Kazi nzuri ikienda sambamba na huduma bora kwa wananchi na kupunguza ukali wa maisha hapo nitaiunga mkono serikali kwa 100%. Namaanisha Serikali na siyo majini na washirikina wa ccm.Haya ndiyo mambo mazuri wanataliwa kufanya chombo kikubwa kama hiki.
Hongereni sana
hata mie nilijua wamekusanya 2.6 kwa Tafsiri ya kiuchumi, kwanza mengi ni malimbikizo ya wakwepa kodi hivyo huenda tukabaki kwenye urari fulani baadae lkn zaidi sana kihesabu kama wataendelea hapo maana yake kwa miezi 12 tutapata trilioni 15 na kubakisha 8 kwa bajeti yetu yenye makisio ya 23 trilioniMleta mada rekebisha hesabu yako ya asilimia, hapo itakuwa wamevuka lengo kwa asilimia 1 siyo kama unavyotaka kutuaminisha wewe.
FF mimi nimesema kuwa tra wamevuka lengo la mapato ya March soma heading vizuri.. Mimi sina akili za kibavicha
Akili yake ndogo huyo huyo baadhi ya wasukuma na wachaga meno yao yanakuwa na rangi kwa sababu ya maji yana calcium nyingi, na ndio meno imara kuliko huyo zezeta anavyoamini.Acha dharau! Unataka Na wewe tukiite kulingana Na Kabila Lako huko uhayani?
Tulipeni basi arrears zetu za mishahara
Mwanzo huwa mgumu sana mkuu, tuvute subrah, nchi iliyotafunwa miaka zaidi ya 50 haiwezi kugeuka ndani ya miezi mitanoKazi nzuri ikienda sambamba na huduma bora kwa wananchi na kupunguza ukali wa maisha hapo nitaiunga mkono serikali kwa 100%. Namaanisha Serikali na siyo majini na washirikina wa ccm.
Kuna issues unahitaji kusoma na kuelewa, ili usiandike vitu usivyoelewa.Akili yake ndogo huyo huyo baadhi ya wasukuma na wachaga meno yao yanakuwa na rangi kwa sababu ya maji yana calcium nyingi, na ndio meno imara kuliko huyo zezeta anavyoamini.
Ni bawachaKuna mjamaa aliandika thread hapa kuwa TRA wameshindwa kufikia malengo ya mwezi Machi,2016! Nahisi yule mjamaa ni UKAWA!
Sijataka ku edit chochoteLicha ya kuwa lengo limevukwa kwa "asilimia 101" si ukweli, hii sentensi pia haiko sawa au aliyeandika kwa makusudi kabisa amedhamiria kupotosha:
"Amesema hadi kufikia Machi 2016, tayari TRA imekusanya shilingi Trilioni 9.89 sawa na asilimia 99 ya lengo la makusanyo ya shilingi trilioni 9.99 mwaka wa fedha 2015/2016."
View attachment 334778
Sijataka ku edit chochote
WATAKAPOSHINDWA KUFIKIA LENGO WATUAMBIE
Kuna issues unahitaji kusoma na kuelewa, ili usiandike vitu usivyoelewa.
Maji wanayotumia wenzetu yana madini mengi ya floride na sio calcium kama unavyotaka kuaminisha watu. Wingi wa madini haya hufanya calcium iwe kwa kiwango kidogo, hivyo kumfanya mtumiaji kuwa na meno na mifupa isiyo imara.