Vipi kuhusu mapato ya jumla?
Vipi kuhusu mapato ya jumla?
Yamepanda kutoka shilingi trilioni 1.31 mwezi Mei hadi shilingi trilioni 1.41 Juni. Hongera sana TRAVipi kuhusu mapato ya jumla?
Naomba taarifa ya TRA. Sihitaji maneno matupu.Yamepanda kutoka shilingi trilioni 1.31 mwezi Mei hadi shilingi trilioni 1.41 Juni. Hongera sana TRA
Hiyo pesa gawanya kwa 2250 ya dola Leo. Tafuta bei ya dola mwezi juni mwaka Jana, halafu tafakariYamepanda kutoka shilingi trilioni 1.31 mwezi Mei hadi shilingi trilioni 1.41 Juni. Hongera sana TRA
Wamekua kama wapiga ramli tu. mtu akivuta mabangi yake anakurupuka anakuja kuanzisha uziKuna mpuuzi mmoja wa CHADEMA aliwahi kusema eti mapato ya mwezi Juni yatakuwa Bilioni 900. Kaumbuka
Hiyo pesa gawanya kwa 2250 ya dola Leo. Tafuta bei ya dola mwezi juni mwaka Jana, halafu tafakari
Naomba taarifa ya TRA. Sihitaji maneno matupu.
siku hizi unashinda mitandaoni ili na wewe uchaguliwe kama wenzako lakini wewe elimu yako ni form 4 pale mazengo laki unaweza pata bahati maana magu uchagua watu wasio na vision kama wewe jitahidi.Yamepanda kutoka shilingi trilioni 1.31 mwezi Mei hadi shilingi trilioni 1.41 Juni. Hongera sana TRA
Sijui kajificha wapiKuna mpuuzi mmoja wa CHADEMA aliwahi kusema eti mapato ya mwezi Juni yatakuwa Bilioni 900. Kaumbuka
Dah! Mkuu? Kwani unatumia kifaa cha aina gani? Mbona link ipo hapo juu unaweza kujipakulia mwenyewe? Haya soma basi hapa chiniNaomba taarifa ya TRA. Sihitaji maneno matupu.
Mkuu, umenisahau nini? Mbona siku zote tangu 2013 nipo mitandaoni?siku hizi unashinda mitandaoni ili na wewe uchaguliwe kama wenzako lakini wewe elimu yako ni form 4 pale mazengo laki unaweza pata bahati maana magu uchagua watu wasio na vision kama wewe jitahidi.
swissme
jipendekeze elimu yako ya form 4 pale Mazengo ndio inakuaribia unaweza pata bahati maana magu uchagua watu wasio na vision kama wewe jitahidiMkuu, umenisahau nini? Mbona siku zote tangu 2013 nipo mitandaoni?
Hapo ndio shida mkuu. Hali tete!Mbona sisi kaushibe hatuoni tofauti yoyote???
Watu mitaani tunaishi kama Nyumbu halafu mnatuambia makusanyo yameongezeka???Hapo ndio shida mkuu. Hali tete!