Trump alikuwa kiongozi imara ndio maana Putin alivamia Ukraine kipindi cha Obama (2014) na anaendelea sasa kwa Biden

sky soldier

JF-Expert Member
Mar 30, 2020
5,407
19,246
1645630612129.png


Kipindi cha obama Russia iliivamia Ukraine wakajimegea mkoa wa Crimea.

Kipindi hiki cha Joe Biden, Russia anaimega huko ukraine mikoa miwili

Kipind cha Trump , Putin hakuthubutu.

Kiukweli Obama na Bidden ni maraisi ambao wanapaishwa sana na media kuanzia magazeti mararufu kama New York Times na Washington Post, mpaka channels za habari kuanzia Cnn, Bbc, Msnbc, n.k. lakini ni maraisi weak tu.....

kwa upande wa trump, Media haikuwa upande wake na ilitumia nguvu kubwa sana kumpinga lakini alikuwa rais imara sana aliefanya vingi sana ambavyo mtu anaefatilia cnn na bbc hawezi kuja kuvijua, maana hata hawa kina Millard Ayo, Itv, n.k nao wanafowadi habari kutoka huko cnn.

Yote kwa yote Trump alikuwa ni mwamba,
 
Mambo ya wazungu hayapaswi kujadiliwa na waswahili wanaoshindania mihogo na matembele. Mkajadili huduma za maji na namna ya kutokomeza malaria.
 
Back
Top Bottom