LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,475
- 12,509
Najua ni wachache wanaokumbuka tukio hili
Hili ni tukio la kuvutia na la kusisimua ndani ya mieleka ya WWE lililopewa jina la "THE BATTLE OF THE BILLIONAIRE`S"
Ulikuwa ni mpambano mkali kati ya Mabwenyenye(Matajiri) Donald Trump na Mmiliki wa WWE Vince Mackmahon
Katika tukio hili Matajiri hawa walisaini mkataba ambao kila mtu atakuwa na mpiganaji wake ambao watapambanishwa usiku wa "Monday night raw".
Mackmahon alimsajili "UMAGA " kama mpiganaji wake ambaye kwa sasa ni marehemu.
Na Tajiri Trump alimsajili Bob Rashley kama mpiganaji wake
Katika mkataba huo, waliwekeana kuwa katika mpambano wa umaga na Bobrashley,,,Atakayepigwa ni lazima bosi wake anyolewe nywele zote abakie na upara
~kama angepigwa Bobrashkey Donald Trump angenyolewa upara
~Angepigwa Umaga Vince mackmahon angenyolewa upara
Siku ya pambano Refa alikuwa ni Steve Austin
Angalia video hapa
Hili ni tukio la kuvutia na la kusisimua ndani ya mieleka ya WWE lililopewa jina la "THE BATTLE OF THE BILLIONAIRE`S"
Ulikuwa ni mpambano mkali kati ya Mabwenyenye(Matajiri) Donald Trump na Mmiliki wa WWE Vince Mackmahon
Katika tukio hili Matajiri hawa walisaini mkataba ambao kila mtu atakuwa na mpiganaji wake ambao watapambanishwa usiku wa "Monday night raw".
Mackmahon alimsajili "UMAGA " kama mpiganaji wake ambaye kwa sasa ni marehemu.
Na Tajiri Trump alimsajili Bob Rashley kama mpiganaji wake
Katika mkataba huo, waliwekeana kuwa katika mpambano wa umaga na Bobrashley,,,Atakayepigwa ni lazima bosi wake anyolewe nywele zote abakie na upara
~kama angepigwa Bobrashkey Donald Trump angenyolewa upara
~Angepigwa Umaga Vince mackmahon angenyolewa upara
Siku ya pambano Refa alikuwa ni Steve Austin
Angalia video hapa