Trump asaini agizo jipya la kuwakataza waliobadili jinsia na kuwa wanawake kushiriki kwenye michezo ya wanawake

Mindyou

JF-Expert Member
Sep 2, 2024
1,780
4,610
Rais wa Marekani Donald Trump amesaini agizo la rais kupiga marufuku wanamichezo wa transgender kushiriki kwenye michezo ya wanawake.

Akisaini agizo hilo Ikulu ya White House, Trump alisema, "Kuanzia sasa, michezo ya wanawake itakuwa ni kwa ajili ya wanawake pekee."

Maana ya agizo hilo ni kwamba, kwa wale wanaume waliojibadilisha jinsia na kuwa wanawake HAWATARUHUSIWA kushiriki kwenye michezo ya wanawake.

Miongoni mwa waliohudhuria hafla hiyo walikuwa ni Spika wa Bunge la Marekani Mike Johnson na Mbunge Marjorie Green, watu wawili ambao kwa muda mrefu sana suala la wanaume wanaojibadilisha jinsia kuwa wanawake kushiriki kwenye michezo ya wanawake.


===========================================================

US President Donald Trump signed an executive order on Wednesday seeking to ban transgender athletes from participating in women's sports, in his latest move targeting transgender people since returning to office.

"From now on women's sports will be only for women," Trump said before he signed the order at the White House, surrounded by dozens of children and female athletes.

"With this executive order the war on women's sports is over."

Top Republicans including US House Speaker Mike Johnson and firebrand Congresswoman Marjorie Green were among those in the audience to watch the signing ceremony.

"We will defend the proud tradition of female athletes, and we will not allow men to beat up, injure and cheat our women and our girls," Trump added to applause and cheers.

Trump's order allows US government agencies to deny funds to schools that allow transgender athletes to compete on women's teams.

Source: Citizen Digital
 
Rais wa Marekani Donald Trump amesaini agizo la rais kupiga marufuku wanamichezo wa transgender kushiriki kwenye michezo ya wanawake.

Akisaini agizo hilo Ikulu ya White House, Trump alisema, "Kuanzia sasa, michezo ya wanawake itakuwa ni kwa ajili ya wanawake pekee."

Maana ya agizo hilo ni kwamba, kwa wale wanaume waliojibadilisha jinsia na kuwa wanawake HAWATARUHUSIWA kushiriki kwenye michezo ya wanawake.

Miongoni mwa waliohudhuria hafla hiyo walikuwa ni Spika wa Bunge la Marekani Mike Johnson na Mbunge Marjorie Green, watu wawili ambao kwa muda mrefu sana suala la wanaume wanaojibadilisha jinsia kuwa wanawake kushiriki kwenye michezo ya wanawake.


===========================================================

US President Donald Trump signed an executive order on Wednesday seeking to ban transgender athletes from participating in women's sports, in his latest move targeting transgender people since returning to office.

"From now on women's sports will be only for women," Trump said before he signed the order at the White House, surrounded by dozens of children and female athletes.

"With this executive order the war on women's sports is over."

Top Republicans including US House Speaker Mike Johnson and firebrand Congresswoman Marjorie Green were among those in the audience to watch the signing ceremony.

"We will defend the proud tradition of female athletes, and we will not allow men to beat up, injure and cheat our women and our girls," Trump added to applause and cheers.

Trump's order allows US government agencies to deny funds to schools that allow transgender athletes to compete on women's teams.

Source: Citizen Digital
Kwahiyo hizi gender artificial kazipiga ban? Okay tuendelee na zile original, male and female genders to the infinity.
 
Kwenye kupinga ushoga hapo ndipo ambapo maraisi wote wanapaogopa kupinga

Hata Trump pamoja na yote hajazungumzia kabisa ushoga

Marekani na kufirana ni kama pipa na mfuniko
 
licensed-image.jpg

Rais wa Marekani Donald Trump ametia saini amri ya utendaji inayozuia wanawake waliobadili jinsia kushindana katika kategoria za michezo za wanawake.

Agizo hilo linatoa mwongozo, kanuni na tafsiri za kisheria, na litasajili Idara ya Elimu kuchunguza shule za upili zinazodhaniwa kuwa hazifuati sheria.

Warepublican wanasema inarejesha usawa kwa michezo lakini utetezi wa LGBT na mashirika ya haki za binadamu yameelezea hatua hiyo kama ya kibaguzi.

Agizo hilo, ambalo linaanza kutumika mara moja, linahusu zaidi shule za upili, vyuo vikuu na michezo ya mashinani.

Kulingana na maafisa wa Ikulu ya Marekani waliowajulisha wanahabari Jumatano asubuhi, agizo hili la hivi punde linaipa Idara ya Elimu mamlaka kuchunguza jinsi shule zinavyotekeleza Kichwa cha IX, sheria ya Marekani inayopiga marufuku ubaguzi wa kijinsia katika programu za elimu zinazofadhiliwa na shirikisho.

Afisa wa utawala alisema kuwa agizo hilo la utendaji litabadilisha msimamo wa utawala wa Biden ambao mnamo Aprili mwaka jana ulisema kwamba wanafunzi wa LGBT watalindwa na sheria ya shirikisho, ingawa haikutoa mwongozo maalum kwa wanariadha waliobadilisha jinsia.

“Ukiruhusu wanaume kuchukua timu za michezo za wanawake au kuvamia vyumba vyako vya kubadilishia nguo, utachunguzwa kwa ukiukaji wa Kichwa cha IX na kuhatarisha ufadhili wako wa shirikisho,” Trump alielezea.
 
Huu ujinga unaoitwa ”watetezi wa haki za kibinaadamu” ni wa kipumbavu sana,yaani kabisa kikundi cha watu kinakaa mahali kuunda chombo cha kutetea mtu mwanamke kujibadilisha kuwa mwanaume and vice versa eti apate haki.

Ujinga tu.
 
Hivi mwanaume na akili zako kweli,unakata kabisa kifaa chako panabakia flat,hii ni akili au matope....
 
Back
Top Bottom