Tukio la kusisimua la Donald Trump ndani ya mieleka ya WWE

Teh teh teh.... huyu jamaa ni kichaa, halafu inaonyesha hana kawaida ya kushindwa.
Huyu jamaa haamini kwenye kushindwa.
anasema 'ours was not campaign but rather an incredible and great movement'.
 
Vince alipigwa upara wa hatari, ilikuwa ni fedheha kubwa kwake. Maana wote wanapenda nywele zao sasa Mackmohan Vince akakumbana na mashine ya Trump.

Kabla ya hapo zilikuwa tambo za nani ana hela. Donald akamwambia Vince, yeye ana hela na alimwaga millions of dollars watu wakaokota.

Na alitamba anaweza kuongeza pesa zake mara mbili zaidi akitaka kufanya hivyo
 
Vince alipigwa upara wa hatari, ilikuwa ni fedheha kubwa kwake. Maana wote wanapenda nywele zao sasa Mackmohan Vince akakumbana na mashine ya Trump.

Kabla ya hapo zilikuwa tambo za nani ana hela. Donald akamwambia Vince, yeye ana hela na alimwaga millions of dollars watu wakaokota.

Na alitamba anaweza kuongeza pesa zake mara mbili zaidi akitaka kufanya hivyo
Haha huyu trump watamkoma hhhhh
 
Naomba mnifahamishe hizo ngumi/mieleka ya akina Umaga, Roman Reins n.k mnaipata Kwa kutumia vifurushi gani? Je ni star times ? Au Azam au DSTV ?
 
Najua ni wachache wanaokumbuka tukio hili

Hili ni tukio la kuvutia na la kusisimua ndani ya mieleka ya WWE lililopewa jina la "THE BATTLE OF THE BILLIONAIRE`S"

Ulikuwa ni mpambano mkali kati ya Mabwenyenye(Matajiri) Donald Trump na Mmiliki wa WWE Vince Mackmahon

Katika tukio hili Matajiri hawa walisaini mkataba ambao kila mtu atakuwa na mpiganaji wake ambao watapambanishwa usiku wa "Monday night raw"
Mackmahon alimsajili "UMAGA " kama mpiganaji wake ambaye kwa sasa ni marehemu
View attachment 431936

Na Tajiri Trump alimsajili Bob Rashley kama mpiganaji wake
View attachment 431933


Katika mkataba huo, waliwekeana kuwa katika mpambano wa umaga na Bobrashley,,,Atakayepigwa ni lazima bosi wake anyolewe nywele zote abakie na upara

~kama angepigwa Bobrashkey Donald Trump angenyolewa upara
~Angepigwa Umaga Vince mackmahon angenyolewa upara

Siku ya pambano Refa alikuwa ni Steve Austin
Angalia video hapa



View attachment 431932


Umenikumbusha mbali mkuu, huo mpambano nliucheki vzr dah htr sana........
 
Naomba mnifahamishe hizo ngumi/mieleka ya akina Umaga, Roman Reins n.k mnaipata Kwa kutumia vifurushi gani? Je ni star times ? Au Azam au DSTV ?
Dstv huwa wanaonyesha na startimes katika chanel e napo huwa wanaonyesha
 
Trump hakutakiwa kushinda hili pambano kwa jinsi Mimi nilivyo elewa video
 
Hili lijamaa lilitamka maneno fuln kuwa "i have never failed anything in my life" nikadhan anaongea tu kumbe anamaanisha
 
Mechi ilikuwa nzuri... WWE ya sikuizi imepungua mvuto, vimbwanga hakuna. Huyo winner wa Trump, Bob Lashley kahamia TNA huko nako kafulia bora arudi WWE. RIP Umaga
Wewe kweli shabili wa wrestling big up.

RIP Umaga
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom