TRA yavuka lengo mapato ya Machi, imekusanya shilingi trilioni 1.31

Mleta mada rekebisha hesabu yako ya asilimia, hapo itakuwa wamevuka lengo kwa asilimia 1 siyo kama unavyotaka kutuaminisha wewe.
hata mie nilijua wamekusanya 2.6 kwa Tafsiri ya kiuchumi, kwanza mengi ni malimbikizo ya wakwepa kodi hivyo huenda tukabaki kwenye urari fulani baadae lkn zaidi sana kihesabu kama wataendelea hapo maana yake kwa miezi 12 tutapata trilioni 15 na kubakisha 8 kwa bajeti yetu yenye makisio ya 23 trilioni
 
Acha dharau! Unataka Na wewe tukiite kulingana Na Kabila Lako huko uhayani?
Akili yake ndogo huyo huyo baadhi ya wasukuma na wachaga meno yao yanakuwa na rangi kwa sababu ya maji yana calcium nyingi, na ndio meno imara kuliko huyo zezeta anavyoamini.
 
Licha ya kuwa lengo limevukwa kwa "asilimia 101" si ukweli, hii sentensi pia haiko sawa au aliyeandika kwa makusudi kabisa amedhamiria kupotosha:

"Amesema hadi kufikia Machi 2016, tayari TRA imekusanya shilingi Trilioni 9.89 sawa na asilimia 99 ya lengo la makusanyo ya shilingi trilioni 9.99 mwaka wa fedha 2015/2016."
 
Akili yake ndogo huyo huyo baadhi ya wasukuma na wachaga meno yao yanakuwa na rangi kwa sababu ya maji yana calcium nyingi, na ndio meno imara kuliko huyo zezeta anavyoamini.
Kuna issues unahitaji kusoma na kuelewa, ili usiandike vitu usivyoelewa.
Maji wanayotumia wenzetu yana madini mengi ya floride na sio calcium kama unavyotaka kuaminisha watu. Wingi wa madini haya hufanya calcium iwe kwa kiwango kidogo, hivyo kumfanya mtumiaji kuwa na meno na mifupa isiyo imara.
 
image.png
Licha ya kuwa lengo limevukwa kwa "asilimia 101" si ukweli, hii sentensi pia haiko sawa au aliyeandika kwa makusudi kabisa amedhamiria kupotosha:

"Amesema hadi kufikia Machi 2016, tayari TRA imekusanya shilingi Trilioni 9.89 sawa na asilimia 99 ya lengo la makusanyo ya shilingi trilioni 9.99 mwaka wa fedha 2015/2016."
Sijataka ku edit chochote
 
Du kumbe hata za mcc tunaweza kuzikusanya kwa wiki 2 na ushee, safi kabisa kwa utawala huu wa Dr. Magufuli tutavuka tu.
 
Kama kweli mapato yameongezeka kwanini wanalalamika kunyimwa misaada. Na wakati huo hiyo hela waliyo nyimwa kwa maelezo yao ni sawa na mapato ya mwezi mmoja tu.
 
hahahah! ndo matatizo ya kudanganya mbele ya wataalamu haya,,huyo Mkuu sijui ana hali gani?
Kuna issues unahitaji kusoma na kuelewa, ili usiandike vitu usivyoelewa.
Maji wanayotumia wenzetu yana madini mengi ya floride na sio calcium kama unavyotaka kuaminisha watu. Wingi wa madini haya hufanya calcium iwe kwa kiwango kidogo, hivyo kumfanya mtumiaji kuwa na meno na mifupa isiyo imara.
 
Back
Top Bottom