kiswahili za Mwalimu uk 50

Mwl JK Nyerere anatukumbusha,

" Tunaposema kuwa tumenyonywa ,
Tumeonewa
Na kupuuzwa kiasi cha KUTOSHA sio kwamba tunayaambia Mataifa ya nje tu,
Bali tunamwambia Mtanzania yeyote ambaye AMEZOEA au
ANATAMANI KUWANYONYA,
Kuwaonea, au
Kuwapuuza Wenzie."

Mwisho wa kunukuu

Tukisoma katiba ya CCM 1977 Toleo 2020 uk 06 ibara 08 (2)

Maandiko yanasema,

"(Masharti ya Uanachama) Mtu atakayekubaliwa kuingia katika CCM ,
Au kuendelea kuwa Mwanachama ni yule anayetimiza Masharti yafuatayo,
"Kuwa mtu anayefanya Juhudi ya KUIELEWA,
KUIELEZA,
KUITETEA,
NA KUITEKELEZA Itikadi ya Siasa ya CCM."

Tukisoma katiba ya CCM 1977 toleo 2020 uk 08 ibara 13(1)(e)
( Kuondoka katika Chama)" Uanachama wa Mwanachama utakwisha kwa ,
Kutotimiza Masharti ya Uanachama."

Mwisho wa kunukuu

Wanaccm Wenzangu NI LAZIMA TUKOSOANE KWANI NAAMINI HAKUNA MTU ANAYEJUWA KILA KITU
WOTE TUNATEGEMEANA NI LAZIMA ATAKAYEONA JAMBO TOFAUTI NI LAZIMA AWE TAYARI KUWAKOSOA WENZAKE ILI TURUDI KWENYE MSTARI VINGINEVYO TUTAPOTEZANA KIMITAZAMO NA KUAMINISHANA MAMBO YASIYO KISAIDIA CHAMA KUIMARIKA.
SISI NI BINADAMU SIO MIUNGU TUNAKOSEA.

Nakumbuka Tarehe 08/May/2021
Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan,
Akiwa katika hafla za Uzinduzi wa Kitabu cha Mzee Ally Hassan Mwinyi
Alitamka maneno haya,

" Umuhimu wa kukiri Makosa ,
Viongozi sio Malaika, Viongozi ni Binadamu, na Binadamu kwa kawaida ameumbiwa KUFANYA makosa."

Nakumbuka Tarehe 07 May/ 2021
Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan
Akiongea na Wazee wa Dar
Alisema,

" Pale Mtakapoona tunatetereka ,
Msisite kutukumbusha,
Turudi kwenye Mstari ili tusivuke Misingi ya Maadili na Misingi ya Ujenzi wa nchi yetu Kama ilivyowekwa na Waasisi wa nchi zetu."
" Kwa upande wetu nataka niwahakikishie
TUTASIKILIZA BILA BEZO WALA DHARAU Yale yote ambayo YATAKUWA kwenye UWEZO WETU kwa wakati husika."

Mwisho wa kunukuu

Tusome katiba ya CCM 1977 Toleo 2021 uk 10 - 11 ibara ya 15(7)

Tusome Kitabu cha Mwongozo wa CCM 1981 uk 45 -46 kifungu cha 58 - 58 na uk 46 - 47 kifungu cha 60 na uk 49 kifungu cha 62 na uk 51-52 kifungu cha 65.

Tusome Kanuni za Uongozi na Maadili uk 33 - 34 kifungu cha 9(1)(ii)

Tukisoma Kitabu cha Nukuu za Kiswahili za Mwalimu uk 175

Mwl JK Nyerere anatukumbusha,

" Ufa wa nchi ni KUENDESHA MAMBO bila kujali SHERIA."

Mwisho wa kunukuu

Nakumbuka Tarehe 30/April/ 2021
Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan
Mwenyekiti CCM Taifa
Katika Mikutano Mkuu wa Dharura Dodoma,
Akihutubia na hotuba kurushwa kwenye vyombo vya habari,

Nayakumbuka baadhi ya maneno ya hotuba hiyo.

" Najuwa jukumu mlilonipa ni kubwa na sio rahisi ,
Lakini Ninaamini nitaweza .
Ninaamini nitaweza kwa sababu ,
Kwanza, Chama chetu KINAONGOZWA NA KATIBA,KANUNI, NA TARATIBU."
" Ambazo NINAAHIDI KUZIFUATA KIKAMILIFU"

" Nitasimamia Maadili, Kanuni na Taratibu za Chama ili kujenga Chama Chenye Nidhamu na Chenye WANACHAMA wanaotambua Wajibu wao kwa Chama na kwa Taifa lao."

Mwisho wa kunukuu

Tusome katiba ya CCM 1977 Toleo 2020 uk 10 - 11 ibara ya 15(1) - (9).

Tukisoma Kitabu cha CCM cha kanuni za Uongozi na Maadili uk 02 kifungu cha (iv)
Kinatukumbusha,

" Kufuata na kutii KATIBA , YA CCM na Kanuni zake NI WAJIBU WA KILA MWANACHAMA WA CCM."

Mwisho wa kunukuu

Naamini Sisi sote kwa Umoja wetu tokea shina hadi Juu , WOTE NI LAZIMA TUFUATE MAANDIKO YETU.

Tusome Kitabu cha Kanuni za Fedha na Mali za Chama na Jumuiya zake uk 164 - 165 vifungu vya 14;2 na 14;3.

Tusome katiba ya CCM 1977 toleo 2020 uk (ii)

Tusome katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 Toleo 2005 uk 27 ibara 26(1)(2).

Tusome Ilani ya CCM 2020 uk 161 - 168

Tusome Kitabu cha The Political Parties act
Chapter 258
Revised Edition 2019 uk 11 kifungu cha 06 A(1)(2)(5)

Katika orodha ya Viongozi ninao wakubali wa KUWATOLEA MFANO BILA KUOGOPA KUAIBIKA NI PROFESSOR IBRAHIM HAMIS JUMA.
JAJI MKUU WA TANZANIA
ANANIVUTIA HASA KWA UCHA MUNGU UNAOJIDHIHIRISHA WAZI HATA KATIKA MAONGEZI YAKE.

Nakumbuka Mwaka 2019
Professor Palamagamba Kabudi
Alisema,

" Professor Ibrahim Hamisi Juma, Jaji Mkuu wa Mfano, Jaji Mkuu Mweledi, Jaji Mkuu Mcha Mungu."

Mwisho wa kunukuu

Nakumbuka February 2021
Professor Ibrahim Hamisi Juma
Akiwa katika hafla ya kuwaapisha Mahakimu
Aliwahi kutamka maneno haya ,

" Nguzo ya kwanza ni Utawala Bora,
Uwajibikaji, na
Usimamizi mzuri wa Raslilimali."

" Kila Mmoja wenu anatakiwa azingatie Utawala Bora , Yeye binafsi na Utawala wa Shughuli zote Ambazo anazifanya".
( Ilani ya CCM 2020 uk 161 - 168)

"Hata Sisi tuko Chini ya Sheria na TUNAWEZA KUCHUKULIWA HATUA ZA KISHERIA".

Mwisho wa kunukuu

Tukisoma katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 toleo 2005 uk 27 ibara 26(1)
Inasema,

" Kila Mtu ana wajibu wa kufuata na KUITII katiba hii na sheria za Jamhuri ya Muungano."

Mwisho wa kunukuu katiba.

Naamini Sisi sote NI WATU.
Tunao wajibu wa KUITII KATIBA NA YOTE YALIYOMO NDANI HUKU TUKIJIEPUSHA NA MATENDO YA KIBAGUZI NA KIUPENDELEO.

tusome katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 toleo 2005 ibara 12(1)(2) na 13(4)(5).

Nakumbuka Mwaka 2019
Professor Palamagamba Kabudi
Akiwa Bungeni - Dodoma
Aliwahi kutamka maneno haya ,

" Sisi Watanzania tuna Bahati kubwa sana ya kuzaliwa katika nchi hii ya Tanzania na katika mfumo ambao unatoa HAKI NA UHURU KWA WATU kuliko nchi nyingi nyingine."

" Watanzania tuna Uhuru
Tuna HAKI ambazo zinalindwa na KATIBA
Lakini pia viko vyombo vingi ambavyo vimeundwa kuhakikisha kuwa HAKI HIZO ambazo ziko ndani ya Katiba ZINAHESHIMIWA au ZINAFUATWA."

" SISI ni Miongoni Mwa nchi chache sana katika Bara la Africa ambazo hazifiki nne ,
Ambazo ZIMEWARUHUSU RAIA WAKE KUWEZA KUISHITAKI SERIKALI KATIKA Mahakama ya Afrika ya haki za Binadamu na watu."

Mwisho wa kunukuu

Tusome katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 Toleo 2005 uk 23 ibara ya 18(a)(b()c)(d).

Nakumbuka Tarehe 28/March/2021
Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan
Katika hafla ya Upokeaji Taarifa CAG &TAKUKURU
Alitamka maneno haya,

" Tumesisitiza kuendelea kuthibiti Vitendo vya Rushwa , kuimarisha mifumo ya Utawala Bora na kukuza UWAJIBIKAJI katika Taifa letu."
( Ilani ya CCM 2020 uk 161 - 168)
" Naomba sana TUFUATE Maadili ya Taasisi zetu na SHERIA ZETU ili kurahisisha kazi ya Taasisi zetu."

Mwisho wa kunukuu.

Naamini WANACCM kwa nyakati hizi tuko Takribani Million kumi na mbili au zaidi.
Kwenye Mamilioni hayo NINAAMINI KABISA TUNAO WASOMI WA KUTOSHA WAFIA CHAMA WALIOTESEKA KUHAKIKISHA CCM INASHIKA DOLA .
VILE VILE TUNAO WASIO NA ELIMU ILA NAO WANA MCHANGO MIUBWA KATIKA NYAKATI ZA KUSAKA DOLA.
KIFUPI TUNA HAZINA KUBWA YA WATU WA KULIONGOZA TAIFA HILI WAKITOKEA NDANI YA CCM WAKIWA WAADILIFU NA WAAMINIFU WA HALI YA JUU.
SIAMINI NA SITAKI KUAMINI KUWA KATIKA MILIONI 12 HAKUNA WATU WENYE VIGEZO NA SIFA ZA KUONGOZA NCHI .
TUNAJITOSHELEZA NA HATUHITAJI MAJESHI YA KUKODI KUTOKEA UPINZANI.

Nakumbuka Tarehe 30/April/2021
Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan
Katika Mkutano Mkuu wa Dharura wa Kitaifa
Alisema,

Chama chetu ambacho sasa kina Wanachama wapatao Takribani Million 12 kina jukumu la kuhakikisha kwamba kinakuwa ndiyo Sauti ya Watanzania na kinashiriki moja kwa moja katika kuhakikisha Maendeleo ya nchi yetu sambamba na kuisimamia Serikali."

Mwisho wa kunukuu

Tusome Mwongozo wa CCM 1981 uk 103 kifungu cha 108.

Tusome Kitabu cha Binadamu na Maendeleo uk 21.

Makosa tuliyoyafanya nyuma tusiyarudie tena.
Huu ni wakati wa KUTENDEANA HAKI NA USAWA nchi yetu isonge mbele.
Tukumbuke Watanzania wengi wapo huku ngazi za chini zinazo dharauliwa na wengi.
Watu waliaminishwa kuwa WAADILIFU NA WAAMINIFU kitambo

WAKATII NA KUVUMILIA
SHIDA ZOTE WAKIJITOLEA.

Watu wsmeshuhudia katika jamii WAKIWAONA BAADHI YA WATU WACHACHE WENYE HISTORIA MBAYA NDANI YA JAMII WAKISAIDIWA KUSAFISHWA NA KUFANYWA VIONGOZI HUKU WALE WAADILIFU NA WAAMINIFU WAKIPAKAZIWA NA KUZUSHIWA UONGO HUKU WAKIWA HAWANA WA KUWASEMEA.
HAYA NI MAONEZI NA MATUMIZI MABAYA YA MADARAKA YENYE KIBURI CHA KUMUASI MOLA AMBAYE ANATUTAKA KUWATENDEA MEMA WATU DHAIFU.

Tusome Ilani ya CCM 2020 uk 04 -05
Kifungu cha 07
Kisha tusome Ilani ya CCM 2015 uk 231 kifungu cha 183 na uk 233 - 234 kifungu cha 185(b)(c)(d) na uk 236 kifungu cha 189.

Narudia KUCHUWA MTU UPINZANI HUKU SHERIA ZETU ZIKIWATAKA WATU HAO KUFUATA UTARATIBU WA SHERIA NA SISI TUNAPINDISHA MAKSUDI ....
NAONA UTARATIBU HUU UNASIGINA SHERIA TULIZO APA KUZILINDA NA KUZITETEA NA KUZITII NA TUNA WADHARAULISHA WANACCM MILLION 12 KWAMBA HAKUNA ANAYEFAA KUWA KIONGOZI.

Ikiwa SISI wenye Dhamana ya Uongozi tutazisigina katiba na kuzidhalilisha IKITOKEA MTU WA CHINI AMEKOSEA ATAHUKUMIWA KWA SHERIA IPI ?!?!?
TUTAKUWA TUNAENDELEA KUWAONEA SANA WAFIA CHAMA NA NI JAMBO BAYA KWA TAIFA LETU AMBALO TUMEAMUA KUMTANGULIZA MUNGU MBELE HUKU TUKUFANYA MATENDO YA KUWAONEA WANYONGE HUKU TUKISEMA TUNAWASAIDIA.

TUMWOGOPE MUNGU NA TUWAOGOPE WATU HAWA WENGI WALIO KIMYA WAKIUMIA HUKU WAKIONA WATU WACHACHE WAKIISHI KAMA WAKO PEPONI.

TUTENDE HAKI NA USAWA SHERIA ZITUMIKE BILA UBAGUZI.

Kuwasafisha WANAO KATALIWA NA TARATIBU ZETU TULIZOJIWEKEA
NA KUWASIGINA WANAOKUBALIKA NA TARATIBU ZETU TULIZOJIWEKEA DHAMBI HII TUTAKWENDA KUIJIBU KWA MOLA WETU.

Niliwahi kuona JAMVI ONLINE TV CLIP YA HAYATI RAIS WETU MPENDWA DKT JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI
alikuwa anasema,

" Na ndiyo maana ninawaomba ndugu zangu hizi kazi Sisi wote TUMEPEWA DHAMANA,
MIMI nimepewa Dhamana
Ninyi mmepewa Dhamana,
Hakuna Mwenye Guarantee ya kazi hizi,
Hata Mimi wala Sina Guarantee ya kazi hii kwamba I will be a permanent President.
No."
" Sasa na Ninyi Basi angalau mteseke kidogo hivyo Kama na Mimi ninavyoteseka ili kusudi TUWASAIDIE hawa ambao tumepewa na Mungu KUWAONGOZA
Machozi yao tutakuja KUYALIPA
There is no way tunaweza TUKAYAKWEPA
Kama mabaya yamefanyika kwenye Mkoa wako au kwenye Wilaya yako ,
Wewe Mkuu wa Mkoa au Wewe RAS lazima malipo yake utayapata.."

Mwisho wa kunukuu

Nakumbuka Tarehe 22/March/2021
Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan
Akiuaga Mwili wa Dkt Magufuli - Dodoma
Alisema,

" Maana yeye Mwenyewe aliwahi kusema, katika moja ya hotuba zake kwamba siku nikifariki mtanikumbuka "
" Na KWELI leo na Milele tutamkumbuka ,
Alikuwa sahihi sana ,
Tunamkumbuka sana."

Mwisho wa kunukuu

Tusome katiba ya CCM 1977 Toleo 2020 uk 08 - 09 ibara ya 13(5)
Ibara hii imeweka Utaratibu kwa Mtu anayetokea Upinzani .

Lakini pia tusome Kitabu cha Kanuni za Uongozi na Maadili uk 16 - 17 kifungu cha 5(1)(2)
Kifungu hiki Moja kwa moja kinawataka WATU WALIOTOKA UPINZANI Watulie kwanza WASIKIMBILIE MADARAKA WAWE WAVUMILIVU KAMA WANACCM MILLION 12 WALIVYOVUMILIA.

Kikao halali ndani ya CCM huwa kimeongozwa kwa kufuata katiba ya CCM inayowataka wajumbe wa kikao husika kuheshimu watu.
Tusome katiba ya CCM 1977 toleo 2020 uk 08 ibara ya 08(1)
Utakuta vikao vya chini vinamjuwa mgombea fulani ANANUKA MBELE YA USO WA JAMII ILA VIKAO VYA JUU YAKE KATIKA MAZINGIRA TATA WANAMPITISHA MTU HUYO ALIYEKATALIWA NA VIKAO VINAVYOMJUWA.
KISHA WANAJIITA KIKAO HALALI .

HII HAIKO SAWA WANAOFANYA DHARAU HIZO WANAISIGINA KATIBA NA KUFANYA KIKAO HICHO KILICHODHARAU KIKAO CHA CHINI KUWA na Maamuzi haramu na sio halali kwani wanakuwa wanaonea na kutweza utu wa watu wa chini na KUISIGINA ILA NI 2020 uk 01 kifungu cha 01 na 04 uk 02 kifungu 6(c) na uk 05 kifungu cha 8(a) na 09 A (iii)

Tusome sera ya CCM ya Kujitegemea kimapato na KIUCHUMI uk 18 kifungu cha 21(a)

Tusome Kitabu cha Kanuni za Uongozi na Maadili uk 30 - 31 kifungu cha (vi)(vii)

Tusome Kitabu cha Kanuni za Uongozi na Maadili uk 32 - 33
Kifungu cha (viii)(ix)(a)(b)(c)

Tusome Kanuni za Uongozi na Maadili uk 33 kifungu cha (3)(4)

Tutende haki ili tudumushe mshikamano wetu.
Million kumi na mbili tuko wengi sana na chenji inabaki.
WALIOTOKA UPINZANI wafuate taratibu zinazowataka wazifiate kwani wamerudi wametukuta na CCM yetu waliyoisaliti SISI TUKIWA NGANGARI KUIPIGANIA NA KUITETEA JAPO TUNAISHI TUKIOMBAOMBA .

Ilani yetu Imetaja neno UBUNIFU MARA NYINGI .
WANACCM TUJIPANGE KUWEZESHANA ILI TUONDOE HALI HII YA OMBA OMBA MIONGONI MWETU.
TUKUWEZESHANA TUKAWA NA MAISHA BORA
KAMWE HATUTAWAZA KUCHUKUWA WATU WALIOTUSALITI KUWAPA VYEO .
NAJUWA MASKINI SIKU ZOTE HAAMINIKI NDIYO MAANA HATA MWANACCM UKIWA NA AKILI NAMNA GANI KAMA HAUNA ......
NI VIGUMU KUWA KIONGOZI UTABAKIA KUPIGA MAKELELE KAMA VUVUZELA.

Umaskini sio kitu kizuri
Tulio Wachache kila tunapofaidi keki ya Taifa
TUWAKUMBUKE walio wengi wanaoteseka

KUNA HEKIMA NDANI YAKE.
NI KHERI MTU ANAYESEMA KULIKO MTU MKIMYA.
TUNAYO KASORO YA KUWATENGA WALE WANAOONEKANA WANA MAONO FULANI NA KUWAKUMBATIA WASIO JIELEWA KISA TU TUNACHEZA NA AKILI ZAO
SIO JAMBO JEMA

Nakumbuka Tarehe 30 / March /2021
Mheshimiwa Dkt Philipo Isdor Nzabayanga Mpango
Akilihutubia KULIAGA Bunge

Alisema,

" Nataka kuwakumbusheni kwanza Matukio mawili wakati tunamuomboleza
Rais wetu kipenzi Hayati Dkt John Pombe Joseph Magufuli."

" Pale uwanja wa ndege wa Dar es salaam,
Wote tuliwashuhudia Wananchi WANYONGE KABISA ,
Wakiruka fensi,
Kwenda kumsindikiza kipenzi Chao ,
Wakati Mwili wake unakaribia kupakiwa kwenye ndege ili kwenda ,
Ili kuja hapa Dodoma."

" Tukio la pili mliliona hapa Dodoma jinsi ambavyo Boda boda Waliamua kuchukuwa kazi ya Police wa barabarani wakamsindikiza kipenzi Chao."

" Kwangu Mimi matukio hayo mawili ni ishara wazi ya WANYONGE KUTUAMBIA KWAMBA kazi zote alizoziacha kiongozi wetu zisipokwenda vizuri HATUNA NAMNA ".
" Sijuwi Kama mliwasikia walivyokuwa wanaimba ,
Walikuwa wanaimba, JESHI , JESHI, JESHI.."

Mwisho wa kunukuu

Nakumbuka siku ya kumbukizi Miaka 20 ya Mwl JK Nyerere
Mheshimiwa Joseph Butiku
Mkurugezi wa Taasisi ya Mwl Nyerere
Alisimulia.

" Mwalimu ( Nyerere) kila Asubuhi anakwenda kanisani saa kumi na mbili na nusu ,
Kila Asubuhi,
Hata anapokuwa nje huko ,
Hata Urusi huko,
Asubuhi lazima aende ."

" Binti fulani pale nyumbani kwake MSASANI akamuuliza,
Wewe unatusumbuwa kila siku unakwenda kanisani ,
Kila siku Asubuhi,
Kwanini ?
Akacheka , akasema,
" Mimi NAWAOGOPA WATU,
Msikilize hili,
Mimi NAWAOGOPA WATU".

" Nimeomba niwe KIONGOZI WAO , na Wakakubali,
Lakini MIMI SIWAJUI , na wao HAWANIJUWI SANA ,
Kwa hiyo inabidi kila Asubuhi KWA IMANI YANGU ,
Niende mbele KWA YULE AMBAYE NINAAMINI ( MUNGU) ametuweka sisi wote kuomba Upatanisho."

" Yaani siku ikianza TUIENDESHE vizuri mpaka imalizike tusiwe
TUMEGOMBANA
NAO .
WAO WANIELEWE NIA NJEMA Mimi niwaelewe YAO WANAYOTAKA."

" Ukiwa na Roho nzuri UNAMPENDA kila mtu na unapenda APATE.,
Na hupendi apate taabu,
Akipata taabu wewe unaona UNAPATA TAABU"

" Na hapo ndipo Mwl ( Nyerere) alipoanzia kupenda watu kwa IMANI.
Si kuwapenda juu juu,
Kupenda watu kwa imani."

Mwisho wa kunukuu

Wanaccm tuanze kupendana sasa
Ngazi za Shina , Matawi, kata na Jimbo TUZIBORESHE TUWE MWILI MMOJA ZIFANANE KAMA OFISI ZA WILAYA , MKOA NA TAIFA.
HUKU CHINI NAO NI BINADAMU
MAMBO YA KUFANYA YAPO NIITENI NIWAONYESHE TUANZE KIDOGO KIDOGO KUUONDOA MUONEKANO HUU WA UMASKINI TOKEA UHURU WA NCHI YETU."

Tusome Katiba ya CCM 1977 Toleo 2020 uk 01 ibara 4(1)(2)

Naikumbuka kauli ya Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan
Rais wetu Mpendwa wa Tanzania
Akiwa katika kongamano la Wafanyabiasha - Nairobi
Alisema,

" Real Development is only realize when we develop TOGETHER."

Mwisho wa kunukuu

Mwisho niseme ,
Viongozi wote , kwa mfumo wa Tanzania, BAADHI ( Wa kisiasa) hutokana na CHAMA.
WANACCM wenzangu,BAADHI YETU tunajisikiaje KUWAONA WANACCM WENZETU WAKIWA OMBA OMBA.
KAMA OMBAOMBA HAWA WALIFANYA KOSA BASI TUKAE TUYAONGEE ILI ZILE NGUVU AMBAZO HUTUMIKA KUSAKA DOLA
BAADA YA KUISHIKA DOLA NGUVU ZILE ZILE
ZISIPOWE
ZIENDELEE KATIKA KUWAINUA NAO WAWE WANAFURAHIA MATUNDA YA KAZI ILE.
NI UKWELI HATA MSIKITINI AU KANISANI KUNA SADAKA .
NA SADAKA ILE HUSAIDIA SHUGHULI ZIENDE.
MBONA HUKU CCM NGAZI ZA CHINI TUMEKWAMA !?!?

Nakumbuka Tarehe 22/ 04/ 2021
Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan
Akihutubia Bunge Dodoma
Alisema,

" Na Mimi nataka niwaahidi kuwa Serikali ( YA CCM) itakuwa IKO TAYARI WAKATI WOWOTE KUPOKEA USHAURI WENU NA PIA Ushauri wa watu wengine wenye NIA YA KUILETEA maendeleo nchi yetu."

Mwisho wa kunukuu

Tukisoma Kitabu cha Nukuu za Kiswahili za Mwalimu uk 08

Mwl JK Nyerere aliwahi kusema,

"Asili ya Uongozi wetu ni HAKI"

Mwisho wa kunukuu.




KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI




Mathias Mugerwa Kahinga
🙏🏿🙏🏿🤲🏾🤲🏾👏🏿👏🏿🤝🏾🤝🏾
Your reward Will be cemetery!!
 
WANACCM NDANI YA CCM

Makada wa CCM ndani ya serikali,

Kila mmoja amuwazie mwenzake mema.

Tuache kuchuliana powa.

Powa powa sio powa.

Hakika hatutampenda Mungu bila ya kuwapenda waliotuwezesha kuwa na maisha tuliyonayo.

CHARITY BEGINS AT HOME. Tuondoe umaskini kwa wanaccm kwanza ili tuwaondolee Watanzania umaskini.

Nakumbuka tarehe 23/Novemba/2021

Mbunge na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani na Mwenyekiti wa Baraza la Usalama Barabarani Tanzania, Comrade Hamisi Hamza Chiro, alianza kwa kusema:

"Mabibi na Mabwana na Wanahabari,

Asalaam Aleikhum

Bwana Yesu Asifiwe,

Ninawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...

Kwanza kabla ya yote, nichukuwe fursa hii nimshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuwa ametujaalia tumekutana hapa tukiwa wazima wa afya."

Mwisho wa kunukuu.

Comrade Steave Biko, mpinga maovu aliyeuliwa kikatili huko Afrika Kusini tarehe 12/Septemba/1977 katika mahabusu ya polisi ya Makaburu aliwahi kusema:

"It is better to die for an idea that will live than to die for an idea that will die."

"I am going to be me as I am. And you can beat me or jail me or even kill me but I'm not going to be what you want me to be."

Mwisho wa kunukuu.

Nakumbuka tarehe 25/Agosti/2021

Padre Dkt Faustine Kamugisha wa Parokia ya Minziro-Bukoba aliwahi kusema:

"Na mimi naongea kwa sababu nina matumaini kwamba haya yote yatawasaidia."

"Na wewe unayeyasikiliza una matumaini kwamba yatakusaidia."

Mwisho wa kunukuu.

Tukiisoma Kitabu cha Maandiko Matakatifu ya Mwenyezi Mungu kiitwacho Fadhila za A'maal, ukurasa wa 166, maandiko yanasema:

"Rasulullahi Swallallahu Alaihi Wasallam amesema: Kuweni wanyenyekevu sana na wenye heshima kwa watu ambao kutoka kwao mnapata elimu."

Mwisho wa kunukuu.

Wanaccm na Watanzania wenzangu, chama chetu CCM ngazi za shina, tawi, kata, na majimbo hali ya kimionekano sio nzuri na hii ni aibu kwa wanaccm wote bila ya kujali vyeo vyetu.

Na huu sio utu, ni kinyume na matakwa ya ilani ya CCM 2020 - 2025. Posho za baadhi ya viongozi ngazi hizo za CCM huku chini ni vichekesho.

Tubadilike kifikra.

Nakumbuka tarehe 05/Desemba/2021

Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan akifungua barabara ya Morocco - Mwenge Dar alisema:

"Niwaombe sana na wananchi tubadilike kifikra, tubadilike kimatendo."

Mwisho wa kunukuu.

Ofisi za CCM ngazi za shina, tawi, kata, na jimbo hazina kumbi za mikutano, hakuna ofisi za kutosha kwa viongozi wa ngazi hizo, hakuna posho, na miradi mingi ya CCM ilianzia huku chini ila fedha nyingi inapaa juu. Mrejesho wa fedha hizo haukidhi mahitaji ya wanaccm wa huku chini.

Ukiangalia ngazi za wilaya, mkoa, na taifa hali ni nzuri sana. Tujenge daraja la kutuunganisha wote hali zetu ili tusichukuliane powa walau tujenge vyoo tu. Wanaccm wanaumia ila hawasemi. Baadaye tunawalaumu wajumbe kumbe ni sisi baadhi ya wanaccm tunawachukulia powa wenzetu kwa ukimya wao.

Nakumbuka Novemba 2020

Dkt Hassan Abbass aliyekuwa msemaji mkuu wa serikali akiwa katibu mkuu wa wizara yenye dhamana na sanaa aliwahi kusema:

"Kama wenzetu wamejengewa mradi la Rufiji kule la matrillioni, hivi na sisi kwenye sanaa huku hatuna kitu fulani hivi amazing cha billion kadhaa tukafanyiwa! Mbona wanatuchukulia powa hawa watu."

"Sasa inawezekana tulikuwa tunachukuliwa powa kwa sababu na sisi wenyewe tuko powa. Ehee, ukiwa umepowa watu wanakupoza tu, unaona bhana, inakuwa simple tu."

Mwisho wa kunukuu.

Nakumbuka tarehe 04/Novemba/2016

Hayati Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiongea na wahariri wa habari alisema:

"Tuna wajibu wa kwenda pamoja, sisi wote ni wamoja tuna haki sawa mbele ya Mwenyezi Mungu wetu."

Mwisho wa kunukuu.

Wanaccm na Watanzania wenzangu, miongoni mwetu kuna baadhi hawaamini kabisa kama na sisi wanaccm wa ngazi hizi za chini tunahitaji kutendewa haki na usawa kwenye mambo ya kimsingi ya kibinadamu.

Nakumbuka tarehe 26/Desemba/2021

Comrade Job Yustino Ndugai, Spika wa Bunge alisema:

"Ohoo unajua sisi, tunadharaulika tunafany... Usidharaulike kwa nini?! Kwani una nini cha kukufanya uheshimike? Watu wanaheshimikaga tu hivi hivi?!"

"Haiwezekani, unaheshimika kwa kazi, kwa achievable, huna cha kuonyesha huheshimiki."

"Hii maneno ya shuleni binadamu wote ni sawa ile ni theory ya kupasi mtihani, ile ni ya kufaulu mtihani wa Wizara ya Elimu."

"Binadamu ni sawa tangu mwaka gani?! Tangu lini?"

Mwisho wa kunukuu.

Tusome Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 toleo 2005 ukurasa wa 20 Ibara 12 (1)(2), Ibara 13(1)(4)(5), Ibara 26(1)(2) bila kuacha Ibara 9(a)(b)(f).

Katiba ya CCM 1977 toleo 2020 ukurasa wa 01 Ibara 04 (1)(2).

Azimio la Arusha ukurasa wa 01 kifungu (a)(b).

Nakumbuka tarehe 15/Desemba/2021

Rais Samia Suluhu Hassan katika mkutano wa wadau wa kujadili hali ya demokrasia ya vyama vingi nchini alisema:

"Unapovunja sheria, unajivunjia heshima, na serikali inashindwa kukuheshimu."

"Naomba tufanye kazi kwa kuheshimu sheria."

"Hakuna mbora wetu mbele ya sheria."

"Mbora wetu ni yule anayefuata sheria."

Mwisho wa kunukuu.

Nakumbuka tarehe 27/12/2021

Akihojiwa na ITV, Mheshimiwa IGP Simon Nyakoro Sirro alisema:

"Unajua Mheshimiwa Rais (Samia) akisha zungumza ni maelekezo. Na mimi nayafanyia kazi maelekezo yake, nafuatilia."

Tusome Ilani ya CCM 2020 ukurasa wa 161 - 168 bila kuacha ukurasa wa 01 Ibara 04.

Nitoe wito kwa viongozi wa CCM ngazi za juu kutuangalia sisi tulioko huku chini kwa jicho la huruma na upendo huku tukijikumbusha ya kuwa sisi ni mwili mmoja.

Tukisoma Kitabu cha Awamu ya TATU ya Mradi wa Kukiimarisha Chama ukurasa wa 05, maandiko yanasema:

"Katika kikao chake cha Desemba 1985, Halmashauri Kuu ya Taifa ilianzisha mradi wa kwanza wa kuimarisha chama baada ya kubaini kuwa chama kilikuwa kibovu hasa katika ngazi zake za mwanzo."

Mwisho wa kunukuu.

Nakumbuka tarehe 04/12/2021

Mheshimiwa Salvatory Venance Mabeyo, Mkuu wa Majeshi alisema:

"Hakuna mwanadamu ambaye Mungu kamnyima kila kitu, wala hakuna aliyepewa kila kitu. Wote tumepewa kadri ya uwezo wetu. Na hivyo ni wajibu wetu na hasa viongozi wetu kutuunganisha sote kwa pamoja kushirikiana katika kuujenga ufalme wa Mungu."

Mwisho wa kunukuu.

Tukisoma Kitabu cha Sera ya CCM ya Kujitegemea Kimapato na Kiuchumi ukurasa wa 03, maandiko yanasema:

"Katika chama hiki tokea 2000 yamekuwepo maamuzi mbali mbali ya vikao vya juu vya chama kuanzia sekretarieti, kamati kuu, halmashauri kuu ya taifa na hata mkutano mkuu wa taifa kuhusu chama kujitegemea kimapato na kiuchumi. Changamoto kubwa imekuwa ni utekelezaji wa maamuzi hayo."

Mwisho wa kunukuu.

Ilani yetu ya CCM imetamka neno ubunifu mara nyingi ila hakuna mtu aliye tayari kusaidia kwa lolote ili kubadili mielekeo na mitazamo ya kimaskini ndani ya CCM.

Mwenye uwezo naomba anipeleke kwa Mheshimiwa Sam
Wapo wanaopita humu wenye uwezo wa kufikisha imefika hiyo
 
WANACCM NDANI YA CCM

Makada wa CCM ndani ya serikali,

Kila mmoja amuwazie mwenzake mema.

Tuache kuchuliana powa.

Powa powa sio powa.

Hakika hatutampenda Mungu bila ya kuwapenda waliotuwezesha kuwa na maisha tuliyonayo.

CHARITY BEGINS AT HOME. Tuondoe umaskini kwa wanaccm kwanza ili tuwaondolee Watanzania umaskini.

Nakumbuka tarehe 23/Novemba/2021

Mbunge na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani na Mwenyekiti wa Baraza la Usalama Barabarani Tanzania, Comrade Hamisi Hamza Chiro, alianza kwa kusema:

"Mabibi na Mabwana na Wanahabari,

Asalaam Aleikhum

Bwana Yesu Asifiwe,

Ninawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...

Kwanza kabla ya yote, nichukuwe fursa hii nimshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuwa ametujaalia tumekutana hapa tukiwa wazima wa afya."

Mwisho wa kunukuu.

Comrade Steave Biko, mpinga maovu aliyeuliwa kikatili huko Afrika Kusini tarehe 12/Septemba/1977 katika mahabusu ya polisi ya Makaburu aliwahi kusema:

"It is better to die for an idea that will live than to die for an idea that will die."

"I am going to be me as I am. And you can beat me or jail me or even kill me but I'm not going to be what you want me to be."

Mwisho wa kunukuu.

Nakumbuka tarehe 25/Agosti/2021

Padre Dkt Faustine Kamugisha wa Parokia ya Minziro-Bukoba aliwahi kusema:

"Na mimi naongea kwa sababu nina matumaini kwamba haya yote yatawasaidia."

"Na wewe unayeyasikiliza una matumaini kwamba yatakusaidia."

Mwisho wa kunukuu.

Tukiisoma Kitabu cha Maandiko Matakatifu ya Mwenyezi Mungu kiitwacho Fadhila za A'maal, ukurasa wa 166, maandiko yanasema:

"Rasulullahi Swallallahu Alaihi Wasallam amesema: Kuweni wanyenyekevu sana na wenye heshima kwa watu ambao kutoka kwao mnapata elimu."

Mwisho wa kunukuu.

Wanaccm na Watanzania wenzangu, chama chetu CCM ngazi za shina, tawi, kata, na majimbo hali ya kimionekano sio nzuri na hii ni aibu kwa wanaccm wote bila ya kujali vyeo vyetu.

Na huu sio utu, ni kinyume na matakwa ya ilani ya CCM 2020 - 2025. Posho za baadhi ya viongozi ngazi hizo za CCM huku chini ni vichekesho.

Tubadilike kifikra.

Nakumbuka tarehe 05/Desemba/2021

Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan akifungua barabara ya Morocco - Mwenge Dar alisema:

"Niwaombe sana na wananchi tubadilike kifikra, tubadilike kimatendo."

Mwisho wa kunukuu.

Ofisi za CCM ngazi za shina, tawi, kata, na jimbo hazina kumbi za mikutano, hakuna ofisi za kutosha kwa viongozi wa ngazi hizo, hakuna posho, na miradi mingi ya CCM ilianzia huku chini ila fedha nyingi inapaa juu. Mrejesho wa fedha hizo haukidhi mahitaji ya wanaccm wa huku chini.

Ukiangalia ngazi za wilaya, mkoa, na taifa hali ni nzuri sana. Tujenge daraja la kutuunganisha wote hali zetu ili tusichukuliane powa walau tujenge vyoo tu. Wanaccm wanaumia ila hawasemi. Baadaye tunawalaumu wajumbe kumbe ni sisi baadhi ya wanaccm tunawachukulia powa wenzetu kwa ukimya wao.

Nakumbuka Novemba 2020

Dkt Hassan Abbass aliyekuwa msemaji mkuu wa serikali akiwa katibu mkuu wa wizara yenye dhamana na sanaa aliwahi kusema:

"Kama wenzetu wamejengewa mradi la Rufiji kule la matrillioni, hivi na sisi kwenye sanaa huku hatuna kitu fulani hivi amazing cha billion kadhaa tukafanyiwa! Mbona wanatuchukulia powa hawa watu."

"Sasa inawezekana tulikuwa tunachukuliwa powa kwa sababu na sisi wenyewe tuko powa. Ehee, ukiwa umepowa watu wanakupoza tu, unaona bhana, inakuwa simple tu."

Mwisho wa kunukuu.

Nakumbuka tarehe 04/Novemba/2016

Hayati Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiongea na wahariri wa habari alisema:

"Tuna wajibu wa kwenda pamoja, sisi wote ni wamoja tuna haki sawa mbele ya Mwenyezi Mungu wetu."

Mwisho wa kunukuu.

Wanaccm na Watanzania wenzangu, miongoni mwetu kuna baadhi hawaamini kabisa kama na sisi wanaccm wa ngazi hizi za chini tunahitaji kutendewa haki na usawa kwenye mambo ya kimsingi ya kibinadamu.

Nakumbuka tarehe 26/Desemba/2021

Comrade Job Yustino Ndugai, Spika wa Bunge alisema:

"Ohoo unajua sisi, tunadharaulika tunafany... Usidharaulike kwa nini?! Kwani una nini cha kukufanya uheshimike? Watu wanaheshimikaga tu hivi hivi?!"

"Haiwezekani, unaheshimika kwa kazi, kwa achievable, huna cha kuonyesha huheshimiki."

"Hii maneno ya shuleni binadamu wote ni sawa ile ni theory ya kupasi mtihani, ile ni ya kufaulu mtihani wa Wizara ya Elimu."

"Binadamu ni sawa tangu mwaka gani?! Tangu lini?"

Mwisho wa kunukuu.

Tusome Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 toleo 2005 ukurasa wa 20 Ibara 12 (1)(2), Ibara 13(1)(4)(5), Ibara 26(1)(2) bila kuacha Ibara 9(a)(b)(f).

Katiba ya CCM 1977 toleo 2020 ukurasa wa 01 Ibara 04 (1)(2).

Azimio la Arusha ukurasa wa 01 kifungu (a)(b).

Nakumbuka tarehe 15/Desemba/2021

Rais Samia Suluhu Hassan katika mkutano wa wadau wa kujadili hali ya demokrasia ya vyama vingi nchini alisema:

"Unapovunja sheria, unajivunjia heshima, na serikali inashindwa kukuheshimu."

"Naomba tufanye kazi kwa kuheshimu sheria."

"Hakuna mbora wetu mbele ya sheria."

"Mbora wetu ni yule anayefuata sheria."

Mwisho wa kunukuu.

Nakumbuka tarehe 27/12/2021

Akihojiwa na ITV, Mheshimiwa IGP Simon Nyakoro Sirro alisema:

"Unajua Mheshimiwa Rais (Samia) akisha zungumza ni maelekezo. Na mimi nayafanyia kazi maelekezo yake, nafuatilia."

Tusome Ilani ya CCM 2020 ukurasa wa 161 - 168 bila kuacha ukurasa wa 01 Ibara 04.

Nitoe wito kwa viongozi wa CCM ngazi za juu kutuangalia sisi tulioko huku chini kwa jicho la huruma na upendo huku tukijikumbusha ya kuwa sisi ni mwili mmoja.

Tukisoma Kitabu cha Awamu ya TATU ya Mradi wa Kukiimarisha Chama ukurasa wa 05, maandiko yanasema:

"Katika kikao chake cha Desemba 1985, Halmashauri Kuu ya Taifa ilianzisha mradi wa kwanza wa kuimarisha chama baada ya kubaini kuwa chama kilikuwa kibovu hasa katika ngazi zake za mwanzo."

Mwisho wa kunukuu.

Nakumbuka tarehe 04/12/2021

Mheshimiwa Salvatory Venance Mabeyo, Mkuu wa Majeshi alisema:

"Hakuna mwanadamu ambaye Mungu kamnyima kila kitu, wala hakuna aliyepewa kila kitu. Wote tumepewa kadri ya uwezo wetu. Na hivyo ni wajibu wetu na hasa viongozi wetu kutuunganisha sote kwa pamoja kushirikiana katika kuujenga ufalme wa Mungu."

Mwisho wa kunukuu.

Tukisoma Kitabu cha Sera ya CCM ya Kujitegemea Kimapato na Kiuchumi ukurasa wa 03, maandiko yanasema:

"Katika chama hiki tokea 2000 yamekuwepo maamuzi mbali mbali ya vikao vya juu vya chama kuanzia sekretarieti, kamati kuu, halmashauri kuu ya taifa na hata mkutano mkuu wa taifa kuhusu chama kujitegemea kimapato na kiuchumi. Changamoto kubwa imekuwa ni utekelezaji wa maamuzi hayo."

Mwisho wa kunukuu.

Ilani yetu ya CCM imetamka neno ubunifu mara nyingi ila hakuna mtu aliye tayari kusaidia kwa lolote ili kubadili mielekeo na mitazamo ya kimaskini ndani ya CCM.

Mwenye uwezo naomba anipeleke kwa Mheshimiwa Sam
Sawa kutesa kwa zamu
 
Back
Top Bottom