Tukatae kwa nguvu kuwapokea wataalam wa IT kutoka Rwanda

Hahahahahh naona wengi wenu hamjasoma ile hadithi inayomhusu yule nyani jike aliyekatwa mkia na nyani wenzie ili afanane na binadam kisha akaolewe na binadamu, lengo likiwa wapate urahisi wa kula mahindi kwenye shamba la binadam [shemeji yao]
 
Back
Top Bottom