- Thread starter
- #41
Tena ukichanganya na hivi vi gas, na tumadini tuliogunduliwa Juzi, basi kila mwenye uchu jirani yetu anavitolea macho.sijui ikianza tutakimbilia wapi.sababu Uchaguzi wa Kenya ni mwakani na ni lazima watazichapa tena. Rwanda ni Kama kamkoa kamoja ka Tz hatuwezi enea, Uganda kuna fukuto kubwa, burundi ndiyo kabisa. Kongo ni balaa jingine. Viongozi waoneeni huruma wananchi wenu. PleaseTanzania ni Sawa na kichakaa"cha nyasi zilizokauka zinasubiri mtu akipige kibiriti"
Kuna watu fulani hawa jamaa wa upande wa kijani ndiyo wanaleta fyokofyoko....
Tambueni tz hakuna amani bali Kuna utulivu tu