Trilion 6 gawa kwa Watanzania milion 60 unapata Tshs 100,000

Dollar milion 6 (trilion 12 za Tanzania kwa exchange rate ya sasa) zilizopigwa EGMA kupitia STANBIC zingegawanywa kwa kila Mtanzania hadi anayezaliwa sekunde hii hadi kwa wakimbizi, kila mmoja angepatiwa Tshs 200,000/= ambazo;

= ni pesa ya kula mwezi mzima bila kufanya kazi.

= ingetosha kila Mtanzania kuwa na madawati manne.

= trilion 12 ingeweka lami kilometre 12,000

= trilion 12 ingelipa mishahara watumishi wote nchini kwa miaka miwili.

HEBU TUONGEZE MAMBO MENGINE AMBAYO YANGEFANYWA NA HIYO TRILION 12

Halafu nasikia kuna jamaa wanataka kwenda kuwekea watuhumiwa dhamana nikajiuliza hivi ni Watanzania wenzetu ama ni Vikundi vya kigaidi?
Ni billion 12 na siyo trillion 12! Hata hivyo bila kujali kama ni trillion au billion, point bado iko pale pale
 
Kuku mayai wewe

hivi hesabu ndogo hivi unashindwa ...unaweza nini sasa?

Kuwa CCM ni laana

upload_2016-4-13_14-51-44.png
 
Serikali imeitaka Benki ya Stanbic Tanzania kurejesha dola za kimarekani milioni sita sawa na shilingi bilioni 14 zilizotozwa isivyostahili kupitia kampuni ya EGMA.


Fedha hizo zinarejeshwa kwa Tanzania baada ya benki ya Stanbic Tanzania kupitia kampuni ya EGMA kuongeza asilimia moja ya riba kwenye mkopo wa dola milioni 600 ambao serikali iliomba kwa ajili ya kugharamia miradi mbalimbali ya maendeleo mwaka 2012 na 2013


Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue amesema serikali ilitakiwa kurejesha fedha hizo kwa riba ya aslimia 1.4 na badala yake ikatozwa asilimia 2.4 ya mkopo wote.


Balozi Sefue amesema udanganyifu wa utaratibu wa kumtafuta wakala wa ndani uliofanywa na benki ya Stanbic Tanzania ulibainika kutokana na uchunguzi uliofanywa na kitengo cha ufisadi cha serikali ya Uingereza SFO na kuiwezesha Tanzania kurejeshwa fedha hizo


Amesema uchunguzi unaendelea ndani ya nchi ili kujua fedha hizo zimekwenda wapi, na kama zilitumika kumhonga mtu ajulikane ni nani


Amewataja wenye kampuni hiyo ya EGMA ambao kwa taarifa za vyombo vya habari vya Uingereza ni aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania Bwana Harry KITILLYA,Bwana MBOYA ambaye ni marehemu na Bwana Gasper NJUU.
 
Watu tunapenda namba lakini hatuwezi hesabu:

$6000000× Tsh 2100 = 12, 600, 000, 000 Hizo ni Bilioni , siyo Tirioni. Mleta mada rudi darasani
 
Dollar milion 6 (trilion 12 za Tanzania kwa exchange rate ya sasa) zilizopigwa EGMA kupitia STANBIC zingegawanywa kwa kila Mtanzania hadi anayezaliwa sekunde hii hadi kwa wakimbizi, kila mmoja angepatiwa Tshs 200,000/= ambazo;

= ni pesa ya kula mwezi mzima bila kufanya kazi.

= ingetosha kila Mtanzania kuwa na madawati manne.

= trilion 12 ingeweka lami kilometre 12,000

= trilion 12 ingelipa mishahara watumishi wote nchini kwa miaka miwili.

HEBU TUONGEZE MAMBO MENGINE AMBAYO YANGEFANYWA NA HIYO TRILION 12

Halafu nasikia kuna jamaa wanataka kwenda kuwekea watuhumiwa dhamana nikajiuliza hivi ni Watanzania wenzetu ama ni Vikundi vya kigaidi?



Mnavyofakamia viwavijeshi mnadhani mnavikomoa,kumbe badala ya kwenda kwenye mfumo wa mmeng'enyo wa chakula,hubaki kichwani vikiguguna ubongo_Ona sasa ulivyojidharirisha na Elimu yako ya "COBET"
 
Hesabu ngumu kwakweli. Kama
Ingekuwa trillion 12, nahisi hao wezi wangeama nchi na kutokomea.
 
Dollar milion 6 (trilion 12 za Tanzania kwa exchange rate ya sasa) zilizopigwa EGMA kupitia STANBIC zingegawanywa kwa kila Mtanzania hadi anayezaliwa sekunde hii hadi kwa wakimbizi, kila mmoja angepatiwa Tshs 200,000/= ambazo;

= ni pesa ya kula mwezi mzima bila kufanya kazi.

= ingetosha kila Mtanzania kuwa na madawati manne.

= trilion 12 ingeweka lami kilometre 12,000

= trilion 12 ingelipa mishahara watumishi wote nchini kwa miaka miwili.

HEBU TUONGEZE MAMBO MENGINE AMBAYO YANGEFANYWA NA HIYO TRILION 12

Halafu nasikia kuna jamaa wanataka kwenda kuwekea watuhumiwa dhamana nikajiuliza hivi ni Watanzania wenzetu ama ni Vikundi vya kigaidi?
CCM wanapenda namba ila hesabu hawajui...kilaza kweli ww. Tangu lini dola mil 6 zikawa trillion 12? Au siku hizi dola moja ni sawa na Tshs 200,000?
 
LUGUMI kwa kuwa kuna uhusiano na familia ya mkwere huhoji, hawa wa egma tayari wako mahakamani tuachie mahakama ifanye kazi yake, kwa sasa tunataka LUFUMI nao wafikishwe mahakamani ndio hoja ya sasa.
 
Back
Top Bottom