TUHUMA ZA RUSHWA BUNGENI: Wabunge Kangi Lugola, Victor Mwambalaswa na Sadiq Murad waburuzwa mahakamani

Vipi huyo afande hapo nyuma yao...kama anakitambi vile...kama kajipu vile...kana link gani mpaka awe mnene hivyo...just asking
 
wametakiwa watoe dhamana ya milion 5 kwa kila mmoja


kweli chichiem chi ntu...
 
sawa ngoja tusubiri mwisho wa kesi hizi kwa awamu hii ya tano kwani zitakuwa kibao tuuu....kwa awamu iliyopita ya JK kesi kama hizo zilikuwa zinapotelea hewani baada ya kutangazwa na kuonyesha picha kwenye media kama hivyo, mwendelezo wake ilikuwa hakuna tena.
fisiemu...tukumbuke kuwa ZIMWI LIKUJUWALO HALIKULI...................
 
Hakuna kesi utasikia ushahidi wa upande wa mashitaka haukujitosheleza, kesi imefutwa. Wakiamua nafidia wanalipwa, angekuwa mwalimu ungeona macho yanavyo watoka vigogo utafikiri mafundi SAA. Cyber crime isije ikanizoa nikaitwa mchochezi.
 
Hii nchi lazima irudi kwenye misingi ya uwajibikaji, uwazi na uadirifu



Safi Tanzania
 
Jamani huyu kangi lugola si alikuwa mtetezi wa umma bunge lilopita mpaka watu wakadai kwamba ni mpinzani ashaingia chadema?
 
Mleta mada cjawai kua na mashaka nae hata kidogo ila wakiwepo wa upinzani itakua jambo la aibu sana na pia hao wabunge itabidi wavuliwe uanachama wao ili kulinda heshima ya chama
Kwakweli kuvuliwa uanachama in jambo muhimu ili chama kioneshe kina cchukizwa na rushwa.
 
Back
Top Bottom